ATIKA SCHOOL
  • Start
    • SITEMAP
    • KNEC Portal
    • ZERAKI HELP AND SUPPORT
    • Academic Environment
    • KNEC KCSE PROJECT INSTRUCTIONS
  • BLOGS
    • About Us? >
      • Learn more about us
    • CUSTOMER CARE >
      • PRICING
      • Help & Support
    • News and Opinions
    • JOBS IN KENYA AND ABROAD FOR KENYANS AND BEYOND
    • How its Done
  • OUR PRODUCTS
    • All Categories >
      • MORE PRODUCTS >
        • SECONDARY CRE NOTES
        • COURSE BOOKS
        • KCSE KISWAHILI SETBOOKS
        • Backed Up Files and Archives
        • FREE DOCUMENTS
        • PRIMARY 8-4-4 BASED RESOURCES
        • STANDARD 8 RESOURCES
        • HIGH SCHOOL RESOURCES >
          • Biology Paper 3 Exams
          • Secondary Examinations
        • PRIMARY CBC BASED RESOURCES
        • COLLEGE & VARSITY RESOURCES
      • PRIMARY RESOURCES CBC
      • PRIMARY RESOURCES 8-4-4
      • SECONDARY RESOURCES
      • NOTES & TUTORIALS
      • COLLEGE RESOURCES
      • NOVELS and OTHER BOOKS
    • EXAMINATIONS >
      • MOCKS AND JOINT EXAMS >
        • FORM 1 QUESTION PAPERS, ANSWERS AND MARKING SCHEMES COLLECTIONS
        • FORM 2 QUESTION PAPERS, ANSWERS AND MARKING SCHEMES COLLECTIONS
        • FORM 3 EXAMINATIONS, QUESTION PAPERS AND ANSWERS
        • FORM 4 MOCKS PAST EXAMS BY REGION
        • TOP SECONDARY EXAMS ALL SUBJECTS
      • KPSEA NATIONAL EXAMS
      • KCPE >
        • KCPE PAST PAPERS AND ANSWERS >
          • KCPE 2020 RESULTS, REPORTS, QUESTIONS AND ANSWERS
          • KCPE PAST PAPERS 2019 REPORTS, RESULTS, QUESTIONS AND ANSWERS
        • KCPE PAST PAPERS PER SUBJECT
      • KCSE >
        • KCSE PAST PAPERS BY SUBJECT
        • KNEC KCSE PAST PAPERS, MARKING SCHEMES, QUESTIONS & ANSWERS
        • Free KCSE Past Papers Mathematics
        • Free KCSE Biology Questions and Answers
      • QUESTIONS & ANSWERS >
        • SECONDARY >
          • LANGUAGES >
            • Secondary English Questions and Answers
          • TECHNICALS >
            • COMPUTER STUDIES >
              • COMPUTER STUDIES Q & A
              • kcse computer studies paper 2 AND 3 Questions & Answers
            • BUSINESS STUDIES QUESTIONS & ANSWERS
            • KCSE AGRICULTURE TOPICAL QUESTIONS AND ANSWERS
            • KCSE HOME SCIENCE DIRECT QUESTIONS AND ANSWERS
          • SCIENCES >
            • KCSE Mathematics Topical Questions
            • KCSE Biology Topical Questions and Answers
            • CHEMISTRY TOPICAL QUESTIONS AND ANSWERS
            • KCSE Physics Topical Questions
            • KCSE physics Practical Sample Quiz
          • HUMANITIES >
            • C.R.E (CRE) QUESTION AND ANSWERS
            • ISLAMIC RELIGIOUS EDUCATION (IRE) QUESTIONS AND ANSWERS
            • KCSE History Topical Questions and Answers
            • GEOGRAPHY TOPICAL QUESTIONS AND ANSWERS
        • PRIMARY >
          • Standard 4-8 Mathematics Topical Questions from Mocks and KCPE
          • Std 6 Mathematics Notes
    • TUTORIALS >
      • SECONDARY >
        • SCIENCES >
          • FOCUS MATHEMATICS TUTORIALS AND EXAMS FREE
          • KCSE BIOLOGY NOTES
          • FREE KCSE CHEMISTRY NOTES
          • KCSE PHYSICS NOTES, AUDIOVISUALS AND MORE
        • LANGUAGES >
          • ENGLISH >
            • A GUIDE TO SILENT SONG AND OTHER STORIES
            • English KCSE Set Books
            • ENGLISH POETRY QUESTIONS WITH ANSWERS FOR K.C.S.E CANDIDATES
            • ENGLISH GRAMMAR #KCSE
          • KISWAHILI >
            • Bembea ya Maisha
            • CHOZI LA HERI - MWONGOZO
            • KIGOGO - MWONGOZO
            • MASWALI NA MAJIBU YA TUMBO LISILOSHIBA
            • USHAIRI MASWALI NA MAJIBU
            • KCSE Kiswahili Fasihi
        • TECHNICALS >
          • HOME SCIENCE NOTES
          • KCSE BUSINESS STUDIES NOTES
          • COMPUTER STUDIES NOTES LATEST
          • kcse Computer Studies Notes
          • KCSE AGRICULTURE NOTES, SYLLABUS, QUESTIONS, ANSWERS, SCHEMES OF WORK AND OTHERS
        • HUMANITIES >
          • KCSE History Notes Form 1 to 4
          • FREE KCSE CRE NOTES
          • KCSE GEOGRAPHY NOTES
          • IRE NOTES, AUDIOVISUAL, QUESTIONS AND ANSWERS
      • PRIMARY >
        • STANDARD 4: SOCIAL STUDIES
        • NOTES >
          • KISWAHILI
          • SOCIAL STUDIES
        • EXAMINATIONS
        • DecaTurbo Online Series Examinations
        • KCPE Mathematics Notes
        • KCPE and Primary Level Compositions
      • Other Supportive Documents >
        • SYLLABUS >
          • Primary 8-4-4 based Syllabus, Objectives and Lessons
          • Primary Mathematics Syllabus
        • MASOMO VIDEOS
    • CURRICULUM >
      • NEW CURRICULUM DESIGNS >
        • PRIMARY >
          • PRE PRIMARY ONE CURRICULUM WITH SYLLABUS
          • PRE PRIMARY TWO CURRICULUM WITH SYLLABUS
        • SECONDARY >
          • KNEC KCSE SYLLABUS AND COURSE OUTLINES
        • COLLEGE >
          • Regulations for the TIVET Craft and Diploma Business Examinations
    • HIGH INSTITUTIONS >
      • EXAMINATIONS >
        • College and Varsity Past Papers online
      • TUTORIALS >
        • COLLEGE AND UNIVERSITY NOTES AND TUTORIALS
  • MEMBERS RESOURCES
    • Primary >
      • CBC AND 8-4-4 LATEST EXAMS
      • CBC PROFFESSIONAL TOOLS
      • CBC NOTES PRIMARY
      • CBC KPSEA EXAMS
      • Standard 8 (std) English Topical Questions
      • KCPE MATHEMATICS TOPICAL QUESTIONS FROM 1989 TO LAST YEAR
      • STANDARD 8 PAST PAPERS 8-4-4 BASED
    • Secondary >
      • FORM 1 EXAMS WITH ANSWERS
      • FORM 2 EXAMS WITH ANSWERS
      • FORM 3 EXAMS WITH ANSWERS
      • FORM 4 EXAMS WITH ANSWERS
      • KCSE 2020 QUESTIONS AND ANSWERS
      • NOTES SECONDARY
      • MOCKS SECONDARY >
        • kcse form 2 mathematics questions
    • Free Schemes of Work
    • FOCUS A365 SERIES K.C.P.E EXAMINATIONS FOR PRIMARY
    • ALL GROUPS PRODUCTS
    • PREMIUM PRODUCTS 2

Huku ukirejelea hadithi zifuatazo, eleza namna unyanyasaji umeshughulikiwa.

15/1/2023

0 Comments

 

​Huku ukirejelea hadithi zifuatazo, eleza namna unyanyasaji umeshughulikiwa.  

​(i) Tumbo lisiloshiba

Tumbo lisiloshiba
  • jitu lenye tumbo linakula chakula chote katika mkahawa wa Mzee Mambo bila kuwajali wateja wengine
  • jitu lenye tumbo linarejelea madongoporomoka na mabuldoza kubomoa vibanda vya wakazi
  • wanamadongoporomoka wananyanyaswa kisheria kwani hawapati haki kwa kuwapata wanasheria adimu kama haki yenyewe
  • wakubwa wa jiji wako tayari kuchukua ardhi ya wakazi wa madongoporomoka kwa upanuzi wa jiji bila kujali watakapohamia 

​ (ii) Shibe inatumaliza

Shibe inatumaliza 
  • DJ anamiliki duka kubwa la dawa ambalo mtaji wake ni bohari ya dawa za serikali 
  • DJ anapata maji, umeme, matibabu na huduma zote za kimsingi za serikali ilhali wanainchi waliojawa na dhiki na ufukara wakizilipia
  • Baadhi ya viongozi kama Mzee Mambo wanapewa mishahara mikubwa na serikali kwa kufika kazini wala sio kwa kufanya kazi huku wananchi wengine wakiishi na ufukara.
  • Viongozi wengine hutumia rasilmali za nchi kwa manufaa yao kibinafsi badala ya kufaidi umma, kama vile Mzee Mambo kutumia vyombo vya habari kupeperusha sherehe aliyoandalia wanawe.

​ (iii) Mame Bakari 

Mama Bakari
  • Sara amabakwa na janadume katili alipokuwa akirudi darasa la ziada “twisheni” na kuhimili
  • Wasichana wa shule wanaambulia ujauzito hufukuzwa shule kulingana na mawazo ya Sara
  • Sara anaona akinyanyaswa na jamaa zake, majirani na wanafunzi wenziwe kwa kutengwa kama mgonjwa wa ukoma.
  • Sara anawaza jinsi babake angemfukuza nyumbani kwa kuwa mjamzito akiwa angali shuleni
  • Majirani wa Sara walimtesa kisaikolojia kwa kumsemasema baada ya kugundua kuwa alikuwa mjamzito.

​ (iv) Kidege

Kidege
  • Mose ambaye anapinga kuchukuliwa kwa samaki wa kidimbwi cha bustani ya Ilala anajipata akibanwa na mbawa za ndege wawili wakubwa.
  • Samaki wa kidimbwi cha Ilala wanaliwa na ndege wakubwa.
  • Videge vilikuwa vikinyanyaswa na midege kiasi cha kushirikiana ili kuiangamiza.
  • Hii inaonyesha jinsi viongozi wanaotawala katika jamii (midege) huwanyanyasa wananchi walio chini yao (videge)
  • Mose anapoipa midege iliombana chakula ili imwachilie aende zake, midege hiyo inakula chakula lakini haimwachilii huru kamwe

​ (v) Tulipokutana tena

Tulipokutana tena
  • Bogoa anatenganishwa na jamaa zake anapopelekwa kwenda kuishi na Bi. Sinai
  • Bogoa anafanyishwa kazi nyingi na ngumu na Bi. Sinai kama vile kumenya vitunguu, kukuna nazi, kupara samaki na kutoa matumbo na kadhalika.
  • Bogoa ananyanyaswa na Bi. Sinai kwa kuamshwa mapema kuliko wengine ili kuchoma mandazi ya kuuza shuleni.
  • Bogoa ananyimwa elimu na Bi. Sinai 
  • Bogoa ananyimwa lishe bora kwa kupewa mabaki 
  • Bogoa ananyanyaswa kwa kuchomwa viganja vya mikono anapouguza mandazi aliyokuwa akichoma

Read More
0 Comments

ā€œHatuwezi kumaliza kula, kila leo tunakulaā€

15/1/2023

0 Comments

 

​“Hatuwezi kumaliza kula, kila leo tunakula”

​(a) Eleza muktadha wa dondoo hili. (al 4)

Mnenaji ni Mbura.
Mnenewa ni Sasa
Wakiwa nyumbani kwa mzee Mambo
Walikuwa wamehudhuria sherehe kwa Mambo bila ualishi katika siku ya kusherehekea siku ya kuingia darasa la chekechea kwa mtoto wa Mzee Mambo na mwingine kutoa vijino viwili.  Wanafika shereheni kula, hata hivyo wanakula kilafi mpaka Mbura anaanza kujilaumu pamoja na mwenzake Sasa kwamba wanakula vyovyote wavipatavyo bila kuvichunguza na hata kuvila vya wenzao waliowatuangulia na watakaozaliwa.

​(b) Fafanua tamathali ya usemi iliyotumika (al 2)

Istiari/Jazanda – Wanakula lakini hawawezi kumaliza kula – wanakula kila leo 
na bado wanaendelea kula – kuendelea kunyakua mali ya uma
kutaja = 1
kufafanua = 1

​(C) Eleza umuhimu wa mnenaji. (al 4)

Umuhimu wa Mbura
  • Ni mfano mzuri wa watu walafi katika jamii
  • Kielelezo cha ubadhirifu wa mali ya umma
  • Ni mfano wa watu walio na mapuuza.  Wanafahamu uzembe uliopo miongoni mwa wafanyikazi wa serikali na unyakuzi wa mali ya umma, lakini hawachukui hatua mwafaka
  • Kielelezo cha viongozi wasio ajibika
  • Ni mfano wa watu wanaojitolea kulihudumia taifa lao hata kama wametengwa mbali na hawatambuliwi katika taifa lao.
  • Anaendeleza maudhui ya ufisadi wakiwa na Sasa wanafanya kazi moja.

​(d) “Lakini nakwambia, kula kunatumaliza”. Kwa kudokeza hoja kumi, jadili ukweli wa kauli hii. (al 10)

“lakini nakwambia tena, kula kunatumaliza”.
  • Viongozi wa mataifa yanayoendelea kutowajibika katika kazi zao.  Wanakubli bidhaa duni kurudidikwa katika mataifa yao: mchele ya basmati.
  • Mali ya umma kunyakuliwa. DJ anafungua duka la dawa zilizotolewa katika bohari ya serikali huku wanyonge wakiteseka.
  • Serikali kuwalipa watu ambao hawafanyi kazi mishahara kubwa hinyo kudhoofisha uchumi wa nchi – Mzee Mambo. 
  • Kituo cha Televisheni ya taifa kutumika kupeperusha matangazo ya sherehe ambazo hazina umuhimu wowote katika ujenzi wa taifa.
  • Wananchi wengine badala ya kuchukua hatua mwafaka dhidi ya wanyakuzi, hungojea wakati wao ili nao wanyakue: Sasa na Mbura” …na sisi tuende – tusogee.
  • Viongozi wananyakua mali ya mabilioni kwa hila na hawajali: Mzee Mambo anaandaa sherehe kubwa kwa sababu mtoto wake wa kwanza ameingia shule ya chekechea na yule wa mwisho ameota vijino viwili.
  • Sasa na Mbura kula tena na tena bila kushiba
  • DJ anapata huduma za kimsingi kama vile maji, matibabu na kadhalika kwa vile alijuana na mzee Mambo
  • Magojwa ya sukari, presha, saratani, obesiti kutokana na kula
  • Kunyongana kwa sababu ya kula.

Read More
0 Comments

ā€‹ā€œNyamaza wewe! Nyinnyi ndio mnaoturudisha nyuma miaka yote hii!ā€

25/12/2022

0 Comments

 

​​“Nyamaza wewe! Nyinnyi ndio mnaoturudisha nyuma miaka yote hii!”

(a) Eleza muktadha wa dondoo   (alama 4)

(b) Kwa kurejelea hoja saba, eleza jinsi msemaji alivyorudishwa nyuma (alama 7)

( c)  Eleza umuhimu wa msemaji katika riwaya (alama 6)

(d) Eleza toni ya dondoo hili (alama2)

(e) Toa sifa moja ya msemaji katika dondoo hili. (alama1)


Read More
0 Comments

Eleza ufaafu wa anwani ya chozi la heri (Al 20)

25/12/2022

0 Comments

 

​Eleza ufaafu wa anwani ya chozi la heri (Al 20)

Eleza ufaafu wa anwani ya chozi la heri 
Chozi ni majimaji yanayotoka kwenye jicho la mtu kutokana na maumivu au furaha. Heri ni hali ya kuwa salama au nafuu au afadhali. Kwa hivyo, chozi la heri ni chozi la nafuu. Maana ya kijanda/kiistari ni maisha ya mhusika kubadilika kutoka hali mbaya hadi hali nzuri. Kwa mfano:
  1. Familia ya akina Ridhaa inateseka kutokana na udogo wa ardhi lakini hali inakuwa nzuri babake, mwimo msubili anapowahamishia katika eneo la msitu wa heri. 
  2. Ridhaa anadhulumiwa shuleni na wanafunzi wenzake kwa kudhihakiwa na kusimangwa lakini mamake anapoenda huko na kusema na mwalimu hali hiyo inasitishwa
  3. Ridhaa anamsaidia Mzee kedi Kwa kuyadhamini masomo ya wapwaze wawili.
  4. Eneo la msitu wa heri lilikuwa kame lakini Ridhaa anawasaidia wenyeji wa eneo hilo kupata maji ya mabomba
  5. Mwekevu anapojitosa siasani anatusiwa na kutishwa na wanaume lakiniyupo raia mmoja anayejitokeza kumtetea akidai kwamba ni muhimu apewe nafasi. 
  6. Licha ya mwekevu kukumbana na vizingiti kadhaa kama ile kutusiwa anapojitosa siasani anafanikiwa kuchaguliwa kama kiongozi wa taifa la wahafidhina
  7. Familia ya kaizari inapovamiwa na wahuni, jiraniye Tulia anajitokeza na kumsaidia kufunganya virago na kutorokea palipo salama.
  8. Kaizari anapovamiwa na mkewe Subira kukatwa kwa sime na wanawe, Lime na Mwanaheri kubakwa na kuamua kutoroka, jiraniye Tulia anajitolea kumlindia boma lake 
  9. Familia ya kaizari inapovamiwa na kuamua kutoroka anafanikiwa kupata matwana inayomsaidia yeye pamoja na familia yake kutorokea mahali salama.
  10. Wakimbizi wanapoteseka kambini kutokana na ukosefu wa chakula, misikiti na makanisa yanayaweletea chakula
  11. Wakimbizi wanapoteseka kulala vibandani, shirika la makazi bora linajitolea kuwajengea makao bora
  12. Selume anapotaabika baada ya kutalikiwa na mumewe Mwanzi, anakutana na Ridhaa anayemsaidia kupata kazi ya uuguzi, hivyo kuweza kujikimu kimaisha
  13. Kuchomwa kwa familia ya Ridhaa kunamsababaisha kuugua shinikizo la damu lakini anasaidiwa kuudhibiti ugonjwa huu kutokana na huduma za ushauri na uekelezaji kutoka kwa wataalamu
  14. Lime na mwanaheri wanabakwa na wahuni na kukatwa lakini wanatibiwa na wauguzi waliotumwa na mashirika yasiyokuwa ya kiserikali
  15. Subira anvamiwa na wahuni na kukatwa lakini anatibiwa na wauguzi waliotumwa na mashirika yasiyokuwa ya kiserikali
  16. Ridhaa ana furaha kuktana na mwanawe Mwangeka aliyekuwa nje ya nchi, vita vya baada ya uchaguzi vilipozuka na kuwasababisha wanawe wengine pamoja na mkewe Terry kuangamia
  17. Usalama unazorota katika nchi ya wahafidhina , hivyo kuwasababisha kutaabika lakini jamii ya kimataifa inawasaidia kuwarejeshea amani 
  18. Raia mmoja anakanyagwa na kujeruhiwa katika maandamano ya  kupinga matokeo ya uchaguzi lakini Ridhaa anamsaidia kwa kumfanyia upasuaji wa uti wa mgongo
  19. Kiriri anamsaidia kangata kuyadhamini masomo ya mabintiyee wawili
  20. Jamaa za Lucia zinakataa  Lucia aziolewe kwenye ukoo wa waombwe lakini hali inakuwa njema kwake baabake Kangata anapopinga wazo hilo na kumkubalia kuolewa huko
  21. Kitoto kinatupwa na mamake kwenye biwi la taka lakini kinaokolewa na Neema na kupelekwa katika kituo cha benefactor
  22. Umu amekuwa akilia Kwa sababu ya kukosa wazazi wa kuishi nao nyumbani Kama wanafunzi wenzake shuleni Tangamano lakini hali inabadilika Apondi na Mwangeka wanapomchukua kama mwanao wa kupanga na kumlea Kwa upendo mpaka banguzi alilokuwa nalo moyoni likapona.
  23. Chandachema anataabika kwa kukosa mlezi lakini Tenge na Kimai wamechukua na kumlea pamoja na wanao 
  24. Mwaliko anatekwa nyara nyumbani kwa Bi. Kangara lakini anaokolewa na polisi na kupelekwa katika kituo cha watoto cha Benefactor 
  25. Mwangeka anafiwa mkewe Lily lakini hatimaye anaoa Apondi aliyemwondolea upweke. 

Read More
0 Comments

ā€‹ā€œVipi, binadamu anavyoweza kuyazoa maji yaliyomwagika?ā€

21/12/2022

0 Comments

 

​​“Vipi, binadamu anavyoweza kuyazoa maji yaliyomwagika?”

​a) Eleza muktadha wa dondoo hili. (alama 4)

  1. Haya ni maneno ya Mwanaheri
  2. Akimwambia Kairu na Umu
  3. Walikuwa katika shule ya Tangamano
  4. Ni baada ya kukutana na kuanza kusimuliana kuhusu yaliyowafika hadi wakakutana pale

​b) Tambua mbinu ya lugha iliyotumika   (alama 2)

Swali balagha - vipi, binadamu anavyoweza kuyazoa maji yaliyomwagika ? alama 2

​c) Jadili sifa tatu za msemaji.   (alama 3)

  1. Mwenye mawazo mapevu. Mama yake angetafuta suluhu kwa mgogoro kati yake na wakwe zake badala ya kujiua
  2. Mwenye busara - anaamini kuwa hakuna haja ya kushughulikia mambo ambayo hawezi kuyabadilisha
  3. Mwenye bidii - anatia bidii shuleni. Anafuata ushauri wa mwalimu Dhahabu kwamba elimu itamletea mabadiliko

d) Hakiki jinsi binadamu alivyomwagikiwa na maji katika riwaya      (alama 11)

  1. Lunga kumwagikiwa na maji pale anapoachwa na mkewe Naomi
  2. Umu na nduguye wanamwagikiwa na maji kwa kuachwa mayatima wakati Lunga anapoaga
  3. Ridhaa anamwagikikwa na maji wakati anapoipoteza aila yake yote isipokuwa  Mwangeka
  4. Mwangeka anamwagikiwa na maji kufuatia kifo cha mkewe na mtoto wake
  5. Zohali anamwagikiwa na maji pale anapotungwa mimba katika umri wa ujana na kupelekea afukuzwe shuleni na kuteswa na wazazi
  6. Waafrika wanamwagikiwa na maji pale wanapokatazwa na wakoloni kulima mazao yaletayo fedha huku ikiwalazimu kufanya vibarua kwao
  7. Baadhi ya vijana wa rika la Tuama wanakufa baada ya kupashwa tohara
  8. Hospitali inamwagikiwa na maji pale Selume analalamikia ukosefu wa mwangaza, ukosefu wa glavu na deni kutokana na usimamizi duni
  9. Wakaazi wa msitu wa mamba wanaharibikiwa pale wanapofurushwa huku vyakula walivyolima vikiibiwa na viongozi
  10. Vijana barobaro wanaotumiwa na wanasiasa kuandamana wanamwagikiwa wa maji pale wanapomiminiwa risasi vifuani wa walinzi huku wakiuawa
  11. Kitoto kinachookotwa na Neema kilimwagikiwa na maji pale kilitupwa na mama mzazi badala ya kukilea
  12. Ridhaa anasimulia mwanawe Mwangeka vile walivyobomolewa nyumba zao kwenye mtaa wa Zari, hawakupewa fidia yoyote nao wale waliowauzia viwanja hivi waliingia mitini
  13. Lunga kufutwa kazi na mkurugenzi kwa kupinga mradi wa ununuzi mahindi

Read More
0 Comments

MWANDISHI AMEJADILI KWA KINA MAUDHUI YA MAPUUZA. THIBITISHA

17/12/2022

0 Comments

 

Mwandishi amejadili kwa kina maudhui ya mapuuza. Thibitisha . (alama 20)

Mwandishi amejadili kwa kina maudhui ya mapuuza. Thibitisha . (alama 20)
  • Viongozi kuharibu misitu. Msitu wa Mamba. Kukata miti ya makaa na mbao.
  • Mwalimu kupachika mwanafunzi mimba. Fumba kwa Rehema 
  • Kutupa mtoto kwenye taka. Aliyeokotwa na Neema.
  • Kuacha familia. Annete. Naomi. Subira
  • Kutorudi nchini. Wanawe Kiriri wanakatalia ughaibuni badala ya kurudi kumsaidia biashara na kujenga nchi 
  • Kutogharamia malezi. Fumba kuachia Chandachema nyanyake.
  • Kumwaga taka. Mtaa wa Sombera
  • Wanasiasa kupuuza vijana baada ya kuwafanyia kampeni.
  • Kutahiri wasichana. Tuama. Wasichana wanakufa
  • Kupuuza umuhimu wa masomo. Zohali kufanya mapenzi akiwa shuleni na kupachikwa mimba.
  • Mamake Umu kukataa kusaidia ombaomba
  • Kuuzia raia mahindi yaliyoharibika.
  • Raia kupokea hongo. Wanapuuza jukumu lao la kuboresha uongozi. Papa anatoa hongo na basi kuendeleza uongozi mbaya.
  • Tindi kupuuza ushauri wa mama kutorudi nyumbani baada ya saa kumi na moja magharibi na anarudi siku inayofuata. Kifo cha Lemi. 
  • Terry kupuuza Ridhaa kuhusu milio ya bundi kuwa mbiu ya mgambo na kuishia kuchomwa na Kedi.
  • Kupuuza kuelekeza mtoto. Wazazi wa Zohali waliodhalilisha badala ya kumwelekeza alipopata mimba na akatoroka nyumbani.
  • Polisi kurusu magari makuukuu barabarani kwani yanamilikiwa na miamba isiyogusika
  • Viongozi kutoimarisha viwango vya
  • Sauna/ Umu. Kutenganisha na nduguze.
  • Fumba/ Rehema. Mimba na kumkatiza masomo
  • Fumba/ Chandachema. Kutokea
  • Satua/ Chandachema. Kuteta vitu vidogo kuisha na alijua hana walezi.
  • Tenge/Kimai. Kuwa na uhusiano nje ya ndoa
  • Maya/ Sauna. Kumbaka
  • Kimbaumbau/ Naomi. Kumtaka mapenzi kumsingizia, kumtusi na kumfuta kazi.
  • Wazazi wa Zohali/ Zohali
  • mlevi/ Pete. Kumbaka
  • Pete/ kitoto chake cha pili
  • Mama Pete/Pete. Kumwachia nyanya ulezi bila kutuma mahitaji
  • Mama na wajomba wa Pete/ Pete. Kumkatizia masomo ili wamwoze kwa Fungo aliye na wake watatu tayari.
zozote 20

Read More
0 Comments

MAISHA YANGU YALIJAA SHUBIRI TANGU UTOTONI.

17/12/2022

0 Comments

 

​MAISHA YANGU YALIJAA SHUBIRI TANGU UTOTONI. 

​I. ELEZA MUKTADHA WA MANENO HAYA. (ALAMA 4)

  • Maneno ya Chandachema
  • Kwa Zohali, Umu, Kairu na  Mwanaheri
  • Bwenini shuleni Tangamano
  • Walikuwa wakihadithia maisha yao ili kumliwaza Umu asione kuwa ni yeye tu amepitia magumu.

​II. FAFANUA MBINU MBILI ZA LUGHA ZILIZOTUMIKA KATIKA DONDOO HILI. (ALAMA 4)

  • chuku- maisha kujaa shubiri tangu utotoni
  • jazanda- shubiri-mahangaiko/ shida/tabu/ matatizo

iii. Jadili jinsi mwandishi amesawiri suala la ukatili. (alama 12)

  • Kuchoma. Kedi kuchoma familia ya Ridhaa./ Raia kuchoma Lemi. 
  • Kunyakua wa ardhi ya wengine.
  • Wakoloni kuchukua ile ardhi ya Waafrika iliyokuwa na rutuba.
  • Kulazimishwa kazi. Wakoloni kutumia vijana.
  • Kulawitiwa. Vijana walilalitiwa na hakuna aliyewatetea.
  • Vitisho. Mwekevu kutukanwa na kutishwa na wanaume anapowania uongozi.
  • Mauaji. Polisi kuua wakimbizi/
  • Kukatwa. Subira
  • Kubakwa. Lime na Mwanaheri. / Maya kubaka Sauna.
  • Kutishia afya. Viongozi kumwaga taka mtaa wa Sombera.
  • Kuuzia raia mahindi yaliyoharibika.
  • Kuteka nyara. Sauna
  • Kudhalilisha watoto. Wazazi wa Zohali.
  • Kupachika mwanafunzi mimba. Fumba kwa Rehema.
  • Tohara kwa wasichana. Tuama kuunga mkono.
  • Kuozwa mapema. Pete kuozwa na mamake na wajomba kwa Fungo.
  • Kuavyawa. Pete/ Sauna waliavya mimba na kunyimana nafasi ya kuishi.  
Zozote 12

Read More
0 Comments

​RIWAYA YA CHOZI LA HERIĀ  IMEJAA AINA MBALIMBALI ZA MIGOGORO. JADILI.

16/12/2022

0 Comments

 

​Riwaya ya Chozi la Heri  imejaa aina mbalimbali za migogoro. Jadili.   (alama 10)

Riwaya ya Chozi la Heri  imejaa aina mbalimbali za migogoro. Jadili.     (alama 10)
  • Mgogoro wa kikabila- Subira anafukuzwa na mamamkwe kwa sababu ya kutoka kwa jamii tofauti,,, Ridhaa aliitwa mfuata mvua na kutengwa na wenzake shuleni
  • Mgogoro wa kikoloni-  mkoloni anapuuza sera za mwafrika za umiliki wa ardhi na kumchukua kama mfanyikazi wake.
  • Mgogoro wa kiimani- Lily anakinzana na wazo la Mwangeka kuwa askari
  • Mgogoro wa kisiasa- kuna mgogoro kati ya wafuasi wa Mwekevu na mpinzani wake mwanamme.
  • Mgogoro waardhi- jamii iliyoselelea katika msitu wa mamba inaondolewa na serikali bila ya kufidiwa.
  • Mgogoro wa kiutawala- vijana wanaamua kutotoka kwa njia jambo linalosababisha wao kupigwa risasi na kujifia
  • Mgogoro wa kitabaka- matajiri wanapewa mikopo ya elimu iliyotengewa watoto wa kimaskini.
  • Mgogoro wa kisaikolojia- darasani Umu anaonekana akiwa mwingi wa mawazo mengi.   Mwanaheri anasema anashindwa kumsikiliza mwalimu ju wa msongo wa mawazo.
  • Mgogoro wa nafsi- pete ana mgogoro na nafsi yake jambo linalomfanya kutumia dawa ya panya.
  • Mgogoro wa kiuchumi- Dick anakataa kazi ya ulanguzi wa dawa za kulevya ila anashindwa atapata vipi chakula asipokubali kazi hii
  • Mgogoro wa matibabu- selume analalamika jinsi viongozi katika hospitali za umma wananyakua dawa na kuacha hospitali bila dawa.          (zozote 10x1)

Read More
0 Comments

JADILI DHANA YA CHOZI KATIKA RIWAYA YA CHOZI LA HERI.

16/12/2022

0 Comments

 

Jadili dhana ya Chozi katika riwaya ya Chozi laHeri. (alama 10)

a)  Jadili dhana ya Chozi katika riwaya ya Chozi laHeri.    (alama 10)
  • umu analia sana anapowakumbuka nduguze Dick na Mwaliko
  • Umu anahuzunika kwa kukosa kwao nyumbani.
  • Watoto wa Lunga , Dick, Mwaliko na Umu wanalia machozi ya heri wanapopatana katika hoteli ya Majaliwa
  • Ridhaa analia baada ya familia yake na jumba lake la kifahari kuteketezwa.
  • Mwangeka analia kilio cha uchungu babake anapomweleza sababu ya kutozika mabaki ya familia yake.
  • Selume analia inapomlazimu kuondoka na kuacha mtoto na ndoa yake kwa sababu ya ukabila.
  • Subira alipokatwa kwa sime alilia kwa kite.
  • Subira anakilovya kifua chake kwa machozi kwa sababu ya mama mkwe anayemshtumu hali inayopelekea kumwacha mumewe na wanawe.
  • Ridhaa analia kwa kubaguliwa shuleni.
  • Ridhaa alilia machozi ya uchungu alipomweleza Mwangeka mkasa wa kuipoteza aila yake.
  • Kumbukizi za maongezi kati ya Terry na Ridhaa zinamfanya atokwe na machozi.
  • Mwangeka na Annatila wanalia walipokuwa wanaigiza kifo cha mdogo wao Dede.
  • Wenyeji walilia katika mazishi ya Dede.
  • Umu alipokutana na Hazina alilia machozi.

Read More
0 Comments

ā€‹ā€˜TAWALA WAHAFIDHINA TAWALA, MWANZI WETU TAWALA…. ā€˜

16/12/2022

0 Comments

 

​‘TAWALA WAHAFIDHINA TAWALA, MWANZI WETU TAWALA…. ‘

​A) ELEZA MUKTADHA WA DONDOO HILI .    (ALAMA 4)

a) Eleza muktadha wa dondoo hili .   (alama 4)
  • Ni wimbo ambao Kaizari anaskia waandamanaji wakiimba kwenye runinga kusifu mpinzani wa Mwekuvu wa kiume.ujumbe unalenga raia wa Wahafidhina.

​B) NI MBINU GANI IMETUMIKA HAPA.      (ALAMA 2)

​b) Ni mbinu gani imetumika hapa. (alama 2)
  • Takriri – tawala , tawala
  • Wimbo- tawala wahafidhina tawala Mwanzi wetu  1x2

c) Eleza makosa saba ya maneno haya.     (alama 14)

  1. Raia kama Lime na Mwanaheri wanabakwa
  2. Subira anakatwa kwa sime
  3. Magari yanachomwa barabarani, nyumba za Ridhaa na Kaizari zinachomwa.
  4. Vijana wanaoandamana barabarani wanapigwa risasi na polisi hadi kufa.
  5. Ridhaa , Kaizari, Subira na wengine wanajipata katika kambi ya wakimbizi.
  6. Uhasama unaingia kati ya koo zilizokuwa zimeishi kwa amani kwa muda mrefu.
  7. Familia zinasambaratika; Ridhaa anatengana na mkewe na wanawe
  8. Wakimbizi kama Ridhaa katika kambi wanataabika, wanakosa chakula, huduma za afya.    7x1

Read More
0 Comments

Ukabila ni tatizo sugu katika nchi nyingi za Kiafrika. Tetea kauli hii ukilejelea Chozi la Heri ( al. 20)

14/12/2022

0 Comments

 

Ukabila ni tatizo sugu katika nchi nyingi za Kiafrika. Tetea kauli hii ukilejelea Chozi la Heri ( al. 20)

  1. Subira alitengwa na familia ya mume wake kwa kuwa wa kabila tofauti na lao
  2. Mwanaheri anatueleza kuwa mama yake alikuwa ametoka kwenye jamii ya mamwezi lakini babake alikuwa wa jamii tofauti. Kila mara subira aliitwa ‘muki’ au huyo wa kuja
  3. Kijana mmoja alimwita Ridhaa mfuata mvua jambo lilimuumiza sana Ridhaa.
  4. Mzee kendi alimtendea udhalimu Ridhaa na kuiteketeza aila yake licha ya wao kuwa majirani kwa miaka hamsini. Ridhaa alifanyiwa hivi kwa kuwa alikuwa ametoka kwenye kabila tofauti na mzee kendi.
  5. Ndoa ya Selume ilisabaratika baada ya vita vya kutawazwa kwa kiongozi mpya.
  6. kuoa msichana wa kikwao.
  7. Tulia alimsaidia kaizari kufunganya na kumsidikiza hadi njia panda. Alimkumbatia na kumwambia kuwa mwenyezi Mungu ndiye hupanga na nguvu na mamlaka pia hutoka kwake
  8. Uongozi mpya umezua uhasama kati ya koo ambazo zimeishi kwa amani kwa karibu karne moja.
  9. Subira aliweza kuvumilia kubaguliwa, kufitiniwa na kulaumiwa kwa asiyoyatenda, Mwishowe alihiari kujiondokea na kwenda mjini alikojinywea kinywaji kikali. (zozote 10 x 2)

Read More
0 Comments

ā€œ Kwa kweli ni hali ngumu hiiā€

14/12/2022

0 Comments

 

“ Kwa kweli ni hali ngumu hii”

  1. Weka dondoo katika muktadha wake. (alama4)
  2. Ni hali gani yamsemewa inayorejelewa kwenye dondoo. (alama16)

mwongozo

Weka dondoo katika muktadha wake. (al.4)
  • Mzungumzaji ni Ridhaa
  • Anayezungumziwa  ni Kaizari
  • Ni katika kambi/mabanda- Kwenye Msitu  wa Mamba
  • Ni baada ya Kaizari kumsimulia Ridhaa magumu aliyoyapitia kutoka  kwake nyumbani hadi kujipata kweye hali nyingine ngumu katika kambi.
Ni hali gani inayorejelewa kwenye dondoo. (al.6)
  1. Mke wa Kaizari, Subira ananyakwa kofi kubwa 
  2. Anarejelewa kama kidume kijoga-kudharauliwa
  3. Mke wake anakatwa kwa sime na kuzirai kwa uchungu
  4. Bintize –Lime na Mwanaheri- wanafanyiwa unyama na mabarobaro
  5. Jirani yake Tulia anamfukuza anapojaribu kuwapa mke wake  na watoto huduma za kwanza
  6. Wanawe wanazirai ubavuni mwake
  7. Anaabiri gari bila kujua waendako na jamaa zake
  8. Walitazama mabasi yakichomwa kwenye safari iliyokuwa ndefu 
  9. Gari linaisha petroli- wanajitoma msituni
  10. Wanakula mate usiku wa kwanza kutokana na ugeni/ukosefu wa chakula
  11. Kuna hali mbaya ya baridi na umande wa asubuhi
  12. Wanakosa maji safi ya kunywa kwenye msitu
  13. Kunywa maji ya Mto wa Mamba kunawasababishia homa ya tumbo.
  14. Vijumba vichache havikutosha kuhimili idadi ya wakimbizi
  15. Huduma za kijamii zinaadimika –ukosefu wa misala na misala ya kupeperushwa 
  16. Sandarusi za kutumiwa kama misala  zilitafutwa mbali kwenye milima ya taka.
  17. Roho za watoto zilibwakurwa na magarimoshi kwenye reli walipoenda haja kule
  18. Kuna hali ya njaa na vilio vya watoto wenye njaa

Read More
0 Comments

Maudhui katika riwaya ya Chozi La Heri

10/6/2020

0 Comments

 
Maudhui katika riwaya ya Chozi La Heri
UMASIKINI.
  • Umaskini ni ukata. Ni hali ya kukosa fedhamali nk.
  • Tunapata kuwa waafrika wanajikuta katika hali ya umasikini;
  • Uk 7,"Waafrika waliobahatika kuwa na makao yao binafsi walipata sehemu ambazo hazingeweza kutoa mazao yenyewe; na bila shaka hali yao iliweza kutabirika; kuvyazwa kwa tabaka la wakulima wdogowadogo, maskini, wasio na ardhi "
  • Uk 25,"Nyinyi ndio vikaragosi wanaotumiwa na wasaliti wa nia zetu kuendelea kutudidimiza kwenye lindi hili la ukata "
  • Ridhaa pia anajikuta kwenye lindi la umaskini baada ya mali yake yote kuchomwa, ikiwemo familia yake.
  • Uk 1,"Ridhaa alisimama kwa maumivu makali,mikono kairudisha nyuma ya mgongo wake uliopinda kwa uchungu. Macho yake yaliyotanda ukungu alikuwa kayatunga juu angani, akitazama wingu la moshi lililojikokota kwa Kedi na mbwembwe; wingu lililomwonyesha na kumkumbusha ukiwa aliozaliwa nao na ambao alihofia kuwa angeishi na kuzikwa nao
  • Tunapata pia kuwa watu wengi wanaiaga dunia wakijaribu kujikomboa kutokana na hali hii ya ukata, wanapoenda kuchota mafuta kwenye lori ambalo limebingirika kisa na maana alienda kuwaokoa watu ambao wa-
  • Uk 54 "likuwa wakipora mafuta kutoka kwenye lori, ambalo lilikuwa limebingiria lnasemekana kuwa umaskini uliwasukuma watu hawa kuchukua kisichokuwa haki yao"
0 Comments

Maudhui katika riwaya ya Chozi La Heri

10/6/2020

6 Comments

 
Maudhui katika riwaya ya Chozi La Heri
MAUDHUI YA MIGOGORO.
  • Migogoro ni mivutano na mikinzano mbalimbali katika kazi ya fasihi.
  • Migogoro huweza kuwa kati ya wahusika, familia zao,matabaka tofauti, nyadhifa mbalimbali, kiuchumi,nafasi katika jamii au hata kisiasa.
Aina za migogoro katika riwaya hii.
  • Kuna mgogoro kwenye familia ya Mzee Mwimo Msubili, kwa sababu familia yake ilikuwa kubwa na hakuitosheleza kwa chakula. 
  • Uk 9,"Wingi wa vinywa vya kulishwa ulizua uhasama, migogoro na hata uhitaji mkubwa "
  • Mgogoro wa kijamii unajitokeza baada ya mkoloni kupuuza sera za Mwafrika.
  • Uk 10,"Hatua ya mkoloni ya kupuuza sera za Mwafrika za umiliki wa ardhi na kuamua kujumuisha pamoja ardhi iliyomilikiwa na mtu binafsi na kuuidhinisha umiliki huu kwa hatimiliki, ilivuruga mshikamano wa kijamii "
  • Kulijitokeza mgogoro shuleni wakati Ridhaa aliitwa 'mfuata mvua',na kutengwa na wenzake. Walimwona kama mwizi.
  • Uk 10,"Wewe ni mfuata mvua. Hatutaki kucheza nawe. Umekuja hapa kutushinda katika mitihani yote. Wewe ndiwe unayetuibia kalamu zetu "
  • Ridhaa alijipata katika hali ya mgogoro na nafsi yake.
  • Uk 12,"Miguu yake sasa ilianza kulalamika pole pole parafujo za mwili wake zililegea, akaketi juu ya ya wapenzi wake. Baada ya muda wa mvutano, wa hisla na mawazo, usingizi ulimwiba.
  • Kulikuwa na mgogoro uliosababishwa na wanasiasa, juu y nani atakaye kuwa kiongozi wa jamii, kati ya mwanamke mwananume.
  • Uk 19,"MijadaIa hii ilizua na kukuza migogoro isiyomithilika "
  • Mgogoro mwingine ulijitokeza kati ya raia na wanapolisi, wakiwa katika harakati zao za kuweka amani.
  • Uk 19,"Mchezo wa polisi kukimbizana na raia ulianza katika mchezo huo mamia ya roho zisizo na hatia zilisalimu amri chini ya pambaja za risasi na mapigo ya rungu, vitoa machozi navyo vikafanya kazi barabara.
  • Nyamvula anajikuta katika mgogoro wa nafsi yake,wakati ambapo imani yake inakinzana na kazi ya kuwa askari.
  • Uk 62,"Kulingana na Nyamvula, kuwa askari wa vita kulikinzana na imani yake, hasa kwa vile Nyamvula alisema ni born again. Mwangeka alimsisitizia kuwa kulinda usalama si sawa na kuua "
  • Katika ukurasa wa 38 Tila anaitaja migogoro kadha iliyo katika Tamthilia ya Hussein. Tamthilia hii ya Mashetani ninayorejelewa ina migogoro mingi sana kama: migogoro ya kisiasa, kiuchumi, na pia ya kijamii. "Tila:Nadhani umesahau baba. Suala hili ulisema limeshUghulikiwa katika kazi za kifasihi kama vile
  • Mashetani, ile tarnthilia ya Hussein inayoisawiri migogoro ya kisiasa, kiuchumi na kijamii ya baada ya ukoloni lsitoshe, mwalimu alitaka tu kuonyesha kwamba upo uhusiano kati ya mfumo wa kiuchumi na mfumo wa kisiasa alituambia kwamba mfumo wa kiuchumi hudhibitiana na mfumo wa kisiasa.
  • Utawala huteuliwa makusudi kuendeleza mfumo uliopo wa kiuchumi kwa maslahi ya watawala na tabaka ambalo linazimiliki nyenzo za uzalishaji mali "
6 Comments

Wahusika na Uhusika

9/6/2020

0 Comments

 
Wahusika na Uhusika
  • Mhusika ni mtu katika riwaya au hadithi fulani anayetenda mambo kadha wa kadha, kadri mtunzi wa hadithi au riwaya atakavyo, ili kujenga hadithi yake. Wahusika hutumika kuafikisha maudhui ambayo mtunzi anataka kupitisha kwa msomaji. Kila mhusika huwa na sifa na umuhimu wake katika kazi hii ya ubunifu ya mwandishi.
RIDHAA.
  • Huyu ni mumewe Terry. Ni mhusika mkuu ambaye ana sifa kadhaa.
SIFA
Mshirikina.
  • Uk 1,"Anakumbuka mlio wa kereng'ende na bundi usiku wa kuamkia siku hii ya kiyama. Milio hiyo ndiyo iliyomtia kiwewe zaidi kwani bundi hawakuwa wageni wa kikaida katika janibu hizi "
  • Pia anamwambia mkewe Terry, "milio hii ni kama mbiu ya mgambo, huenda kukawa na jambo "
  • Kwa hivyo Ridhaa ni mhusika aliyekuwa na imani katika mambo ya ushirikina. Uk 2 "Ninashangaa vipi daktari mzima hapo ulipo unajishughulisha na mambo ya ushirikina "
  • Huu ni ushahidi mwingine wa kuonyesha kuwa Ridhaa alikuwa mshirikina.
Mwepesi wa moyo.
  • Ridhaa ni mwepesi wa moyo kwani anapopatwa na mawazo ya hapo awali ambayo ni ya kukatisha tamaa, analia kwa urahisi, kinyume na matarajio ya jamii kuwa mwanaume hafai kulia.
  • UK 2,"machozi yaliturika uwezo wake wa kuona " Uk 3 "Ridhaa mwanangu, mwanamume hufumbika chozi ya mwanamume hayapaswi kuonekana hata mbele ya majabalia ya maisha. Huku ni kujiumbua hasa. Unyonge haukuumbiwa majimbi, ulitunukiwa makoo " 
  • Mwenye bidii. Uk 4,"Alikuwa amesafiri kwa shughuli za ujenzi wa taifa, kama alivyoziita safari zake za kikazi " Tunapata kuwa Ridhaa alikuwa ni mwenye bidii za mchwa katika kazi yake ya kila siku aliyoiita 'ujenzi wa taifa'.
 Mvumilivu.
  • Aliweza kuvumilia matukio yaliyomkumba kijijini mwake, yakiwemo kutotakwa huko, na kufukuzwa, mali yake kuharibiwa na familia yake kuuliwa. Anapiga moyo konde kukabiliana na hall hiyo mpya (uk 25). 
Mwenye busara. 
  • Ridhaa anapozisikia sauti za hawa ndege, anajua kuwa kuna jambo ambalo lingeweza kutendeka na ambalo si la kupendeza.
  • Pia anamwambia mkewe, uk 2,"wewe endelea kupiga hulu tu, lakini utakuja kuniambia " Baadaye tunapata kuona kuwa kuna janga linaloipata familia yake na kwa hivyo, Ridhaa alikuwa na uwezo wa kuhisi kuwa kuna jambo lisilokuwa la kupendeza litakaloifikia jamii yake 
0 Comments

Mbinu za Lugha na Mbinu za Tamathali za Uandishi

9/6/2020

0 Comments

 
Mbinu za Lugha na Mbinu za Tamathali za Uandishi
LAKADU
  • Hii ni mbinu ya mhusika kupewakubandikwa jina na wahusika wengine ama yeye mwenyewe kujibandika jiana linalooana na tabia au sifa zake.
  • Katika ukurasa wa 70; "Sasa Lunga ni mkulima stadi. Marafiki zake wamempa jina la msimbo Mkulima Namba Wani "Lunga anapewa jina hili la msimbo kwa sifa yake ya ukulima hodari. Hakuna anayempiku katika Nyanja za ukulima.
0 Comments

Mbinu za Lugha na Mbinu za Tamathali za Uandishi

9/6/2020

1 Comment

 
Mbinu za Lugha na Mbinu za Tamathali za Uandishi
TASHBIHI.
  • Hii ni mbinu ya lugha inayolinganisha vitu au hali mbili tofauti kwa kutumia maneno ya kulinganisha;
  • kama, mithili ya, sawa na, au pia ja. Assumpta K.Matei amejikita katika matumizi ya mbinu hii ya tashbihi katika kazi yake ya kuwasilisha maudhui kwa msomaji kwa njia zifuatazo;
  • Katika ukurasa wa 16; "Tazama uso wake ulivyovamiwa na majeraha, kikwi. Tazama tambo lake lililoumbuka. Amevimba na kuvimbiana kama dongo la unga ngano baada ya kutiwa hamira. Lakini yeye hana la hamira" Uso wake unalinganishwa na unga wa ngano uliotiwa hamira kwa jinsi ulivyo vimbiana kwa majeraha.
  • Katika ukurasa wa 49; Sasa ninaamini usemi wa Tila wa kila mara kuwa: "Usicheze na uwezo wa vijana, wao ni kama nanga.Huweza kuzamisha na kuiongoa merikebu " Uwezo wa vijana unalinganishwa na nanga, ambayo iko na uwezo wa kuzamisha na kuongoa melikebu.
1 Comment

Mbinu za Lugha na Mbinu za Tamathali za Uandishi

9/6/2020

0 Comments

 
Mbinu za Lugha na Mbinu za Tamathali za Uandishi
UKINZANI TANAKUZI.
  • Hii ni mbinu ya kusisitiza ujumbe kwa kuambatanisha maneno ya kinyume au yanayokinzana. Kukinzana ni hali ya kutofautiana, au kuwa na ubishani,au yenye kutokubaliana. Mwandishi wa riwaya ya Chozi la Heri amejikita katika matumizi ya ukinzani katika kuwasilisha maudhui yake kwa njia zifuatazo.
  • Katika ukurasa wa 14; "Na usidhani ni mazingira mageni, kweli si mageni, si mageni kwani tu mumu humu mwetu, hatumo ughaibuni wala nchi jirani. Tu katika jimbo lile lile tulilozoea, kilichobadilika ni kijiji tu, ni kama kutoka chumba cha malazi, kwenda sebuleni"Kuna mkinzano wa mawazo kuwa mazingira yamebadoilika ilhali la, ni yale yale tu ya awali, waliyozoea, ni sehemu tu wamehama wakaenda katika sehemu tofauti, ya mazingira yale yale. Anathibitisha haya kwa kufananisha hali hii na kutoka chumba cha malazi, kwenda sebuleni.
  • Katika ukurasa wa 15; "Mipaka ya kitabaka imebanwa. Kwa kweli haipo kwani hata sasa nisemapo nang'ang'ania chakula uji haswa na aliyekuwa waziri wa fedha miaka mitano iliyopita " Kuna mkinzano wa mawazo tunapoambiwa kuwa kwa sasa, wanang'ang'ania chakula, la sio chakula, bali uji, na aliye kuwa waziri wa fedha miaka mitano iliyopita.
  • Katika ukurasa wa 16; Haya ni matokeo ya ubahaimu wa binadamu kwa mbali namwona Ridhaa mwamu hasa akitafuna kitu Fulani, nadhani ni mzizi mwitu Ridhaa, kweli Ridhaa kula mzizi daktari mzima mkurugenzi mzima wa wakfu wa matibabu nchini. Wanasema wajuao kuuwa samba akikosa nyama hula nyasi. Wazo hill linaleta mkinzano Kwenye hkra za msomaji kwani si kawaida ya daktari mzima na mwenye cheo na wadhifa aina ile kua akila mizizi msituni, lakini lisilo budi hubidi, na hivyo basi,inambidi aile mizizi tu, badala ya kuangamizwa na njaa.
0 Comments

Mbinu za Lugha na Mbinu za Tamathali za Uandishi

9/6/2020

0 Comments

 
Mbinu za Lugha na Mbinu za Tamathali za Uandishi
MASWALI YA BALAGHA.
  • Haya ni maswali yanayoulizwa na msimulizi au mhusika ambayo hayahitaji jibu. Wakati mwingine yaweza kuitwa mubalagha. Assumpta K. Matei pia amejikita katika matumizi ya maswali ya baalagha katika kazi yake ya Chozi la Heri kama tunavyoona katika ukurasa wa kumi na moja.
  • Katika ukurasa wa 12; "Je, huu si mchango tosha wa mtu kuitwa ndugu hata angawa mgeni?Kweli jaza ya hisani madhila?Vipi watu wawa hawa walioniita 'ndugu' na 'mzee',tukala na kunywa pamoja, tukazungumza ya kupwa na kujaa wananilipulia aila na kuyasambaratisha maisha yangu Ridhaa hakujua majibu ya maswali haya " Haya ni maswali aliyojiuliza Ridhaa lakini hayakuhitaji majibu,hivyo basi ikawa ni mbinu ya kutumia maswali ya mbalgha katika kazi ya kifasihi.
0 Comments

Mbinu za Lugha na Mbinu za Tamathali za Uandishi

9/6/2020

0 Comments

 
Mbinu za Lugha na Mbinu za Tamathali za Uandishi
TASWIRA.
  • Haya ni matumizi ya lughamaneno yanayojenga picha ya hali au jambo Fulani kwa msomaji. Ni mchoro au picha ya kitu au hali Fulani inayotokea katika fikira za mtu asomapo kazi ya
  • Katika ukurasa wa 7; Waafrika waliobahatika kuwa na makao yao binafsi walipata sehemu ambazo hazingeweza kutoa mazao yenyewe; na bila shaka hali yao iliweza kutabirika; kuvyazwa kwa tabaka la wakulima wadogowadogo, maskini, wasio na ardhi.Nadhani unaweza kukisia hali ilivyokuwa kwa familia nyingi za kiafrika. Kama vile baba Msumbili alivyokuwa akisema, jamii yetu iligeuka kuwa hazina kuu ya wafanyakazi ambamo wazungu wangeamua nkuchukua vubarua kupalilia mazao yao. Kuna taswira inayojengeka kwenye akili za msomaji kuhusu jinsi hali ya familia nyingi za kiafrika ilivyokuwa, na jinsi waafrika walivyokuwa wakiishi baada ya mashamba yao kunyakuliwa na wakoloni.
  • Katika ukurasa wa 15;Jua lilichomoza, halina ule wekundu wa jua la matlai ambao huleta haiba ya uzawa wa siku yenye matumaini. Naona wingu kubwa angani likitembea kwa kedi na madaha na kulifunika jua. Tukio hili linnafuatwa na umeme, kisha mtutumo wa radi. Kutokana na maelezo haya ya mvvandishi, tunajengewa taswira kuhusumawingu makubwa angani yanayotembea kwa madaha na kufunika jua, kuna Picha ya umeme inayojengeka akilini pia, na radi zinazofuata umeme.
  • Katika ukurasa wa 47; "Nakusikitikia mwanangu, kuwa huna hata familia ya kuendea. Wanuna wako wote wameangamia. Mkaza mwanangu na maskini wanao waliunguzwa moto, wasibakia hata mafuvu ya kuzika huna hata makabun ya kuwekea hayo makoja ya maua unayotunga akilini ko "Kuna picha inayojengeka akilini mwa msomaji kuhusu maneno yake Ridhaa yanayojikita katika fikra zake tu. Jinsi familia yake ilivyo angamizwa na moto, makoja ya maua ya kuweka kwenye makaburi ya hawa walioangamia; haya yote tunayachora kwenye fikra zetu tu. Pia Ridhaa mwenyewe anayachora mawazo haya akilini mwake tu, na kufikiri jinsi mwanawe anavyowaza kuhusiana na suala hilo.
0 Comments

Mbinu za Lugha na Mbinu za Tamathali za Uandishi

9/6/2020

0 Comments

 
Mbinu za Lugha na Mbinu za Tamathali za Uandishi
MAJAZ1.
  • Hii ni mbinu ambayo mtunzi wa kazi ya fasihi hufananisha tabia za wahusika na majina yao halisi.
  • Tabia zao na na majina waliyopewa. Mfano katika ukurasa wa 6;"Maekari na maekari ya mashamba katika eneo la Kisiwa Bora yanamilikiwa na nani?" Neno Kisiwa Bora limeturnika kimajazi kuonyesha kuwa ni mahali ambapo kulikuwa na mshamba mazuri, na labda yenye kutoa mazao kibaba, ndio maana yakanyakuliwa na yule Myunanai ili aweze kufanyia kilimo chake bora hapo.
  • Katika ukurasa wa 9; "Mzee Mwimo akaona ku moto, akamua kuwahamisha wake wawili wa mwisho msitu wa Heri au Ughaishu kama walivyouita watu wa huko " Neno Msitu wa Heri limetumika kimajazi pia, kuonyesha kuwa msitu huu ulikuwa na fanaka na wa Baraka. Labda ndio maana Mzee Mwimo akaamua kuwahamishia wake zake huko,wakaishi kwa heri, badala ya msongamano uliokuwepo kwake nyumbani.
  • Katika ukurasa wa 11;"Mimi binafsi nimefanya juu chini kuhakikisha kuwa kijiji kizima kimepata maji ya mabomba. Eneo ambalo awali likiitwa Kalahari, sasa limetwaa rangi ya Chani kiwiti " Jina Kalahari, kama lilivyoitwa eneo hib awali, lilitumika kimajazi kuonyesha jinsi eneo hilo ilikuwa limekauka mithili ya jangwa la Kalahari.
  • Katika ukurasa wa 13; "Siku hiyo ambayo matrekta yakit? keleza amri ya Bwana Mkubwa, Ridhaa alitazama picha za majumba yake matatu kwenye mulishi wa runinga "Jina Bwana Mkubwa linatumika kimajazi kuonyesha cheo au nyadhifa alizokuwa nazo mtaajika huyo.Jina lenyewe linaonyesha kuwa cheo chake kilikuwa cha hali ya juu, na ndiyo maana akawa na uwezo wa kutoa amri, majumba ya watu kubomolewa, na wafanya kazi wakaweza kumtii, na kutumia matrekta kutekeleza amri hiyo.
  • Katika ukurasa wa 15; Tunaambiwa kuwa mipaka ya kitabaka imebanwa. Kwa kweli haipo kwani hata nisemapo nang' angs ania chakula-uji haswa-na aliyekuwa waziri wa fedha miaka mitano iliyopita. Hilo usilione dogo kwani unajua kuwa wenzetu hawa katika hali ya kawaida ni watu wenye shughuli na hali zao ila sasa inabidi waniite ndugu; hasa Ndugu Kaizari. Jina Ndugu Kaizari limetumika kimajazi kwani maana ya kaizari ni cheo cha mtawala wa zamani wa dola ya kirumi. Hivyo basi, jina hili lina maana ya mtawala wa zamani.
  • Katika ukurasa wa 137; Ridhaa anamtazama Shamsi akipita hapa kama afanyavyo kila siku. Mtaa anakoishi Shamsi ni mbali na hapa, unaweza kusema Shamsi na Ridhaa ni majirani. Hili la kuwa jirani wa shamsi limetokea baada ya miezi mingi ya fikira na tafakuri. Kwa kweli, huu ni mwezi wa tatu tangu Ridhaa kuhamia kwenye mtaa wa Afueni. Afueni ni mtaa wa raia wenye kima cha juu kiuchumi. Mtu anapoutazama mtaa huu anasalimiwa na majengo ya kifahari ya ghorofa, yale ambayo yanaitwa katika janibu hizi town houses. Jina Ridhaa limetumika kirnajazi. Ridhaa maana yake ni hali ya kukubali jambo kwa hiari. Mhusika huyu anapewa jina hili kimajazi kuonyesha kuwa ameyakubali matukio yaliyomkumba yeye na familia yake, na hana budi ila kuyaendeleza maisha yake, ingawaje yamekumbwa na kiza cha mauti. Mhusika Shamsi pia amepewa jina hili kimajazi kwani maana yake ni jua la asubuhi linapochomoza na kuleta matumaini mapya kwa watu. Mhusika huyu kazi yake kuu katika jamii ni kutunga nyimbo ambazo zinaliwaza nyoyo za watu, na pia kutumika kupitishia ujumbe tofauti kwa hadhira. Kama miale ya jua la asubuhi, mhusika huyu Shamsi analeta furaha na matumaini mapya kwa watu, kupitia kwa nyimbo zake anazotunga. Mtaa wa Afueni pia ni jina lililotumika kimajazi, na lina maana ya ndani inayowakilisha mazingira haya halisi. Afueni ni tendo la kupungua kwa maradhi, au hali ya kupata hujambo. Hivyo basi mtaa huu ni mtaa ambao hujambo. Wanasema kuwa wanapoutazama mtaa huu, wanasalimiwa na majengo ya kifahari, ya ghorofa. Hivyo basi, watu wanaoishi katika mtaa huu ni watu matajiri watajika. Haina budi basi ila kuuita mtaa huu'Afueni'.
  • Katika ukurasa wa 146;"Nilizaliwa katika kijiji cha Tokosa mimi ndiye mtoto wan ne kati ya watoyto sita. Nina wazazi wawili, ila hawa ni wazazi tu, hawajadiriki kuwa walezi wangu, wala jina 'mlezi' haliwaafiki " Kijiji cha Tokosa kimepewa jina hili kimajazi. Kutokosa ni kupika chakula kwa kuchemsha tu boila kutia viungo vyovyote kwenye chaula hicho.Hali hii maana ilihisha ukata au umaskini katika jamii, kwani anayetokosa chakula ina maana kuwa hana uwezo wa kubuni kununua hata mafuta ya kukaangia, au chumvi ya kutilia radha, na pia viungo Vingine. Kulingana na maelezo ya mwandishi, tunapata kuwa mtajwa aliyapiba masha magumu ya umasikini, kwani hata hawatambui wazazi wake kama 'wazazi',kwa kuwa hawakuwa na uwezo wa mwalea na kuwakimu wana wao kwa njia inayofaa. Hivyo basi, jina hili 'Tokosa' lililopewa kijiji hiki lilitumika kimajazi, kumaanisha kijiji chenye ukata.
  • Katika ukurasa wa 149; "Basi nenda mwanakwenda, 'alisema Fungo, 'kichukue pia kijalaana hiki chako, hata kuwepo kwenu hapa hakuzidishi hakupunguzi"Mwanakwenda ni jina lililotumiwa kimajazi, kumaanisha kuwa huyu mke kazi yake ni kwenda tu. Tunapata kuwa anasema kwamba atatokomea kokote kule, Afadhali kuishi jehanamu kuliko kwenye husuni yam Fungo. Anapoamua kuenda, anaambiwa achukue hadi kitoto chake aende nacho, basi jina hili ni la kimajazi na linatuonyesha tabia hasa ya huyu mhusika.
  • Katika ukurasa wa 163;"Asante sana Neema kwa utu wako,'akasema Mtawa huyu, 'kitoto hiki kimepata kwao. Hapa tutakiita Nasibu, Nasibu Immaculata "Mhusika Neema anapewa jina hili kimajazi. Neno neema lina maana ya mafanikio aliyonayo mtu kutokana na majaliwa ya Mwenyezi Mungu au Udi zake. Neema ni mhusika mwenye juhudi kwani anakiona kitoto kichanga kilichokuwa kimetupwa pipani na kukipeleka katika kitua cha polisi, na baadae wakakipeleka kwenye hifadhi ya watoto wasiokuwa na wazazi wao ingawa hakujaaliwa na wana, baadae anapanga mwana na anakuwa wa Baraka nyingi sana kwao, na wanapendana kama mamake mzazi na mwanawe.Hivyo basi, jina Neema lilitumika kimajazi kuonyesha sifa zake mhusika huyu. Mtawa Cizarina pia ni mhusika aliyepewa jina lake kimajazi. Neno mtawa lina maana ya mtu mcha Mungu anayeishi katika makazi maalumu mbali na watu wengine. Mara nyingi huwa ni mwanamke. Sifa za Cizarina ni kuwa alikuwa rntu mwenye rehema, utu,mpole, na mwenye kukaribisha. Aliishi katika kituo cha watoto, akiwashughulikia wana walioletwa hapa baada ya kutupwa na mama zao wasio kuwa na utu wala hisia. Hivyo basi jina Mtawa alilopewa Cizarina lilikuwa na maana ya ndani, kuwa alikuwa mtu mcha mungu aliyeishi katika makazi ya kituo cha watoto,mbali na watu wengine, ili kuwatumikia watoto hao. Kitoto hiki cha kuokotwa kilipewa jina Nasibu Immaculata na Mtawa Cizarina. Jina hili 'Nasibu' lilipewa kitoto hiki kimajazi, kwani nasibu ni neon lenye maana iliyolingana na sifa za kitoto huki. Nasibu kwanza lina maana ya jambo litokealo bila ya kutarajiiwa au kwa bahati. Pili, nasibu humaanisha kugundua au kujua ukoo wa mtu fulani. Hivyo basi, kitoto hiki kilikuwa na bahati kwani baada ya kutupwa pipani na mamake, hakikuliwa na majibwa yaliyokuwa yakichokora mapipa kutaftia mabaki ya chakula. Kitoto hiki pia hakikupatwa na magonjwa wala ajali yoyote huko mapipani, bali kilipata msamaria mwema, (Neema),aliyekichukua na kukiokoa. Hilo basi, ni kitoto chenye bahati na Baraka pia. Kulingana na Una maana ya Pill ya neno Nasibu, tunaweza linganisha na maneno aliyosema Cizarina kuwa; "Najua itatokea familia hitaji kuja kutaka kumpanga kama mwanao.Siku hizi hata walio na watoto wao halisi hujitolea kuwachukua na kuwahalalisha wana wa wengine kuwa wao "Hili lina maana kuwa jina hili Nasibu lilitumika kimajazi kuonyesha kuwa siku moja mtoto huyu angepata ukoo wake.
  • Katika ukurasa wa 169; "Mwaliko ndiye aliyeendesha gari siku hiyo; Birthday Boy akaambiwa apumzike.Walifika kwenye hoteli ya Majaliwa saa sita unusu adhuhuri; wakaketi mahali ambapo walikuwa wamezoea kuketi kila mara ambapo hawakutaka kughasiwa na pitapita za watu "MwaIiko alikuwa mhusika aliyepewa jina hili kimajazi. Neno lenyewe lina maana ya ujumbe wa kumwita mtu kwenye shughuli Fulani kwa mfano sherehe. Katika kisa hiki,kuna sherehe ya kuzaliwa kwa Umulkheri, ambayo inaendelea kwenye hoteli ya Majaliwa. Jina mwaliko linatumika kimajazi hapa, kuonyesha kuwa anawaalika watu kuja kusherehekea siku hii ya maana kwa Umu Hoteli ya majaliwa pia imepewa jina lenyewe kimajazi. Neno majaliwa lina maana ya mambo yafanyikayo kwa mappenzi ya mungu. Mambo yanayofanyika katika hoteli hii ni kwa mapenzi yake Mwenyezi Mungu, kwani katika sherehe hizi, ndipo familia na mandugu hawa wote wanapopatana baada ya miaka mingi ya kutoishi pamoja. Mwaliko, Mwangemi, Mwangeka, Dick, na Neema wpote wanafurahia kuwa pamoja kwa majaaliwa yake Mungu, kuwakutanisha tena wakiwa hai. Hivyo basi, hoteli hii inapewa jina 'Majaaliwa'kimajazi. Umulkheri pia anapewa jina kimajazi, na kuitwa 'BirthdayBoy Hili ni kkwa sababu ile ilikuwa ni siku yake ya kuzaliwa, na kwa kweli ilikuwa yake ya kuzaliwa kwani aliweza kukutana tena na ndugu zake na furaha ikawa tele. 
  • Katika ukurasa 63-64; Familia ya bwana Kangata ilikuwa miongoni mwa zilizoselelea kwenye msitu huu. Kwa Kangata na mkewe, Ndarine, hapa palikuwa afadhali. Hawakuwa na pa kwenda, kwani hata kule ambako walikuwa wakiishi awali, hakukuwa kwao. Walikuwa wamelowea katika shamba la mwajiri wao ambaye alikuwa akiishi jijini. Waliishi hapa hata watu wakadhani kuwa hii ilikuwa milki yao. Wengine hata walidhani kuwa Kangata na familia yake walikuwa akraba kindakindaki ya mwajiri wao. Kwa hakika hata watoto wa Kangata walipokwenda shuleni walijisajilisha kama wana wa tajiri baba yao Jina Kangata limepewa mhusika huyu ambaye ni mzee mwenye familia na watoto wake wanakwenda shuleni.Jina kangata linatumika kimajazi kuonyesha sifa halisi za huyu mzee. Kangata ni neno lenye maana ya kushikilia jambo mpaka ufanikiwe kutaka ukitakacho. Kulingana na kisa hiki, tunaona kuwa Kangata anashikilia kuishi kkwa tajiri wake, hadi watu wanamwona kama yeye ndiye tajiri mwenyewe. Hata watoto wake shuleni wanabadilisha majina lakiani baadae anahofia jina lake huenda likasahaulika kwani alikuwa amengata utajiri wa mkwasi huyu, hadi sifa zake zikadidimia.
0 Comments

Mbinu za Lugha na Mbinu za Tamathali za Uandishi

9/6/2020

0 Comments

 
Mbinu za Lugha na Mbinu za Tamathali za Uandishi
UZUNGUMZI NAFSIA.
  • Hii ni mbinu inayomhusu mhusika, anapojizungumzia, ama kwa kuongea au kuwaza, bila kukusudia kusikika na yeyote.
  • Katika ukurasa wa 4; Ridhaa kupitia kwa sauti yake ya moyoni anamwita Mwangeka, na kumwambia kuwa yeye alikuwa tu kama yule Mwangeka wa kihistoria ambaye kivuli chake kilitembea siku zote mbele yake. Mwangeka huyu pia mwili wake ulikuwa kaka tu, roho yenyewe iliishi nje ya kaka hili kwa kutotaka kudhibitiwa. Ridhaa anajiuliza ni aje mwana we Mwangeka angeweza kunusurika tu. Anajiambia kuwa wadhifa ambao Mwangeka alipewa wa kwenda kudumisha Amani katika mashirika ya kati ulitokea kuwa ndilo jambo la kumuokoa yeye.Pia anajizungumzia kwenye mawazo yake na kujiambia kuhusu mkaza mwananwe, masikini Lily.Anajiambia kuwa amekuwa kama jani linalopukutika wakati msimu wa machipuko Anasema kuwa Lily ametoweka katika dunia hii hata kabla ya ubwabwa wa Shingo kumtoka.
  • Katika ukurasa wa 5; Mawazoni mwake Ridhaa anaskia sauti yake Becky ambaye alikuwa mjukuu wake ikimwita. Ridhaa anaskia sauti za mjukuu wake zikimwita akilini mwake, ilhali katika hali halisi hayupo, 
  • Katika ukurasa wa 47;Ridhaa anasema kuwa anamsikitia mwanawe kwa kuwa hakuwa na familia ya kuendea. Anajisemea kuwa wanuna wake Mwangeka waliangamia wote. Anasema kuwa mkazamwanawe na wanao aliangamizwa na moto, hivi kwamba hata mafuvu ya kuzika hayakubakia.Anaendelea kusema kuwa hata makaburi ya kuwekea makoja ya maua ambayo Mwangeka alikuwa akiyatunga akilini mwake hamna.Ridhaa anajipata katika hali hii ya kuzungumza na nafsi yake, kuhusu hisia na fikra za mwanawe kuhusiana na suala la kuangamia kwa familia yao.Mazungumzo haya yote yanajikita katika nafsi yake Ridhaa.
  • Katika ukurasa wa 48; Mwangeka aliinua kipaji chake, akata zamana na baba yake. Aliona kuwa babake alikuwa amekonga Zaidi. Uso wake umeshamiri weusi na unyonge. Aliendelea kujisemea akilini mwake kuwa sasa babake alimshabihi babu Mwimo Zaidi, hasa kule kupwaya kwa ngozi yake.
  • Katika ukurasa wa 78; Umulkheri aliyaambia macho yake, yatoke huko mbali yalikokuwa yametanga,akayarudisha darasani, yakatazamana na mwalimu Dhahabu bila yeye Umulkheri kumwona mwalimu mwenyewe.
  • Katika ukurasa wa 152; "Usinitazame kana kwamba unataka nikwambie yaliyotokea baadae,nilijisemea kana kwamba ninajibu mtazamo wa Selume, 'nyinyi ndio wa kuniambia kwani nilijipata hapa penu, "Pete aliongeza na kukatisha ghafala usimulizi uliokuwa mawazoni mwake 'NMawio ya leo yanaelekea kuwa na kiza kisicho cha kawaida, "alijisemea kijakazi Sauna huku akijipindua kuusikiliza mlio wa king'ora unaosikika kwa mbali "
  • Katika ukurasa wa 153; "Kwa mbali, anasikia mbisho hafifu langoni mwa jumba hili. Anatoka nje kwenda kuitika mbisho huu. Ghafla, uso wake unakumbana ana kwa ana na polisi!Mara anasikia moyo wake ukimwambia, "Yako ya arubaini imefika, "huku akijaribu kuvaa tabasamu na kuwakaribisha maafisa hawa nyumbani "Sauna ameisha kupata ujira wake kwa kazi hii pia, naye u tayari kuondoka asubuhi ya kuamkia krismasi.Hata sauna anapowazia matendo yake, hasa ya hivi maajuzi, anatamani kujisuta. Anahisi kwamba hafurahii kazi hii yake. Hata hivyo ndani ya nafsi yake anaukemea moyo wake ambao unataka kuipweza ari yake. Mlaani shetani, "Sauna anauambia moyo wake.Anaendelea kujiambia kuwa yeye hakuumbiwa ujalaana, kuwa walimwengu ndio walimfinyanga upya, wakampa moyo wa ujabari. Fikiria u kigoli, kifua ndio kinaanza kuvuvumka, kisha unaamka usiku kumpata baba yako, ba-ba-ya-ko, kwenye chumba chako cha malazi. Anakutenda ya kutendwa. Asubuhi huna hata uso wa kumtazamia yeyote, wala kinywa cha kumwambia mamako kuhusu feli uliyotendewa.Na utamwambiaje mja huyu ambaye daima ni mwanamke taa, atakalo baba yeye hiliridhia bila swali, na ikitokea kwamba atauliza swali, anakuwa mpokezi wa makonde, vitisho na matusi?Hebu yatie haya kwenye mizani; baada ya mwezi mmoja unaanza kushikwa na kisulisuli, kichefuchefu cha asubuhi nacho kinakuandama. Fikra zako za kitoto zinakutuma kuwaza kuwa ni malaria au homa ya matumbo. Unammwambia mama yako ambaye anaonekana kushtuka kiasi. Mama anapokupeleka hospitali, anapasuliwa mbarika, nawe limbukeni hujui lolote. Mnapofika nyumbani, anakuhoji, nawe hujui kuficha lolote, unamwambia imekuwa mazoea baba yako kukuhujumu kila apatapo nafasi. Anajisemea kuwa hili haliwezi kukubalika Kujipagaza uzazi na ulezi katika umri huu, tena mzazi mwenzio si mwingine, ila baba yako?Haya yote ni mawazo yanayoendelea katika fikra zake Sauna, na mbinu hii ndiyo uzungumzi nafsia.
0 Comments

Mbinu za Lugha na Mbinu za Tamathali za Uandishi

9/6/2020

0 Comments

 
Mbinu za Lugha na Mbinu za Tamathali za Uandishi
TAKRIRI.
  • Hii ni mbinu ya kurudia rudia neon moja au fungu la maneno ili kusisitiza ujumbe Fulani.
  • Katika ukurasa wa 4; "Ridhaa alirudi nyumbani na kusimama katikati mwa chumba ambacho yeye na aila yake walikuwa wamekitumia kama sebule kwa miaka na mikaka "
  • Katika ukurasa wa 14; "Na usidhani ni mazingira mageni, kweli si mageni, si mageni kwani tu mumu humu mwetu, hatumo ughaibuni wala nchi jirani. Tu katika jimbo lile lile tulilozoea, kilichobadilika ni kijiji tu, ni kama kutoka chumba cha malazi, kwenda sebuleni!"
  • Katika ukurasa wa 16; "Sijui kama inahalisi kumwita mke wangu kwani huyu siye subira wangu wa zamani. Siye, siye, siyeee. Tazama uso wake ulivyovamiwa na majeraha, kikwi "
  • Katika ukurasa wa 48; "Siye siye hata kidogo kilichobaki lile tabasamu lake la daima,lililozoea kumhakikishia usalama siku zote, tabasamu ambalo lilidhihirisha meno meupe pepepe yenye mwanya mkubwa wa kuvutia, mwanya ambao Ridhaa alikuwa amezoea kumwambia Mwangeka kuwa mwanya huo ndio ndoana ambayo aliitumia kumvulia mama yake"
  • Katika ukurasa wa 138; "La!la!la mwanangu Hayo unayoyawazia siyo, ila naona ni muhimu nihamie ile nyumba yangu ya afueni "
  • Katika ukurasa wa 154;"Mlaani shetani' Sauna aliuambia moyo wake, 'unajua kuwa mimi sikuumbiwa ujalaana, walimwengu ndio walinifinyanga upya, wakanipa moyo wa ujabari. Fikiria u kigoli, kifua ndio kinaanza kuvuvumka, kasha unaamka usiku kumpata baba yako, ba-ba-ya-ko, kwenye chumba chako cha malazi. Anakutenda ya kutendwa. Asubuhi huna hata uso wa kumtazamia yeyote.
0 Comments

Mbinu za Lugha na Mbinu za Tamathali za Uandishi

9/6/2020

0 Comments

 
Mbinu za Lugha na Mbinu za Tamathali za Uandishi
TAASHIRA.
  • Haya ni matumizi ya lugha ya ishara kuwakilisha ujumbe fulani. Jina au kitu fulani kinatumika kumaanisha kitu kingine chenye uhusiano na kile kilichotumiwa.
  • Katika ukurasa wa 3; "Katikati ya mito hii ya machozi, Ridhaa aliileta picha ya maisha yake mbele ya kipaji chake "
  • Katika ukurasa wa 5; "Lakini baba, wewe siwe uliyeniambia kuwa mashamba ya theluji nyeusi yalikuwa milki ya wakolo
  • Katika ukurasa wa 12; "Ridhaa hakujua alikuwa amesimama pale kwa muda gani. Miguu yake sasa ilianza kulalamika. Pole pole parafujo za mwili wake zililegea, akaketi juu ya majivul la juu ya miili ya wapenzi wake "
  • Katika ukurasa wa 46; "Alikuwa ameumwa na nyoka, bafe hasa, na bila shaka mwenye kuumwa na nyoka akiona ung'ongo hushtuka " Matukio yaliyokuwa yamemkumba Ridhaa yanafananishwa na nyoka ambaye alimuuma,na hivyo, hawezi kuyasahau.
  • Katika ukurasa wa 59; "Alikuwa ametoka shuleni, siku hizo walimu walikuwa wameng'ang'ania kuwafunza Jumamosi, wanafunzi waliokaribia "ICU" kama walivyoliita darasa la nane " Darasa la nane linalinganishwa na "ICU".
0 Comments

Mbinu za Lugha na Mbinu za Tamathali za Uandishi

9/6/2020

0 Comments

 
Mbinu za Lugha na Mbinu za Tamathali za Uandishi
ISTIARA.
  • Hii ni mbinu ya kulinganisha vitu viwili moja kwa moja kwa kutumia kiungo 'ni' au 'kuwa'.Mbinu hii pia hujulikana kama sitiari au istiari.
  • Katika ukurasa wa 1; Kunguru wanalinganishwa na jeshi."Anakumbuka jeshi la kunguru lililotua juu ya paa la maktaba yake ya nyumbani adhuhuri ya juzi ile "
  • Katika ukurasa wa 5;"Umekuwa kama jani linalopukutika msimu wa machipuko Umetoweka katika ulimwengu huu ukiwa teketeke, hata ubwabwa wa Shingo haujakutoka "
  • Katika kurasa za 8-9; Maisha ya familia ya Mzee Mwimo yanalinganishwa na ndege kwenye kiota.Anasema kuwa hata kipunga akiona kuwa wana wake wamekuwa wakubwa na bado hawataki kutoka kiotani, yeye hukifanya kiota chenyewe kukosa raha kwa kukiweka miiba. Hapo ndipo hawa vifaranga huona kuwa wakati wao wa kuondoka ushatimia. Anasema kuwa hao vifaranga hawaambiwi na mtu kuwa wakati wao wa kupambana na dunia umefika,na hivyo basi, wao hujiondokea bila kuambiwa. Vivyo hivyo, ndivyo kuko katika hii familia ya Mzee Mwimo Msumbili. Tunaambiwa kuwa kwa kuwa na wana wengi, wanao hitaji chakula kila siku, huko nyumbani kwake mzee kukatokea uhasama, na pia migogoro. Kutokana na hayo, mzee Mwimo akaamua kuwahamisha wanawake wake wawili wa mwisho. Wao walipelekwa katika msitu wa Heri kama ulivyojulikana. 
  • Katika kurasa za 14-15;Anasema kuwa ugeni uliopo ni ule wa hali, mazoea na silika. Anasema pia kuwa walipo hapo wako pamoja na matajiri na pia walio masikini. Anasema kuwa unaweza dhani kuwa kuna kiasi cha usawa, lakini binadamu husema kuwa hakuna usawa kati ya binadamu ila tu katika kifo. Anasema kuwa kile ambacho hawajui ni kuwa hata katika kifo, binadamu hawawi sawa hata kidogo. Kunao wanaoaga dunia huku wakiwa wamefishwa ganzi, kiasi cha kuwa hawatausikia uchungu wa kifo. Kuna tofauti pia kati ya mandhari wanamofia hawa binadamu. Kunao wanaokufia katika zananati huku daktari akijaribu kuwaokoa. Wengine wanakufia katika hospitali za kifahari, huku wakiliwazwa na mashine, na kila mtu anashughulika na kuushikilia uhai wa huyu mheshimiwa. Anasema kuwa wanapokufa hawa, nyuso zao huwa huwa zimetulia, na pia wanaziachilia roho zao kwa faraja. Tunaambiwa kuwa hatuwezi kulinganisha nyuso za hawa na wale wanaofia kwenye hamaniko wakizingirwa na jamaa ambao hawana hata hela za kununulia sindano angalau ya kuwaingiza dawa mwilini. Pia kuna wale wanaokufia vitongojini, kwenye vitanda vya mwakisu baada ya kunywa pombe haramu. Hawa nao wanalinganishwa na nzi amabao hufia dondani na hiyo isiwe ni hasara. Wanalaumiwa kwa kujiingiza katika msiba wa kujitakia. Pia kuna tofauti katika mitindo ya mazishi, viviga vinavyohusishwa na sherehe za mazishi na hata mavazi ya "mwenda zake".Pia jeneza analozikwa nalo pia lina tofauti, kwani tajiri atazikwa kwa jeneza Ia dhamani kubwa kulinganisha na huyu masikini. Maelezo haya yote yanaleta tofauti kati ya matabaka mawili. Tunalinganisha matabalka haya mawili na kuona tofauti iliyokuwepo katika hali zote. 
  • Katika ukurasa wa 18; Tunaambiwa kuwa mwamu wake Ridhaa, kabla tu ya kusikia mlio wa bunduki, mitutu yake ilikuwa ishatema risasi kama bafe atemavyo mate. Utemaji wa risasi unalinganishwa na utemaji wa mate kwa bafe.
  • Katika ukurasa wa 50; Anasema kuwa elimu yoyote bila kielelezo chema kutoka kwa wanaoitoa elimu yenyewe ni sawa tu na juhudi zile za mfa maji.
  • Katika ukurasa wa 149; Maisha yake na Fungo yalibadilika na kuwa kama yale ya ng'ombe aliyetiwa shemere na Maisha yangu kufungwa nira pamoja na puna ambaye anakataa kusonga mbele. Maisha ya hawa wahusika wawili yanalinganishwa na huyu ng'ombe aliyefungwa pamoja na punda.
0 Comments
<<Previous
    Chozi la Heri
    Chozi la Heri

    ​Uchambuzi wa Chozi la Heri na Assumpta K Matei

    chozi la heri uchambuzi


    CATEGORY

    Categories

    All
    Jalada
    MASWALI NA MAJIBU
    MWONGOZO
    SWALI NA JIBU
    Ufaafu Wa Anwani
    WAHUSIKA

    ARCHIVES

    Archives

    January 2023
    December 2022
    May 2022
    October 2021
    June 2021
    June 2020
    May 2020

    AUTHOR

    M.A NYAMOTI

    B.ed Science [MKU]

    RSS FEEDS

    RSS Feed


    CHOZI LA HERI

    chozi_la_heri__qns__ms_.pdf
    File Size: 1257 kb
    File Type: pdf
    Download File

    chozi_la_heri_qns.pdf
    File Size: 391 kb
    File Type: pdf
    Download File

    chozi_la_heri_guide.pdf
    File Size: 2089 kb
    File Type: pdf
    Download File

    chozi_la_heri_guide_0714497530.pdf
    File Size: 2126 kb
    File Type: pdf
    Download File

    chozi_la_heri_guide_latest.pdf
    File Size: 1287 kb
    File Type: pdf
    Download File


    HIGH SCHOOL EXAMINATIONS

    OPEN

    ENGLISH LITERATURE BOOKS & SETBOOKS

    OPEN

    KCSE KISWAHILI SETBOOKS

    OPEN

    Geography Form 1 Notes and Other Resources

    OPEN

    KCSE PAST PAPERS BY SUBJECT 1989 - LAST YEAR

    OPEN

    Geography Form 2 Notes and Other Resources

    OPEN

    KCSE Past Papers, Marking Schemes and Reports

    OPEN

    BIOLOGY FORM 1 NOTES

    OPEN

    ALL SECONDARY RESOURCES (EXAMINATIONS, NOTES, TUTORIALS AND REPORTS)

    OPEN

    PRIMARY SCHOOL RESOURCES 8-4-4

    OPEN

    KCPE Past Papers, Marking Schemes and Reports

    OPEN

    STANDARD 8 CLASSROOM RESOURCES

    OPEN
    1 2


Primary Resources
  • K.C.P.E Past Papers
  • ​Pri - Primary 1 Level
  • Pri  - Primary 2 Level
  • Grade 1
  • Grade 2
  • Grade 3
  • Grade 4
  • Standard 5
  • Standard 6
  • Standard 7
  • Standard 8
  • English
  • Kiswahili
  • Social Studies
  • Science
  • Mathematics
  • Kenya Sign Language
  • I.R.E
  • ​H.R.E
  • Notes
  • Termly Questions
  • Mocks
  • K.C.P.E Past Papers
College Resources
  • E.C.D.E
  • P.T.E
  • D.T.E
  • Technical Diploma
  • Technical Certificate
  • Business Diploma
  • Business Certificate
  • Higher Diploma
  • K.A.S.N.E.B Resources
  • K.M.T.C Resources
  • Varsity Resources
Secondary Resources
  • K.C.S.E Past Papers
  • Form 1
  • Form 2
  • Form 3
  • Form 4
  • Term 1
  • Term 2
  • Term 3
  • English
  • Geography
  • History
  • C.R.E
  • I.R.E
  • ​H.R.E
  • Home Science
  • Computer Studies
  • Business Studies
  • Agriculture
  • Chemistry
  • Biology
  • Physics
  • Mathematics ALT A
  • Mathematics ALT B
  • Kiswahili
  • French
  • Germany
  • Arabic
  • Aviation
  • Art & Design
  • Drawing & Design
  • Building & Construction
  • Metal Works
  • Wood Work
  • Music
  • Kenya Sign Language
  • Electricity
Other Useful Links
  • Academic Environment
  • How its Done
  • News and Opinions
  • Manyam Franchise Support
  • About
  • SITEMAP
  • FOCUS A365 SERIES
  • Membership Details (KCPE/KCSE)
  • Secondary Mocks
  • SYLLABUS
Contact Us
Manyam Franchise
P.O Box 1189 - 40200 Kisii
Tel: 0728 450 424
Tel: 0738 619 279
Tel: 0763 450 425
E-mail - sales@manyamfranchise.com
  • Start
    • SITEMAP
    • KNEC Portal
    • ZERAKI HELP AND SUPPORT
    • Academic Environment
    • KNEC KCSE PROJECT INSTRUCTIONS
  • BLOGS
    • About Us? >
      • Learn more about us
    • CUSTOMER CARE >
      • PRICING
      • Help & Support
    • News and Opinions
    • JOBS IN KENYA AND ABROAD FOR KENYANS AND BEYOND
    • How its Done
  • OUR PRODUCTS
    • All Categories >
      • MORE PRODUCTS >
        • SECONDARY CRE NOTES
        • COURSE BOOKS
        • KCSE KISWAHILI SETBOOKS
        • Backed Up Files and Archives
        • FREE DOCUMENTS
        • PRIMARY 8-4-4 BASED RESOURCES
        • STANDARD 8 RESOURCES
        • HIGH SCHOOL RESOURCES >
          • Biology Paper 3 Exams
          • Secondary Examinations
        • PRIMARY CBC BASED RESOURCES
        • COLLEGE & VARSITY RESOURCES
      • PRIMARY RESOURCES CBC
      • PRIMARY RESOURCES 8-4-4
      • SECONDARY RESOURCES
      • NOTES & TUTORIALS
      • COLLEGE RESOURCES
      • NOVELS and OTHER BOOKS
    • EXAMINATIONS >
      • MOCKS AND JOINT EXAMS >
        • FORM 1 QUESTION PAPERS, ANSWERS AND MARKING SCHEMES COLLECTIONS
        • FORM 2 QUESTION PAPERS, ANSWERS AND MARKING SCHEMES COLLECTIONS
        • FORM 3 EXAMINATIONS, QUESTION PAPERS AND ANSWERS
        • FORM 4 MOCKS PAST EXAMS BY REGION
        • TOP SECONDARY EXAMS ALL SUBJECTS
      • KPSEA NATIONAL EXAMS
      • KCPE >
        • KCPE PAST PAPERS AND ANSWERS >
          • KCPE 2020 RESULTS, REPORTS, QUESTIONS AND ANSWERS
          • KCPE PAST PAPERS 2019 REPORTS, RESULTS, QUESTIONS AND ANSWERS
        • KCPE PAST PAPERS PER SUBJECT
      • KCSE >
        • KCSE PAST PAPERS BY SUBJECT
        • KNEC KCSE PAST PAPERS, MARKING SCHEMES, QUESTIONS & ANSWERS
        • Free KCSE Past Papers Mathematics
        • Free KCSE Biology Questions and Answers
      • QUESTIONS & ANSWERS >
        • SECONDARY >
          • LANGUAGES >
            • Secondary English Questions and Answers
          • TECHNICALS >
            • COMPUTER STUDIES >
              • COMPUTER STUDIES Q & A
              • kcse computer studies paper 2 AND 3 Questions & Answers
            • BUSINESS STUDIES QUESTIONS & ANSWERS
            • KCSE AGRICULTURE TOPICAL QUESTIONS AND ANSWERS
            • KCSE HOME SCIENCE DIRECT QUESTIONS AND ANSWERS
          • SCIENCES >
            • KCSE Mathematics Topical Questions
            • KCSE Biology Topical Questions and Answers
            • CHEMISTRY TOPICAL QUESTIONS AND ANSWERS
            • KCSE Physics Topical Questions
            • KCSE physics Practical Sample Quiz
          • HUMANITIES >
            • C.R.E (CRE) QUESTION AND ANSWERS
            • ISLAMIC RELIGIOUS EDUCATION (IRE) QUESTIONS AND ANSWERS
            • KCSE History Topical Questions and Answers
            • GEOGRAPHY TOPICAL QUESTIONS AND ANSWERS
        • PRIMARY >
          • Standard 4-8 Mathematics Topical Questions from Mocks and KCPE
          • Std 6 Mathematics Notes
    • TUTORIALS >
      • SECONDARY >
        • SCIENCES >
          • FOCUS MATHEMATICS TUTORIALS AND EXAMS FREE
          • KCSE BIOLOGY NOTES
          • FREE KCSE CHEMISTRY NOTES
          • KCSE PHYSICS NOTES, AUDIOVISUALS AND MORE
        • LANGUAGES >
          • ENGLISH >
            • A GUIDE TO SILENT SONG AND OTHER STORIES
            • English KCSE Set Books
            • ENGLISH POETRY QUESTIONS WITH ANSWERS FOR K.C.S.E CANDIDATES
            • ENGLISH GRAMMAR #KCSE
          • KISWAHILI >
            • Bembea ya Maisha
            • CHOZI LA HERI - MWONGOZO
            • KIGOGO - MWONGOZO
            • MASWALI NA MAJIBU YA TUMBO LISILOSHIBA
            • USHAIRI MASWALI NA MAJIBU
            • KCSE Kiswahili Fasihi
        • TECHNICALS >
          • HOME SCIENCE NOTES
          • KCSE BUSINESS STUDIES NOTES
          • COMPUTER STUDIES NOTES LATEST
          • kcse Computer Studies Notes
          • KCSE AGRICULTURE NOTES, SYLLABUS, QUESTIONS, ANSWERS, SCHEMES OF WORK AND OTHERS
        • HUMANITIES >
          • KCSE History Notes Form 1 to 4
          • FREE KCSE CRE NOTES
          • KCSE GEOGRAPHY NOTES
          • IRE NOTES, AUDIOVISUAL, QUESTIONS AND ANSWERS
      • PRIMARY >
        • STANDARD 4: SOCIAL STUDIES
        • NOTES >
          • KISWAHILI
          • SOCIAL STUDIES
        • EXAMINATIONS
        • DecaTurbo Online Series Examinations
        • KCPE Mathematics Notes
        • KCPE and Primary Level Compositions
      • Other Supportive Documents >
        • SYLLABUS >
          • Primary 8-4-4 based Syllabus, Objectives and Lessons
          • Primary Mathematics Syllabus
        • MASOMO VIDEOS
    • CURRICULUM >
      • NEW CURRICULUM DESIGNS >
        • PRIMARY >
          • PRE PRIMARY ONE CURRICULUM WITH SYLLABUS
          • PRE PRIMARY TWO CURRICULUM WITH SYLLABUS
        • SECONDARY >
          • KNEC KCSE SYLLABUS AND COURSE OUTLINES
        • COLLEGE >
          • Regulations for the TIVET Craft and Diploma Business Examinations
    • HIGH INSTITUTIONS >
      • EXAMINATIONS >
        • College and Varsity Past Papers online
      • TUTORIALS >
        • COLLEGE AND UNIVERSITY NOTES AND TUTORIALS
  • MEMBERS RESOURCES
    • Primary >
      • CBC AND 8-4-4 LATEST EXAMS
      • CBC PROFFESSIONAL TOOLS
      • CBC NOTES PRIMARY
      • CBC KPSEA EXAMS
      • Standard 8 (std) English Topical Questions
      • KCPE MATHEMATICS TOPICAL QUESTIONS FROM 1989 TO LAST YEAR
      • STANDARD 8 PAST PAPERS 8-4-4 BASED
    • Secondary >
      • FORM 1 EXAMS WITH ANSWERS
      • FORM 2 EXAMS WITH ANSWERS
      • FORM 3 EXAMS WITH ANSWERS
      • FORM 4 EXAMS WITH ANSWERS
      • KCSE 2020 QUESTIONS AND ANSWERS
      • NOTES SECONDARY
      • MOCKS SECONDARY >
        • kcse form 2 mathematics questions
    • Free Schemes of Work
    • FOCUS A365 SERIES K.C.P.E EXAMINATIONS FOR PRIMARY
    • ALL GROUPS PRODUCTS
    • PREMIUM PRODUCTS 2