“Hatuwezi kumaliza kula, kila leo tunakula”(a) Eleza muktadha wa dondoo hili. (al 4)
Mnenaji ni Mbura.
Mnenewa ni Sasa Wakiwa nyumbani kwa mzee Mambo Walikuwa wamehudhuria sherehe kwa Mambo bila ualishi katika siku ya kusherehekea siku ya kuingia darasa la chekechea kwa mtoto wa Mzee Mambo na mwingine kutoa vijino viwili. Wanafika shereheni kula, hata hivyo wanakula kilafi mpaka Mbura anaanza kujilaumu pamoja na mwenzake Sasa kwamba wanakula vyovyote wavipatavyo bila kuvichunguza na hata kuvila vya wenzao waliowatuangulia na watakaozaliwa. (b) Fafanua tamathali ya usemi iliyotumika (al 2)
Istiari/Jazanda – Wanakula lakini hawawezi kumaliza kula – wanakula kila leo
na bado wanaendelea kula – kuendelea kunyakua mali ya uma kutaja = 1 kufafanua = 1 (C) Eleza umuhimu wa mnenaji. (al 4)
Umuhimu wa Mbura
(d) “Lakini nakwambia, kula kunatumaliza”. Kwa kudokeza hoja kumi, jadili ukweli wa kauli hii. (al 10)
“lakini nakwambia tena, kula kunatumaliza”.
Follow AtikaSchool.Org on our Social ChannelsThis gives you an opportunity to get our latest uodates, changes and firsthand information
0 Comments
Leave a Reply. |
Uchambuzi wa Chozi la Heri na Assumpta K MateiCATEGORY
ARCHIVES
AUTHOR
M.A NYAMOTIB.ed Science [MKU] RSS FEEDS
CHOZI LA HERI![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
|