Atika School
  • Home
    • Echo
    • Academic Environment
    • How its Done
  • TUTORIALS
    • SECONDARY >
      • SCIENCES >
        • FOCUS MATHEMATICS TUTORIALS AND EXAMS FREE
        • KCSE BIOLOGY NOTES
        • KCSE CHEMISTRY NOTES
        • KCSE PHYSICS NOTES, AUDIOVISUALS AND MORE
      • LANGUAGES >
        • ENGLISH >
          • English KCSE Set Books
          • ENGLISH GRAMMAR #KCSE
        • KCSE Kiswahili
      • TECHNICALS >
        • KCSE BUSINESS STUDIES NOTES
        • kcse Computer Studies Notes
        • KCSE AGRICULTURE NOTES, SYLLABUS, QUESTIONS, ANSWERS, SCHEMES OF WORK AND OTHERS
      • HUMANITIES >
        • KCSE History Notes Form 1 to 4
        • FREE KCSE CRE NOTES
        • KCSE GEOGRAPHY NOTES
        • IRE NOTES, AUDIOVISUAL, QUESTIONS AND ANSWERS
    • PRIMARY >
      • NOTES >
        • KISWAHILI
        • SOCIAL STUDIES >
          • STANDARD 4: SOCIAL STUDIES
        • SCIENCE
        • ENGLISH
        • MATHEMATICS >
          • KCPE Mathematics Notes
      • EXAMINATIONS >
        • TOP INSHA AND COMPOSITION QUESTIONS
        • FOCUS A365 SERIES K.C.P.E EXAMINATIONS FOR PRIMARY
        • Standard 8 (std) English Topical Questions
        • Standard 4-8 Mathematics Topical Questions from Mocks and KCPE
      • SYLLABUS >
        • Standard 8 Mathematics Syllabus
  • CURRICULUM
    • NEW CURRICULUM DESIGNS >
      • PRIMARY >
        • PRE PRIMARY ONE CURRICULUM WITH SYLLABUS
        • PRE PRIMARY TWO CURRICULUM WITH SYLLABUS
      • SECONDARY >
        • KNEC KCSE SYLLABUS AND COURSE OUTLINES
      • COLLEGE >
        • Regulations for the TIVET Craft and Diploma Business Examinations
  • EXAMINATIONS
    • TOP SCHOOLS EXAMINATIONS LATEST
    • KCPE >
      • KCPE PAST PAPERS AND ANSWERS
    • KCSE >
      • KNEC KCSE PAST PAPERS, MARKING SCHEMES, QUESTIONS & ANSWERS
    • QUESTIONS & ANSWERS >
      • SECONDARY >
        • SCIENCES >
          • CHEMISTRY TOPICAL QUESTIONS AND ANSWERS
          • KCSE Mathematics Topical Questions
          • KCSE Physics Topical Questions
          • KCSE physics Practical Sample Quiz
          • KCSE Biology Topical Questions
        • LANGUAGES >
          • ENGLISH POETRY QUESTIONS WITH ANSWERS FOR K.C.S.E CANDIDATES
        • HUMANITIES >
          • ISLAMIC RELIGIOUS EDUCATION (IRE) QUESTIONS AND ANSWERS
          • C.R.E (CRE) QUESTION AND ANSWERS
          • KCSE History Topical Questions
          • GEOGRAPHY TOPICAL QUESTIONS AND ANSWERS
        • TECHNICALS >
          • BUSINESS STUDIES QUESTIONS & ANSWERS
          • KCSE AGRICULTURE TOPICAL QUESTIONS
          • COMPUTER STUDIES >
            • COMPUTER STUDIES Q & A
            • kcse computer studies paper 2 Questions Answers
          • KCSE HOME SCIENCE DIRECT QUESTIONS AND ANSWERS
      • PRIMARY >
        • Std 6 Mathematics Notes
  • HIGH INSTITUTIONS
    • EXAMINATIONS >
      • College and Varsity Past Papers online
    • TUTORIALS
  • PRICING
  • Blog
    • SLIDESHOW NOTES FOR KCSE, COLLEGE AND KCPE
    • Manyam Franchise Support
    • News and Opinions
    • About
    • Contact
    • SITEMAP
  • MATHS CHALLENGES
  • CO-CURRICULAR

The KCSE  Past Papers online

make your order

KCSE 2018: KISWAHILI PAPER 3 QUESTIONS AND ANSWERS

16/7/2019

0 Comments

 
PREVIOUSLY << KCSE 2018: KISWAHILI PAPER 2 QUESTIONS AND ANSWERS

KCSE 2018: KISWAHILI PAPER 3 QUESTIONS AND ANSWERS

​Kiswahili Paper 3

SEHEMU A: USHAIRI

​1. Lazima
A. Mazrui: Chembe Cha Moyo
Soma shairi lifuatalo kisha ujibu maswali.

Nimeyaandika maneno haya
Kwa niaba ya:
Mamilioni wasio malazi
wabebao vifurushi vilivyo wazi
wazungukao barabarani bila mavazi
...milki yao ya maisha.
Kwa niaba ya:
Maelfu wanouawa bila haki
wiki baada ya wiki
leo sumu au spaki
leo kamba au bunduki
na kwa wale wanosubiri kunyongwa.

Kwa niaba ya:
Vijana walio mitaani
wale mayatima wa maskini
wazungukao mapipani
kila pembe mjini
kuokota sumu kutia tumboni
kujiua bila kujua
ili kupata kuishi.

Kwa niaba ya:
Wakongwe wasio jiweza
walao chakula kilichooza
wachukuao choo wakijipakaza
polepole waki jiangamiza
katika vyumba vyao
baridi na giza
kwa sababu hawana watazama
wala wauguza.

Kwa niaba ya:
Waishi na nyingi hofu
kwa sababu ya madawa tifutifu
yatiwayo vyakulani yakitufanya wafu
Bila ya mtu kuona
kama kwamba sote tu vipofu,

Na kwa niaba yetu sote;
Tuliofungwa vifungoni, duniani
Tuliosukumwa kingoni, maishani
Tuliopokonywa maoni, machoni
Tuliotiliwa sumu, malishoni
Tuliodidimizwa kinyesini
ili ‘maendeleo’
yaendelee kwenda njiani
huku yakitema machicha ya roho zetu.
  • a) “Shairi hili linakatisha tamaa.” Thibitisha kauli hii kwa kutoa mifano saba kutoka kwenye shairi. (alama 7)
  • b) Fafanua umuhimu wa ama mbili za urudiaji zilizotumiwa katika shairi hili. (alama 4)
  • c) Bainisha vipengele vifuatavyo vya kimtindo katika shairi hili. (alama 3)
    • (i) tasfida
    • (ii) kinaya
    • (iii) tashihisi
  • d) Eleza kwa kutoa mfano, mbinu moja ambayo mshairi ametumia kutosheleza mahitaji ya kiarudhi katika ubeti wa tano. (alama 2)
  • e) Andika ubeti wa pill kwa lugha ya nathan. (alama 2)
  • f) Bainisha nafsineni katika shairi hili. (alama 2)

​SEHEMU B: RIWAYA

K. WALIBORA: KIDAGAA KIMEMWOZEA

​JIBU SWALI LA 2 AU LA 3.

2. ​“Riwaya hii ya ama yake inathibitisha kwa usanii wa kupigiwa mfano jinsi ndoto ya uhuru barani Afrika imegeuka kuwajinamizi.”
  • (a) Eleza muktadha wa dondoo hili. (alama 4)
  • (b) Onyeshajinsi ndoto ya uhuru barani Afrika imegeuka kuwajinamizi kwa kuwarejelea wahusika wafuatao:
    • (i) Majisifu (alama 8)
    • (ii) Fao (alama 4)
    • (iii) Wahudumu katika zahanati ya Nasaba Bora (alama 4)
  • (a) “Leo usukani uko mikononi mwetu wenyewe. Mbeberu amekwisha ng’olewa pamoja na mizizi yake.”
    Onyesha kinaya katika kauli hii kwa kutoa mifano kumi kutoka Kidagaa Kimemwozea. (alama 10)
  • (b) Tathmini mehango wa wanyonge katika kuzoroteka kwa hali ya maisha yao. (alama 10)

​SEHEMU C: TAMTHILIA

​P. Kea: Kigogo
Jibu swali la 4 au la 5.
4. Tusiwaruhusu watu wachache waliojazwa kasumba za kikoloni kuturejesha kwenye utumwa.
     Hatuwezi kukubali kutawaliwa kidhalimu tena!”
  • (a) Eleza muktadha wa dondoo hili. (alama 4)
  • (b) Fafanua kinyume kinachojitokeza katika kauli iliyopigiwa mstari kwa kurejelea hoja kumi na sita kutoka kwenye tamthilia hii. (alama 16)
5. “Si haki! Unayazika matumaini yetu. Unaifukia kesho yetu.”
  • (a) Fafanua umuhimu wa mzungumzaji wa maneno haya katika kuijenga tamthilia ya Kigogo. (alama 6)
  • (b) Kwa kurejelea hoja kumi na nne kutoka kwenye tamthilia, jadili namna uongozi wa Sagamoyo unavyoyazika matumaini ya raia. (alama 14)

​SEHEMU D: HADITHI FUPI

A. Chokocho na D. Kayanda: Tumbo Lisiloshiba na Hadhithi Nyingine
Jibu swali la 6 au la 7.

​Said A. Mohamed: “Tumbo Lisiloshiba”

6. “. . .lakini hakuiruhusu sahau iketi na kutawala kichwani mwake. . .hapoi.. .Angepoaje na ule moto unaomiipukia kila mtu pale mtaani, umeacha mpaka sasa kovu bichi moyoni mwa kila mtu. . .?“
  • (a) Eleza muktadha wa dondoo hili.  (alama 4)
  • (b) Bainisha tamathali tatu za usemi ambazo zimetumiwa katika kauli hii.  (alama 3)
  • (e) Fafanua sifa tano za mhusika anayerejelewa na kauli hii. (alama 5)
  • (d)Huku ukijadili hoja nane, onyeshajinsi wakazi wa Madongoporomoka walivyolipukiwa na moto.  (alama 8)
7. Onyeshajinsi maudhui ya utabaka yalivyoshughulikiwa katika Tumbo Lisiloshiba na Hadithi Nyingine kwa kurejelea hadithi zifuatazo:
  • (a) Mkubwa (alama 12)
  • (b) Kidege (alama 8)

SEHEMU E: FASIHI SIMULIZI

​(A) SOMA UTUNGO UFUATAO IDSHA UJIBU MASWALI.
​Nalilitizama jua la kinjano
Likijikokota kwajitimai kutua
Mbele ya nguu
ya miima uso kikomo
likipisha machweo
yenye giza la kaniki
Likishindilia uzito wa nanga
kwenye moyo tepetevu
uloonja shubiri ya kwondokewa.
​Twalitazamana na hiyo shamsi
ikipotelea kwenye upeo wa macho
huku nyuma ikinambia
“yamekwisha.”.
Naliona kope zake zikimezwa na kiza
Nikaliona jua likitoweka pamwe nawe
Jagina wa maisha yangu.
Nikaliona likikokota aushiyo
likabwakura rohoyo
kutoka kwenye vyangu vitanga.
Kumbukizi zilikuleta
kwenye jukwaa la akili yangu
pazia likafunguka
likayaleta mawio
ya siku ya kuamkia kuuka kwako.
Nalikuona kwenye ruya ukitazamana ana kwa ana
na hasidi alokakawana
kutuhasiri mi nawe
Nalikiona kipaji chako
kikitwaa wasiwasi
ukawa ni kama wanywea
kwa wake mtazamo.
​Hata uliponishika
mkono kunambia
tukimbile tui iponye
nalikuwa nimechelewa
ulikuwa keshanipa kisogo, huku
nyuma waniita,
“Mwanangu, njoo tujisalimishe
Mwanangu njoo, nguvu zimenisha.”
Kumbe hiyo ilikuwa tahadhari
kwamba Iziraili yu karibu
moyowe kuchukua?
Kumbe wali ukisema,’Buriani mwanangu?”
Siku ya faradhi ilifika, mkono kulazimika kukupungia
Naliutazama mwilio mtukufii
Nalilitazama tambolo liloumbuka
wali umedhibitiwa shujaa wangu
ndani ya chumba chenye kuta
na paa la mbao.
Hata tulipokukaribisha,
kwa lako kaburi
Nilijipa kujiambia, “Hajenda popote
mtima bado wapiga.”
Nalingoja unisalimu
Nalingojea tabasamu lako lenye haya
Ela hayo hayakutimila
Walikuwa kesha kwenda
Kuwa milki, ya ardhi isoshiba.
Hata waliponena, “Udongo kwa udongo,”
Nilikusikia ewe yeli uso kifani
ukighani ubeti wa wimbo
wako pendwa mawazoni mwangu,
“Kifo ni hasidi,
Ikiwa mimi Gunge
Roho yangu nitamkabidhi Iziraili
Mimi niliyekaidi bunduki ya Mzungu
Katika kitali cha miaka minne
Kwetu kukarudi fahari na jina.
Mimi niliyeshindana na ndui na tetekuwanga, iliyowapukutisha
wana wote wa Ngome
Nikabaki mimi, jogoo wa kijiji.
​“Kifo ni shujaa,
Ikiwa mimi Gunge mwili wangu huu mtukufu
kwa tambo na nemsi
nitaukubalia
kuwa lengo la dua za kuonewa imani
kuwa karamu ya macho ya mahasimu
kuvikwa suti na mwosha
kufunikwa kwa udongo uliolaaniwa
Mimi Gunge,
Niliruhusu jabali kubwa
Likibinye changu kichwa
Likidhibiti changu kidari
Linizibe zangu pumzi
Gunge niache ktitawala.”
Tafuta Zinazofaana
  1. KCSE 2018
  2. KCSE  2017
  3. KCSE 2016
  4. KCSE 2015
  5. KCSE 2014

  • ​(i) Huu ni wimbo wa ama gani? (alama 1)
  • (ii) Andika sababu mbili kuthibitishajibu lako la a(i). (alama 1)
  • (iii) Ni nani anayeimbiwa na nafsineni? (alama 1)
  • (iv) Bainisha matatizo mawili yanayoikumbajamii inayosawiriwa na utungo huu. (alama 2)
  • (v) Bainisha mbinu zifuatazo katika wimbo huu. (alama 3)
    • I. ritifaa
    • II. mbinu rejeshi
    • III. taashira
  • (vi) Unanuia kutumia mbinu ya kutazama na kushiriki kufanya utafiti kuhusu nyimbo za ama hii. Eleza sababu sita za kuchagua mbinu hii. (alama 6)
(b) ​Fafanua mikakati sita ambayo jamii inaweza kutumia iii kuudumisha utanzu wa semi. (alama 6)
pricing
download pdf
mark. scheme
next >>
0 Comments

    RSS Feed

    Archives

    December 2019
    November 2019
    September 2019
    August 2019
    July 2019
    June 2019
    May 2019
    November 2018
    July 2018
    June 2018
    May 2018
    April 2018
    March 2018
    February 2018

    Categories

    All
    BIOLOGY
    CHEMISTRY
    COMPUTER STUDIES PAPER 1
    COMPUTER STUDIES PAPER 2
    CRE PP2
    ENGLISH PAPER 1
    ENGLISH PAPER 2
    ENGLISH PAPER 3
    HISTORY PP1
    HISTORY PP2
    KCSE
    KCSE 1995
    KCSE 1996
    KCSE 1997
    KCSE 1998
    KCSE 1999
    KCSE 2000
    KCSE 2001
    KCSE 2002
    KCSE 2003
    KCSE 2004
    KCSE 2005
    KCSE 2006
    KCSE 2007
    KCSE 2008
    KCSE 2009
    KCSE 2010
    Kcse-2011
    Kcse-2012
    Kcse-2013
    Kcse-2014
    KCSE 2015
    KCSE 2016
    KCSE 2017
    KCSE 2018
    KCSE 2019
    KCSE CRE PAST PAPERS
    KISWAHILI PAPER 2
    KISWAHILI PAPER 3
    MATHEMATICS
    MATHEMATICS PAPER 1
    MATHEMATICS PAPER 2
    PHYSICS
    REPORTS
    SELECTED GROUPS

Most Popular Searches

Primary Resources
  • K.C.P.E Past Papers
  • ​Pri - Primary 1 Level
  • Pri  - Primary 2 Level
  • Grade 1
  • Grade 2
  • Grade 3
  • Standard 4
  • Standard 5
  • Standard 6
  • Standard 7
  • Standard 8
  • English
  • Kiswahili
  • Social Studies
  • Science
  • Mathematics
  • Kenya Sign Language
  • I.R.E
  • ​H.R.E
  • Notes
  • Termly Questions
  • Mocks
  • K.C.P.E Past Papers
College Resources
  • E.C.D.E
  • P.T.E
  • D.T.E
  • Technical Diploma
  • Technical Certificate
  • Business Diploma
  • Business Certificate
  • Higher Diploma
  • K.A.S.N.E.B Resources
  • K.M.T.C Resources
  • Varsity Resources
Secondary Resources
  • K.C.S.E Past Papers
  • Form 1
  • Form 2
  • Form 3
  • Form 4
  • Term 1
  • Term 2
  • Term 3
  • English
  • Geography
  • History
  • C.R.E
  • I.R.E
  • ​H.R.E
  • Home Science
  • Computer Studies
  • Business Studies
  • Agriculture
  • Chemistry
  • Biology
  • Physics
  • Mathematics ALT A
  • Mathematics ALT B
  • Kiswahili
  • French
  • Germany
  • Arabic
  • Aviation
  • Art & Design
  • Drawing & Design
  • Building & Construction
  • Metal Works
  • Wood Work
  • Music
  • Kenya Sign Language
  • Electricity

    Send Us a Message

Submit

Manyam Franchise
P.O Box 1189 - 40200
Kisii
Tel: 0728 450 424
Tel: 0738 619 279
Tel: 0763 450 425
E-mail - sales@manyamfranchise.com
Other Useful Links
  • Academic Environment
  • How its Done
  • News and Opinions
  • Manyam Franchise Support
  • About
  • SITEMAP
  • FOCUS A365 SERIES
  • Membership Details (KCPE/KCSE)
  • Secondary Mocks
  • SYLLABUS
Photo used under Creative Commons from spbda
  • Home
    • Echo
    • Academic Environment
    • How its Done
  • TUTORIALS
    • SECONDARY >
      • SCIENCES >
        • FOCUS MATHEMATICS TUTORIALS AND EXAMS FREE
        • KCSE BIOLOGY NOTES
        • KCSE CHEMISTRY NOTES
        • KCSE PHYSICS NOTES, AUDIOVISUALS AND MORE
      • LANGUAGES >
        • ENGLISH >
          • English KCSE Set Books
          • ENGLISH GRAMMAR #KCSE
        • KCSE Kiswahili
      • TECHNICALS >
        • KCSE BUSINESS STUDIES NOTES
        • kcse Computer Studies Notes
        • KCSE AGRICULTURE NOTES, SYLLABUS, QUESTIONS, ANSWERS, SCHEMES OF WORK AND OTHERS
      • HUMANITIES >
        • KCSE History Notes Form 1 to 4
        • FREE KCSE CRE NOTES
        • KCSE GEOGRAPHY NOTES
        • IRE NOTES, AUDIOVISUAL, QUESTIONS AND ANSWERS
    • PRIMARY >
      • NOTES >
        • KISWAHILI
        • SOCIAL STUDIES >
          • STANDARD 4: SOCIAL STUDIES
        • SCIENCE
        • ENGLISH
        • MATHEMATICS >
          • KCPE Mathematics Notes
      • EXAMINATIONS >
        • TOP INSHA AND COMPOSITION QUESTIONS
        • FOCUS A365 SERIES K.C.P.E EXAMINATIONS FOR PRIMARY
        • Standard 8 (std) English Topical Questions
        • Standard 4-8 Mathematics Topical Questions from Mocks and KCPE
      • SYLLABUS >
        • Standard 8 Mathematics Syllabus
  • CURRICULUM
    • NEW CURRICULUM DESIGNS >
      • PRIMARY >
        • PRE PRIMARY ONE CURRICULUM WITH SYLLABUS
        • PRE PRIMARY TWO CURRICULUM WITH SYLLABUS
      • SECONDARY >
        • KNEC KCSE SYLLABUS AND COURSE OUTLINES
      • COLLEGE >
        • Regulations for the TIVET Craft and Diploma Business Examinations
  • EXAMINATIONS
    • TOP SCHOOLS EXAMINATIONS LATEST
    • KCPE >
      • KCPE PAST PAPERS AND ANSWERS
    • KCSE >
      • KNEC KCSE PAST PAPERS, MARKING SCHEMES, QUESTIONS & ANSWERS
    • QUESTIONS & ANSWERS >
      • SECONDARY >
        • SCIENCES >
          • CHEMISTRY TOPICAL QUESTIONS AND ANSWERS
          • KCSE Mathematics Topical Questions
          • KCSE Physics Topical Questions
          • KCSE physics Practical Sample Quiz
          • KCSE Biology Topical Questions
        • LANGUAGES >
          • ENGLISH POETRY QUESTIONS WITH ANSWERS FOR K.C.S.E CANDIDATES
        • HUMANITIES >
          • ISLAMIC RELIGIOUS EDUCATION (IRE) QUESTIONS AND ANSWERS
          • C.R.E (CRE) QUESTION AND ANSWERS
          • KCSE History Topical Questions
          • GEOGRAPHY TOPICAL QUESTIONS AND ANSWERS
        • TECHNICALS >
          • BUSINESS STUDIES QUESTIONS & ANSWERS
          • KCSE AGRICULTURE TOPICAL QUESTIONS
          • COMPUTER STUDIES >
            • COMPUTER STUDIES Q & A
            • kcse computer studies paper 2 Questions Answers
          • KCSE HOME SCIENCE DIRECT QUESTIONS AND ANSWERS
      • PRIMARY >
        • Std 6 Mathematics Notes
  • HIGH INSTITUTIONS
    • EXAMINATIONS >
      • College and Varsity Past Papers online
    • TUTORIALS
  • PRICING
  • Blog
    • SLIDESHOW NOTES FOR KCSE, COLLEGE AND KCPE
    • Manyam Franchise Support
    • News and Opinions
    • About
    • Contact
    • SITEMAP
  • MATHS CHALLENGES
  • CO-CURRICULAR