ATIKA SCHOOL
  • Start
    • SITEMAP
    • KNEC Portal
    • ZERAKI HELP AND SUPPORT
    • Academic Environment
    • KNEC KCSE PROJECT INSTRUCTIONS
  • BLOGS
    • About Us? >
      • Learn more about us
    • CUSTOMER CARE >
      • PRICING
      • Help & Support
    • News and Opinions
    • JOBS IN KENYA AND ABROAD FOR KENYANS AND BEYOND
    • How its Done
  • OUR PRODUCTS
    • All Categories >
      • MORE PRODUCTS >
        • SECONDARY CRE NOTES
        • COURSE BOOKS
        • KCSE KISWAHILI SETBOOKS
        • Backed Up Files and Archives
        • FREE DOCUMENTS
        • PRIMARY 8-4-4 BASED RESOURCES
        • STANDARD 8 RESOURCES
        • HIGH SCHOOL RESOURCES >
          • Biology Paper 3 Exams
          • Secondary Examinations
        • PRIMARY CBC BASED RESOURCES
        • COLLEGE & VARSITY RESOURCES
      • PRIMARY RESOURCES CBC
      • PRIMARY RESOURCES 8-4-4
      • SECONDARY RESOURCES
      • NOTES & TUTORIALS
      • COLLEGE RESOURCES
      • NOVELS and OTHER BOOKS
    • EXAMINATIONS >
      • MOCKS AND JOINT EXAMS >
        • FORM 1 QUESTION PAPERS, ANSWERS AND MARKING SCHEMES COLLECTIONS
        • FORM 2 QUESTION PAPERS, ANSWERS AND MARKING SCHEMES COLLECTIONS
        • FORM 3 EXAMINATIONS, QUESTION PAPERS AND ANSWERS
        • FORM 4 MOCKS PAST EXAMS BY REGION
        • TOP SECONDARY EXAMS ALL SUBJECTS
      • KPSEA NATIONAL EXAMS
      • KCPE >
        • KCPE PAST PAPERS AND ANSWERS >
          • KCPE 2020 RESULTS, REPORTS, QUESTIONS AND ANSWERS
          • KCPE PAST PAPERS 2019 REPORTS, RESULTS, QUESTIONS AND ANSWERS
        • KCPE PAST PAPERS PER SUBJECT
      • KCSE >
        • KCSE PAST PAPERS BY SUBJECT
        • KNEC KCSE PAST PAPERS, MARKING SCHEMES, QUESTIONS & ANSWERS
        • Free KCSE Past Papers Mathematics
        • Free KCSE Biology Questions and Answers
      • QUESTIONS & ANSWERS >
        • SECONDARY >
          • LANGUAGES >
            • Secondary English Questions and Answers
          • TECHNICALS >
            • COMPUTER STUDIES >
              • COMPUTER STUDIES Q & A
              • kcse computer studies paper 2 AND 3 Questions & Answers
            • BUSINESS STUDIES QUESTIONS & ANSWERS
            • KCSE AGRICULTURE TOPICAL QUESTIONS AND ANSWERS
            • KCSE HOME SCIENCE DIRECT QUESTIONS AND ANSWERS
          • SCIENCES >
            • KCSE Mathematics Topical Questions
            • KCSE Biology Topical Questions and Answers
            • CHEMISTRY TOPICAL QUESTIONS AND ANSWERS
            • KCSE Physics Topical Questions
            • KCSE physics Practical Sample Quiz
          • HUMANITIES >
            • C.R.E (CRE) QUESTION AND ANSWERS
            • ISLAMIC RELIGIOUS EDUCATION (IRE) QUESTIONS AND ANSWERS
            • KCSE History Topical Questions and Answers
            • GEOGRAPHY TOPICAL QUESTIONS AND ANSWERS
        • PRIMARY >
          • Standard 4-8 Mathematics Topical Questions from Mocks and KCPE
          • Std 6 Mathematics Notes
    • TUTORIALS >
      • SECONDARY >
        • SCIENCES >
          • FOCUS MATHEMATICS TUTORIALS AND EXAMS FREE
          • KCSE BIOLOGY NOTES
          • FREE KCSE CHEMISTRY NOTES
          • KCSE PHYSICS NOTES, AUDIOVISUALS AND MORE
        • LANGUAGES >
          • ENGLISH >
            • A GUIDE TO SILENT SONG AND OTHER STORIES
            • English KCSE Set Books
            • ENGLISH POETRY QUESTIONS WITH ANSWERS FOR K.C.S.E CANDIDATES
            • ENGLISH GRAMMAR #KCSE
          • KISWAHILI >
            • Bembea ya Maisha
            • CHOZI LA HERI - MWONGOZO
            • KIGOGO - MWONGOZO
            • MASWALI NA MAJIBU YA TUMBO LISILOSHIBA
            • USHAIRI MASWALI NA MAJIBU
            • KCSE Kiswahili Fasihi
        • TECHNICALS >
          • HOME SCIENCE NOTES
          • KCSE BUSINESS STUDIES NOTES
          • COMPUTER STUDIES NOTES LATEST
          • kcse Computer Studies Notes
          • KCSE AGRICULTURE NOTES, SYLLABUS, QUESTIONS, ANSWERS, SCHEMES OF WORK AND OTHERS
        • HUMANITIES >
          • KCSE History Notes Form 1 to 4
          • FREE KCSE CRE NOTES
          • KCSE GEOGRAPHY NOTES
          • IRE NOTES, AUDIOVISUAL, QUESTIONS AND ANSWERS
      • PRIMARY >
        • STANDARD 4: SOCIAL STUDIES
        • NOTES >
          • KISWAHILI
          • SOCIAL STUDIES
        • EXAMINATIONS
        • DecaTurbo Online Series Examinations
        • KCPE Mathematics Notes
        • KCPE and Primary Level Compositions
      • Other Supportive Documents >
        • SYLLABUS >
          • Primary 8-4-4 based Syllabus, Objectives and Lessons
          • Primary Mathematics Syllabus
        • MASOMO VIDEOS
    • CURRICULUM >
      • NEW CURRICULUM DESIGNS >
        • PRIMARY >
          • PRE PRIMARY ONE CURRICULUM WITH SYLLABUS
          • PRE PRIMARY TWO CURRICULUM WITH SYLLABUS
        • SECONDARY >
          • KNEC KCSE SYLLABUS AND COURSE OUTLINES
        • COLLEGE >
          • Regulations for the TIVET Craft and Diploma Business Examinations
    • HIGH INSTITUTIONS >
      • EXAMINATIONS >
        • College and Varsity Past Papers online
      • TUTORIALS >
        • COLLEGE AND UNIVERSITY NOTES AND TUTORIALS
  • MEMBERS RESOURCES
    • Primary >
      • CBC AND 8-4-4 LATEST EXAMS
      • CBC PROFFESSIONAL TOOLS
      • CBC NOTES PRIMARY
      • CBC KPSEA EXAMS
      • Standard 8 (std) English Topical Questions
      • KCPE MATHEMATICS TOPICAL QUESTIONS FROM 1989 TO LAST YEAR
      • STANDARD 8 PAST PAPERS 8-4-4 BASED
    • Secondary >
      • FORM 1 EXAMS WITH ANSWERS
      • FORM 2 EXAMS WITH ANSWERS
      • FORM 3 EXAMS WITH ANSWERS
      • FORM 4 EXAMS WITH ANSWERS
      • KCSE 2020 QUESTIONS AND ANSWERS
      • NOTES SECONDARY
      • MOCKS SECONDARY >
        • kcse form 2 mathematics questions
    • Free Schemes of Work
    • FOCUS A365 SERIES K.C.P.E EXAMINATIONS FOR PRIMARY
    • ALL GROUPS PRODUCTS
    • PREMIUM PRODUCTS 2

Mbinu za Sanaa katika riwaya ya chozi la Heri

10/6/2020

0 Comments

 
Mbinu za Sanaa katika riwaya ya chozi la Heri
UNUKUZI KUTOKA BIBLIA.
  • Hii ni mbinu ya kunukuu visa tofauti kutoka kwenye Biblia. Assumpta K.Matlei amejikita sana katika mbinu hii ya kunukuu
  • Biblia, kama tunavyoona kutokana na mifano ifuatayo.
  • Katika ukurasa wa 36; "Aliweza kuudhibiti ugonjwa wa shinikizo la damu ambao ulitokana na mshtuko wa kupoteza jamaa na mali yake dafrao moja. Awali akijihisi kama yule Ayubu kwenye kitabu kitakatifu ambaye ibilisi aliifakamia familia na mali yake takriban kutwa moja"
  • Katika ukurasa wa 46; "Umbali ulio kati yao, japo ni hatua tatu tu, waonekana kama upana wa bahari ya Shamu wakati Waisraeli walipokuwa wakikamia wokovu wao kutokana na dhuluma ya wamisri "
  • Katika ukurasa wa 47; "Walishikana kukutu, kila mmoja akimwambia mwenzake kimoyomoyo, "Ni hai Sijafa "Ikawa ni kama Yesu anamhakikishia "Tomaso asiyeamini","Tazama hii mikono yangu. Nipe mkono wako, utie ubavuni mwangu. Usikose kuamini tena.
  • Katika ukurasa wa 34; "Baada ya kuishi kwenye msitu wa Mamba kwa miezi sita, Ridhaa, Kaizari na familia yake walibahatika kurudi nyumbani kufuatia mradi ulioitwa na wanaharakati wa kupigania haki za kibinadamu Operesheni Rudi Edeni "
0 Comments

Mbinu za Sanaa katika riwaya ya chozi la Heri

10/6/2020

0 Comments

 
Mbinu za Sanaa katika riwaya ya chozi la Heri
KEJELI.
  • Hii ni mbinu ya Sanaa inayotumia maneno kudharau au kukemea kitendo au mtu fulani. Mwandishi pia anatumia mbinu hii kuwasilisha maudhui yake kwenye kazi yake ya kifasihi.
  • Katika ukurasa wa 15; "Kuna wale ambao hufia kwenye vitanda vyao vya mwakisu vitongojini baada ya kupiga haramu. Hawa husemekana kuwa wamekuwa nzi ambao kufia dondani si hasara. Hulaumiwa kwa kujitosa katika msiba wa kujitakia "Hawa watua mabao wanakunywa pombe haramu na kufia kwao nyumbani ambako kumekithiri ukata, wanadharauliwa na kulinganishwa na huyo nzi afaye kwenye donda, kwani wanafanya jambo kwa hiari yao, huku wakijua madhara na matokeo yake ni yepi.
0 Comments

Mbinu za Sanaa katika riwaya ya chozi la Heri

10/6/2020

0 Comments

 
Mbinu za Sanaa katika riwaya ya chozi la Heri
NJOZI AU NDOTO.
  • Mwandishi hutumia njozi au ndoto kutabiri jambo litakalofanyika au kufumbua jambo lililokuwa limefumbwa.
  • Katika ukurasa wa 2; "Anakumbuka akimwambia mkewe Terry, "Milio hii ni kama mbiu ya mgambo, huenda kukawa na jambo "Terry kwa ucheshi wake wa kawaida hakunyamaza "
  • "Ridhaa akamwambia, "wewe endelea kupiga hulu tu, lakini utakuja kuniambia"
  • Ridhaa alikuwa na ndoto ya kuwa kuna jambo mbaya au lisilo la kupendeza ambalo lingeweza kutendeka, na kwa kweli, njozi lake likawa ni la ukkweli wakati lilipo timia.
0 Comments

Mbinu za Sanaa katika riwaya ya chozi la Heri

10/6/2020

0 Comments

 
Mbinu za Sanaa katika riwaya ya chozi la Heri
KISENGERE MBELE.
  • Hii ni mbinu ambayo mwandishi hutumia katika Sanaa yake.
  • Inahusisha mwandishi kubadilisha wakati na kusimulia mambo yatakavyokuwa siku za usoni; au kutumia isiyo moja kwa moja kutabiri yatakayojiri.
  • Mbinu hii pia huitwa utabiri.
  • Katika ukurasa wa 45;"Sasa anapotazama nyuma anaona kuwa ule utabiri wa 'wingu la mabadiliko' wa mwalimu ulikuja
  • Kutumia "Ni kweli mwalimu alikuwa ametabiri kuhusu wingu hili Ia mabadiliko ambalo kwa sasa limetanda (uk 44)
  • Tila: Ambayo mshahara wake ni mkia wa mbuzi.Baba, kile ambacho raiyaa wanahitaji ni mabadiliko ya mara kwa mara ya uongozi na sera zenyewe za uongozi Na naona awamu hii, kama asemavyo mwalimu, wingu la mabadiliko limetanda.
  • Katika ukurasa wa 70;Lunga alikuwa ameona kuwa maisha yake yalikuwa yakielekea kudidimia hata kabla ya kuhamia makao hayo yake mapya ambayo anadai kuwa jaala kampeleka huko "Ametononeka si haba katika msitu huu. Hadiriki kuwaza kwamba msitu huu unastahili kuhifadhiwa kwa matumizi ya baadaye Kabla ya jaala kumleta hapa, lunga aliuona mstakabali wa maisha yake ukiporomoka. Alikuwa ameipoteza kazi yake "
0 Comments

Mbinu za Sanaa katika riwaya ya chozi la Heri

10/6/2020

1 Comment

 
Mbinu za Sanaa katika riwaya ya chozi la Heri
MAZUNGUMZO.
  • Haya ni majailiano ya jambo Fulani baina ya watu wawili au Zaidi. Kila mtu huzungumza kwa wakati wake, na kumpa mwingine nafasi ya kusikiliza.
  • Uk 38;"Tila:Shikamoo baba.
  • Ridhaa:Marahaba mwanangu. Umeshindaje?
  • Tila:(kwa uchangamfu)vyema. Baba, leo somo letu la fasihi lilivutia mno.
  • Ridhaa:Kwani waliwafunza nini huko?Ama ni zile siasa zenu zisizoisha?Leo mwalimu Meli alitueleza jinsi mifumo ya uzai
  • Tila:ishaji mmali ilivyobadilika, kuanzia wakati wa ujima,ukabila, ubwanyenye, ujamaa hadi sasa tunapopambana na utandawazi. Lakini anasema ujamaa si rahisi kutekelezwa.
  • Ridhaa: (kwa wasiwasi) Kipi kiini hasa cha kufunza mada hii kwa watoto wakembe kama nyinyi?siku zetu sikumbuki kuona mada hii hata katika mtalaa wa kidato cha sita Nadhani umesahau baba. Suala hili ulisema limeshu
  • Tila:ghulikiwa katika kazi za kifasihi kama vile Mashetani,ile tamthilia ya Hussein inayoisawiri migogoro ya kisiasa, kiuchUmi na kijamii ya baada ya ukoloni lsitoshe, mwalimu alitaka tu kuonyesha kwamba upo uhusiano kati ya mfumo wa kiuchu na rmurnv wa Kislasa alituambia kwamba mfumo wa kiuchumi hudhibitiana na mfumo wa kisiasa. Utawala huteuliwa makusUdi kuendeleza mfumo uliopo wa kiuchumi kwa maslaya watawala na tabaka ambalo linazimiliki nyenzo za uzalishaji mmali.(kama aliyeudhika).Naona mmeanza kuingjlia
  • Ridhaa:Nyanja ambazo ni michezo yaw engine na wanafaa kuachiwa wao.Lakini baba, unajua hatuwezi kuyafumbia macho
  • Tila:mabadiliko yanayozikumba jamii zetu kwa mfano,kura ya maoni ya hivi maajuzi yaonyesha kwamba majimbo mengi nchini yanamuunga mkono Bi.Mwekevu Tendakazi. Ameongoza kwa asilimia sitini. Mpinzani wake wa karibu wa kiume ana asilimia thelahini. Mwalimu alisema kuwa wakati umefika kwa jamii kuacha kuacha kupima uwajibikaji wa mtu kwa misingi ya kijinsia. Wote waume kwa wake wapewe nafasi sawa.Si kwamaba napinga hili. Ningekuwa hasidi wa
  • Ridhaa:usawa wa kijinsia nisingewapelekeni nyinyi shuleni.Ningemshughulikia Mwangeka tu ambaye jamii inaamini kuwa nndiye mridhi wa mali yangu.Hata hivyo, naona kwamba ni mapema mno kuanza kulitolea hukumu suala la nani anaongoza. Huku kutakuwa kukata mbeleko kabla ya mtoto kuzaliwa.(akichekacheka)DaliIi ya mvua ni mawingu baba. Mara hii kama wapiga kura tumeamua kujaribu mbinju mpya za kilimo. Haya matumzi ya visagalimma yarneanza kupitwa na wakati.
  • Ridhaa: Tila Kummbuka hapo ulipo hata kura yenyewe hauna Naona wamekutia maneno ya uchokozi. Ngojea kipindi kingine cha uchaguzi kifike,utakuwa na haki ya kuchukua kura na kumpigia mwanamke umtakaye. Kwa sasa itabidi utosheke na chaguo letu
  • Tila: Lakini baba, sijasema tunataka kipongozi mwanamke. Sisi tunataka kiongozi yeyote awe mwanamke au mwamume, atakayeweza kulielekeza jahazi hili letu kwenye visiwa vya hazina. Tufikie kilele cha maendeleo pale tutakapofikia malengo ya nkimaenndeleo ya kimilenia. Kiongozi ambaye ataendeleza Zaidi juhudi za kukabiliana na na wale maadui ambao wewe daima huniambii kuhusu: umaskini, ujinga, magonjw (akisita kumtazama baba) uhaba wa nafasi za kazi na ufuisadi. Je, huu sio uliokuwa muono wa waliopigania uhuru?siyo ambayo viongozi waliochukua hatamu za uongozi kutoka kwa watu weupe waliyofanya juu chini kutekeleza?
  • Ridhaa:Na nani akasema viongozi waliopo hawajajikuna wajipatapo?Huoni hata wahasiriwa wa magonjwa sugu kama vile iri na hata UKIMWI wana dawa za bei nafuu za kuwawezesha kudhibiti hali hizi?Je, serikali haijaanzisha sera ya elimu bila malipo kwa Shule zote za msingi?Haijagharamia karo za Shule za kutwa katika Shule za upili?kumbuka pia na ule mradi wa kuhakikisha kuwa kila mwanafunzi kuanzia darasa la kwanza ana kipakatalishi chake?Ushaona?Hivi karibuni, nchi Inafikia ile vision 2030 hata kabla ya 2030 yenyewe  Je, ni tume ngapi za kuchunguza kashfa za kifisadi ambazo zimeundwa?Hizo si juhudi za kupigana na ufisadi?Serikali imetumia bilioni ngapi katika shughuli ya kuhesabiwa kwa watu mwaka jana?Unajua sababu ya shughuli hiiTvoiongozi wanataka kupata takwimu sahihi Zaidi na za kutegemewa, zitakazowawezesha viongozi kujua mahitaji ya kiuchumi na ya kijamii ya kila jimbo. Huduma zitaweza kutolewa kwa urahisi Zaidi katika kila eneoo la ugatuzi. 
  • Tila: Na umaskini, je, baba?Mara nyingi hukuona umejishika tama ukilalamikia asilimia kubwa ya raia ambao hawamudu hata gharama ya matibabu ya kimsingi si wewe unayesema kwamba vifo vingi vya watoto chini ya miaka mitano husababishwa na magonjwa yanayotokana na ukosefu wa lishe bora, pamoja na wazazi na walezi kutopata elimu kuhusu njia za kujikinga dhidi ya baadhi ya magonjwa?
  • Ridhaa: (kwa msisitizo)Kumbuka kwamba haya malengo ya kimilenia hayajaanza kupigiwa Shabaha sasa. Kilichobadilika ni istilali ya kuyarejelea jawapo ya haki za kibinadamu ambazo wanaharakati mapinduzi walipigania ni matibabu boila malipo kwa wasiojiweza kiuchumi, na elimu ya lazima, na bila malipo kwa watoto wote, kufikia umri wa miaka kumi na mitano. Na nadhani kile ambacho mmwalimu wenu angewasisitizia Zaidi ni kwamba vijana wana jukumu la kuelimishana kuhusu nafasi ya kila mmoja wao katika kuuboresha uongozi uliopo sasa. Watumie vipawa vyao kwa njia endelevu ili kusaidia katika kuzalisha nafasi za kazi badala ya kungojea serikali iwatilie riziki vinywani. Nchi haijjengwi kwa mihemko na papara za ujana. Na suala la umaskini?Naona hili ni tatizo la kijaamii. Mathalan, watu wanaoishi katika sehemu kame wanastahili kujitahidi kuvumbua mbinu za kuyahifahi maji ya mvua. Pia kila eneo la ugatuzi halina budi kuwashajiisha wataalamu wake kujizika katika uafiti ili kuvumbua rasilimali zinazopatiakana katika maeneo haya, hili litawawezesha maeneo yenyewe kuzitumia raslimali kwa njia endelevu. Haya yote yatasaidia kupunguz mng'ato wa uhawinde.
  • Tila: Watayahifadhi vipi maji haya kama mvua yenyewe hainyeshi?Baba, wewe mwenyewe unalalamika kiangazi ambacho kimmezikumba sehemu mbalimbali nchini isitoshe, mwalimu asema kwamba asilimia kubwa ya wakazi wa sehemu kame haiwezi hata kumudu kula mara mbili kwa siku. Hizo hela za kununulia matangi ya kuhifadhia maji na kufanyia utafiti watazitoa wapi?
  • Ridhaa: Basi watumie maji ya mabombalSi lazima wahifadhi ya mvualNa huyo mwalimu naona anapanda mbegu za uhasama kati ya viongozi na vijana. Vijana hawapaswi kungojea kufanyiwa kila kitu. Tumewapa nyavu za kuvulia, nao wanaona wangoje kuletewa samaki
  • Tila: (akionyesha kuvunjika moyo)Baba!Umekuwa kama yule kiongozi wa kifaransa, unayeniambia wewe kila mara, ambaye alipoambiwa kuwa wanyonge hawakuwa na mkate alisema, "if there is no bread, let them eat cake" Watu wengi huko mashambani hutegemea mashamba, mvua haijakubali kunyesha kwa muda. Wengi wa wanaofanya kazi za ajira, hufanya kazi za kijungujiko. Sasa mabomba yatatoka wapi?na hata kama mabomba yenyewe yangekuwepo, juzi nimeskia kwenye runinga kwamba bwawa la Fanisi ambalo ndilo lililotegemewa sana kutoa maji kwenye sehemu kame halitasambaza maji tena kwa sababu kiwango cha maji kimeshuka sana. Mabomba yenyewe yamejikaukia 
  • Ridhaa: Serikali imeanzisha mpango wa kusambaza huduma za maji na umeme katika sehemu za mashambani, hususan zile kame. Wanachohitaji ni subira tu. Na nadhani mwalimu wenu alisahau kuwaambia kuwa katika baadhi ya sehemu mna machimbo ya mawe ya ujenzi, vito, na hazina za mamfuta. Wenyeji wana jukumu la kutumia raslimali hizi kujiendeleza.
  • Tila: Alituambia hayo pia. Lakini kuna tayari kampuni za kibinafsi ambazo zimetumwa huko kuchimbua madini haya. Isitoshe, kampuni zilioshinda zabuni za kuyachimbua madini haya ni za kigeni. Uchimbaji wenyewe unafadhiliwa na wawekezaji wa kigeni.Raiya watafaidika vipi?Fedha zinazotokana na raslimali hii yahofiwa kuwa zitaishia kwenye mifuko ya wageni. Zinatumwa kuendeleza nchi za hao hao wawekezaji wanaodaiwa kuwa wawekezaji.
  • Ridhaa: Ni kweli lakini kumbuka kuwa kampuni hizi zimebuni nafasi za kazi. Wenyeji wamepata ajira
  • Tila: Ambayo mshahara wake ni mkia wa mbuzi. Baba, kile ambacho raiyaa wanahitaji ni mabadiliko ya mara kwa mara ya uongozi na sera zenyewe za uongozilNa naona awamu hii, kama asemavyo mwalimu, wingu la mabadiliko limetanda.
1 Comment

Mbinu za Sanaa katika riwaya ya chozi la Heri

10/6/2020

0 Comments

 
Mbinu za Sanaa katika riwaya ya chozi la Heri
MASIMULIZI.
  • Haya ni maelezo ya jambo fulani kwa njia ya kusimulia. Mwandishi ametumia mbinu hii kuwasilisha maudhui yake kwenye riwaya hii.
  • Katika ukurasa wa 16; "kumbe hata wewe shemeji Kaizari upo?Ridhaa ananiuliza kwa unyonge. Hili linanizindua kutoka lepe langu la muda,linanitonesha kidonda si haba 'Ndio tu hapa na wengine wengi, 'ninamjibu, kasha ninaanza kumsimulia yaliyojiri kana kwamba ni mgeni wa hali ile baada ya kutawazwa kwa kiongozi mpya, kiongozi ambaye kulingana na desturi za humu mwetu hakustahili kuiongoza jamii ya wahafidhina, kisa na maana, alikuwa mwanamke, mbingu zilishuka. Watu walishika silaha kupigania na uhuru wao; uhuru ambao walidai kuwa hawakupewa, waliupigania"Anasimulia jinsi uongozi wa nchi ulivyo, na jinsi uhuru ulipiganiwa.
  • Katika ukurasa wa 146; Pete anasimulia kisa cha maisha yake kwa marafiki zake akina Selume "Pete alifungua pazia la jukwaa la maisha yake, akaanza kuwasimulia akina Selume kisa chake mwanzoni, kimya kimya moyoni akisema kwamba huenda wakakielewa kiini chake kutenda alichokitenda 'Nilizaliwa katika kijiji cha Tokosa. Mimi ndiye mtoto wa nne katika familia yenye watoto sita. Nina wazazi wawili, ila hawa ni wazazi tu, hawajadiriki kuwa walezi wangu, wala jina mlezi haliwaafiki. Naona mnaniuliza vipi mtu kuwa mzazi na asiwe mlezi ila nataka mjue kuwa haya hutokea mara nyingi.
  • Hamuwezi kujua haya nyinyi, yaonekana mlilelewa kwa nun na cerelac, hamjaonja shubiri ya maisha " "Maneno haya yalifunga pazia la jukwaa la mawazo ya Neema, akaanza kumsimulia mumewe, la kuisimulia hadithi aliyoitunga yeye mwenyewe kwa matendo yake miaka kumi iliyopita 'siku hizo nilikuwa nikifanya kazi kama hasibu mwandamizi katika hazina ya kitaifa, 'alianza Neema "Asubuhi moja ya ummande ilinipata nimeshuka kutoka kwenye daladala, nashika tariki kuelekea afisini.Mzizimo wa Julai ulidhulumu ngozi yangu laini,nikalaani msongamano wa magari jijini, ukosefu wa mahali pa kuegeshea, na ada kubwa iliyotozwa walioazimia kuendesha magari yao hadi kitovu cha jiji. Laiti vinara wa jiji wangeweza kuboresha hali,ningeweza kulitumia gari langu " Neema anamsimulia mumewe Mwangemi kuhusu matukio yalivyokuwa siku hizo zilizokuwa zimepita.
  • Katika ukurasa wa 162; "Nilimsimulia Cizarina kisa changu alikisikiliza bila kuonyesha hisia yoyote ya kushtuka ila uso wake ulitwaa vituta vilivyoficha huzuni na kuudhika " Neema anamwelezea Cizarina kwa njia ya masimulizi jinsi alivyoweza kukiokota kitoto kilichokuwa kimetupwa kwenye jaa la taka ili kiage dunia ama kipate msamaria mwema wa kukichukua kitoto kile.
0 Comments

Mbinu za Sanaa katika riwaya ya chozi la Heri

10/6/2020

0 Comments

 
Mbinu za Sanaa katika riwaya ya chozi la Heri
TAHARUKI
  • Hii ni mbinu ya kusimulia au kuandika riwaya kwa kufanya hadhira au wasomi wajawe na hamu ya kutaka kujua kitakachotokea baadaye; hamu ya kutaka kuendelea kusoma. Baadhi ya hadithi huishia kwa taharuki na kulazimisha hadhira yake ijikamilishie au ibaki ikijiuliza maswali.
  • Taharuki pia yaweza kujitokeza katika hali ya kawaida wakati jambo fulani linatarajiwa kutendeka,aidha jambo nzuri au la kukatisha tamaa.
  • Katika ukurasa wa 19; "Mijadala hii ilizua na kukuza migogoro isiyomithilika. HaIi ya taharuki ilitamalaki,vyombo vya dola vikatumwa kudumisha usalama katika vijiji, mitaa ikajaa Sisimizi walioshika bunduki. HaIi hii ilileta chachawizo Zaidi katika vijiji na mitaa "
  • Katika hali hii, kulikuwa na taharuki juu ya mambo yaliyotarajiwa kutokea baada ya mtafaruku uliokuweko kwa sababu ya siasa.
  • Katika ukurasa wa 152; "Usisnitazame kana kwamba unataka nikwambe yaliyotokea baadaye, 'nilijisemea kana kwamba ninajibu mtazamo wa ndio kuniambia kwani nilijipata hapa penu, oete aliongeza na kukatisha ghafla usimulizi uliokuwa mawazoni mwake. Pete anatuacha na taharuki bila kutuambia yaliyotokea baadaye. Anakatisha masimulizi yake kwa ghafla.
0 Comments

Mbinu za Sanaa katika riwaya ya chozi la Heri

10/6/2020

0 Comments

 
Mbinu za Sanaa katika riwaya ya chozi la Heri
MAHOJIANO.
  • Hii ni mbinu ya kuuliza maswali ili kufahamu maarifa anayojua mtu. Mahojiano hutumika mtu atakapo kupata taarifa ulani kutoka kwa mtu mwingine anayehojiwa.
  • Kuna mahojiano yanayoendelea kwenye kituo cha polisi, wakati mwanapolisi aliye katika zamu anapomdadisi
  • Umulkheri (uk 83)"Umasema watoto walipotea?unajuaje walipotea?" "Kwanza walikuwa wamevaa vipi walipoondoka nyumbani? "Walibeba nini?walikwambia wameenda wapi?Kwanini watoto wenyewe hawajaandikisha kupotea kwao kwenye "unasema pia kijakazi wenu hayupo?"akauliza askari. "na hakukujuza alikokwenda?"aliongeza askari yule. "Jina la huyo kijakazi?"akauliza yule askari wa kwanza.
  • Katika ukurasa wa 100; "pacha aliyeonekana kutoyaamini maneno yangu alinidadisi: ' "una hakika na unayoyasema?"
0 Comments

Mbinu za Sanaa katika riwaya ya chozi la Heri

10/6/2020

2 Comments

 
Mbinu za Sanaa katika riwaya ya chozi la Heri
HOTUBA.
  • Haya ni mazunguzmzo yanayohusu jambo maalum kwa mfano siasa ambayo hutolewa kwa hadhira na mtu mmoja (uk 112-114), Hotuba hii inatolewa na Apondi, Alianza kwa kuiita hadhira kwa maneno, "Mabibi na mabwana"Anaendelea na kusema kuwa swala la usalama haliwezi tena kupuuzwa. Anasema kuwa usalama umekuwa mojawapo ya mahitaji ya kibinadamu. Na kwa hakika, tunaweza kusema kuwa usalama ni mojawapo ya mahitaji ya kibinadamu.
  • Kwa hakika, usalama ni mojawapo ya mahitaji ya kimsingi.Anasema kuwa bila usalama, binadamu hawezi hata kushiriki katika shughuli za kuzalisha mali, hivyo hata mahitaji yake mengine ya kimsingi kama vile chakula,malazi na makazi hayawezi kukidhiwa. Anasema kuwa kila binadamu ana jukumu la kudumisha Amani na usalama. Hata hivyo, wafanyakazi wa umma, na hasa polisi na wanajeshi wana jukumU kubwa Zaidi la kudumisha usalama na Amani kuwa kila mmoja anafaa kupakata mikono na kungoja kuliniwa, la hasha Kila mmoja wetu anastahili kuhakikisha kuwa ameepuka vitendo vya
  • Khalifu. Anasema kuwa pia ni vyema mtu kuwaangaza wahalifu wakati wote. Vikosi vya polisi na wanajeshi vimefunzwa maarifa ya kukabiliana na kadhia za jinai na upelelezi; Kwa hilo,wana dhima kubwa Zaidi ya kudumisha Amani. Aidha, wana ujuzi wa njia mwafaka za kutatua migogoro na kupalilia maridhiano. Wanajua ni lini watashambulia na ni lini watarudi kinyumenyume, kuepuka shambulizi la adui.Anawasihi waajibike Zaidi katika kazi zao, kwa kuwa wamefunzwa effective communication and conflict resolution
  • Kurasa za 68-69;Kila ijumaa wakati wa gwaride, ungemskia akihutubia kwa mhemko "Mkuu wa shule,walimu na wanafunzi, suala Ia uhifadhi wa mazingira ni jukumu la kila mmoja wetu. Tumeona jinsi misitu ilivyovamiwa na viongozi wenyw mate ya fisi. Nasikia baadhi ya vinara wa taasisi mbalimbali za umma wamewaacha wanyama kama mayatima kwa kuwapoka makazi yao. MaeIfu ya maekari ya misitu yamefyekwa na kujengwa viwanda. Badala ya miambakofi na miti mingine inayosafisha hewa,michai imetwaa nafasi yake. Wanaohusika na matendo haya wanapoulizwa huidai kuwa michai Si adui ya mazingira wengine wanasema kuwa misitu haina bui kukatwa ili kupanda mimea inayotoa chakula, kwani jamii lazima ijitosheleze kwa chakula.
  • La kuhuzunisha ni kwamba hawa hawa wanaosema hivyo ndio wanaokita majengo ya kifahari katika sehemu ambazo zinastahili kutengwa upanzi wa chakula Wengine wamediriki kunyakua hata madhabahu kwenye mlima wa Nasibu ili kujenga hoteli kubwa kitalii. Wazee wetu hata hawana mahali pa kuchomea kafara Tunakata miti bila kupanda mingine. Tazameni shuleni humu Hata mabustani ya maua tunashindwa kuyastawisha Tukiendelea hivyo, bila shaka sehemu yetu itazidi kuwa jangwa "
2 Comments

Mbinu za Sanaa katika riwaya ya chozi la Heri

10/6/2020

0 Comments

 
Mbinu za Sanaa katika riwaya ya chozi la Heri
MATUMIZI YA BARUA.
  • Lunga anapokea barua rasmi ya kumfuta kazi. Ni fupi lakini yenye ukali na kukatisha tamaa (Uk 72;) Barua yenyewe iliandikwa na bwana Kalima ambaye alikuwa mwenyekiti wa
  • Halmashauri ya kitaifa ya uhifadhi wa nafaka. Yeye ni mkurugenzi wa Halmashauri ya Kitaifa ya Uhifadhi wa
  • Nafaka. Anamwandikia bwana Lunga waraka na kumwambia kuwa amestaafishwa kazi.
  • Anastaafishwa kazi kutokana na gharama ya uzalishaji mali ambayo inaendelea kupanda kila uchao, shirika hilo limekumbwa na changamoto kubwa ya kifedha. Halmashauri inayosimamia shirika hili imeamua kupunguza idadi ya wafanyakazi katika ngazi za juu, kama hatua mojawapo ya kudhibiti gharama ya uzalishaji. Shirika hilo lilisikitika kumwarifu Lunga kuwa yeye ni mmoja wa walioadhirika na kwamba ameachishwa kazi kuanzia tarehe 31 mwezi wa Julai, mwaka huo. Shirika hili lilimshukuru
  • Lunga kwa uwajibikaji wake alionao katika utenda kazi wake. Pia walimshukuru kwa mchango wake katika kuliendeleza shirika hilo. Shirika hilo pia lilimtakia kila laheri bwana
  • Lunga, katika shughuli zake za kitaaluma.Lunga pia anaandikiwa waraka mwingine mfupi na mkewe
  • Naomi (uk 81) Mkewe Naomi anamwambia kuwa ameondoka. Ameenda kutamba na ulimwengu, na huenda akaambulia cha kumsaidia mumewe kuikimu familia yaao. Anasema kuwa anasikitika kwa uchungu atakaousababisha kwa mumewe na pia wana wao. Baada ya kumwandikia waraka huu,anamwambia kwaheri. Barua hii pia inamuumiza sana Lunga moyom, kwam aliachiwa watoto na mkewe awalee peke yake. Pia ni uchungu kwani alimdhamini na kumpenda sana mkewe
  • Naomi ambaye sasa amemwacha katika hali ya upweke. Subira pia anamwandikia mwanawe
  • Mwanaheri barua, akimjulisha kuwa yeye amekwenda zake na labda hawatapatana tena maishani. Barua hii pia ni ya kukatisha tamaa kwani
  • Mwanaheri alipoisoma barua ile, alihisi kuwa imejaa ujumbe wa mauti (UK.95)Barua hii inaandikwa tarehe mbili mwezi wa sita mwaka wa elfu mbili na tisa. Inaandikwa kwa mpenzi wake Mwanaheri.
  • Anasema kuwa, Mwanaheri atakapoisoma barua ile,labda yeye hatakuwa hapo au pia katika ulimwngu huu. Ila tu ajue kuwa imembidi kuondoka. Anasema kuwa hakudhamiria kuondoka au hata kuawaacha kwa siku moja yeye na Lime, wa la hata baba yao.Lakini uvumilivu wake ulishindwa kumletea mbivu.Anasema kuwa amemeza shubira kwa miaka mingi, kubaguliwa, kufitiniwa na kulaumiwa kwa asiyoyatenda. Anaendelea kusema kuwa amechoka kukilovya kifua chake kwa machozi kila mara.
  • Amechoka kuitwa mwizi wa mayai ambayo kuku wayatagayo amewafuga yeye. Amechoka kuitwa mwizi wa mali yake. Amechoka pia kupigania penzi la mwenzi na mavyaa na mwenzi mwenyewe haoni anampagaza machungu. Anajuta sana kwa kuwaachawa na wake. Hata hivyo, anaomba jambo moja tu kwamwanawe
  • Mwanaheri: kuwa amtunze Lime, na Zaidi mno wamtii baba yao na pia kuzingatia masomo yao.
  • Anaomba pia Mwenyei Mungu aweze kuwaepusha kutokana na maovu yote.Asitokee mja akawadhulumu furaha yao jinsi tu ulimwengu ulivyombi. ni utulivu. Baadaye anawaambia wanawe kwaheri na kuwaambia kuwa wangeweza kupatana siku moja,inshallah.
  • Hiyo ikawa ni barua yake Subira ambaye alikuwa mamke Mwanaheri.
0 Comments

Mbinu za Sanaa katika riwaya ya chozi la Heri

10/6/2020

1 Comment

 
Mbinu za Sanaa katika riwaya ya chozi la Heri
NYIMB0.

Ni maneno na sauti zilizopangwa na huandamana na muziki unaotokana na ala za kimuziki kama vile ngoma saut hizi za muziki pia huwa zimepangwa ili
kuandamana maneno vizuri na kwa urari. Wimbo huweza kutuumika kupitisha ujumbe wa mwandishi ambao ni dhamira. Katika riwaya hii, kuna matumizi ya nyimbo katika matukio tofauti
Katika ukurasa wa 20; "Wote walikuwa wakighani mkarara huu: Tawala Wahafidhina tawala, Mwanzi wetu tawala Wahafidhina tawala 'Wimbo huu ulitumika wakati wa
shughuli kupiga kampeni kabla ya uchaguzi kufika.Wimbo wenyewe unampigia dembe kiongozi anayetakwa na wananchi.
Katika ukurasa wa 49;"Mama mtu angemshika mabegani na kumwimbia mkarara mmoja wa wimbo pendwa wa kidini:
Salama, salama
Rohoni, rohoni
Ni salama, rohoni mwangu"
Katika ukurasa wa 60; "Wengine walijilazimisha kupiga ukemi, eti wanaomboleza kifo cha Dedan
Kimathi. Walianza kulizunguka lile 'jeneza' wakiimba mbolezi.
Walimwimbia Kim wao, kwaheri.
Kwaheri we Kim wetu
Kwaheri, kwaheri
Kwaheri we Kim kipenzi chetu kwaheri
Kwaheri na malaika wakungoje.
Umewaacha wazazi kwa majonzi
Kwaheri, kwaheri
umewaacna nauguzo kwa ukiwa
Kwaheri na mababu wakulaki peponi.
Kurasa 129-135; Huu ni Wimbo ambao Shamsi aliuimba kuhusiana na hali ya kisiasa iliyokuwemo nchini. 
Haukuwa Alimwimbia Chupa ambaye alikuwa kipenzi chake.
Alikuwa mboni yajicho lake, mwendani wake.
Alikuwa shujaa, Hakuhisi shinikizo la majabali,
Alimzingira kwa mahangaiko pia, Alimjaza kwa tuo,
Akampa maji matamu Maji hayo yakawa dawa mujarabu.
Dawa hiyo ikawa ya kuuguzia banguzi.
Waliomsababishia mahasidi.Chupa yake, alijua pia walimcheka
Wachunguliao kwenye madirisha
Waliokwenye maroshani yao "
Kurasa 136-137; Kwa sauti ya chini, Ridhaa alisema kuwa Shamsi anasikika kama amebadilisha wimbo wake. Huu wa leo unahisika kama wa kiumbe mwenye maumivu zaidi, mapigo yake hasa ni ya mbolezi, ni tofauti na yale majigambo yake ya kila siku, Akaongeza Ridhaa huku akiyaghani majigambo Ya Shamsi kwa sauti ya chini kama anayeyatia maneno ya majigambo yenyewe kwenye mizani. Anasema kuwa hawa wanaomfuata wanamwacha kwa ukoo wake mtukufu. Kwa jadi yenye majagina, wa mioyo na vitendo Wananicha kwa kuwa wa kwanza kijijini Kuvishwa taji kwa kusoma kwa bidii Kwa kuwa jogoo wa kwanza kuwika kwenye anga za elimu Idhini nikapewa ya kuendeleza utafiti, Nikapewa mamlaka ya kuwaza kwa niaba ya jamii.
1 Comment

Mbinu za Sanaa katika riwaya ya chozi la Heri

10/6/2020

0 Comments

 
Mbinu za Sanaa katika riwaya ya chozi la Heri
KISENGERE NYUMA.
  • Katika mbinu hii, mwandishi hurudi nyuma na kusimulia kisa kilichokuwa kimetendeka kabla ya alichokuwa anasimulia. Aidha mwandishi hubadilishawa kwa masimulizi kuwa wakati wa kisa hicho. Mbinu hii hutumika sana kuonk sha mhusika anapokumbuka kitu, au kutuelezea jinsi mambo yalivyoanza. Mbinu hii pia hujulikana kama mbinu rejeshi.
  • Katika ukurasa wa 1;"Sasa anakumbuka vyema.Anakumbuka kupepesa kwa jicho lake la kuli kwa muda wa wiki mbili mtawaliwa. Anakumbuka anguko aliloanguka nalo sebuleni mwake, akatafuta kilichomfanya kujikwaa asikione. Anakumbuka mavune yaliyouandama mwili wake na kuunyongonye za kwa muda hata pasi na kuudhili kwa kazi yoyote ya haja. Anakumbuka jeshi la kunguru lililotua juu ya paa ya maktaba yake ya nyumbani adhuhuri ya juzi ile Ridhaa anayakumbuka yaliyokuwa yametendeka ingawa ilikuwa miaka mingi iliyopita.
  • Katika ukurasa wa 3;"Katikati ya mito hiyo ya machozi, Ridhaa aliileta picha ya maisha yake mbele ya kipaji chake. Alijiona akiamka asubuhi ambayo ilizaa usiku wa jana, usiku ambao ulitandaza kiza maishani mwake. Kwa mbali alianza kuskia sauti ya mkewe ikilia kwa kite "Anakumbuka akiskia mlipuko mkubwa, kasha kushikwa na uziwi wa muda uliofwata na sauti nyingine ya mkewe, yamekwisha"Haya yote ni mawazo yanayomjia Ridhaa. Ni matukio yaliyotendeka zamani lakini mawazo haya bado yako akilini mmwake, hayajafutikatna anayarelea kila wakati kwenye fikra zake.
  • Kurasa 9-10; Hapa Ridhaa anayakumbuka maisha ya tangu utotonj nadi akiwa mtu mzima, mkondo ambao maisha yake yamechukua. Anakumbuka jinsi siku ya kwanza shuleni aljwotengwa na wenzake katika mchezo wao wa kuvuta, mchezo wa kusukuma vifuniko vya chupa za soda kwa ncha za vidole vyao. Anakumbuka mwanafunzi mmoja ambaye kwa kawaida alipenda kuwachokoza wenzake akimwambia, wewe ni mfuata mvua.
  • Hatutaki kucheza nawe. Umekuja hapa wtushinda katika mitihani yote. Wewe ndiwe unayetuibia kalamu zetu.
  • Katika ukurasa wa 13; Siku hiyo ambayo matrekta yakitekeleza amri ya bwana mkubwa, Ridhaa alitazama picha za majumba yake matatu kwenye mulishi wa runinga. Anayatazama hata sasa katika ruya yake. Majumba haya sasa yamegeuka dongo. Anayasoma usingizini na kutoa kidoko ambacho tribukimwamshe. Hili la sasa ni pigo la pili ambalo ni kali Zaidi. Hapa pia Ridhaa anaendelea kuyawaza matukio yaliyompata nyakati zile ambazo mali yake ilipoharibiwa.
  • Katika ukurasa wa 45; Sasa Ridhaa anapotazama picha iliyo mbele ya macho ya akili yake, anajua fika kuwa Tila wake hayupo, kilichobaki ni kumbukumbu ambazo zinang' ata kama mkia wangekumbukumbu ambazo kila mara zilifungua
  • Chemchemi za machozi, yakalovya kifua chake.Ridhaa anakumbuka mwana wake na kulia kwa machungu aliyokuwa nayo moyoni mwake.
0 Comments

Mbinu za Sanaa katika riwaya ya chozi la Heri

10/6/2020

0 Comments

 
Mbinu za Sanaa katika riwaya ya chozi la Heri
SADFA.
  • Sadfa ni mgongano wa vitendo viwili vinavyohusiana kama kwamba vimepangwa, japo havikuwa vimepangwa.
  • Katika ukurasa wa 175; "Tesi sadfa gani hii?Unafanya nini hapa?Ulikuja lini jijini humu?Yu wapi wifi Nema? Niliskia motto wenu amehitimu chuoni Ajabu hatujapata kukutana naye, 'Mwangeka aliyauliza maswali haya moja baada ya lingine bila kumpa mwnzake muda wa kujibu hata la kwanza wengine walimtazama wakishangaa kwa nini hata hamwachi mgeni akawasalimu "Hii ni sadfa kubwa sana mimi huwa siji hapa sana lakini mwanangu Mwaliko alingangania kunileta hapa kwa chakula cha mchana"sadfa inajitokeza wakati Mwangeka na Tesi wanakutana mahali pamoja, ilhali hawakuwa wamepanga lolote kuhusu mkutano wao. Jambo hili linatokana na uwezo wake Mungu bali si kwa mipango ya hawa wa wahusika wawili.
  • Katika ukurasa wa 175; "Nakumbuka sana. Na kweli hii ni sadfa kwa sababu pia ni siku ya kuzaliwa kwa binti yangu Umulkheri " Inasadifu pia kuwa wote wanakutana pamoja siku ya kuzaliwa kwake Umulkheri.
  • Katika ukurasa wa 183; "Tunawatarajia walioenda sokoni kurui. Kisadfa, wakati huo huo, babu Mwimo Msumbili akawa ndio anatoka kwenye shughuli zake za usili (ujaji)" Inasadifu kuwa wakati watu wanapotarajiwa kuwa wakirudi, wakati huohuo babu Msumbili akawa amewasili kutoka shughuli zake.
0 Comments

Mbinu za Sanaa katika riwaya ya chozi la Heri

10/6/2020

0 Comments

 
Mbinu za Sanaa katika riwaya ya chozi la Heri
KINAYA.
  • Hii ni mbinu inayofanya matukio katika kazi ya Sanaa kuwa kinyume na matarajio ya hadhira.
  • Katika ukurasa wa 5; "Naona umeanza kuitia akili yangu kwenye mtihani mgumu. Unanichanganya hasa Kwanza sijui wapi kapata moto wa miaka hamsini " Ni kinaya kuwa mototo ana miaka hamsini,kinyume na matarajio ya kawaida ya kuwa mototo ni yeyote aliye chini ya umri wa miaka kumi na minane.
  • Katika ukurasa wa 62; Mwangeka aliajiriwa na kupanda ngazi moja baada ya nyingine hadi alipoenda kudumisha Amani kwingine, na mkewe kufa kutokana na ukosefu wa usalama nchini mwao huu ukawa mwisho wa ndoa yao ya miaka mitatu. Nikinaya kuwa Mwangeka anaenda kuweka usalama kwenye mataifa mengine ilhali kwao bado usalama ni balaa, na hili linasababisha kuuliwa kwa mkewe.
  • Katika ukurasa wa 65; Alipofikiria kila asubuhi, kama alivyosikika akisema, alihisi kinaya. Wanawe walipoenda kusomea Ngambo, kama wafanyavyo wana wa viongozi ambao wanaiona elimu ya humu kama isiyowahakikishia mustakabali mwema raiya wake, ... Ni kinaya kuwa viongozi wa nchi za kiafrika wanaiona elimu ya humu kuwa duni ilhali ni wao wanaoisimamia elimu yenyewe; badala, wanawapeleka Wana wao kusomea nchini za mbali ambako wanadhania kuwa kiwango cha elimu ki juu.
  • Katika ukurasa wa 65; This country has nothing to offer. Nchi ambayo hata walio na shahada tatu bado wanalipwa mishahara ya mkia wa mbuzi mimi sitakufa maskini acha niwkeze huku mbali ambako Sina hofu ya mali yangu kuibwa au kuchomwa na waivu wangu... Ni kinaya kuwa wana hawa wanakataa kurudi kwao nyumbani walikozaliwa kwa kuona kuwa hali ya maisha huku ni duni sana na si ya kiwango walichofikia huko ughaibuni walikoenda kupata elimu.
  • Ni kinaya kuwa kiongozi wa dini anawaambia watu 'amani iwe nanyi'ilhali hawa watu hawana Amani kwani chakula, mavuzi na makao hawana. Wanaishi msituni kama wanyama pori;
  • Katika ukurasa wa 28;"...haikosi alikuwa kiongozi wa kidini alitoka na kutusalimu: peace be with you, 
0 Comments

Maudhui katika riwaya ya Chozi La Heri

10/6/2020

0 Comments

 
Maudhui katika riwaya ya Chozi La Heri
MALEZI.
  • Hii ni hali ya mzazi kumlea mtoto aliyemzaa au hata wa kupanga.
  • Katika riwaya hii, swala la ulezi limejikita sana katika hali tofauti. Kunao wazazi ambao wanawalea wana wao kwa njia inayofaa, wengine baada ya kuwazaa wana wao, huwatupa kwenye majaa ya taka ili waage dunia. Kunao wengine ambao baada ya kujifungua, na kutopata haja ya kuwa na malaika huyo, wanaamua kumtupa langoni la nyumbani mwa watoto wasiokuwa na wazazi ili mwana huyu aweze kutelekezwa na kulelewa huku na wasamaria hawa wema.
  • Kunao wazazi wengine ambao wanawalea wana wao katika hali ya umaskini, lakini baadae, watoto hawa wanakuwa ndio wa kuwasaidia wazazi wao.".Lunga ilibidi kuwa baba na mama wa watoto wake,na hilo usilione kama jambo jepesi, Hakuwaacha watoto wake kama alivyofanya mkewe Naomi' Tunapata kuwa kuna kina mama wengine ambao wanawaa chia kina baba watoto ili wawalee. Haya ni malezi mabaya kutokana na wazazi wa kike.
0 Comments

Maudhui katika riwaya ya Chozi La Heri

10/6/2020

0 Comments

 
Maudhui katika riwaya ya Chozi La Heri
UTALA.
  • Hii ni hali ya mume mmoja kuwa na wake wengi, au Zaidi ya wawili.
  • Hali hii inapatikana sana katika jamii za waafrika, na mzee huheshimiwa akiwa na familia kubwa Zaidi na wana wengi. Mtala ni mmoja wa wake wengi waliooleka kwa mume mmoja. Assumpta K. Matei anajikita katika maudhui haya kama tunavyo ona kutokana na mifano ifuatayo.
  • Katika ukurasa wa 7 tunasoma; "Baba yake yasemekana alikuwa na wake kumi na wawili. Unajua zama hizo hali ilivyokuwa Mzee mwenye wake na wana wengi alihesabiwa kuwa mkwasi kwelikweli "
  • Katika ukurasa wa 148 tunasoma; "Wajomba zangu hawakuchelea kupokea posa na baadaye mahari kutoka kwa buda mmoja ambaye alinioa kama mke wa nne "
  • Katika ukurasa wa 151 tunasoma; "Zao la muungano huu lilikuwa kuzaliwa kwa mwanangu wa pili. Huyo yumo mtaa wa Sinyaa ambako nilikuwa ninaishi baada ya kupigwa pute na Nyangumi, mkewe wa halali amemrudia "
  • Kutokana na hali hizi tofauti, tunapata kuona kuwa jambo la wanawake kuoleka kwa bwana mmoja lilikuwa limekithiri sana katika jamii.
0 Comments

Maudhui katika riwaya ya Chozi La Heri

10/6/2020

0 Comments

 
Maudhui katika riwaya ya Chozi La Heri
UTABAKA.
  • Hii ni hali ya kuwa na kundi fulani katika jamii linalotofautiana na kundi lingine katika jamii iyo hiyo,kwa misingi ya kiuchumi, kielimu na kadhalika.
  • Utabaka mara nyingi hujitokeza wakati kunapopatikana matajiri na masikini katika jamii. Pia kuna matabaka ya wasomi, wafanyakazi, wafanya biashara, na kadhalika.
  • Katika ukurasa wa 14 uliopo ni ule wa hali, mazoea na silika. Hapa tulipo tupamwe na wamwe na walokuwa nacho na wachochole. Unaweza kusema kuna kiasi
  • Fulani cha usawa watu husema kuwa binadamu hawawi sawa ila kifoni Kile ambacho hawajuia ni kwamba hata katika kifo, hamna usawa. Pana tofauti kati ya mandhari wanamofia. Kuna wanaokufa wakipewa na wauguzi katika zahanati za kijiji. Wapo wanaolala maumivu yao yakiwa yamefishwa ganzi kwenye hospitali za kifahari, wakiliwazwa na mashine, kila mmoja akihimiza wenzake kuushikilia kukutu uhai wa mheshimiwa huyu.
  • Hawa wafapo sura zao huwa tulivu; wameziachilia huru roho zao kwa faraja. Huwezi kuzilinganiSha nyuso zao na za wanaokufa kwa hamaniko wakizingirwa na jamaa ambao hawana hata hela za kununulia sindano ya kuingiza dawa mwilini!Kuna wale ambao hufia kwenye vitanda vya mwakisu vitongojini baada ya kupiga maji haramu. Hawa husemekana kuwa wamekuwa nzi ambao hufia dondani sio hasara.
  • Hulaumiwa kwa kujitosa katika msiba wa kujitakia. Tofauti hizi zote unazijua. Unajua pia kuna tofau hata katika mitindo ya mazishi, viviga vinavyohusishwa na sherehe za mazishi na hata mavazi ya "mwenda zake" na wafiwa. Hata majeneza yenyewe huhitilafiana!"Kuna matabaka mawili yaliyoangaziwa sana hapa,yale ya walala hoi, na walala heri. Matabaka haya mawili yanatofautiana sana kihali, na jinsi ya kufanya mambo yao.
0 Comments

Maudhui katika riwaya ya Chozi La Heri

10/6/2020

0 Comments

 
Maudhui katika riwaya ya Chozi La Heri
UTAMADUNI.
  • Hizi ni mila, desturi, asili, lmani na itikadi za watu fulani au jamii fulani.
  • Lazima watu hawa ama jamii hii ifuate mila zake, ili kila mmoja atambulike kuwa mmoja kati ya hao watu ama wanajamii.
  • Katika ukurasa wa 8 tunasoma; "Unajua zama hizo hali ilivyokuwa!Mzee wenye wake na wana wengi alihesabiwa kuwa mkwasi kwelikweli. Basi wake hawa hawakuchelea kutimiza amri ya maumbile, wakapania kuujaza ulimwengu!"
  • Ulikuwa ni utamaduni wa kiafrika kuoa wanawake wengi, na kuwa na familia kubwa uwezavyo, na kwa hayo, unakuwa mtu wa kuheshimiwa, na kuhesabiwa kati ya wakwasi wa jamii hiyo. Hii ni hali au tendo la watu wawili au zaidi kuungana na kusaidiana katika shughuli aidha za kikazi, ili kuafikia lengo moja sawa.
  • Katika ukurasa wa 9 tunasoma; "Ilipotokea kwamba kulikuwa na upungufu wa ardhi katika eneo Fulani, watu wangehama na kuishi na watu wa ukoo mwingine. Lilikuwa jambo la kawaida kuwapata watu wakiishi na kulima katika mashamba ya majirani, marafiki na jamaa. Baada ya kuyalima mashamba haya kwa muda, yaliishia kuwa yao.
  • Hawakuhitajika kuyanunua kama wanavyofanya sasa "Tunapata kuona kuwa nyakati za hapo awali,kulikuwa na ushirikiano mkuu katika jamii, na kila mtu aliishi kwa udugu na mwenzake, wakafanya kazi pamoja, wakaishi pamoja, wakalima mashamba pamoja, na hivyo basi, ufanisi ukawa mkubwa sana.
0 Comments

Maudhui katika riwaya ya Chozi La Heri

10/6/2020

1 Comment

 
Maudhui katika riwaya ya Chozi La Heri
UJAALA.
  • Haya ni maudhui ambayo huhusisha mambo yanayofanyika kwa uwezo wake Mwenyezi Mungu. Binadamu hana uwezo wa kuyabadilisha mambo haya, na hayezi kuyaepuka kwa njiayoyote ile.
  • Assumpta K.Matei ametumia mauidhui haya katika kazi yake ya fasihi kwa njia hizi;
  • Katika ukurasa wa 8 tunasoma; "Ridhaa hakuwa mkazi asilia wa msitu wa Heri.
  • Alikuwa mfuata mvua',kama walivyoitwa walowezi na wenyeji kindakindaki. Hakupachagua mahali hapa, majaaliwa yalitaka, na majaaliwa yana nguvu"
  • Ridhaa hakujichagulia kuishi kule, ila alijikuta humo kwa nguvu zake Maulana ambazo haziwezi kuepukika.
  • Katika ukurasa wa 128 tunasoma; "Hata waliposikia kwa mbali sauti ikitangaza kuwa abiria wanaoabiri ndege Tumaini waanze kuingia, walijua jaala ilikuwa imewakutanisha, kwamba hawatawahi kutengana tena "
  • Haukuwa uwezo wao kukutana, ila tu ni kwa uwezo wake Mungu.
1 Comment

Maudhui katika riwaya ya Chozi La Heri

10/6/2020

0 Comments

 
Maudhui katika riwaya ya Chozi La Heri
UHARIBIFU WA MALI NA MAZINGIRA.
  • Assumpta K.Matei amejikita katika maudhui ya uharibifu wa mazingira na pia mali ya watu binafsi.
  • Katika ukurasa wa 20 tunasoma; "Nchi ya Wahafidhina ilitwaa sura mpya. Misafara kwa misafara ya watu waliohama kwao bila kujua waendako ilizipamba barabara na vichochoro vya Wahafidhina. Mizoga ya watu na wanyama, magofu ya majumba yaliyoteketezwa kwa moto, na viunzi vya mimea iliyonyong'onyezwa na moto ilijikita kila mahali; uharibifu wa mali na mazingira ukashamiri "
  • Katika ukurasa wa 20 tunapata; "Mara hali ilibadilika,nikaona wote wameyazingira magari barabarani na kuanza kuyawasha moto kana kwamba wanayachoma atiabiwi ya taka!...Magari yaliwaka moto bila kujali kilichomo ndani " Matukio haya yanatuonyesha jinsi mali ya watu binafsi ilivyoharibiwa na vijana, kwa kuteketezwa moto.
0 Comments

Maudhui katika riwaya ya Chozi La Heri

10/6/2020

0 Comments

 
Maudhui katika riwaya ya Chozi La Heri
MABADILIKO.
  • Hii ni hali ambapo mambo yanaenda kinyume na jinsi yalivyokuwa yakienda mbeleni.
  • Hali ya kufanya mambo inabadilika na kuwa tofauti ya kawaida yake.
  • Katika ukurasa wa 10; "Hatua ya mkoloni ya kupuuza sera za Mwafrika za umiliki wa ardhi, na kuamua kujumuisha pamoja ardhi iliyomilikiwa na mtu binafsi, na kuidhinisha umiliki huti kwa hati miliki, ilivuruga mshikamano wa kijamii.
  • Katika sera ya kijadi ya umiliki na matumizi ya ardhi, raiya wote, hata wageni, walikaribishwa na kugawiwa mashamba, hiwo kupata mbinu ya kuyaendeshea maisha. Sera mpya ya umilikaji nafsi wa ardhi ilimaanisha kwamba wale waliokosa pesa za kununulia mashamba wangekosa mahali pa kuishi. Na hata wale waliobahatika kuwa na pesa za kununulia mashamba daima walichukuliwa kama wageni wasiopasa kuaminiwa Tunapata kuwa mfumo uliokuwepo hapo awali wa kumiliki mashamba barani Afrika ulipigwa marufuku na kukawa na mfumo mpya wa umiliki wa mashamba uliohusisha kupewa kwa hati miliki. Haya ni mabadiliko yanayokuja katika jamii.
  • Katika ukurasa wa 11; "Pengine hata ni mzaha tu. Kesho nitakurudisha shuleni. Nitazungumza na mwalimu Hi awaelekeze Zaidi 'Huo ndio uliokuwa mwanzo wa maisha ya heri kwa Ridhaa. Baada ya mwalimu kuzungumza na wanafunzi na kuwasisitizia umuhimu wa kuishi pamoja kwa mshikamano dhihaka na masimangoyaliisha "Kuna mabadiliko yanayofanyika katika shule baada ya mamake Ridhaa kuzung umza na mwalimu wake kuhusu umuhimu wa kuwajuza wa nafunzi ushirikiano na kuishi kwa umoja. Mabadiliko haya yanakuwa ya maana sana kwa Ridhaa kwani elimu yake inaendelea kwa ufasaha na anahitimu hadi chuo kikuu.
  • Katika ukurasa uo huo wa 11 tunasoma; "Mimi binafsi nimefanya juu chini kuhakikisha kuwa kijiji kizima kimepata maji ya mabomba. Eneo ambalo awali likiitwa Kalahari, sasa limetwaa rangi ya chanikiwiti. Miambakofi, mivule na miti mingine mingi imepandwa. Mvua inanyesha majira baada ya mengine "Haya ni mabadiliko yanayofanyika katika mtaa huu ambao ulikuwa hapo awali umekauka sana lakini baada ya maji ya mabomba kufikishiwa watu, tunapata kuwa kunabadilika na ile hali ya kuwa jangwa inaisha, miti mingi inapandwa na hata mvua nyingi kunyesha.
  • Katika ukurasa wa 84,"Maisha ya Umu yalichukua mkondo mpya. Siku ile baada ya kuwapigia polisi ripoti, ilibainika kuwa wanuna wake walikuwa wametekwa nyara na Sauna "
  • Maisha ya Ridhaa pia yanachukua mkondo mpya au kubadilika wakati familia yake inapoangamia kwenye janga la moto, na mali yake yote kuishia hapo. Maisha yaliyokuwa ya furah pamoja na familia yake yanabadilika na kuwa uchungu mtupu na kilio cha kufiwa na wapenzi wake.
  • Katika ukurasa wa 40 tunasoma; "Ridhaa Na nani akasema viongozi waliopo hawajajikuna wajipatapo?Huoni hata wahasiriwa wa magonjwa sugu kama vile iri na hata UKIMWI wana dawa za bei nafuu za kuwawezesha kudhibiti hali hizi?Je, serikali haijaanzisha sera ya elimu bila malipo kwa Shule zote za msingi?Haijagharamia karo za Shule za kutwa katika Shule za upili?kumbuka pia na ule mradi wa kuhakikisha kuwa kila mwanafunzi kuanzia darasa la kwanza ana kipakatalishi chake?Ushaona?Hivi karibuni, nchi inafikia ile vision 2030 hata kabla ya 2030 yenyewe!Je, ni tume ngapi za kuchunguza kashfa za kifisadi ambazo zimeundwa?Hizo si juhudi za kupigana na ufisadi?"
  • Maelezo haya yote yanatuonyesha jinsi taifalimepiga hatua mbele kimaendeleo. Kumekuwa na mabadiliko mengi sana katika serikali na pia hali ya maisha ya raia, bila kusahau elimu.
  • Katika ukurasa wa 63 tunasoma; "Usicheze na binadamu apatapo nyenzo ya kujiinua kabla ya miaka miWili kuisha, mahali hapa palikuwa pameb.
  • Maa sura mpya-majumba yenye mapaa ya vigae, misitu ya mihindi na miharage, maduka ya jumla,viduka vya rejareja almuradi kila mtu alijifunga mkaja kutunisha kibindo chake; kufidia alichokuwa amekipoteza hapo awali "Haya ni mabadiliko yanayoendelea katika msitu wa Mamba.Tunaambiwa kuwa msitu huu uligeuka na kuwa nyumbani mwa maelfu ya watu waliogura makwao bila tumaini ya kurudi. Maduka na majumba yanajengwa, na ile hali ya kuwa msitu inabadilika, na mashamba ya watu ndiyo yanayoonekana kwa sasa.
  • Pia katika ukurasa wa 148 tunasoma; "Maisha yangu yalichukua mkondo mwingine nilipojiunga na darasa la saba. Ka tika jamii yangu, inaaminika kuwa msichana akishaisha kupashwa tohara, ameingia utu uzimani, hivyo ataipaka familia yake tope ikiwa ataendelea kuozea kwao bila mume "
0 Comments

Maudhui katika riwaya ya Chozi La Heri

10/6/2020

0 Comments

 
Maudhui katika riwaya ya Chozi La Heri
DEMOKRASIA.
  • Huu ni mfumo wa utawala ambao viongozi wake huchaguliwa kwa njia ya kupiga kura.
  • Katika ukurasa wa 19 tunasema, "Viongozi wenyewe baada ya kupiga kura, walijikalia makwao, na kuendelea kuwatazama masabaha wao kwenye runinga wakiendelea kuzozana"
0 Comments

Maudhui katika riwaya ya Chozi La Heri

10/6/2020

1 Comment

 
Maudhui katika riwaya ya Chozi La Heri
UFISADI.
  • Huu ni utumiaji mbaya wa mali ya uma. Pia ni ubadhilifu wa mali ya serikali au chama.
  • Katika Uk 41 tunapata kuwa kuna tume za kupigana na ufisadi ambazo zinaundwa, na jambo hili ni ishara kuwa kuna ufisadi unaoendelezwa "Je, ni tume ngapi za kuchunguza kashfa za kifisadi ambazo zimeundwa?Hizo si juhudi za kupigana na ufisadi?"
  • Pia katika uk 13,"Uchukuzi wa milungulu pia ni aina ya ufisadi katika serikali "Wengine walionekana wakitoa milungulu hadharani, wengine wakatishia kuishtaki wizara husika kwa kile walichokiita ukiukajia haki za umiliki mali "
1 Comment

Maudhui katika riwaya ya Chozi La Heri

10/6/2020

0 Comments

 
Maudhui katika riwaya ya Chozi La Heri
DINI.
  • Hii ni imani inayohusiana na kuwepo kwa Kiumbe mwenye nguvu Zaidi kuliko viumbe wengine(Mungu).
  • Haya ni maudhui yaliyojitokeza kwenye kitabu hiki kwa njia zifuatazo;
  • Katika Uk 31 tunasoma, "Shirika la makazi bora lilikuwa limejitolea kuja kuwajengea wakimbizi nyumba bora. Misikiti na makanisa nayo yalikuwa yamekusanya magunia ya vyakula kuwalisha wahasiriwa wa hali hii ya tandabelua; ...sote tulikaa tukitunga macho barabarani tukisubiri jinsi waumini wanavyoambiwa wasubiri kuja tena kwa Masiya "
  • Pia katika Uk 32 tunasoma kuwa, "Nilikumbuka kifungu kimoja katika sala za waumini(wakati nilipokuwa nikihudhuria ibada),kilichosema,ninawapa Amani mani yangu nawaachia "
0 Comments

Maudhui katika riwaya ya Chozi La Heri

10/6/2020

2 Comments

 
Maudhui katika riwaya ya Chozi La Heri
UOZO WA MAADILI YA JAMII.
  • Hii ni hali ambapo maadili ya jamii yamepunguka kwa kiasi kikubwa, na hivyo mambo yanayofanywa katika jamii hiyo si ya kukubalika. Tazama mifano michache ifuatayo ya uozo huu.
  • Ubakaji Hili ni jambo ambalo limepatikana katika jamii na husababishwa na ukosefu a maadili mema ya wanajamii.
  • Katika ukurasa wa 25 tunasoma; "Kisha genge hili la mabarobaro watano lilifululiza hadi walipokuwa maskini mabinti zangu wawili, Lime na Mwanaheri. Sikuweza kuvumilia kuona unyama waliotendewa. Nilijaribu kwa jino na ukucha kuwaokoa lakini likawa suala la mume nguvuze Mahasimu hawa walitekeleza unyama wao na kuniacha bila kunigusa, niuguze majeraha ya moyo " Wasichana hawa wawili walibakwa hadharani huku baba yao akitazama bila uwezo wa kuwasaidia.
  • Ulanguzi wa dawa za kulevya. Tunapata kuwa Dick anaifanya kazi ya kusafirisha dawa za kulevya kutoka nchi moja hadi nyingine, na hii ni biashara ambayo inafanywa na vijana wengi, na kuwafanya wengine kuingia kwenye mtego ya polisi na kuelekea kutumikia kifungo chao gerezani.
  • Uk 119-120. "Siku hiyo kiwewe kilikuwa kimemkumbatia kwani kazi ya kubeba dafina'kama walivyoiita biashara haramu ambayo kalazimishwa kufanya siku hizo, ilikuwa imewaingiza wengi kwnye nyavu na madema ya polisi, wakatiwa mbaroni "Dick amesafirisha maelfu kwa maelfu ya vifurushi vya dawa hizi. Mwanzoni hakuwa mraibu Wa dawa hizi lakini ilibidi ajizoeshe, kwa usalama wake mwenyewe, kwani mara nyingi ilibidi kuzimeza dawa zenyewe ili kwenda kuzitapika kwenye masoko ughaibuni "
  • Uporaji, wizi na ukatili. Haya ni matendo ya kuchukua mali au milki ya mtu mwingine na kutaka kuimiliki bila idhini na kwa njia ya mabavu.
  • Tunapata kuwa mali ya watu binafsi yanaharibiwa, kwa mfano nyumba na mali yote ya Ridhaa yanateketezwa, wakiwemo watoto wake na mkewe pia.
  • Pia, mali ya wananchi kama mashamba yananyakuliwa na wanaachwa bila chochote.
  • Katika ukurasa wa 25,tunapata kuwa mabarobaro wanavamia watu na kuwafanyia unyama, "Kabla hajajibu lolote, alikuwa amekula mikato miwili ya sime, akazirai kwa uchungu " Uendelezaji wa biashara haramu.Bi. Kangara walifanya baiashara haramu ya kuwauza watoto na vijana.
  • Uk 157; "Safari yake ilipata mkondo mwingine baada ya polisi kupata fununu kuhusu njama ambazo yeye na Bi Kangara walikuwa wakiendesha. Mabibi hawa walikuwa na mtandao ambao kazi yake ilikuwa kuwauza watoto na vijana "uk 84;
  • "Sauna alikuwa Chui ambaye hakupigwa na mshipa kujifanya mwema kwa waajiri wake ili aaminiwe,naye apate fursa ya kuwaiba watoto na kuwapeleka kwa bibi mmoja ambaye aliwatumia ka biashara ya nipe nikupe, na katika ulaguzi wa dawa za kulevya
  • Uk 151; "Zao la muungano huu lilikUWa kuzaliwa kwa mwanangu wa pili. Huyu yumo mtaa wa Sinyaa ambako nilikuwa ninaishi baada ya kupigwa putwe na Nyangumi, mkewe wa halali amemrudia.Analelewa na ndugu yake lnabidi hali iwe hivi kwani Sina pesa za kumlipia kijaka zi, na vinywa hivi viwili lazima vilishwe. Na usidhani hata kitoto hiki Cha pili sikujaribu kukiangamiza. Kwa kweli ukaidi wa kijusi chake ndio mwokozi wacho.
  • Mwishowe nilimwendea daktari ambaye, badala ya kunisaidia, alikilaani kitendo changu na kuniambia kwamba nisimtie katika majaribu "
  • Uk 151;"Hiki kilichonilaza hapa nacho kina roho Zaidi ya saba. Ni kijalaana ambacho nilikiokota katika shughuli za uuzaji pombe. Nadhani mmoja kati ya walevi waliozoea kuja kwenye baa nilimoajiriwa kuuza pombe aliniwahi nishai zikiwa zimenilemea, yakatokea ya kutokea, akaniachia ujira wangu wa kuafriti hiki "
  • Uavyaji mimba.Tunapata kuwa uavyaji wa mimba ulikuiwa umekidhiri sana, na hili ni jambo lisilokubalika katika jamii na pia katika maandiko matakatifu.
  • Msichana huyu (Sauna) anapata mimba kiholela na kujaribu awezavyo kuiavya, na mwishowe, baada ya kushindwa kuavya mimba, anaamua kujiua. Katika ukurasa wa shetani' Sauna aliuambia moyo wake, 'Unajua kuwa mimi Sikuumbiwa ujalaana, walimwengu ndio walinifinyanga upya, wakanipa moyo wa ujabari.
  • Fikiria u kigoli, kifua ndio kinaanza kuvuvumka, kasha unaamka usiku kumpata baba yako, ba-ba-ya-ko,kwenye chumba Chako cha malazi. Anakutenda ya kutendwa. Asubuhi huna hata uso wa kumtazamia yeyote, wala kinywa cha kumwambia mamako kuhusu feli Uliyotendewa. Na utamwambiaje mja huyu ambaye daima ni mwanamke taa, atakalo baba yeye hiliridhia bila swali, na ikitokea kwamba atauliza swali, anakuwa mpokezi wa makonde, vitisho na matusi?Hebu yatie haya kwenye miza ni; baada ya mwezi mmoja unaanza kushikwa na kisulisuli,kichefuchefu cha asubuhi nacho kinakuandama fikra zako za kitoto zinakutuma kuwaza kuwa ni malaria au homa ya matumbo. Unammwambia mama yako ambaye anaonekana kushtuka kiasi. Mama anapokupeleka hospitali, anapasuliwa mbarika,nawe limbukeni hujui lolote. Mnapofika nyumbani, anakuhoji, nawe hujui kuficha lolote, unamwambia imekuwa mazoea baba yako kukuhujumu kila apatapo nafasi "Hili haliwezi kukubalika!Kujipagaza uzazi na ulezi katika umri huu, tena mzazi mwenzio si mwingine, ila baba yako?" Mapenzi kati ya baba mlezi na bintiye.Babake Sauna anafanya mapenzi na mwanawe apatapo nafasi, na mwishowe, Sauna anapata mimba. Hili ni jambo ambalo halijakubalika katika jamii na pia ni jambo la kufadhaisha sana na lenye kuleta laana. Mbele ya Mwenyezi Mungu, ni jambo linalofaa pigo kubwa sana na hata mauti.
  • Jambo hili lindhihirisha uozo wa maadili ulioko katika jamii na umefichika sana.Kutupwa kwa watoto wachanga
  • Katika ukurasa wa 162 tunasoma hapa ameokotwa na binti huyu kwenye jaa la taka, 'alisema askari,'Huenda akataka kukueleza kadhia yenyewe,'akaongeza "Asante sana
  • Neema, kwa utu wako, 'akasema mtawa huyu,'Kitoto hiki kimepata kwao. Hapa, tutakiita Nasibu,Nasibu Immaculata Najua itatokea familia hitaji itakayokuja kumpanga kama mwanao "
  • Hili linatudhihirishia jinsi jamii imekuwa na mazoea ya kutupa wu ovyo ovyo bila kujali kuwa hao ni binadamu. Haswa wasichana wadogo wanapopata mimba bila ya kujipanga, wakishindwa kuavya mimba, wanaelekea kukitupa kitoto hicho kichanga punde tu baada ya kujifungua.
2 Comments
<<Previous
    Chozi la Heri
    Chozi la Heri

    ​Uchambuzi wa Chozi la Heri na Assumpta K Matei

    chozi la heri uchambuzi


    CATEGORY

    Categories

    All
    Jalada
    MASWALI NA MAJIBU
    MWONGOZO
    SWALI NA JIBU
    Ufaafu Wa Anwani
    WAHUSIKA

    ARCHIVES

    Archives

    January 2023
    December 2022
    May 2022
    October 2021
    June 2021
    June 2020
    May 2020

    AUTHOR

    M.A NYAMOTI

    B.ed Science [MKU]

    RSS FEEDS

    RSS Feed


    CHOZI LA HERI

    chozi_la_heri__qns__ms_.pdf
    File Size: 1257 kb
    File Type: pdf
    Download File

    chozi_la_heri_qns.pdf
    File Size: 391 kb
    File Type: pdf
    Download File

    chozi_la_heri_guide.pdf
    File Size: 2089 kb
    File Type: pdf
    Download File

    chozi_la_heri_guide_0714497530.pdf
    File Size: 2126 kb
    File Type: pdf
    Download File

    chozi_la_heri_guide_latest.pdf
    File Size: 1287 kb
    File Type: pdf
    Download File


    HIGH SCHOOL EXAMINATIONS

    OPEN

    ENGLISH LITERATURE BOOKS & SETBOOKS

    OPEN

    KCSE KISWAHILI SETBOOKS

    OPEN

    Geography Form 1 Notes and Other Resources

    OPEN

    KCSE PAST PAPERS BY SUBJECT 1989 - LAST YEAR

    OPEN

    Geography Form 2 Notes and Other Resources

    OPEN

    KCSE Past Papers, Marking Schemes and Reports

    OPEN

    BIOLOGY FORM 1 NOTES

    OPEN

    ALL SECONDARY RESOURCES (EXAMINATIONS, NOTES, TUTORIALS AND REPORTS)

    OPEN

    PRIMARY SCHOOL RESOURCES 8-4-4

    OPEN

    KCPE Past Papers, Marking Schemes and Reports

    OPEN

    STANDARD 8 CLASSROOM RESOURCES

    OPEN
    1 2


Primary Resources
  • K.C.P.E Past Papers
  • ​Pri - Primary 1 Level
  • Pri  - Primary 2 Level
  • Grade 1
  • Grade 2
  • Grade 3
  • Grade 4
  • Standard 5
  • Standard 6
  • Standard 7
  • Standard 8
  • English
  • Kiswahili
  • Social Studies
  • Science
  • Mathematics
  • Kenya Sign Language
  • I.R.E
  • ​H.R.E
  • Notes
  • Termly Questions
  • Mocks
  • K.C.P.E Past Papers
College Resources
  • E.C.D.E
  • P.T.E
  • D.T.E
  • Technical Diploma
  • Technical Certificate
  • Business Diploma
  • Business Certificate
  • Higher Diploma
  • K.A.S.N.E.B Resources
  • K.M.T.C Resources
  • Varsity Resources
Secondary Resources
  • K.C.S.E Past Papers
  • Form 1
  • Form 2
  • Form 3
  • Form 4
  • Term 1
  • Term 2
  • Term 3
  • English
  • Geography
  • History
  • C.R.E
  • I.R.E
  • ​H.R.E
  • Home Science
  • Computer Studies
  • Business Studies
  • Agriculture
  • Chemistry
  • Biology
  • Physics
  • Mathematics ALT A
  • Mathematics ALT B
  • Kiswahili
  • French
  • Germany
  • Arabic
  • Aviation
  • Art & Design
  • Drawing & Design
  • Building & Construction
  • Metal Works
  • Wood Work
  • Music
  • Kenya Sign Language
  • Electricity
Other Useful Links
  • Academic Environment
  • How its Done
  • News and Opinions
  • Manyam Franchise Support
  • About
  • SITEMAP
  • FOCUS A365 SERIES
  • Membership Details (KCPE/KCSE)
  • Secondary Mocks
  • SYLLABUS
Contact Us
Manyam Franchise
P.O Box 1189 - 40200 Kisii
Tel: 0728 450 424
Tel: 0738 619 279
Tel: 0763 450 425
E-mail - sales@manyamfranchise.com
  • Start
    • SITEMAP
    • KNEC Portal
    • ZERAKI HELP AND SUPPORT
    • Academic Environment
    • KNEC KCSE PROJECT INSTRUCTIONS
  • BLOGS
    • About Us? >
      • Learn more about us
    • CUSTOMER CARE >
      • PRICING
      • Help & Support
    • News and Opinions
    • JOBS IN KENYA AND ABROAD FOR KENYANS AND BEYOND
    • How its Done
  • OUR PRODUCTS
    • All Categories >
      • MORE PRODUCTS >
        • SECONDARY CRE NOTES
        • COURSE BOOKS
        • KCSE KISWAHILI SETBOOKS
        • Backed Up Files and Archives
        • FREE DOCUMENTS
        • PRIMARY 8-4-4 BASED RESOURCES
        • STANDARD 8 RESOURCES
        • HIGH SCHOOL RESOURCES >
          • Biology Paper 3 Exams
          • Secondary Examinations
        • PRIMARY CBC BASED RESOURCES
        • COLLEGE & VARSITY RESOURCES
      • PRIMARY RESOURCES CBC
      • PRIMARY RESOURCES 8-4-4
      • SECONDARY RESOURCES
      • NOTES & TUTORIALS
      • COLLEGE RESOURCES
      • NOVELS and OTHER BOOKS
    • EXAMINATIONS >
      • MOCKS AND JOINT EXAMS >
        • FORM 1 QUESTION PAPERS, ANSWERS AND MARKING SCHEMES COLLECTIONS
        • FORM 2 QUESTION PAPERS, ANSWERS AND MARKING SCHEMES COLLECTIONS
        • FORM 3 EXAMINATIONS, QUESTION PAPERS AND ANSWERS
        • FORM 4 MOCKS PAST EXAMS BY REGION
        • TOP SECONDARY EXAMS ALL SUBJECTS
      • KPSEA NATIONAL EXAMS
      • KCPE >
        • KCPE PAST PAPERS AND ANSWERS >
          • KCPE 2020 RESULTS, REPORTS, QUESTIONS AND ANSWERS
          • KCPE PAST PAPERS 2019 REPORTS, RESULTS, QUESTIONS AND ANSWERS
        • KCPE PAST PAPERS PER SUBJECT
      • KCSE >
        • KCSE PAST PAPERS BY SUBJECT
        • KNEC KCSE PAST PAPERS, MARKING SCHEMES, QUESTIONS & ANSWERS
        • Free KCSE Past Papers Mathematics
        • Free KCSE Biology Questions and Answers
      • QUESTIONS & ANSWERS >
        • SECONDARY >
          • LANGUAGES >
            • Secondary English Questions and Answers
          • TECHNICALS >
            • COMPUTER STUDIES >
              • COMPUTER STUDIES Q & A
              • kcse computer studies paper 2 AND 3 Questions & Answers
            • BUSINESS STUDIES QUESTIONS & ANSWERS
            • KCSE AGRICULTURE TOPICAL QUESTIONS AND ANSWERS
            • KCSE HOME SCIENCE DIRECT QUESTIONS AND ANSWERS
          • SCIENCES >
            • KCSE Mathematics Topical Questions
            • KCSE Biology Topical Questions and Answers
            • CHEMISTRY TOPICAL QUESTIONS AND ANSWERS
            • KCSE Physics Topical Questions
            • KCSE physics Practical Sample Quiz
          • HUMANITIES >
            • C.R.E (CRE) QUESTION AND ANSWERS
            • ISLAMIC RELIGIOUS EDUCATION (IRE) QUESTIONS AND ANSWERS
            • KCSE History Topical Questions and Answers
            • GEOGRAPHY TOPICAL QUESTIONS AND ANSWERS
        • PRIMARY >
          • Standard 4-8 Mathematics Topical Questions from Mocks and KCPE
          • Std 6 Mathematics Notes
    • TUTORIALS >
      • SECONDARY >
        • SCIENCES >
          • FOCUS MATHEMATICS TUTORIALS AND EXAMS FREE
          • KCSE BIOLOGY NOTES
          • FREE KCSE CHEMISTRY NOTES
          • KCSE PHYSICS NOTES, AUDIOVISUALS AND MORE
        • LANGUAGES >
          • ENGLISH >
            • A GUIDE TO SILENT SONG AND OTHER STORIES
            • English KCSE Set Books
            • ENGLISH POETRY QUESTIONS WITH ANSWERS FOR K.C.S.E CANDIDATES
            • ENGLISH GRAMMAR #KCSE
          • KISWAHILI >
            • Bembea ya Maisha
            • CHOZI LA HERI - MWONGOZO
            • KIGOGO - MWONGOZO
            • MASWALI NA MAJIBU YA TUMBO LISILOSHIBA
            • USHAIRI MASWALI NA MAJIBU
            • KCSE Kiswahili Fasihi
        • TECHNICALS >
          • HOME SCIENCE NOTES
          • KCSE BUSINESS STUDIES NOTES
          • COMPUTER STUDIES NOTES LATEST
          • kcse Computer Studies Notes
          • KCSE AGRICULTURE NOTES, SYLLABUS, QUESTIONS, ANSWERS, SCHEMES OF WORK AND OTHERS
        • HUMANITIES >
          • KCSE History Notes Form 1 to 4
          • FREE KCSE CRE NOTES
          • KCSE GEOGRAPHY NOTES
          • IRE NOTES, AUDIOVISUAL, QUESTIONS AND ANSWERS
      • PRIMARY >
        • STANDARD 4: SOCIAL STUDIES
        • NOTES >
          • KISWAHILI
          • SOCIAL STUDIES
        • EXAMINATIONS
        • DecaTurbo Online Series Examinations
        • KCPE Mathematics Notes
        • KCPE and Primary Level Compositions
      • Other Supportive Documents >
        • SYLLABUS >
          • Primary 8-4-4 based Syllabus, Objectives and Lessons
          • Primary Mathematics Syllabus
        • MASOMO VIDEOS
    • CURRICULUM >
      • NEW CURRICULUM DESIGNS >
        • PRIMARY >
          • PRE PRIMARY ONE CURRICULUM WITH SYLLABUS
          • PRE PRIMARY TWO CURRICULUM WITH SYLLABUS
        • SECONDARY >
          • KNEC KCSE SYLLABUS AND COURSE OUTLINES
        • COLLEGE >
          • Regulations for the TIVET Craft and Diploma Business Examinations
    • HIGH INSTITUTIONS >
      • EXAMINATIONS >
        • College and Varsity Past Papers online
      • TUTORIALS >
        • COLLEGE AND UNIVERSITY NOTES AND TUTORIALS
  • MEMBERS RESOURCES
    • Primary >
      • CBC AND 8-4-4 LATEST EXAMS
      • CBC PROFFESSIONAL TOOLS
      • CBC NOTES PRIMARY
      • CBC KPSEA EXAMS
      • Standard 8 (std) English Topical Questions
      • KCPE MATHEMATICS TOPICAL QUESTIONS FROM 1989 TO LAST YEAR
      • STANDARD 8 PAST PAPERS 8-4-4 BASED
    • Secondary >
      • FORM 1 EXAMS WITH ANSWERS
      • FORM 2 EXAMS WITH ANSWERS
      • FORM 3 EXAMS WITH ANSWERS
      • FORM 4 EXAMS WITH ANSWERS
      • KCSE 2020 QUESTIONS AND ANSWERS
      • NOTES SECONDARY
      • MOCKS SECONDARY >
        • kcse form 2 mathematics questions
    • Free Schemes of Work
    • FOCUS A365 SERIES K.C.P.E EXAMINATIONS FOR PRIMARY
    • ALL GROUPS PRODUCTS
    • PREMIUM PRODUCTS 2