ATIKA SCHOOL
  • Start
    • SITEMAP
    • KNEC Portal
    • ZERAKI HELP AND SUPPORT
    • Academic Environment
    • KNEC KCSE PROJECT INSTRUCTIONS
  • BLOGS
    • About Us? >
      • Learn more about us
    • CUSTOMER CARE >
      • PRICING
      • Help & Support
    • News and Opinions
    • JOBS IN KENYA AND ABROAD FOR KENYANS AND BEYOND
    • How its Done
  • OUR PRODUCTS
    • All Categories >
      • MORE PRODUCTS >
        • SECONDARY CRE NOTES
        • COURSE BOOKS
        • KCSE KISWAHILI SETBOOKS
        • Backed Up Files and Archives
        • FREE DOCUMENTS
        • PRIMARY 8-4-4 BASED RESOURCES
        • STANDARD 8 RESOURCES
        • HIGH SCHOOL RESOURCES >
          • Biology Paper 3 Exams
          • Secondary Examinations
        • PRIMARY CBC BASED RESOURCES
        • COLLEGE & VARSITY RESOURCES
      • PRIMARY RESOURCES CBC
      • PRIMARY RESOURCES 8-4-4
      • SECONDARY RESOURCES
      • NOTES & TUTORIALS
      • COLLEGE RESOURCES
      • NOVELS and OTHER BOOKS
    • EXAMINATIONS >
      • MOCKS AND JOINT EXAMS >
        • FORM 1 QUESTION PAPERS, ANSWERS AND MARKING SCHEMES COLLECTIONS
        • FORM 2 QUESTION PAPERS, ANSWERS AND MARKING SCHEMES COLLECTIONS
        • FORM 3 EXAMINATIONS, QUESTION PAPERS AND ANSWERS
        • FORM 4 MOCKS PAST EXAMS BY REGION
        • TOP SECONDARY EXAMS ALL SUBJECTS
      • KPSEA NATIONAL EXAMS
      • KCPE >
        • KCPE PAST PAPERS AND ANSWERS >
          • KCPE 2020 RESULTS, REPORTS, QUESTIONS AND ANSWERS
          • KCPE PAST PAPERS 2019 REPORTS, RESULTS, QUESTIONS AND ANSWERS
        • KCPE PAST PAPERS PER SUBJECT
      • KCSE >
        • KCSE PAST PAPERS BY SUBJECT
        • KNEC KCSE PAST PAPERS, MARKING SCHEMES, QUESTIONS & ANSWERS
        • Free KCSE Past Papers Mathematics
        • Free KCSE Biology Questions and Answers
      • QUESTIONS & ANSWERS >
        • SECONDARY >
          • LANGUAGES >
            • Secondary English Questions and Answers
          • TECHNICALS >
            • COMPUTER STUDIES >
              • COMPUTER STUDIES Q & A
              • kcse computer studies paper 2 AND 3 Questions & Answers
            • BUSINESS STUDIES QUESTIONS & ANSWERS
            • KCSE AGRICULTURE TOPICAL QUESTIONS AND ANSWERS
            • KCSE HOME SCIENCE DIRECT QUESTIONS AND ANSWERS
          • SCIENCES >
            • KCSE Mathematics Topical Questions
            • KCSE Biology Topical Questions and Answers
            • CHEMISTRY TOPICAL QUESTIONS AND ANSWERS
            • KCSE Physics Topical Questions
            • KCSE physics Practical Sample Quiz
          • HUMANITIES >
            • C.R.E (CRE) QUESTION AND ANSWERS
            • ISLAMIC RELIGIOUS EDUCATION (IRE) QUESTIONS AND ANSWERS
            • KCSE History Topical Questions and Answers
            • GEOGRAPHY TOPICAL QUESTIONS AND ANSWERS
        • PRIMARY >
          • Standard 4-8 Mathematics Topical Questions from Mocks and KCPE
          • Std 6 Mathematics Notes
    • TUTORIALS >
      • SECONDARY >
        • SCIENCES >
          • FOCUS MATHEMATICS TUTORIALS AND EXAMS FREE
          • KCSE BIOLOGY NOTES
          • FREE KCSE CHEMISTRY NOTES
          • KCSE PHYSICS NOTES, AUDIOVISUALS AND MORE
        • LANGUAGES >
          • ENGLISH >
            • A GUIDE TO SILENT SONG AND OTHER STORIES
            • English KCSE Set Books
            • ENGLISH POETRY QUESTIONS WITH ANSWERS FOR K.C.S.E CANDIDATES
            • ENGLISH GRAMMAR #KCSE
          • KISWAHILI >
            • Bembea ya Maisha
            • CHOZI LA HERI - MWONGOZO
            • KIGOGO - MWONGOZO
            • MASWALI NA MAJIBU YA TUMBO LISILOSHIBA
            • USHAIRI MASWALI NA MAJIBU
            • KCSE Kiswahili Fasihi
        • TECHNICALS >
          • HOME SCIENCE NOTES
          • KCSE BUSINESS STUDIES NOTES
          • COMPUTER STUDIES NOTES LATEST
          • kcse Computer Studies Notes
          • KCSE AGRICULTURE NOTES, SYLLABUS, QUESTIONS, ANSWERS, SCHEMES OF WORK AND OTHERS
        • HUMANITIES >
          • KCSE History Notes Form 1 to 4
          • FREE KCSE CRE NOTES
          • KCSE GEOGRAPHY NOTES
          • IRE NOTES, AUDIOVISUAL, QUESTIONS AND ANSWERS
      • PRIMARY >
        • STANDARD 4: SOCIAL STUDIES
        • NOTES >
          • KISWAHILI
          • SOCIAL STUDIES
        • EXAMINATIONS
        • DecaTurbo Online Series Examinations
        • KCPE Mathematics Notes
        • KCPE and Primary Level Compositions
      • Other Supportive Documents >
        • SYLLABUS >
          • Primary 8-4-4 based Syllabus, Objectives and Lessons
          • Primary Mathematics Syllabus
        • MASOMO VIDEOS
    • CURRICULUM >
      • NEW CURRICULUM DESIGNS >
        • PRIMARY >
          • PRE PRIMARY ONE CURRICULUM WITH SYLLABUS
          • PRE PRIMARY TWO CURRICULUM WITH SYLLABUS
        • SECONDARY >
          • KNEC KCSE SYLLABUS AND COURSE OUTLINES
        • COLLEGE >
          • Regulations for the TIVET Craft and Diploma Business Examinations
    • HIGH INSTITUTIONS >
      • EXAMINATIONS >
        • College and Varsity Past Papers online
      • TUTORIALS >
        • COLLEGE AND UNIVERSITY NOTES AND TUTORIALS
  • MEMBERS RESOURCES
    • Primary >
      • CBC AND 8-4-4 LATEST EXAMS
      • CBC PROFFESSIONAL TOOLS
      • CBC NOTES PRIMARY
      • CBC KPSEA EXAMS
      • Standard 8 (std) English Topical Questions
      • KCPE MATHEMATICS TOPICAL QUESTIONS FROM 1989 TO LAST YEAR
      • STANDARD 8 PAST PAPERS 8-4-4 BASED
    • Secondary >
      • FORM 1 EXAMS WITH ANSWERS
      • FORM 2 EXAMS WITH ANSWERS
      • FORM 3 EXAMS WITH ANSWERS
      • FORM 4 EXAMS WITH ANSWERS
      • KCSE 2020 QUESTIONS AND ANSWERS
      • NOTES SECONDARY
      • MOCKS SECONDARY >
        • kcse form 2 mathematics questions
    • Free Schemes of Work
    • FOCUS A365 SERIES K.C.P.E EXAMINATIONS FOR PRIMARY
    • ALL GROUPS PRODUCTS
    • PREMIUM PRODUCTS 2

Huku ukirejelea hadithi zifuatazo, eleza namna unyanyasaji umeshughulikiwa.

15/1/2023

0 Comments

 

​Huku ukirejelea hadithi zifuatazo, eleza namna unyanyasaji umeshughulikiwa.  

​(i) Tumbo lisiloshiba

Tumbo lisiloshiba
  • jitu lenye tumbo linakula chakula chote katika mkahawa wa Mzee Mambo bila kuwajali wateja wengine
  • jitu lenye tumbo linarejelea madongoporomoka na mabuldoza kubomoa vibanda vya wakazi
  • wanamadongoporomoka wananyanyaswa kisheria kwani hawapati haki kwa kuwapata wanasheria adimu kama haki yenyewe
  • wakubwa wa jiji wako tayari kuchukua ardhi ya wakazi wa madongoporomoka kwa upanuzi wa jiji bila kujali watakapohamia 

​ (ii) Shibe inatumaliza

Shibe inatumaliza 
  • DJ anamiliki duka kubwa la dawa ambalo mtaji wake ni bohari ya dawa za serikali 
  • DJ anapata maji, umeme, matibabu na huduma zote za kimsingi za serikali ilhali wanainchi waliojawa na dhiki na ufukara wakizilipia
  • Baadhi ya viongozi kama Mzee Mambo wanapewa mishahara mikubwa na serikali kwa kufika kazini wala sio kwa kufanya kazi huku wananchi wengine wakiishi na ufukara.
  • Viongozi wengine hutumia rasilmali za nchi kwa manufaa yao kibinafsi badala ya kufaidi umma, kama vile Mzee Mambo kutumia vyombo vya habari kupeperusha sherehe aliyoandalia wanawe.

​ (iii) Mame Bakari 

Mama Bakari
  • Sara amabakwa na janadume katili alipokuwa akirudi darasa la ziada “twisheni” na kuhimili
  • Wasichana wa shule wanaambulia ujauzito hufukuzwa shule kulingana na mawazo ya Sara
  • Sara anaona akinyanyaswa na jamaa zake, majirani na wanafunzi wenziwe kwa kutengwa kama mgonjwa wa ukoma.
  • Sara anawaza jinsi babake angemfukuza nyumbani kwa kuwa mjamzito akiwa angali shuleni
  • Majirani wa Sara walimtesa kisaikolojia kwa kumsemasema baada ya kugundua kuwa alikuwa mjamzito.

​ (iv) Kidege

Kidege
  • Mose ambaye anapinga kuchukuliwa kwa samaki wa kidimbwi cha bustani ya Ilala anajipata akibanwa na mbawa za ndege wawili wakubwa.
  • Samaki wa kidimbwi cha Ilala wanaliwa na ndege wakubwa.
  • Videge vilikuwa vikinyanyaswa na midege kiasi cha kushirikiana ili kuiangamiza.
  • Hii inaonyesha jinsi viongozi wanaotawala katika jamii (midege) huwanyanyasa wananchi walio chini yao (videge)
  • Mose anapoipa midege iliombana chakula ili imwachilie aende zake, midege hiyo inakula chakula lakini haimwachilii huru kamwe

​ (v) Tulipokutana tena

Tulipokutana tena
  • Bogoa anatenganishwa na jamaa zake anapopelekwa kwenda kuishi na Bi. Sinai
  • Bogoa anafanyishwa kazi nyingi na ngumu na Bi. Sinai kama vile kumenya vitunguu, kukuna nazi, kupara samaki na kutoa matumbo na kadhalika.
  • Bogoa ananyanyaswa na Bi. Sinai kwa kuamshwa mapema kuliko wengine ili kuchoma mandazi ya kuuza shuleni.
  • Bogoa ananyimwa elimu na Bi. Sinai 
  • Bogoa ananyimwa lishe bora kwa kupewa mabaki 
  • Bogoa ananyanyaswa kwa kuchomwa viganja vya mikono anapouguza mandazi aliyokuwa akichoma

Read More
0 Comments

“Hatuwezi kumaliza kula, kila leo tunakula”

15/1/2023

0 Comments

 

​“Hatuwezi kumaliza kula, kila leo tunakula”

​(a) Eleza muktadha wa dondoo hili. (al 4)

Mnenaji ni Mbura.
Mnenewa ni Sasa
Wakiwa nyumbani kwa mzee Mambo
Walikuwa wamehudhuria sherehe kwa Mambo bila ualishi katika siku ya kusherehekea siku ya kuingia darasa la chekechea kwa mtoto wa Mzee Mambo na mwingine kutoa vijino viwili.  Wanafika shereheni kula, hata hivyo wanakula kilafi mpaka Mbura anaanza kujilaumu pamoja na mwenzake Sasa kwamba wanakula vyovyote wavipatavyo bila kuvichunguza na hata kuvila vya wenzao waliowatuangulia na watakaozaliwa.

​(b) Fafanua tamathali ya usemi iliyotumika (al 2)

Istiari/Jazanda – Wanakula lakini hawawezi kumaliza kula – wanakula kila leo 
na bado wanaendelea kula – kuendelea kunyakua mali ya uma
kutaja = 1
kufafanua = 1

​(C) Eleza umuhimu wa mnenaji. (al 4)

Umuhimu wa Mbura
  • Ni mfano mzuri wa watu walafi katika jamii
  • Kielelezo cha ubadhirifu wa mali ya umma
  • Ni mfano wa watu walio na mapuuza.  Wanafahamu uzembe uliopo miongoni mwa wafanyikazi wa serikali na unyakuzi wa mali ya umma, lakini hawachukui hatua mwafaka
  • Kielelezo cha viongozi wasio ajibika
  • Ni mfano wa watu wanaojitolea kulihudumia taifa lao hata kama wametengwa mbali na hawatambuliwi katika taifa lao.
  • Anaendeleza maudhui ya ufisadi wakiwa na Sasa wanafanya kazi moja.

​(d) “Lakini nakwambia, kula kunatumaliza”. Kwa kudokeza hoja kumi, jadili ukweli wa kauli hii. (al 10)

“lakini nakwambia tena, kula kunatumaliza”.
  • Viongozi wa mataifa yanayoendelea kutowajibika katika kazi zao.  Wanakubli bidhaa duni kurudidikwa katika mataifa yao: mchele ya basmati.
  • Mali ya umma kunyakuliwa. DJ anafungua duka la dawa zilizotolewa katika bohari ya serikali huku wanyonge wakiteseka.
  • Serikali kuwalipa watu ambao hawafanyi kazi mishahara kubwa hinyo kudhoofisha uchumi wa nchi – Mzee Mambo. 
  • Kituo cha Televisheni ya taifa kutumika kupeperusha matangazo ya sherehe ambazo hazina umuhimu wowote katika ujenzi wa taifa.
  • Wananchi wengine badala ya kuchukua hatua mwafaka dhidi ya wanyakuzi, hungojea wakati wao ili nao wanyakue: Sasa na Mbura” …na sisi tuende – tusogee.
  • Viongozi wananyakua mali ya mabilioni kwa hila na hawajali: Mzee Mambo anaandaa sherehe kubwa kwa sababu mtoto wake wa kwanza ameingia shule ya chekechea na yule wa mwisho ameota vijino viwili.
  • Sasa na Mbura kula tena na tena bila kushiba
  • DJ anapata huduma za kimsingi kama vile maji, matibabu na kadhalika kwa vile alijuana na mzee Mambo
  • Magojwa ya sukari, presha, saratani, obesiti kutokana na kula
  • Kunyongana kwa sababu ya kula.

Read More
0 Comments

“Hili lilimtia………………..uchungu, akajiona kama aliyedhalilishwa na mwanamke.”

11/1/2023

0 Comments

 

MASWALI

(a) yaweke maneno haya katika muktadha wake. (al 4)
(b) Taja suala linalodokezwa katika dondoo hili. (al.1)
(c) kwa kutumia hoja kumi na tano, eleza namna suala ulilolitaja hapo juu(b) llinavyojitokeza katika Riwaya. (al.15)

MAJIBU

(a) Maelezo ya mwandishi
  • Anamrejea Bwana Kimbaumbau
  • Ni baada ya Naomi kukataa kushiriki mapenzi naye 
  • Wote wawili walikuwa Kazini
​(b) Ubabedume/Taasubi ya kiume.
(c)
  1. Jamaa za Kangata kupinga elimu ya mabinti zake
  2. Kimbaumbau kumdhulumu Naomi anapokataa kujihusisha kimapenzi naye
  3. Mwimo Msubili kutotaka kukutana na mwanamke asubuhi kwa madai kuwa ni Mkosi
  4. Lime na Mwanaheri kunajisiwa na vijana wahuni
  5. Bwana Maya anamdhulumu mamake Sauna kwa mapigo na matusi aulizapo swali lolote lile.
  6. kuuzwa kwa Pete kwa Fungo ili wazazi wake wapate pesa za kuwaelimisha ndugu zake watano wa kiume.
  7. Pete anabakwa na mlevi anapolewa chakari
  8. Mamake Zohari kuridhia kila asemalo mumewe na kushindwa kumtetea anapopata himila.
  9. Mamake Mwengeke aliwahi kumwonya kulia kama msichana.  Hii ni ishara kuwa jamii yamwona mwanamke kama mnyonge.
  10. Mwanzi anakataa kukubali matokeo ya uchaguzi madhali anashindwa na mwanamke, Mwekevu.
  11. Wahafidhina kuamini kwamba mtoto wa kiume ndiye pekee anayestahili kuwa mrithi wa mali ya babake
  12. Ushindi wa Mwekevu unaonekana kama kutoheshimiwa kwa mwanaume.
  13. Mwekevu kusingiziwa wizi wa kura anapomshinda Mwanzi.
  14. Kutishwa, kutusiwa n ahata kutengwa kwa Mwekevu anapojitosa katika siasa zilizoaminiwa kuwa ni za wanaume
  15. Fungo anamharibia Pete maisha anapomwoa kisha kumfukuza anapojifungua mtoto.
  16. Fungo anamharibia Pete maisha anapomwoa kisha kumfukuza anapojifungua mtoto
  17. Mwanamke kuonekana kama mnyonge anayestahili kulia akabiliwapo na vizingiti au changamoto maishani. Mwanaume hafai kulia.
  18. Wanafunzi wa vyuo kufa kutokana na matumizi ya pombe haramu.
  19. Selume kudhulumiwa na mumewe
  20. Sauna kunyanyaswa na babake wa kambo
  21. Kaizari kumtetea mkewe anapodhulumiwa na mama mkwe.

Read More
0 Comments

Matatizo mengi yanayowakumba wahusika wengi katika riwaya hii ni mwiba wa kujdunga. Jadili. (al 20)

8/1/2023

0 Comments

 

​Matatizo mengi yanayowakumba wahusika wengi katika riwaya hii ni mwiba wa kujdunga. Jadili. (al 20)

​Wahusika katika riwaya ya Chozi la Heri wanakumbwa na matatizo mbalimbali.  Matatizo hayo ni ya kiuchumi na kijamii.
Vyanzo vya matatizo yenyewe ni tofauti, kuna yale yanasababishwa na wahusika wenyewe ilhali mengine yanaletwa na watu wengine.
Tunaweza kusema kuwa matatizo mengine ni mwiba wa kujindunga huku mengine yakiwa ya kudungwa na wengine.
  • ​Jumba moja la Ridhaa linabomolewa kwa kuwa alilijenga katika ardhi iliyotengewa ujenzi wa barabara katika mtaa wa zari. Hakuchunguza uhalali.
  • Terry mkewe Ridhaa anapuuza maonyo na maneno ya mumewe kuhusu mkasa ambao ungetokea hivyo anateketea alipoenda kuwasaidia watu waliokuwa wanateketea.
  • Ami wamwangeka anaagamia katika mkasa wa moto alipoenda kuwasaidia wastu waliokuwa wanateketea.
  • Walioteketea katika moto wa lori walijiigiza matatani wenyewe kwani walikuwa wameonywa kulikuwa na hatari.
  • Uhasama, migorogo na ukosefu wa mahitaji muhimu unaoikumba familia ya Mwimo Msubili hii ni kwa sababu ya yeye kuwaoa wake wengi.
  • Kufutwa kazi kwa Lunga Kangata Kiriri baada ya kutataa kukubali mahindi ya jano kuuziwa wananchi ni mwiba wa kujidunga.
  • Mauti yanayokumba vijana waliokuwa wakiandamana baada ya sherehe za kuapishwa kwa kiongozi mpya.
  • Tendo la Subira kuondoka nyumbani na kumwacha mumewe na watoto ni mwiba wa kujindunga kwa mumewe.
  • Pete anapokubali kuolewa na Nyangumi bila kufanya uchunguzi wa kina.
  • Tukio la Zohali kupata mimba na kutumbukia katika mateso mengi
  • Tendi la Mwangeka na Mwangemi kufanyia babu yao mzaha, kwa kuwa usiku mmoja aliamua kuwalipua viboko.
  • Kifo cha Lemi chatokana na mapuuzo ya Tindi ya ushauri wa mamao
  • Pete kujihusisha na ukware na baadaye kupata watoto wengi
  • Pete kujaribu kuavya mimba na baadaye alazwa hospitali 
  • Mamake Sauna kumwacha Bwana Kero na kuolewa na Bwana Maya ambaye anamdhulumu na kumpiga na kumtusi.
  • Mwangeka anakubaliana na Tila kuigiza maombolezi ya Dedan Kimathi ambayo yanamfanya babake kumwadhibu kwa kutowajibika.
  • Kukamatwa kwa Sauna n mwajiri wake Bi. Kangara kwa kujihusisha na Biashara ya ulanguzi wa watoto.
  • Tuama anaathirika vibaya baada ya kupashwa tohara na kulazwa hospitalini nit endo alilolitenda kinyume na mapenzi ya baba yake.
  • Walevi wenza wa Shamsi ambao wanapoteza uwezo wa kuona au uhai wao kwa kubugia vileo.
  • Mumewe Selume anamfukuza mkewe kwa kuwa si wa kabila lake baadaye anamlea mtoto peke yake.
  • Mandu anapouawa katika vita akiwa ughaibuni ni mwiba kwani huenda hangepoteza maisha kama hangeenda huko mapema.
  • Fujo zinazosababishwa na uhafidhina baada ya uchaguzi ambapo wanapoteza uhai na mali.
  • Wakimbizi waliohamia katika msitu wa mamba na kupanda mimea na baadaye kufukuzwa ulikuwa mwiba kwani si halali kulima msituni.
  • Naomi kumwacha mumewe Lunga Kiriri na watoto na baadaye kuwatafuta baada ya kifo cha bwanake ullikuwa mwiba wa kujindunga.
  • Mwangeka kujiunga na kikosi cha majeshi licha ya kukatazwa na mkewe na kisha anaporudi anakuta waliangamia motoni

Read More
0 Comments

​Jadili nafasi ya sehemu zifuatazo katika riwaya ya Chozi la Heri:

25/12/2022

0 Comments

 

​​Jadili nafasi ya sehemu zifuatazo katika riwaya ya Chozi la Heri:

​(a) Hotuba (alama 10)

(a) Hotuba (alama 10)
Hotuba ni maelezo maalumu yanayotolewa na mtu mmoja mbele ya watu. Pia huitwa hutuba. Mwandishi wa riwaya hii ametumia hutuba kwa ustadi mkuu kupitisha ujumbe mbalimbali. Hotuba hizi ni:  
​1. Hotuba ya Racheal Apondi kwa maafisa waliohudhuria warsha kuhusu jukumu la vikosivya askari katika kudumisha usalama, amani na maridhiano nchini (uk 112- 113). Katika hotuba hii, Racheal Apondi anasisitiza kuwa: 
Suala la usalama haliwezi tena kupuuzwa. Usalama umekuwa moja wapoyamahitajiyakibinadamu. 
Anasema kuwa bila usalama, binadamu hawezi hata kushiriki katika shughuli za kuzalisha mali, hivyo hata mahitaji yake mengine ya kimsingi kama vile chakula, malazi na makazi haya wezi kukidhiwa. 
Kila binadamu ana jukumu la kudumisha amani na usalama. 
Wafanyakazi wa umma, hasa polisi na wanajeshi wana jukumu kubwa zaidi la kudumisha usalama na amani. 
Kila mmoja wetu anastahili kuhakikisha kuwa ameepuka vitendo vya kihalifu. 
Ni vyema mtu kuwaangaza wahalifu wakati wote. 
Vikosi vya polisi na wanajeshi vimefunzwa maarifa ya kukabiliana na kadhia za Jinai na upelelezi. (4×1= 4)
​2. Hotuba ya Lunga Kiriri- Kangata kwa walimu na wanafunzi gwarideni (uk 68-69). Hotuba hiii lisisitiza umuhimu wa kuhifadhi mazingira. Anasisitiza kuwa:  
Suala la uhifadhi wa mazingira ni jukumu la kila mmoja wetu. 
Misitu ilikuwa imevamiwa na viongozi wenye mate yafisi. 
Baadhi ya vinara wa taasisi mbalimbali za umma wamewaacha Wanyama kama mayatima kwa kuwap okama kazi yao. 
Maelfu ya maekari ya misitu yamefyekwa na kujengwa viwanda. 
Badala ya mibamba kofi na miti mingine inayosafisha hewa, micha iimetwaa nafasi yake. 
Wanaohusika na matendo haya wanapoulizwa hudai kuwa michaisia duiya mazingira! 
Wengine wanasema kuwa misitu haina budi kukatwa ili kupanda mimea inayotoa chakula, kwani jamii lazima ijitosheleze kwa chakula. 
La kuhuzunisha ni kwamba hawa hawa wanaosema hivyo ndio wanaokita majengo ya kifahari katika sehemu ambazo zinastahili kutengewa upanzi wa chakula! 
Wengine wamediriki kunyakua hata madhabahu kwenye Mlima wa Nasibu ili kujenga hoteli kubwa za kitalii. 
Wazee wetu hata hawana mahali pa kuchomea kafara! 
Tuna kata miti bila kupanda smingine. 
Hata mabustani ya maua tunashindwa kuyastawisha.
Tukiendelea kuharibu mazingira sehemu yetu itazidi kuwa jangwa. (2×1= 2)
3. Hotuba ya Umu katika hoteli ya Majaliwa siku ya key akuzaliwa.
Umu ana washuku Mwangeka na Apondi kwa kuwa wazazi wake wema.
Ana washukuru kwa kumsomesha.
Anawashukuru kwa kumsaidia Dick kujiendeleza kimasomo.
Mwangeka na Apondi wanamshukuru Umu kwa kuwapa furaha. 
Apondi anamshukuru kwa kumlea mdogo wao kwa maadili bora. (2×1= 2)
​4. Hotuba ya Dick katika hoteli ya Majaliwa siku ya kuzaliwakwaUmu.
Dick anamshukuru Umu kwa msaada wake na ahadi ya kumlea. 
Anamkumbusha siku walipokutana katika uwanja wa ndege na ilivyokuwa muhimu kwake.
Anamshukuru Umu kwa kumwelekeza kwa wazazi wao wale.
Anawashukuru Apondi, Mwangeka na wanawe kwa ushauri wanaompa. (2×1= 2)
Mtahiniwa ataje hotuba kisha aeleze masuala muhimu yanayoibuliwa na kila moja.

​(b) Uozo katika jamii (alama 10)

​(b) Uozo katika jamii  (alama 10)
Uozo ni hali ya kuzorota na kutozingatiwa tena kwa maadili mema katika jamii. Ni hali ambapo mila zote na desturi njema huvurugwa na wanajamii wanaofanya mambo yaliyo kinyume na hali hali si yamaisha. Mwandishi amejadili suala hili kwa undani kama ifuatavyo;
Jamii inaendeleza ubakaji. Genge la mabarobaro watano lilifululiza hadi walipokuwa maskini Lime naMwanaheri na kuwabaka mbele ya baba yao (uk 25). 
Kuna ulanguzi wa dawa za kulevya. Dick alipotoroshwana Sauna alipelekwa kwa Tajiri mmoja aliyemwingiza katika kusafirisha dawa za kulevya kutoka nchi moja hadi nyingine (uk 119- 120). 
Wanajamii wanaendeleza uporaji na wizi wa mali. Vijana wana wavamia watu, kuwaua na kupora katika maduka ya kihindi, kiarabu naya wa afrika wenzao.
Jamiii naendeleza ufuska/ ukahaba. Sauna aliiba Watoto na kuwapeleka kwa mama mmoja aliyewatumia kwa biashara yanipe ni kupe (uk 84).
Biashara haramu inaendelezwa. Bi. Kangara alifanya biashara ya kuwa uza Watoto na vijana- Safari yake ilipata mkondo mwingine baada ya polisi kupata fununu kuhusu njama ambazo yeye na Bi. Kangara walikuwa wakiendesha. Mabibi hawa walikuwa na mtandao ambao kazi yake ilikuwa kuwauza Watoto na vijana (uk 84).
Kuna tatizo la mimba za mapema. Vijana wana mazoea ya kukumbatia mtafaruku wa kuhisia unaowapatana mara hujipata wameambulia ujauzito kama alivyofanya Zohali (uk 98).
Baadhi ya wanajamii wanaendeleza uavyaji mimba. Sauna alijaribu awezavyo kuavya mimba na mwishowe, baada ya kushindwa, anaamua kujiua.
Kukiuka maadili ya kikazi. Fumba (mwalimu) anakiuka maadili ya kazina kujihusisha kwa mapenzi na mwanafunzi wake, Rehema, na hatimaye kumpachika ujauzito (uk 102). 
Wazazi wana wabaka wana wao. Babake Sauna anafanya mapenzi na mwanawe kila apatapo nafasi, na mwishowe, Sauna anapata mimba. 
Starehe na anasa kwa vijana. Vijana wa vyuo vikuu wameshindwa kutofautisha usiku na mchana. Tindi anasahau kumrejesha Lemi nyumbani kutokana na muziki (uk 121).
Wazazi wanakwepa malezi na kuwatupa wanao wakiwa wachanga. Neema anampeleka mtoto aliyemwokota kwapolisi (uk 162).
Vijana kuwaiga wazee. Mwangemi na Mwangeka walikuwa na tabia mbovu yakumuiga babu yao (uk 186).
​(10×1= 10)
Mtahiniwa afafanue kwa mifano kutoka katika riwaya

Read More
0 Comments

​“Nyamaza wewe! Nyinnyi ndio mnaoturudisha nyuma miaka yote hii!”

25/12/2022

0 Comments

 

​​“Nyamaza wewe! Nyinnyi ndio mnaoturudisha nyuma miaka yote hii!”

(a) Eleza muktadha wa dondoo   (alama 4)

(b) Kwa kurejelea hoja saba, eleza jinsi msemaji alivyorudishwa nyuma (alama 7)

( c)  Eleza umuhimu wa msemaji katika riwaya (alama 6)

(d) Eleza toni ya dondoo hili (alama2)

(e) Toa sifa moja ya msemaji katika dondoo hili. (alama1)


Read More
0 Comments

“uuuui! Uuuui! Jamani tusaidieni! Uuuui! Uuuui! Mzee kedi usituue, sisi tu majirani! Maskini wangu!”

25/12/2022

0 Comments

 

​“uuuui! Uuuui! Jamani tusaidieni! Uuuui! Uuuui! Mzee kedi usituue, sisi tu majirani! Maskini wangu!”

​a)Elezea muktadha w dondoo hili.(Al 4) 

​a)Elezea muktadha w dondoo hili.(Al 4)
Ni kumbukumbu ya Ridhaa akikumbuka kilio cha mkewe terry Ridhaa akiwa nje ya jumba lake liliochomeka, na hiki ni kilio cha mkewe wakati walipoangamia kwa mkasa wa moto huo. 

b) Fafanua tamathali ya usemi huu(Al 2)

​b) Fafanua tamathali ya usemi huu(Al 2)
tanakali ya sauti – uuuuwi! Uuuuwi!

c) taja mambo yaliyofanyikia Ridhaa awali ya kuashiria mikasa. (Al 4)

c) taja mambo yaliyofanyikia Ridhaa awali ya kuashiria mikasa.(Al 4)
  • Kupepesa kwa jicho lake la kulia kwa wiki mbili mtawalia 
  • kuanguka sebuleni mwake bila kutu cha kumfanya ajikwae 
  • mwili wake kuwa na mavune/uchovu ilhali hakuwa ameufanyia kazi ya kudhili 
  • jeshi la kunguru lililotua juu ya paa la maktaba yake ya nyumbani 
  • milio ya kereng’ende na bundi usiku kucha  

b) Kwa kurejelea riwaya ya chozi la heri jadili dhiki za wakimbizi.(Al 10)

​Kwa kurejelea riwaya ya chozi la heri jadili dhiki za wakimbizi
  • Wanaoishi mabandani – kama kaizari na familia yake 
  • Uhaba wa chakula – kaizari anang’ang’ania uji na aliyekuwa waziri wa fedha/Ridhaa anakula mizizi mwitu 
  • Wananyeshewa – lime na mwanaheri/hawana hata tambara la kujifunika 
  • Kutoroka bila kujua waendako – kaizari na familia yake akiwa kwenye steji
  • dhiki za kisaikolojia – wakimbizi kama kaizari wanashuhudia uchomaji wa mabasi abiria wakiwa ndani yake walipokuwa wanatorokea maneno yenye amani na Usalama
  • magari wanayosafiria yanaishiwa mafuta – kwa mfano, kaizari na familia yake inawabidi kuingia msituni 
  • kulala msituni tena njaa – kwa mfano, familia ya kaizari katika siku ya kwanza msituni 
  • kukosa maji safi ya kunywa – akina kaizari wanakosa maji safi ya kunywa na wanaothubutu kunywa maji machafu ya mto wa mamba wanaugua homa ya matumbo na kuishi kufariki dunia 
  • ukosefu wa misala – wanatumia vyoo vya kupeperusha, hivyo kusababisha kuzuka kwa kipindupindu 
  • magonjwa – homa ya matumbo kutokana na matumizi ya vyoo vya kupeperusha 
  • vifo vya watoto vinavyotokana na ukosefu wa chakula na magonjwa/watu wengine wanakufa kutokana na kunywa maji machafu ya mto wa mamba n.k 
  • kuchomwa kwa familia – kedi ameiteketeza familia ya Ridhaa kwa sababu Ridhaa hakuwa mwenyeji wa msitu wa heri – uk.5
  • Ridhaa anachomewa mihindi yake kwa sababu hakuwa mwenyeji wa msitu wa heri – uk.4
  • Kuonwa kama wavuruga watulivu – Ridhaa anapohamia msitu wa heri pamoja na nduguze, watoto wa huko wanawaona kama waliokuja kuvuruga utulivu wao kwa sababu ya kutokuwa wenyeji wa msitu wa heri – uk.9
  • Kutengwa mchezoni – Ridhaa anatengwa na wanafunzi wenzake wanapocheza shuleni mchezo wa kavuta kwa sababu ya kuwa mwanafunzi mlowezi katika msitu wa heri uk.10
  • Kubandikwa majina. Wanafunzi shuleni wanamwita Ridhaa ‘mfuata mvua’ kwa sababu ya kuwa mwanafunzi mlowezi – uk. 10. Pia mavyaa wake Subira anamwita Subira ‘muki’ kwa  sababu Subira anatoka anatoka katika jamii ya bamwezi; jamii tofauti na yake – uk. 94
  • Chuki za kikabila zinawasababishia wanafunzi kumchukia Ridhaa anapofaulu katika mitihani yake. Wanamwona kama aliyeenda katika mitihani yote – uk.10
  • Kusingiziwa wizi. Ridhaa anasingiziwa kuiba kalamu za wanafunzi wengine kwa sababu analowea Msitu wa heri – uk.10.subira pia anasingiziwa kuiba mayai ya kuku kwa sababu ya usuli wake. Yeye ni wa jamii ya bamwezi – uk.96
  • Dhiki za kisaikolojia. Unyanyapaa shuleni kutoka kwa wanafunzi wenyeji wa msitu wa heri unamsababishia Ridhaa kutoroka shuleni na kulia kwa kite na shake na kuapa kutorudi shuleni – 10
  • Subira 

Read More
0 Comments

Eleza ufaafu wa anwani ya chozi la heri (Al 20)

25/12/2022

0 Comments

 

​Eleza ufaafu wa anwani ya chozi la heri (Al 20)

Eleza ufaafu wa anwani ya chozi la heri 
Chozi ni majimaji yanayotoka kwenye jicho la mtu kutokana na maumivu au furaha. Heri ni hali ya kuwa salama au nafuu au afadhali. Kwa hivyo, chozi la heri ni chozi la nafuu. Maana ya kijanda/kiistari ni maisha ya mhusika kubadilika kutoka hali mbaya hadi hali nzuri. Kwa mfano:
  1. Familia ya akina Ridhaa inateseka kutokana na udogo wa ardhi lakini hali inakuwa nzuri babake, mwimo msubili anapowahamishia katika eneo la msitu wa heri. 
  2. Ridhaa anadhulumiwa shuleni na wanafunzi wenzake kwa kudhihakiwa na kusimangwa lakini mamake anapoenda huko na kusema na mwalimu hali hiyo inasitishwa
  3. Ridhaa anamsaidia Mzee kedi Kwa kuyadhamini masomo ya wapwaze wawili.
  4. Eneo la msitu wa heri lilikuwa kame lakini Ridhaa anawasaidia wenyeji wa eneo hilo kupata maji ya mabomba
  5. Mwekevu anapojitosa siasani anatusiwa na kutishwa na wanaume lakiniyupo raia mmoja anayejitokeza kumtetea akidai kwamba ni muhimu apewe nafasi. 
  6. Licha ya mwekevu kukumbana na vizingiti kadhaa kama ile kutusiwa anapojitosa siasani anafanikiwa kuchaguliwa kama kiongozi wa taifa la wahafidhina
  7. Familia ya kaizari inapovamiwa na wahuni, jiraniye Tulia anajitokeza na kumsaidia kufunganya virago na kutorokea palipo salama.
  8. Kaizari anapovamiwa na mkewe Subira kukatwa kwa sime na wanawe, Lime na Mwanaheri kubakwa na kuamua kutoroka, jiraniye Tulia anajitolea kumlindia boma lake 
  9. Familia ya kaizari inapovamiwa na kuamua kutoroka anafanikiwa kupata matwana inayomsaidia yeye pamoja na familia yake kutorokea mahali salama.
  10. Wakimbizi wanapoteseka kambini kutokana na ukosefu wa chakula, misikiti na makanisa yanayaweletea chakula
  11. Wakimbizi wanapoteseka kulala vibandani, shirika la makazi bora linajitolea kuwajengea makao bora
  12. Selume anapotaabika baada ya kutalikiwa na mumewe Mwanzi, anakutana na Ridhaa anayemsaidia kupata kazi ya uuguzi, hivyo kuweza kujikimu kimaisha
  13. Kuchomwa kwa familia ya Ridhaa kunamsababaisha kuugua shinikizo la damu lakini anasaidiwa kuudhibiti ugonjwa huu kutokana na huduma za ushauri na uekelezaji kutoka kwa wataalamu
  14. Lime na mwanaheri wanabakwa na wahuni na kukatwa lakini wanatibiwa na wauguzi waliotumwa na mashirika yasiyokuwa ya kiserikali
  15. Subira anvamiwa na wahuni na kukatwa lakini anatibiwa na wauguzi waliotumwa na mashirika yasiyokuwa ya kiserikali
  16. Ridhaa ana furaha kuktana na mwanawe Mwangeka aliyekuwa nje ya nchi, vita vya baada ya uchaguzi vilipozuka na kuwasababisha wanawe wengine pamoja na mkewe Terry kuangamia
  17. Usalama unazorota katika nchi ya wahafidhina , hivyo kuwasababisha kutaabika lakini jamii ya kimataifa inawasaidia kuwarejeshea amani 
  18. Raia mmoja anakanyagwa na kujeruhiwa katika maandamano ya  kupinga matokeo ya uchaguzi lakini Ridhaa anamsaidia kwa kumfanyia upasuaji wa uti wa mgongo
  19. Kiriri anamsaidia kangata kuyadhamini masomo ya mabintiyee wawili
  20. Jamaa za Lucia zinakataa  Lucia aziolewe kwenye ukoo wa waombwe lakini hali inakuwa njema kwake baabake Kangata anapopinga wazo hilo na kumkubalia kuolewa huko
  21. Kitoto kinatupwa na mamake kwenye biwi la taka lakini kinaokolewa na Neema na kupelekwa katika kituo cha benefactor
  22. Umu amekuwa akilia Kwa sababu ya kukosa wazazi wa kuishi nao nyumbani Kama wanafunzi wenzake shuleni Tangamano lakini hali inabadilika Apondi na Mwangeka wanapomchukua kama mwanao wa kupanga na kumlea Kwa upendo mpaka banguzi alilokuwa nalo moyoni likapona.
  23. Chandachema anataabika kwa kukosa mlezi lakini Tenge na Kimai wamechukua na kumlea pamoja na wanao 
  24. Mwaliko anatekwa nyara nyumbani kwa Bi. Kangara lakini anaokolewa na polisi na kupelekwa katika kituo cha watoto cha Benefactor 
  25. Mwangeka anafiwa mkewe Lily lakini hatimaye anaoa Apondi aliyemwondolea upweke. 

Read More
0 Comments

​“Vipi, binadamu anavyoweza kuyazoa maji yaliyomwagika?”

21/12/2022

0 Comments

 

​​“Vipi, binadamu anavyoweza kuyazoa maji yaliyomwagika?”

​a) Eleza muktadha wa dondoo hili. (alama 4)

  1. Haya ni maneno ya Mwanaheri
  2. Akimwambia Kairu na Umu
  3. Walikuwa katika shule ya Tangamano
  4. Ni baada ya kukutana na kuanza kusimuliana kuhusu yaliyowafika hadi wakakutana pale

​b) Tambua mbinu ya lugha iliyotumika   (alama 2)

Swali balagha - vipi, binadamu anavyoweza kuyazoa maji yaliyomwagika ? alama 2

​c) Jadili sifa tatu za msemaji.   (alama 3)

  1. Mwenye mawazo mapevu. Mama yake angetafuta suluhu kwa mgogoro kati yake na wakwe zake badala ya kujiua
  2. Mwenye busara - anaamini kuwa hakuna haja ya kushughulikia mambo ambayo hawezi kuyabadilisha
  3. Mwenye bidii - anatia bidii shuleni. Anafuata ushauri wa mwalimu Dhahabu kwamba elimu itamletea mabadiliko

d) Hakiki jinsi binadamu alivyomwagikiwa na maji katika riwaya      (alama 11)

  1. Lunga kumwagikiwa na maji pale anapoachwa na mkewe Naomi
  2. Umu na nduguye wanamwagikiwa na maji kwa kuachwa mayatima wakati Lunga anapoaga
  3. Ridhaa anamwagikikwa na maji wakati anapoipoteza aila yake yote isipokuwa  Mwangeka
  4. Mwangeka anamwagikiwa na maji kufuatia kifo cha mkewe na mtoto wake
  5. Zohali anamwagikiwa na maji pale anapotungwa mimba katika umri wa ujana na kupelekea afukuzwe shuleni na kuteswa na wazazi
  6. Waafrika wanamwagikiwa na maji pale wanapokatazwa na wakoloni kulima mazao yaletayo fedha huku ikiwalazimu kufanya vibarua kwao
  7. Baadhi ya vijana wa rika la Tuama wanakufa baada ya kupashwa tohara
  8. Hospitali inamwagikiwa na maji pale Selume analalamikia ukosefu wa mwangaza, ukosefu wa glavu na deni kutokana na usimamizi duni
  9. Wakaazi wa msitu wa mamba wanaharibikiwa pale wanapofurushwa huku vyakula walivyolima vikiibiwa na viongozi
  10. Vijana barobaro wanaotumiwa na wanasiasa kuandamana wanamwagikiwa wa maji pale wanapomiminiwa risasi vifuani wa walinzi huku wakiuawa
  11. Kitoto kinachookotwa na Neema kilimwagikiwa na maji pale kilitupwa na mama mzazi badala ya kukilea
  12. Ridhaa anasimulia mwanawe Mwangeka vile walivyobomolewa nyumba zao kwenye mtaa wa Zari, hawakupewa fidia yoyote nao wale waliowauzia viwanja hivi waliingia mitini
  13. Lunga kufutwa kazi na mkurugenzi kwa kupinga mradi wa ununuzi mahindi

Read More
0 Comments

MWANDISHI AMEJADILI KWA KINA MAUDHUI YA MAPUUZA. THIBITISHA

17/12/2022

0 Comments

 

Mwandishi amejadili kwa kina maudhui ya mapuuza. Thibitisha . (alama 20)

Mwandishi amejadili kwa kina maudhui ya mapuuza. Thibitisha . (alama 20)
  • Viongozi kuharibu misitu. Msitu wa Mamba. Kukata miti ya makaa na mbao.
  • Mwalimu kupachika mwanafunzi mimba. Fumba kwa Rehema 
  • Kutupa mtoto kwenye taka. Aliyeokotwa na Neema.
  • Kuacha familia. Annete. Naomi. Subira
  • Kutorudi nchini. Wanawe Kiriri wanakatalia ughaibuni badala ya kurudi kumsaidia biashara na kujenga nchi 
  • Kutogharamia malezi. Fumba kuachia Chandachema nyanyake.
  • Kumwaga taka. Mtaa wa Sombera
  • Wanasiasa kupuuza vijana baada ya kuwafanyia kampeni.
  • Kutahiri wasichana. Tuama. Wasichana wanakufa
  • Kupuuza umuhimu wa masomo. Zohali kufanya mapenzi akiwa shuleni na kupachikwa mimba.
  • Mamake Umu kukataa kusaidia ombaomba
  • Kuuzia raia mahindi yaliyoharibika.
  • Raia kupokea hongo. Wanapuuza jukumu lao la kuboresha uongozi. Papa anatoa hongo na basi kuendeleza uongozi mbaya.
  • Tindi kupuuza ushauri wa mama kutorudi nyumbani baada ya saa kumi na moja magharibi na anarudi siku inayofuata. Kifo cha Lemi. 
  • Terry kupuuza Ridhaa kuhusu milio ya bundi kuwa mbiu ya mgambo na kuishia kuchomwa na Kedi.
  • Kupuuza kuelekeza mtoto. Wazazi wa Zohali waliodhalilisha badala ya kumwelekeza alipopata mimba na akatoroka nyumbani.
  • Polisi kurusu magari makuukuu barabarani kwani yanamilikiwa na miamba isiyogusika
  • Viongozi kutoimarisha viwango vya
  • Sauna/ Umu. Kutenganisha na nduguze.
  • Fumba/ Rehema. Mimba na kumkatiza masomo
  • Fumba/ Chandachema. Kutokea
  • Satua/ Chandachema. Kuteta vitu vidogo kuisha na alijua hana walezi.
  • Tenge/Kimai. Kuwa na uhusiano nje ya ndoa
  • Maya/ Sauna. Kumbaka
  • Kimbaumbau/ Naomi. Kumtaka mapenzi kumsingizia, kumtusi na kumfuta kazi.
  • Wazazi wa Zohali/ Zohali
  • mlevi/ Pete. Kumbaka
  • Pete/ kitoto chake cha pili
  • Mama Pete/Pete. Kumwachia nyanya ulezi bila kutuma mahitaji
  • Mama na wajomba wa Pete/ Pete. Kumkatizia masomo ili wamwoze kwa Fungo aliye na wake watatu tayari.
zozote 20

Read More
0 Comments

MAISHA YANGU YALIJAA SHUBIRI TANGU UTOTONI.

17/12/2022

0 Comments

 

​MAISHA YANGU YALIJAA SHUBIRI TANGU UTOTONI. 

​I. ELEZA MUKTADHA WA MANENO HAYA. (ALAMA 4)

  • Maneno ya Chandachema
  • Kwa Zohali, Umu, Kairu na  Mwanaheri
  • Bwenini shuleni Tangamano
  • Walikuwa wakihadithia maisha yao ili kumliwaza Umu asione kuwa ni yeye tu amepitia magumu.

​II. FAFANUA MBINU MBILI ZA LUGHA ZILIZOTUMIKA KATIKA DONDOO HILI. (ALAMA 4)

  • chuku- maisha kujaa shubiri tangu utotoni
  • jazanda- shubiri-mahangaiko/ shida/tabu/ matatizo

iii. Jadili jinsi mwandishi amesawiri suala la ukatili. (alama 12)

  • Kuchoma. Kedi kuchoma familia ya Ridhaa./ Raia kuchoma Lemi. 
  • Kunyakua wa ardhi ya wengine.
  • Wakoloni kuchukua ile ardhi ya Waafrika iliyokuwa na rutuba.
  • Kulazimishwa kazi. Wakoloni kutumia vijana.
  • Kulawitiwa. Vijana walilalitiwa na hakuna aliyewatetea.
  • Vitisho. Mwekevu kutukanwa na kutishwa na wanaume anapowania uongozi.
  • Mauaji. Polisi kuua wakimbizi/
  • Kukatwa. Subira
  • Kubakwa. Lime na Mwanaheri. / Maya kubaka Sauna.
  • Kutishia afya. Viongozi kumwaga taka mtaa wa Sombera.
  • Kuuzia raia mahindi yaliyoharibika.
  • Kuteka nyara. Sauna
  • Kudhalilisha watoto. Wazazi wa Zohali.
  • Kupachika mwanafunzi mimba. Fumba kwa Rehema.
  • Tohara kwa wasichana. Tuama kuunga mkono.
  • Kuozwa mapema. Pete kuozwa na mamake na wajomba kwa Fungo.
  • Kuavyawa. Pete/ Sauna waliavya mimba na kunyimana nafasi ya kuishi.  
Zozote 12

Read More
0 Comments

​RIWAYA YA CHOZI LA HERI  IMEJAA AINA MBALIMBALI ZA MIGOGORO. JADILI.

16/12/2022

0 Comments

 

​Riwaya ya Chozi la Heri  imejaa aina mbalimbali za migogoro. Jadili.   (alama 10)

Riwaya ya Chozi la Heri  imejaa aina mbalimbali za migogoro. Jadili.     (alama 10)
  • Mgogoro wa kikabila- Subira anafukuzwa na mamamkwe kwa sababu ya kutoka kwa jamii tofauti,,, Ridhaa aliitwa mfuata mvua na kutengwa na wenzake shuleni
  • Mgogoro wa kikoloni-  mkoloni anapuuza sera za mwafrika za umiliki wa ardhi na kumchukua kama mfanyikazi wake.
  • Mgogoro wa kiimani- Lily anakinzana na wazo la Mwangeka kuwa askari
  • Mgogoro wa kisiasa- kuna mgogoro kati ya wafuasi wa Mwekevu na mpinzani wake mwanamme.
  • Mgogoro waardhi- jamii iliyoselelea katika msitu wa mamba inaondolewa na serikali bila ya kufidiwa.
  • Mgogoro wa kiutawala- vijana wanaamua kutotoka kwa njia jambo linalosababisha wao kupigwa risasi na kujifia
  • Mgogoro wa kitabaka- matajiri wanapewa mikopo ya elimu iliyotengewa watoto wa kimaskini.
  • Mgogoro wa kisaikolojia- darasani Umu anaonekana akiwa mwingi wa mawazo mengi.   Mwanaheri anasema anashindwa kumsikiliza mwalimu ju wa msongo wa mawazo.
  • Mgogoro wa nafsi- pete ana mgogoro na nafsi yake jambo linalomfanya kutumia dawa ya panya.
  • Mgogoro wa kiuchumi- Dick anakataa kazi ya ulanguzi wa dawa za kulevya ila anashindwa atapata vipi chakula asipokubali kazi hii
  • Mgogoro wa matibabu- selume analalamika jinsi viongozi katika hospitali za umma wananyakua dawa na kuacha hospitali bila dawa.          (zozote 10x1)

Read More
0 Comments

JADILI DHANA YA CHOZI KATIKA RIWAYA YA CHOZI LA HERI.

16/12/2022

0 Comments

 

Jadili dhana ya Chozi katika riwaya ya Chozi laHeri. (alama 10)

a)  Jadili dhana ya Chozi katika riwaya ya Chozi laHeri.    (alama 10)
  • umu analia sana anapowakumbuka nduguze Dick na Mwaliko
  • Umu anahuzunika kwa kukosa kwao nyumbani.
  • Watoto wa Lunga , Dick, Mwaliko na Umu wanalia machozi ya heri wanapopatana katika hoteli ya Majaliwa
  • Ridhaa analia baada ya familia yake na jumba lake la kifahari kuteketezwa.
  • Mwangeka analia kilio cha uchungu babake anapomweleza sababu ya kutozika mabaki ya familia yake.
  • Selume analia inapomlazimu kuondoka na kuacha mtoto na ndoa yake kwa sababu ya ukabila.
  • Subira alipokatwa kwa sime alilia kwa kite.
  • Subira anakilovya kifua chake kwa machozi kwa sababu ya mama mkwe anayemshtumu hali inayopelekea kumwacha mumewe na wanawe.
  • Ridhaa analia kwa kubaguliwa shuleni.
  • Ridhaa alilia machozi ya uchungu alipomweleza Mwangeka mkasa wa kuipoteza aila yake.
  • Kumbukizi za maongezi kati ya Terry na Ridhaa zinamfanya atokwe na machozi.
  • Mwangeka na Annatila wanalia walipokuwa wanaigiza kifo cha mdogo wao Dede.
  • Wenyeji walilia katika mazishi ya Dede.
  • Umu alipokutana na Hazina alilia machozi.

Read More
0 Comments

​‘TAWALA WAHAFIDHINA TAWALA, MWANZI WETU TAWALA…. ‘

16/12/2022

0 Comments

 

​‘TAWALA WAHAFIDHINA TAWALA, MWANZI WETU TAWALA…. ‘

​A) ELEZA MUKTADHA WA DONDOO HILI .    (ALAMA 4)

a) Eleza muktadha wa dondoo hili .   (alama 4)
  • Ni wimbo ambao Kaizari anaskia waandamanaji wakiimba kwenye runinga kusifu mpinzani wa Mwekuvu wa kiume.ujumbe unalenga raia wa Wahafidhina.

​B) NI MBINU GANI IMETUMIKA HAPA.      (ALAMA 2)

​b) Ni mbinu gani imetumika hapa. (alama 2)
  • Takriri – tawala , tawala
  • Wimbo- tawala wahafidhina tawala Mwanzi wetu  1x2

c) Eleza makosa saba ya maneno haya.     (alama 14)

  1. Raia kama Lime na Mwanaheri wanabakwa
  2. Subira anakatwa kwa sime
  3. Magari yanachomwa barabarani, nyumba za Ridhaa na Kaizari zinachomwa.
  4. Vijana wanaoandamana barabarani wanapigwa risasi na polisi hadi kufa.
  5. Ridhaa , Kaizari, Subira na wengine wanajipata katika kambi ya wakimbizi.
  6. Uhasama unaingia kati ya koo zilizokuwa zimeishi kwa amani kwa muda mrefu.
  7. Familia zinasambaratika; Ridhaa anatengana na mkewe na wanawe
  8. Wakimbizi kama Ridhaa katika kambi wanataabika, wanakosa chakula, huduma za afya.    7x1

Read More
0 Comments

Ukabila ni tatizo sugu katika nchi nyingi za Kiafrika. Tetea kauli hii ukilejelea Chozi la Heri ( al. 20)

14/12/2022

0 Comments

 

Ukabila ni tatizo sugu katika nchi nyingi za Kiafrika. Tetea kauli hii ukilejelea Chozi la Heri ( al. 20)

  1. Subira alitengwa na familia ya mume wake kwa kuwa wa kabila tofauti na lao
  2. Mwanaheri anatueleza kuwa mama yake alikuwa ametoka kwenye jamii ya mamwezi lakini babake alikuwa wa jamii tofauti. Kila mara subira aliitwa ‘muki’ au huyo wa kuja
  3. Kijana mmoja alimwita Ridhaa mfuata mvua jambo lilimuumiza sana Ridhaa.
  4. Mzee kendi alimtendea udhalimu Ridhaa na kuiteketeza aila yake licha ya wao kuwa majirani kwa miaka hamsini. Ridhaa alifanyiwa hivi kwa kuwa alikuwa ametoka kwenye kabila tofauti na mzee kendi.
  5. Ndoa ya Selume ilisabaratika baada ya vita vya kutawazwa kwa kiongozi mpya.
  6. kuoa msichana wa kikwao.
  7. Tulia alimsaidia kaizari kufunganya na kumsidikiza hadi njia panda. Alimkumbatia na kumwambia kuwa mwenyezi Mungu ndiye hupanga na nguvu na mamlaka pia hutoka kwake
  8. Uongozi mpya umezua uhasama kati ya koo ambazo zimeishi kwa amani kwa karibu karne moja.
  9. Subira aliweza kuvumilia kubaguliwa, kufitiniwa na kulaumiwa kwa asiyoyatenda, Mwishowe alihiari kujiondokea na kwenda mjini alikojinywea kinywaji kikali. (zozote 10 x 2)

Read More
0 Comments

“ Kwa kweli ni hali ngumu hii”

14/12/2022

0 Comments

 

“ Kwa kweli ni hali ngumu hii”

  1. Weka dondoo katika muktadha wake. (alama4)
  2. Ni hali gani yamsemewa inayorejelewa kwenye dondoo. (alama16)

mwongozo

Weka dondoo katika muktadha wake. (al.4)
  • Mzungumzaji ni Ridhaa
  • Anayezungumziwa  ni Kaizari
  • Ni katika kambi/mabanda- Kwenye Msitu  wa Mamba
  • Ni baada ya Kaizari kumsimulia Ridhaa magumu aliyoyapitia kutoka  kwake nyumbani hadi kujipata kweye hali nyingine ngumu katika kambi.
Ni hali gani inayorejelewa kwenye dondoo. (al.6)
  1. Mke wa Kaizari, Subira ananyakwa kofi kubwa 
  2. Anarejelewa kama kidume kijoga-kudharauliwa
  3. Mke wake anakatwa kwa sime na kuzirai kwa uchungu
  4. Bintize –Lime na Mwanaheri- wanafanyiwa unyama na mabarobaro
  5. Jirani yake Tulia anamfukuza anapojaribu kuwapa mke wake  na watoto huduma za kwanza
  6. Wanawe wanazirai ubavuni mwake
  7. Anaabiri gari bila kujua waendako na jamaa zake
  8. Walitazama mabasi yakichomwa kwenye safari iliyokuwa ndefu 
  9. Gari linaisha petroli- wanajitoma msituni
  10. Wanakula mate usiku wa kwanza kutokana na ugeni/ukosefu wa chakula
  11. Kuna hali mbaya ya baridi na umande wa asubuhi
  12. Wanakosa maji safi ya kunywa kwenye msitu
  13. Kunywa maji ya Mto wa Mamba kunawasababishia homa ya tumbo.
  14. Vijumba vichache havikutosha kuhimili idadi ya wakimbizi
  15. Huduma za kijamii zinaadimika –ukosefu wa misala na misala ya kupeperushwa 
  16. Sandarusi za kutumiwa kama misala  zilitafutwa mbali kwenye milima ya taka.
  17. Roho za watoto zilibwakurwa na magarimoshi kwenye reli walipoenda haja kule
  18. Kuna hali ya njaa na vilio vya watoto wenye njaa

Read More
0 Comments

​Nimeondoka. Acha nitambe na ulimwengu, huenda nikaambulia cha kukusaidia kuikimu familia. Nasikitika kwa uchungu nitakaokusababishia wewe na wanao

13/12/2022

0 Comments

 

​Nimeondoka. Acha nitambe na ulimwengu, huenda nikaambulia cha kukusaidia kuikimu familia. Nasikitika kwa uchungu nitakaokusababishia wewe na wanao

a)    Eleza muktadha wa maneno haya.        (alama 4)

  • Maneno ya Naomi katika simu / ujumbe wa simu
  • Alimwandika mumewe Lunga
  • Kujulisha mumewe alikuwa amewaacha yeye na watoto wao
  • Naomi alichoshwa na umaskini                                    (4 x 1 = 4)

b)    Kwa kutolea mifano miwili, taja tamathali ya lugha iliyotumika.      (alama 3)

Nahau
  • Ambulia cha kutusaidia
  • Nitambe na ulimwengu                    (3 x 1 = 3)

c)    Jadili machungu yaliyompata binti yake msemaji.            (alama 7)

  • Kumpoteza babake Lunga kutokana na shinikizo la damu
  • kutenganishwa na wanuna. zake.
  • Dick na Mwaliko walitoroshwa na kijakazi Sauna.
  • Upweke, sebule yao iligeuka na kuwa ni kama ukumbi
  • Kuhangaika kutafuta ndugu zake. Alijaribu kuulizializia kutoka kwa majirani asipate wa kumwauni.
  • Polisi wajeuri ambao hawakuwa na imani kwake walipokosa kumsaidia kuwapata ndugu zake Dick na mwaliko.
  • Kuishi katika makao ya kuwasaidia watoto ombaomba yaliyosimamiwa na mama Julida
  • Kujipata mitaani mjini alipokutana na kundi la vijana wa mitaani wengine walikuwa na macho mekundu ya kutisha.
  • Kukosa umakinifu darasani kutokana sinema za kweli alizoona maishani. Kila mara mwalimu alimkumbusha  kurejesha mawazo darasani.
  • Alipata mateso ya kisaikolojia kwa kushuhudia mawi mengi akiwa mdogo k.m. kufutwa kazi kwa Lunga na kuachwa na mama.
  • Kujipata katika mazingira mageni; kusomeshwa kugeni, walimu wageni, mbinu geni za kufundishia         (8 x 1 = 8)  

d)    Eleza umuhimu wa kituo cha Benefactor.    (alama 6)

  • Kuendeleza maudhui ya haki za watoto. Watoto ambao walikosa walezi walifadhiliwa hapa k.m. Mwaliko
  • Kuendeleza maudhui ya utu k.m. ufadhili wa watoto waliotekwa nyara na kuokotwa.
  • Umuhimu wa taasisi za kidini kufadhili wasio na bahati. Kituo hiki kilisimamiwa na watawa wa kundi la Mtakatifu Teresia.
  • Maudhui ya ukatili, Riziki Immaculata alitupwa kwenye jaa la takataka na mama yake.
  • Maudhui ya upangaji wa watoto. Neema na Mwangemi wanampanga Mwaliko kutoka kituo cha watoto cha Benefactor
  • Malezi. Neema na Mwangemi wangemuumba Mwaliko kihulka kutokana na malezi yao.
  • Umuhimu wa kuwa na mtoto. Mwangemi asema kuwa maisha ya mtu huwa ni ombwe bila mwana, awe wa kuzaa au wa kulea.
  • Umuhimu wa ndoto kwa mtoto maishani. Mwangemi alimtakia mwaliko kuwa muuguzi kama yeye. Hatimaye alisomea shahada ya  Isimu na Lugha
  • Maudhui ya taaluma; Uuguzi na uhandishi, Isimu na lugha.
  • Uavyaji mimba. Neema alichekwa kimakosa kuwa aliavya mimba.
  • Kuendeleza ploti. Neema na Mwangemi wanaelezea kwa kirefu safari na sababu yao kutaka kumpanga mtoto.
  • Mbinu rejeshi inaendelezwa. Vitushi vingi vilifanyika awali na vinasimuliwa tu, k.m. kuokotwa kwa Riziki Immaculata.
  • Kuendeleza ufaafu wa anwani.Mwangemi na Neema kumpanga Mwaliko.                (6x1=6)

Read More
0 Comments

“Baba, umewahi kumwona mtoto wa miaka hamsini ambaye hajasota…………”

13/12/2022

0 Comments

 

​“Baba, umewahi kumwona mtoto wa miaka hamsini ambaye hajasota…………”

​a) Eleza muktadha wa dondo hili.    (alama 4)

​(i) Msemaji – Tila
(ii) Msemewa – Ridhaa (anapowaza baada ya nyumba kuchomeka).
(iii) Mahali – mawazoni Ridhaa
(iv) Ridhaa anapotazamana na majivu ya familia yake ndipo anakumbuka mazungumzo kati yake na mwanawe Tila   (Hoja 4 x 2 = 8)

​b) Taja mbinu iliyotumika  (alama 2)

Jazanda – mtoto wa miaka hamsini ambaye hajasota kumaanisha kukwama kimaendeleo (mafanikio baada ya uhuru) ( 1 x 2 = 2)

c) Fafanua sifa za mzungumzaji.     (alama 4)

Sifa za Tila
i) Ni msomi – anaelewa maswala ya sheria kwa kina
ii) Ni mzalendo – anasema wanahitaji kiongozi ambaye atapeleka jahazi kwenye visiwa vya hazina.
iii) Amepevuka – anajua nguvu za vijana ni kama nanga.
iv) Amezinduka – anajua kwamba bado wahafidhina hawajapata uhuru.
Zozote 4 x 1 = 4

d) Jamii ya msemewa imekumbwa migogoro chungu nzima. Thibitisha.  (alama 10)

  • Mgogoro katika familia ya mzee Mwimo Msubili, kwa sababu familia yake ilikuwa kubwa na hakuitosheleza kwa chakula.
  • Mgogoro wa kijamii unajitokeza baada ya mkoloni kupuuza sera za Mwafrika mf umilki wa ardhi.
  • Mgogoro shuleni Ridhaa aliitwa mfuata mvua.
  • Ridhaa alijipata katika mgogoro na nafsi yake baada ya kutazama miili ya wapenzi wake.
  • Mgogoro wa kisiasa; nani angekuwa kiongozi kati ya mwanamke na mwanamume.
  • Mgogoro kati ya raia na polisi wakiwa katika harakati zao za kuweka Amani mamia waliaga dunia.
  • Nyamvula ana mgogoro na nafsi yake, imani yake inakinzana na kazi ya uaskari.                                                           (Zozote 5 x 2 = 10)

Read More
0 Comments

Dondoa maudhui kutoka kwa wimbo wake Shamsi. (alama 10)

13/12/2022

0 Comments

 

​Dondoa maudhui kutoka kwa wimbo wake Shamsi. (alama 10)


Read More
0 Comments

ANWANI “CHOZI LA HERI” NI KINAYA .THIBITISHA

13/12/2022

0 Comments

 

Anwani “Chozi la Heri” ni kinaya .Thibitisha (alama 10)

a)  Anwani “Chozi la Heri” ni kinaya .Thibitisha (alama 10)
  • wahusika wa kurejelewa
  • ridhaa kupoteza familia yake kupitia mkasa wa moto.
  • Subira kupewatalakanafamilia ya subira kwa kuwaalikuwanatokajamiitofauti.
  • Kaizari kuachwa na bibi yesubira na piabaadayeanampoteza .
  • Selumekutorokanyumbanikwakekwakumuungamkono Bi mwekevu. 
  • Makaakufakutokananakuendakuokoawaliokuwawakiteketeakutokana na mlipuko wa petrol.
  • Lemikuchomwakwakuzingiziwawizi.
  • Mwanaherina lime kubakwa na vijanawatano.
  • Umu, Dick naMwalikokuachwa na mamayao Naomi na hawakuwaikuonananayetena na piakupoteza baba yao.
  • Lungakupotezamaliyakekamashamba na piakufutwakazikatikashirika la kuhifadhinafaka.
  • Kiririkuachwa na bibiyeNdarineanapoendang’ambo.
  • Sauna kubakwanababake wa kupanga bwana Maya akiwaangalimdogo.
  • Vijana wanaofyatuliwa risasi wakiandamana kutokana na matokeo ya uchguzi.
  • Kipangakutekelezwanababakekuwasiomtoto wake asili.
  • Shamsikupotezababakekutokananaumaskini na piavifaavyakumtibu.
b) dondoamaudhuikutoka kwa wimbo wake Shamsi.
  1. ukolonimamboleo
  2. ukolonimkongwe
  3. ukosefu w ajira
  4. Ulevi
  5. Migogoro ya ardhi
  6. Umaskini.
  7. Elimu
  8. Ufisadi
  9. Ukosefuwadawahospitalini.
  10. Magonjwa
  11. Uzalendo.

Read More
0 Comments

“La muhimu ni mtu kujifocus tu. Mimi najua japo …..baada ya kupona magonjwa nitaendelea na masomo yangu.”

13/12/2022

0 Comments

 

​“La muhimu ni mtu kujifocus tu. Mimi najua japo …..baada ya kupona magonjwa nitaendelea na masomo yangu.”

a)    Liweke dondoo hili katika muktadha wake.      (alama 4)
b)    Tambua maudhui mawili yanayojitokeza katika dondoo hili huku ukiyatolea mifano. (alama 4)
c)    Jina la msemaji ni la kimajazi, eleza.          (alama 2)
d)    Umihimu wa msemaji.       (alama 6)
e)    Tambua tamathali za usemi zinazotokana na dondoo hili.        (alama 4)

mwongozo

“La muhimunimtukujifocustu. Mimi najuajapo …..baada ya kuponamagonjwanitaendelea na masomo yangu.” 
a) Liwekedondoohilikatikamuktadha wake. (alama 4)
Maneno yalisemwa na Tuama, akimwambiaSelume na Meko ,kwenyekituo cha mwanzompya, akijaribukuwaambiakuwakupashwatoharasisiomwisho wa masomo.
b) Tambuamaudhuimawiliyanayojitokezakatikadondoohlihukuukiyatoleamifano. (alama 4)
c) Jina la msemaji ni la kimajazi, eleza (alama 2)
Tuama- kusaliamahalipamojabilakusonga.,anashikiliamila na desturizilizopitwa  na wakatikamatohara.
d) Umihimuwamsemaji.   (alama 6)
e) Tambuatamathalizausemizinazotokananadondoohili. (alama 4) 
Kuchanganyandimi-ni mtukujifocustu
Taharuki- hatujuikamaTuamaaliendelea na masomo.

Read More
0 Comments

​Nimeondoka. Acha nitambe na ulimwengu, huenda nikaambulia cha kukusaidia kuikimu familia. Nasikitika kwa uchungu nitakaokusababishia wewe na wanao

23/5/2022

0 Comments

 

​​Nimeondoka. Acha nitambe na ulimwengu, huenda nikaambulia cha kukusaidia kuikimu familia. Nasikitika kwa uchungu nitakaokusababishia wewe na wanao

​a) Eleza muktadha wa maneno haya.    (alama 4)

  • Maneno ya Naomi katika simu / ujumbe wa simu
  • Alimwandika mumewe Lunga
  • Kujulisha mumewe alikuwa amewaacha yeye na watoto wao
  • Naomi alichoshwa na umaskini     
(4 x 1 = 4)


​b) Kwa kutolea mifano miwili, taja tamathali ya lugha iliyotumika.  (alama 3)

Nahau 
  • Ambulia cha kutusaidia
  • Nitambe na ulimwengu                   
(3 x 1 = 3)

​c) Jadili machungu yaliyompata binti yake msemaji.  (alama 7)

  • Kumpoteza babake Lunga kutokana na shinikizo la damu
  • kutenganishwa na wanuna. zake.
  • Dick na Mwaliko walitoroshwa na kijakazi Sauna.
  • Upweke, sebule yao iligeuka na kuwa ni kama ukumbi
  • Kuhangaika kutafuta ndugu zake. Alijaribu kuulizializia kutoka kwa majirani asipate wa kumwauni.
  • Polisi wajeuri ambao hawakuwa na imani kwake walipokosa kumsaidia kuwapata ndugu zake Dick na mwaliko.
  • Kuishi katika makao ya kuwasaidia watoto ombaomba yaliyosimamiwa na mama Julida
  • Kujipata mitaani mjini alipokutana na kundi la vijana wa mitaani wengine walikuwa na macho mekundu ya kutisha.
  • Kukosa umakinifu darasani kutokana sinema za kweli alizoona maishani. Kila mara mwalimu alimkumbusha  kurejesha mawazo darasani.
  • Alipata mateso ya kisaikolojia kwa kushuhudia mawi mengi akiwa mdogo k.m. kufutwa kazi kwa Lunga na kuachwa na mama.
  • Kujipata katika mazingira mageni; kusomeshwa kugeni, walimu wageni, mbinu geni za kufundishia                                                               
(8 x 1 = 8)


​d) Eleza umuhimu wa kituo cha Benefactor.  (alama 6) 

  • Kuendeleza maudhui ya haki za watoto. Watoto ambao walikosa walezi walifadhiliwa hapa k.m. Mwaliko
  • Kuendeleza maudhui ya utu k.m. ufadhili wa watoto waliotekwa nyara na kuokotwa.
  • Umuhimu wa taasisi za kidini kufadhili wasio na bahati. Kituo hiki kilisimamiwa na watawa wa kundi la Mtakatifu Teresia.
  • Maudhui ya ukatili, Riziki Immaculata alitupwa kwenye jaa la takataka na mama yake.
  • Maudhui ya upangaji wa watoto. Neema na Mwangemi wanampanga Mwaliko kutoka kituo cha watoto cha Benefactor
  • Malezi. Neema na Mwangemi wangemuumba Mwaliko kihulka kutokana na malezi yao. 
  • Umuhimu wa kuwa na mtoto. Mwangemi asema kuwa maisha ya mtu huwa ni ombwe bila mwana, awe wa kuzaa au wa kulea.
  • Umuhimu wa ndoto kwa mtoto maishani. Mwangemi alimtakia mwaliko kuwa muuguzi kama yeye. Hatimaye alisomea shahada ya  Isimu na Lugha
  • Maudhui ya taaluma; Uuguzi na uhandishi, Isimu na lugha.
  • Uavyaji mimba. Neema alichekwa kimakosa kuwa aliavya mimba. 
  • Kuendeleza ploti. Neema na Mwangemi wanaelezea kwa kirefu safari na sababu yao kutaka kumpanga mtoto.
  • Mbinu rejeshi inaendelezwa. Vitushi vingi vilifanyika awali na vinasimuliwa tu, k.m. kuokotwa kwa Riziki Immaculata.
  • Kuendeleza ufaafu wa anwani.Mwangemi na Neema kumpanga Mwaliko.
  (6x1=6)



Read More
0 Comments

Ufaafu wa Anwani - Mwongozo wa Chozi la Heri

12/10/2021

0 Comments

 
UFAAFU WA ANWANI
Anwani ya Riwaya hii ni Chozi la Heri. Kwa mujibu wa kamusi ya karne ya 21 , CHOZI ni tone la maji au uowevu linalotoka machoni ambalo aghalabu hutokea mtu anapolia, kufurahi au moshi unapoingia machoni. Nalo jina HERI lina maana tatu:
  1. Ni kuwepo kwa amani, utulivu na usalama
  2. Ni hali ya kupata Baraka na mafanikio
  3. Ni afadhali.


Maneno haya yanapotumika pamoja tunapata maana iliyo na undani zaidi kuliko jina likitumika peke yake. Kwa hivyo, chozi la heri ni chozi ambalo linatoka wakati mhusika fulani amepata amani, utulivu na usalama. Chozi kwisha kupata baraka na mafanikio. Maana nyingine ni kuwa chozi hili linaonekana ni chozi (la) afadhali bora nafuu. Kwa kujikita katika maana mbalimbali yanayojitokeza wakati maneno hayo mawili yamewekwa pamoja, matukio yafuatayo yanaafiki ufaafu wa CHOZI LA HERI.

i.

Mwandishi anatuleza kuwa Ridhaa alipokwenda shuleni siku ya kwanza alitengwa na wenzake kwani hawakutaka ashiriki michezo yao. Kijana mmoja mchokozi alimwita 'mfuata mvua' aliyekuja kuwashinda katika mitihani yote. Ridhaa alifululiza nyumbani na kujitupa mchangani na kulia kwa kite na shake. Mamake alimliwaza na kumhakikishia kumwona mwalimu keshoye. Tangu siku hii, huu ukawa ndio mwanzo wa maisha ya heri kwa Ridhaa kwani baada ya mwalimu kuzungumza na wanafunzi umuhimu wa kuishi pamoja kwa mshikamano, Ridhaa alipea kwenye anga ya elimu hadi kufikia kilele cha cha elimu na kuhitimu kama daktari.

ii.

Ridhaa alipotoka kwenye Msitu wa Mamba alijiona nafuu kwani wapwa zake- Lime na Mwanaheri walikuwa wamepata matibabu. Dadake Subira alitibiwa akapona. Mwamu wake Kaizari amepona donda lililosababishwa na kuwatazama mabinti zake wakitendewa ukaini(kubakwa) na Vijana wenzao. Ridhaa anajua kuwa Kaizari ni afadhali kwa sababu hakuna aliyemtenga na mmoja kati ya jamaa zake. Ridhaa anapomfikiria Kaizari anajiambia heri nusu Shari kuliko Shari kamili.

iii.

Ridhaa aliposikia sauti ya kike ikitangaza, tangazo lile lilimrudiSha katika mandhari yake ya sasa. Alijaribu kuangaza macho yake aone anakoenda lakini macho yalijaa uzito wa machozi ambayo alikuwa ameyaacha yamchome na kutiririka yatakavyo.

iv.

Wakati Ridhaa alimkazia macho Mwangeka-waka Mwangeka alikuwa akijiuliza iwapo babake amekuwa mweh kwa kukosa kushirikiana na majirani kuchimba kaburi kuyazika majivu- matone mazito ya machozi yalitunga machoni mwake Mwangeka. Akayaacha yamdondoke na kumcharaz, yatakavyo. Uvuguvugu uliotokana na mwanguko wa macho: haya uliulainisha moyo wake, ukampa amani kidogo. Moyo wake ukajaa utulivu sasa kwa kujua kuwa wino wa Mungu haufutiki.

v.

Wakati Ridhaa alikuwa akimsimulia Mwangeka misiba iliyomwandama tangu siku alipoondoka kwenda kuweka amani Mashariki ya Kati, Ridhaa alisita akajipagusa kijasho kilichokuwa kimetunga kipajini mwake kisha akatoa kitambaa mfukoni na kuyafuta machozi yaliyokuwa yameanza kumpofusha. Uk 48

vi.

Mwangeka alipokuwa ameketi mkabala na kidimbwi cha kuogelea, mawazo yake yalikuwa kule mbali alikoanzia Akawa anakumbuka changamoto za ukauji wake. Akawa kumbuka wanuna wake. Alipomkumbuka Annatila(Tila) mwili ulimzizima kidogo akatabasamu kisha tone moto la chozi: likamdondoka.



vii.

Katika Msitu wa Simba kulikuwa na maelfu watu waliogura makwao. Kati ya familia zilizoguria humu ni familia ya Bwana Kangata. Kwa Kangata na mkewe Ndarine, hapa palikuwa afadhali kwani hawakuwa na pa kwenda kwa kuwa hata kule walikokuwa wakiishi awali hakukuwa kwao. Uk 57

viii.

Wakati Dick walikutana kisadfa na Umu katika uwanja wa ndege, walikumbatiana kwa furaha. Machozi yaliwadondoka wote wawili na wakawa wanalia kimyakimya. Walijua fika kuwa jaala ilikuwa imewakutanisha na kwamba hawatawahi kutengana tena. Maisha sasa yalianza kuwa ya heri kwao.

ix.

Baada ya miaka kumi ya kuuza dawa za kulevya, Dick alifaulu hatimaye kujinasua kutoka kwa kucha za mwajiri wake. Alianza biashara yake mwenyewe ya kuuza vifaa wa umeme. Sasa akaanza kujitegemea kwa kuwa amejiajiri. Alikuwa ameufungua ukurasa mpya katika maisha yake. Maisha yake sasa ni ya heri.

x.

Wakati Neema na Mwangemi walikabidhiwa mtoto wao wa kupanga na Mtawa Annastacia, Mwaliko alimkumbatia Neema na kumwita mama na kumwahidi kuwa ataenda naye. Neema alidondokwa na chozi la furaha na kumkumbatia Mwaliko kwa mapenzi ya mama mzazi. Hili lilikuwa ni chozi la heri kwa Neema.

xi.

Dick alimweleza Umu kuwa siku waliokutana katika uwanja wa ndege na wakasafiri pamoja, hiyo ndiyo ilikuwa siku ya heri Zaidi kwake. Nasaha alizopewa na Umu zilimfunza thamani ya maisha. Kisadfa, huu ndio wakati Dick alikuwa ameamua kubadilisha maisha na kuishi maisha mapya yasiyokuwa ya kuvunja sheria.

xii.

Dick aliposimulia namna wazazi wake wapya pamoja na Umu walivyomfaa maishani, kila mmoja katika familia hii alilia. Bila shaka yalikuwa machozi ya heri

xiii.

Baada ya Mwaliko kujitambulisha kwa Umu na Dick, umu na Dick hawakungojea amalize. Walikimbia wote wakamkumbatia ndugu yao, wakaanza kulia huku wakiliwazana. Haya yalikuwa machozi ya furaha kwao kwa kupatana tena wote wakiwa hai. Kwa kweli kila mmoja alitokwa na chozi la heri.

xiv.

Mwaliko alimwambia babake kuwa kuja katika hoteli ya Majaliwa kuliwaletea heri kwa kuwa familia yao sasa imepanuka. Sasa amekutana na watu aliokuwa tu anasikia wakitajwa. Maisha sasa ni afadhali.

xv.

Dick alitoa shukrani tele kwa Umu kwa kuwa alimpa matumaini kuwa siku moja watampata ndugu yao Mwaliko. Mwaliko hata anapomtazama Umu, macho yake yakiwa yamefunikwa na vidimbwi vya machozi, anajua kuwa familia yao imerudiana japo katika mazingira tofauti.

xvi.



Siku ambayo Mwangeka alimwoa Apondi ilikuwa siku ya heri kwake kwani alimwaga chozi la heri. Tunaelezwa kuwa, Ridhaa alijua kuwa wakati ndio mwamuzi, ipo siku atakapotokeza hurulaini wake
Mwangeka. Ataifungua kufuli kubwa iliyoufunga moyo wake na hiyo itakuwa siku ya kumwaga chozi la heri.


Read More
0 Comments

Mwongozo Wa Chozi La Heri Na Assumpta K Matei

12/10/2021

0 Comments

 

MWONGOZO_WA_CHOZI_LA_HERI

JALADA

Jalada la Riwaya ya Chozi la Heri ni tokeo la usanii wake , Robert Kambo. Katika upande wa mbele sehemu ya juu, mna rangi ya kijani kibichi iliyokolea.
Maana ya rangi hii ni uhai na rutuba. Riwayani yamo maeneo yaliyo na rutuba yanayotoa mazao mengi. Katika eneo la Msitu wa Heri alikoishi Ridhaa kwa miongo mitano, mwanzoni kulikuwa kama jangwa la Kalahari lakini Ridhaa alihakikisha kuwa kijiji hiki kimepata maji ya mabomba hadi eneo zima likatwaa rangi ya chanikiwiti. Miti mingi kama Miambakofi, mivule na miti mingine kapandwa. Maeneo mengine yaliyokuwa na rutuba ni kama Msitu wa Mamba. Watu waliogura makwao walipohamia hapa walikata miti na kupanda vyakula kama mahindi ambayo yalifanya vizuri mno.



Ndani ya rangi hii mna anwani ya kazi iliyoandikwa kwa rangi nyeupe. Kawaida rangi hii huashiria amani. Licha ya mambo kuwaendea vibaya wahusika wengi riwayani, hatimaye mna amani ya kudumu.
Jina lake mwandishi liko maeneo yayo hayo na limeandikwa kwa rangi ya manjano. Rangi hii huashira ukomavu. Mwandishi wa riwaya hii ni mwenye tajriba pana. Amekomaa katika uandishi wa kazi za fasihi.

Masuala anayoyaangazia ni yale yanayoiathiri jamii yake. Ametumia mtindo unaoashiria upeo wa ukomavu wake. Upande wa chini wa jalada la riwaya hii mna mchoro wa jicho. Jicho hili linadondokwa na chozi. Ndani ya chozi mna watu watatu(mmoja wa kike na wawili wa kiume). Inahalisi kuwa watu hawa watatu ni Umu, Dick na Mwaliko. Walifurahl mno walipokutana wote katika hoteli ya Majaliwa. Riwayani, Umu na Dick walikimbia wote kwa pamoja na wakamkumbatia ndugu yao Mwaliko na huku wakaanza kulia na kutokwa na machozi ya farajaheri.

Read More
0 Comments

Ukabila ni tatizo sugu katika nchi nyingi za Kiafrika. Tetea kauli hii ukilejelea Chozi la Heri ( al. 20)

23/6/2021

2 Comments

 

Ukabila ni tatizo sugu katika nchi nyingi za Kiafrika. Tetea kauli hii ukilejelea Chozi la Heri ( al. 20)

  • i. Subira alitengwa na familia ya mume wake kwa kuwa wa kabila tofauti na lao
  • ii. Mwanaheri anatueleza kuwa mama yake alikuwa ametoka kwenye jamii ya mamwezi lakini babake alikuwa wa jamii tofauti. Kila mara subira aliitwa ‘muki’ au huyo wa kuja
  • iii. Kijana mmoja alimwita Ridhaa mfuata mvua jambo lilimuumiza sana Ridhaa.
  • iv) Mzee kendi alimtendea udhalimu Ridhaa na kuiteketeza aila yake licha ya wao kuwa majirani kwa miaka hamsini. Ridhaa alifanyiwa hivi kwa kuwa alikuwa ametoka kwenye kabila tofauti na mzee kendi.
  • vi) Ndoa ya Selume ilisabaratika baada ya vita vya kutawazwa kwa kiongozi mpya. 
  • vii) kuoa msichana wa kikwao.
  • viii) Tulia alimsaidia kaizari kufunganya na kumsidikiza hadi njia panda. Alimkumbatia na kumwambia kuwa mwenyezi Mungu ndiye hupanga na nguvu na mamlaka pia hutoka kwake
  • ix) Uongozi mpya umezua uhasama kati ya koo ambazo zimeishi kwa amani kwa karibu karne moja.
  • x) Subira aliweza kuvumilia kubaguliwa, kufitiniwa na kulaumiwa kwa asiyoyatenda, Mwishowe alihiari kujiondokea na kwenda mjini alikojinywea kinywaji kikali. (zozote 10 x 2)
TUMA KWA PRINTA

Read More
2 Comments
<<Previous
    Chozi la Heri
    Chozi la Heri

    ​Uchambuzi wa Chozi la Heri na Assumpta K Matei

    chozi la heri uchambuzi


    CATEGORY

    Categories

    All
    Jalada
    MASWALI NA MAJIBU
    MWONGOZO
    SWALI NA JIBU
    Ufaafu Wa Anwani
    WAHUSIKA

    ARCHIVES

    Archives

    January 2023
    December 2022
    May 2022
    October 2021
    June 2021
    June 2020
    May 2020

    AUTHOR

    M.A NYAMOTI

    B.ed Science [MKU]

    RSS FEEDS

    RSS Feed


    CHOZI LA HERI

    chozi_la_heri__qns__ms_.pdf
    File Size: 1257 kb
    File Type: pdf
    Download File

    chozi_la_heri_qns.pdf
    File Size: 391 kb
    File Type: pdf
    Download File

    chozi_la_heri_guide.pdf
    File Size: 2089 kb
    File Type: pdf
    Download File

    chozi_la_heri_guide_0714497530.pdf
    File Size: 2126 kb
    File Type: pdf
    Download File

    chozi_la_heri_guide_latest.pdf
    File Size: 1287 kb
    File Type: pdf
    Download File


    HIGH SCHOOL EXAMINATIONS

    OPEN

    ENGLISH LITERATURE BOOKS & SETBOOKS

    OPEN

    KCSE KISWAHILI SETBOOKS

    OPEN

    Geography Form 1 Notes and Other Resources

    OPEN

    KCSE PAST PAPERS BY SUBJECT 1989 - LAST YEAR

    OPEN

    Geography Form 2 Notes and Other Resources

    OPEN

    KCSE Past Papers, Marking Schemes and Reports

    OPEN

    BIOLOGY FORM 1 NOTES

    OPEN

    ALL SECONDARY RESOURCES (EXAMINATIONS, NOTES, TUTORIALS AND REPORTS)

    OPEN

    PRIMARY SCHOOL RESOURCES 8-4-4

    OPEN

    KCPE Past Papers, Marking Schemes and Reports

    OPEN

    STANDARD 8 CLASSROOM RESOURCES

    OPEN
    1 2


Primary Resources
  • K.C.P.E Past Papers
  • ​Pri - Primary 1 Level
  • Pri  - Primary 2 Level
  • Grade 1
  • Grade 2
  • Grade 3
  • Grade 4
  • Standard 5
  • Standard 6
  • Standard 7
  • Standard 8
  • English
  • Kiswahili
  • Social Studies
  • Science
  • Mathematics
  • Kenya Sign Language
  • I.R.E
  • ​H.R.E
  • Notes
  • Termly Questions
  • Mocks
  • K.C.P.E Past Papers
College Resources
  • E.C.D.E
  • P.T.E
  • D.T.E
  • Technical Diploma
  • Technical Certificate
  • Business Diploma
  • Business Certificate
  • Higher Diploma
  • K.A.S.N.E.B Resources
  • K.M.T.C Resources
  • Varsity Resources
Secondary Resources
  • K.C.S.E Past Papers
  • Form 1
  • Form 2
  • Form 3
  • Form 4
  • Term 1
  • Term 2
  • Term 3
  • English
  • Geography
  • History
  • C.R.E
  • I.R.E
  • ​H.R.E
  • Home Science
  • Computer Studies
  • Business Studies
  • Agriculture
  • Chemistry
  • Biology
  • Physics
  • Mathematics ALT A
  • Mathematics ALT B
  • Kiswahili
  • French
  • Germany
  • Arabic
  • Aviation
  • Art & Design
  • Drawing & Design
  • Building & Construction
  • Metal Works
  • Wood Work
  • Music
  • Kenya Sign Language
  • Electricity
Other Useful Links
  • Academic Environment
  • How its Done
  • News and Opinions
  • Manyam Franchise Support
  • About
  • SITEMAP
  • FOCUS A365 SERIES
  • Membership Details (KCPE/KCSE)
  • Secondary Mocks
  • SYLLABUS
Contact Us
Manyam Franchise
P.O Box 1189 - 40200 Kisii
Tel: 0728 450 424
Tel: 0738 619 279
Tel: 0763 450 425
E-mail - sales@manyamfranchise.com
  • Start
    • SITEMAP
    • KNEC Portal
    • ZERAKI HELP AND SUPPORT
    • Academic Environment
    • KNEC KCSE PROJECT INSTRUCTIONS
  • BLOGS
    • About Us? >
      • Learn more about us
    • CUSTOMER CARE >
      • PRICING
      • Help & Support
    • News and Opinions
    • JOBS IN KENYA AND ABROAD FOR KENYANS AND BEYOND
    • How its Done
  • OUR PRODUCTS
    • All Categories >
      • MORE PRODUCTS >
        • SECONDARY CRE NOTES
        • COURSE BOOKS
        • KCSE KISWAHILI SETBOOKS
        • Backed Up Files and Archives
        • FREE DOCUMENTS
        • PRIMARY 8-4-4 BASED RESOURCES
        • STANDARD 8 RESOURCES
        • HIGH SCHOOL RESOURCES >
          • Biology Paper 3 Exams
          • Secondary Examinations
        • PRIMARY CBC BASED RESOURCES
        • COLLEGE & VARSITY RESOURCES
      • PRIMARY RESOURCES CBC
      • PRIMARY RESOURCES 8-4-4
      • SECONDARY RESOURCES
      • NOTES & TUTORIALS
      • COLLEGE RESOURCES
      • NOVELS and OTHER BOOKS
    • EXAMINATIONS >
      • MOCKS AND JOINT EXAMS >
        • FORM 1 QUESTION PAPERS, ANSWERS AND MARKING SCHEMES COLLECTIONS
        • FORM 2 QUESTION PAPERS, ANSWERS AND MARKING SCHEMES COLLECTIONS
        • FORM 3 EXAMINATIONS, QUESTION PAPERS AND ANSWERS
        • FORM 4 MOCKS PAST EXAMS BY REGION
        • TOP SECONDARY EXAMS ALL SUBJECTS
      • KPSEA NATIONAL EXAMS
      • KCPE >
        • KCPE PAST PAPERS AND ANSWERS >
          • KCPE 2020 RESULTS, REPORTS, QUESTIONS AND ANSWERS
          • KCPE PAST PAPERS 2019 REPORTS, RESULTS, QUESTIONS AND ANSWERS
        • KCPE PAST PAPERS PER SUBJECT
      • KCSE >
        • KCSE PAST PAPERS BY SUBJECT
        • KNEC KCSE PAST PAPERS, MARKING SCHEMES, QUESTIONS & ANSWERS
        • Free KCSE Past Papers Mathematics
        • Free KCSE Biology Questions and Answers
      • QUESTIONS & ANSWERS >
        • SECONDARY >
          • LANGUAGES >
            • Secondary English Questions and Answers
          • TECHNICALS >
            • COMPUTER STUDIES >
              • COMPUTER STUDIES Q & A
              • kcse computer studies paper 2 AND 3 Questions & Answers
            • BUSINESS STUDIES QUESTIONS & ANSWERS
            • KCSE AGRICULTURE TOPICAL QUESTIONS AND ANSWERS
            • KCSE HOME SCIENCE DIRECT QUESTIONS AND ANSWERS
          • SCIENCES >
            • KCSE Mathematics Topical Questions
            • KCSE Biology Topical Questions and Answers
            • CHEMISTRY TOPICAL QUESTIONS AND ANSWERS
            • KCSE Physics Topical Questions
            • KCSE physics Practical Sample Quiz
          • HUMANITIES >
            • C.R.E (CRE) QUESTION AND ANSWERS
            • ISLAMIC RELIGIOUS EDUCATION (IRE) QUESTIONS AND ANSWERS
            • KCSE History Topical Questions and Answers
            • GEOGRAPHY TOPICAL QUESTIONS AND ANSWERS
        • PRIMARY >
          • Standard 4-8 Mathematics Topical Questions from Mocks and KCPE
          • Std 6 Mathematics Notes
    • TUTORIALS >
      • SECONDARY >
        • SCIENCES >
          • FOCUS MATHEMATICS TUTORIALS AND EXAMS FREE
          • KCSE BIOLOGY NOTES
          • FREE KCSE CHEMISTRY NOTES
          • KCSE PHYSICS NOTES, AUDIOVISUALS AND MORE
        • LANGUAGES >
          • ENGLISH >
            • A GUIDE TO SILENT SONG AND OTHER STORIES
            • English KCSE Set Books
            • ENGLISH POETRY QUESTIONS WITH ANSWERS FOR K.C.S.E CANDIDATES
            • ENGLISH GRAMMAR #KCSE
          • KISWAHILI >
            • Bembea ya Maisha
            • CHOZI LA HERI - MWONGOZO
            • KIGOGO - MWONGOZO
            • MASWALI NA MAJIBU YA TUMBO LISILOSHIBA
            • USHAIRI MASWALI NA MAJIBU
            • KCSE Kiswahili Fasihi
        • TECHNICALS >
          • HOME SCIENCE NOTES
          • KCSE BUSINESS STUDIES NOTES
          • COMPUTER STUDIES NOTES LATEST
          • kcse Computer Studies Notes
          • KCSE AGRICULTURE NOTES, SYLLABUS, QUESTIONS, ANSWERS, SCHEMES OF WORK AND OTHERS
        • HUMANITIES >
          • KCSE History Notes Form 1 to 4
          • FREE KCSE CRE NOTES
          • KCSE GEOGRAPHY NOTES
          • IRE NOTES, AUDIOVISUAL, QUESTIONS AND ANSWERS
      • PRIMARY >
        • STANDARD 4: SOCIAL STUDIES
        • NOTES >
          • KISWAHILI
          • SOCIAL STUDIES
        • EXAMINATIONS
        • DecaTurbo Online Series Examinations
        • KCPE Mathematics Notes
        • KCPE and Primary Level Compositions
      • Other Supportive Documents >
        • SYLLABUS >
          • Primary 8-4-4 based Syllabus, Objectives and Lessons
          • Primary Mathematics Syllabus
        • MASOMO VIDEOS
    • CURRICULUM >
      • NEW CURRICULUM DESIGNS >
        • PRIMARY >
          • PRE PRIMARY ONE CURRICULUM WITH SYLLABUS
          • PRE PRIMARY TWO CURRICULUM WITH SYLLABUS
        • SECONDARY >
          • KNEC KCSE SYLLABUS AND COURSE OUTLINES
        • COLLEGE >
          • Regulations for the TIVET Craft and Diploma Business Examinations
    • HIGH INSTITUTIONS >
      • EXAMINATIONS >
        • College and Varsity Past Papers online
      • TUTORIALS >
        • COLLEGE AND UNIVERSITY NOTES AND TUTORIALS
  • MEMBERS RESOURCES
    • Primary >
      • CBC AND 8-4-4 LATEST EXAMS
      • CBC PROFFESSIONAL TOOLS
      • CBC NOTES PRIMARY
      • CBC KPSEA EXAMS
      • Standard 8 (std) English Topical Questions
      • KCPE MATHEMATICS TOPICAL QUESTIONS FROM 1989 TO LAST YEAR
      • STANDARD 8 PAST PAPERS 8-4-4 BASED
    • Secondary >
      • FORM 1 EXAMS WITH ANSWERS
      • FORM 2 EXAMS WITH ANSWERS
      • FORM 3 EXAMS WITH ANSWERS
      • FORM 4 EXAMS WITH ANSWERS
      • KCSE 2020 QUESTIONS AND ANSWERS
      • NOTES SECONDARY
      • MOCKS SECONDARY >
        • kcse form 2 mathematics questions
    • Free Schemes of Work
    • FOCUS A365 SERIES K.C.P.E EXAMINATIONS FOR PRIMARY
    • ALL GROUPS PRODUCTS
    • PREMIUM PRODUCTS 2