Huku ukirejelea hadithi zifuatazo, eleza namna unyanyasaji umeshughulikiwa.(i) Tumbo lisiloshiba
Tumbo lisiloshiba
(ii) Shibe inatumaliza
Shibe inatumaliza
(iii) Mame Bakari
Mama Bakari
(iv) Kidege
Kidege
(v) Tulipokutana tena
Tulipokutana tena
0 Comments
“Hatuwezi kumaliza kula, kila leo tunakula”(a) Eleza muktadha wa dondoo hili. (al 4)
Mnenaji ni Mbura.
Mnenewa ni Sasa Wakiwa nyumbani kwa mzee Mambo Walikuwa wamehudhuria sherehe kwa Mambo bila ualishi katika siku ya kusherehekea siku ya kuingia darasa la chekechea kwa mtoto wa Mzee Mambo na mwingine kutoa vijino viwili. Wanafika shereheni kula, hata hivyo wanakula kilafi mpaka Mbura anaanza kujilaumu pamoja na mwenzake Sasa kwamba wanakula vyovyote wavipatavyo bila kuvichunguza na hata kuvila vya wenzao waliowatuangulia na watakaozaliwa. (b) Fafanua tamathali ya usemi iliyotumika (al 2)
Istiari/Jazanda – Wanakula lakini hawawezi kumaliza kula – wanakula kila leo
na bado wanaendelea kula – kuendelea kunyakua mali ya uma kutaja = 1 kufafanua = 1 (C) Eleza umuhimu wa mnenaji. (al 4)
Umuhimu wa Mbura
(d) “Lakini nakwambia, kula kunatumaliza”. Kwa kudokeza hoja kumi, jadili ukweli wa kauli hii. (al 10)
“lakini nakwambia tena, kula kunatumaliza”.
MASWALI
(a) yaweke maneno haya katika muktadha wake. (al 4)
(b) Taja suala linalodokezwa katika dondoo hili. (al.1) (c) kwa kutumia hoja kumi na tano, eleza namna suala ulilolitaja hapo juu(b) llinavyojitokeza katika Riwaya. (al.15) MAJIBU
(a) Maelezo ya mwandishi
(b) Ubabedume/Taasubi ya kiume.
(c)
Matatizo mengi yanayowakumba wahusika wengi katika riwaya hii ni mwiba wa kujdunga. Jadili. (al 20)8/1/2023 Matatizo mengi yanayowakumba wahusika wengi katika riwaya hii ni mwiba wa kujdunga. Jadili. (al 20)
Wahusika katika riwaya ya Chozi la Heri wanakumbwa na matatizo mbalimbali. Matatizo hayo ni ya kiuchumi na kijamii.
Vyanzo vya matatizo yenyewe ni tofauti, kuna yale yanasababishwa na wahusika wenyewe ilhali mengine yanaletwa na watu wengine. Tunaweza kusema kuwa matatizo mengine ni mwiba wa kujindunga huku mengine yakiwa ya kudungwa na wengine.
|
Uchambuzi wa Chozi la Heri na Assumpta K MateiCATEGORY
ARCHIVES
AUTHOR
M.A NYAMOTIB.ed Science [MKU] RSS FEEDS
CHOZI LA HERI![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
|