BEMBEA YA MAISHA
TIMOTHY M.AREGE
BEMBEA YA MAISHA ~ TIMOTHY M.AREGEAINA ZA WAHUSIKA KATIKA FASIHI1) Wahusika wakuu
2) Wahusika wadogo
3) Wahusika wasaidizi
4) Wahusika bapa/ Wahusika wa mraba mmoja
5) Wahusika duara/ wahusika wa miraba minne
6) Wahusika bapa sugu
7) Wahusika hasidi/ wapinzani
8) Mhusika nguli
9) Mhusika shinda
1 Comment
JOSEPH LUTHER MKUMBO
31/3/2024 17:56:21
Nice ! I had learned a lot. thanks...
Reply
Leave a Reply. |
Bembea ya Maisha ni hadithi kuhusu Yona na mkewe Sara pamoja na Bunju na mkewe Neema. Wahusika hawa wanajikuta katika vuta n’kuvute inayochochewa na mitazamo ya kitamaduni, uhalisia wa mambo pamoja na matamanio ya wahusika binafsi. Baina yao kuna mitikiso inayotishia familia, ndoa na mahusiano ya kijamii. Kuna shutma, shaka, tuhuma na mivutano. Lakini pia kuna hongera, imani, ushirikiano, upendo, kutanabahi na mshikamano. Katika huu mseto wa mambo ipo sauti imara ya Sara inayosikika ikihimiza na kuzindua. Sauti inayoiona kila hali mfano wa bembea.
AuthorAtika School Team Archives
September 2023
Categories
All
|
Primary Resources
College Resources
|
Secondary Resources
|
Contact Us
Manyam Franchise
P.O Box 1189 - 40200 Kisii Tel: 0728 450 424 Tel: 0738 619 279 E-mail - sales@manyamfranchise.com |