Maswali na Majibu KCSE Kiswahili
Ufahamu | Ufupisho | Isimu Jamii | Insha | Utumizi wa Lugha
MATUMIZI YA LUGHA (Alama 40) a) Taja sauti mbili zinazotamkiwa mdomoni. (Alama 1) ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… b) Sahihisha sentensi ifuatayo. Usikule chakula chenye iliyo na baridi. (Alama 1) ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… c) Tumia kihusishi mpaka ili kudhihirisha dhana za:- (Alama 2) i) Wakati ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… ii) Kiwango (Alama 2) ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… d) Tunga sentensi ukidhihirisha matumizi ya ngeli ya U- YA. (Alama 2) ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… e) Kanusha sentensi hii Mmeonana leo? (Alama 1) ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… f) Kwa kutumia kirejeshi kifaacho, rekebisha sentensi ifuatayo kwa njia mbili tofauti. (Alama 2) Yule ndiye mkwasi ambaye aliyenusurika. ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… g) Andika umoja wa sentensi hizi. (Alama 2) i) Hii miche ni mizuri sana itatufaa. ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… ii) Magofu ni mabaki ya nyumba zilizokuwa zikitumiwa zamani na ambazo hazitumiki sasa. ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… h) Changanua sentensi hii ukitumia visanduku. (Alama 4) Wasomi wanasoma vitabu na waachuuzi wanasikiza. …………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………….…………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… i) Neno ‘chuo’ lina maana ya shule inayotoa mafunzo maalum ya kazi fulani. Tunga sentensi mbili kubainisha matumizi mengine mawili ya neno hili. (Alama 2) …………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………….……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… j) Andika sentensi ifuatayo upya kutegemea maagizo. Wageni wamefika kwetu kutoka Uganda. Anza: Sisi (Alama 3) ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… k) Eleza matumizi manne tofauti ya -na-. (Alama 2) …………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………….……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… l) Eleza matumizi ya hii katika sentensi hizi. i) Kalamu hii ni nzuri . (Alama 1) ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… ii) Hii ni nzuri (Alama 1) ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… m) Unda jina moja moja kutokana na vivumishi vifuatavyo (Alama 1) i) Zuri- …………………………………………………………………………………………………………… ii) Erevu- …………………………………………………………………………………………………………… n) Kamilisha sentensi kwa kutumia maneno ya kutilia mkazo (Alama 2) i) Rai ya mgonjwa mahututi………… …………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… ii) Vyakula vimejaa maghalani…………. …………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… o) Andika sentensi ifuatayo katika nafsi ya pili wingi. Mimi nimefika hapa ili kumwona mtume. (Alama 2) ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… p) Kwa nini umekuwa nazi kwa mbuzi? (Alama 2) (Geuza swali liwe kauli ya kutendewa) ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… q) Akifisha sentensi ifuatayo (Alama 2) Fanya mtihani wako kwa makini sana ukicheza utaanguka asha mama alimwambia. ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… r) Eleza maana ya misemo hii (Alama 2) i) Mwendo wa ulimbwende- ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… ii) Pua na mdomo- ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… s) Tofautisha maana ya sentensi hizi (Alama 4) i) Walipokelewa wageni ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… ii) Walipokezwa wageni ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… t) Kanusha sentensi hii (Alama 1) Walalapo hukoroma na kujichekea. ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… u) Haya ni malipo gani? (Alama 1) Mapoza. ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… Matumizi ya lugha (alama 40) a) /p/ /b/ /f/ /r/ /m/ /w/ ½ x2 zozote mbili ( alama 1) b) usile chakula baridi usile chakula kilicho baridi c) Tathmini sentensi ya mtahiniwa iwe kisarufi mfano:- i) -----mpka jioni / saa. ii) -----mpaka pomoni, ukajaa n.k d) Mtahiniwa azingatie nomino katika ngeli ya U-YA mfano – ugonjwa – magonjwa. Kiambishi cha kitenzi kizingatie ngeli hii umoja na wingi. e) Hamjaonana leo. f) Yule ndiye mkwasi ambaye alinusurika Yule ndiye mkwasi aliyenusurika g) i) Huu mche ni mzuri sana utatufaa ii) Gofu ni banki la nyumba iliyokuwa ikitumika zamani na ambayo haitumiki sasa. h) Wasomi wanasoma vitabu na wachuuzi wanasikiliza kwa makini. d) Chuo – Ndoa
- Kifaa cha kuchokolea viazi - Kitabu cha dini e) Sisi tumepata / tumepokea wageni kutoka Uganda f) Matumizi manne ya – na – - Kuonyesha uhusiano (kukaribiana) - Kuonyesha pamoja/ kulinganisha - Kuleta au kuonyesha maana ya au - Katika wakati uliopo - Kuonyesha hali ya kumiliki g) i) Kivumishi kiashiria/ kionyeshi ii) Kiwakilishi nomino h) Zuri _ uzuri erevu _ werevu /mwerevu i) i) Hamjui anaye ingia wala anayetoka / hajijui/hajitambui ii) Vinaoza vikiozeana j) Ninyi/ nyinyi mmefika hapa ili kumwona mtume k) Kwa nini nazi imekuniwa kwa mbuzi l) “Fanya mtihani wako kwa makini sana. Ukicheza utaanguka Asha”, mama alimwonya. m) i) Mwendo wa maringo, madaha ii) karibu sana n) i) Mtu au watu wamefanya hivi kwa niaba ya . ii) Kulazimishwa/ kushurutishwa. o) Wasipolala hawakoromi wala kujichekea. p) Malipo ya kumtuliza mtu kwa jambo alilotendewa/ malipo ya kuondoa hasira.
0 Comments
MATUMIZI YA LUGHA. a) Taja sifa tatu kuu za sauti /k/ (alama 3) ........................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................ b) Andika sentensi hii katika msemo halisi Mwalimu alimuambia mwanafunzi amalize kazi hiyo haraka (alama 2) ................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................ c) Huku ukitoa mifano, eleza maana ya silabi funge (alama 2) ........................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................ d) Weka nomino hizi katika ngeli zake (alama 2) Mbalungi ........................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................ Mturuki ........................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................ e) Andika sentensi ifuatayo kwa wingi, wakati uliopita hali ya kuendelea (alama 2) Mwalimu humuadhibu mwanafunzi mwenye hatia. ................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................ f) Changamua sentensi ifuatayo kwa kielelezo cha jedwali (alama 4) Omondi anaazimia kuwa mhasibu Lakini hatii bidii masomoni ........................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................ g) Yakinisha katika nafsi ya tatu wingi (alama 2) Sijasafiri kwenda marekani ................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................ h) Bainisha matumizi ya kiambishi ‘ku’ katika sentensi hii (alama 20) Naomi atakupikia chai alafu aende kule uwanjani ........................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................ i) Onyesha virai katika sentensi zifuatazo na ueleze ni vya aina gani. (alama 2) i) Anachukia kusoma riwaya yenye masuala ya kisiasa. ................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................ ii) Watoto wa kike hudunishwa katika jamii nyingi ................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................ j) Onyesha matumizi mawili ya alama zifuatazo za uakifishaji (alama 4) Koloni (:) ........................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................ Kistari kifupi (-) ........................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................ k) Bainisha aina za vitenzi katika sentensi ifuatayo. Walimu ni watu wasiopendwa wanaposema ukweli kuhusu wanafunzi (alama 3) ........................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................ l) Eleza sifa mbili za vishazi tegemezi (alama 2) ................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................ m) Onyesha matumizi ya kiimbo katika sentensi hii Ondoka hapa! (alama1) ........................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................ n) Andika neno lenye maana sawa na (alama 2) Hawala ................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................ Katani ................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................ o) Eleza maana ya sentensi hii (alama 2) Ningalikuwa na pesa ningalinunua gari na ningalistarehe. ........................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................ p) Eleza tofauti iliyopo kati ya sentensi hizi (alama 2) Tulipofika hoteleni tulipewa soda na chupa ................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................ Tulipofika hotelini tulipewa soda kwa chupa .............................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................. q) Kanusha katika ukubwa ( alama 1) Mwizi huyu aliiba kisu na ng’ombe wa mwanamke yule. ................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................ 3. MAJIBU a) Kipasuo, hafifu, hutamkwa katika kaakaa laini b) “Maliza kazi hii haraka,” mwalimu alimwambia mwanafunzi. c) Silabi funge huishia kwa konsonanti mfano Ma-k-ta-ba d) U-i A – wa e) Walimu walikuwa wakiwaadhibu wanafunzi wenye hatia g) Wanasafiri kwenda Marekani
h) Naomi atakupikia chai halafu aende kule uwanjani mahali nafsi ya pili umoja i) Riwaya yenye masuala ya kisiasa ni – kirai nomino Watoto wa kike – kirai husishi j) Koloni – hutenganisha jina la mhusika na maneno anayoyasema katika tamthilia mfano Mbua: Je alifika jana? Hutanguliza orodha.mfano Mama alinunua mboga : Nyama, nyanya na kitunguu. Kistari kifupi (-) Hutenganisha silabi za maneno Kuonyesha neno linaendelea katika mstiari unaofuata baada ya kukosa kutoshea katika mstari mfano Ame- wasili k) ni- kitenzi kishirikishi kipungufu Wasiopendwa, wanaposema – vitenzi sabamba l) Havikubaliki kama sentensi kamili Hata kikiondolewa maana ya sentensi haipotei. Hutambulishwa na vitambulishi vya utegemezi kama vile ‘o’ rejeshi m) Amri n) Hawala-Hundi / cheki Katani – mkonge o) Kitendo hakijatendeka na hakuna uwezekanao. p) i) Walipewa soda na vile vile chupa ii) Walipewa soda iliyokuwa kwenye chupa iii) Walipewa soda iliyokuwa kwenye chupa q) Jizi hili halikuiba jisu na gombe la jana jike lile MATUMIZI YA LUGHA1. MATUMIZI YA LUGHA a) (i) Taja sauti mbili ambazo ni irabu na wakati huo huo konsonanti. (alama 2) ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… (ii) Tambua sauti hafifu kati ya zifuatazo: (alama 1) /K/, /r/, /gh/,/ sh/, /w/ ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… b) Onyesha yambwa tendwa na yambwa tendewa katika sentensi hii. (alama 2) Mbunge wa Mtondo Kaskazini atawajengea wanakijiji josho kisha aghurie mjini. ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… c) Andika kwa msemo taarifa (alama 3) “Sitakwenda sokoni leo ila nitakwenda kesho,” nikamjibu ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… d) Eleza matumizi ya neno wale katika sentensi hii. Wale walioiba ni mabanati wale ambao waliambiwa wale kabla ya kitendo hicho. …….………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… e) Yakinisha sentensi hii. (alama 1) Hapa napo sipo ninapotaka ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… f) Changanua kwa vielelezo vya mistari / vishale. (alama 3) Mwanafunzi anapohepa shuleni huadhibiwa kikondoo. g) Andika kwa udogo (alama 2) Mtoto wa mzee yule aligongwa kwa nyundo alipofukuzwa na mbwa. ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… h) Tumia kiunganishi alakulihali katika sentensi ili kubainisha matumizi yake. (alama 1) ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… i) Akifisha sentensi hii mtafanya kazi hii mpaka lini mzee alisema nataka ikamilike leo kesho mtaanza nyingine ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… j) Tunga sentensi ukitumia ‘A’unganifu mwafaka pamoja na nomino ulizopewa (alama 2) (i) Teo ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… (ii) Liwali ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… k) Eleza matumizi ya ni katika sentensi ifuatayo: (alama 2) Rudini haraka! Amina ni mgeni hapa kwetu, nitamtembeza mjini ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… l) Vitumie vihisishi vifuatavyo katika sentensi. (alama 2) (i) Ebo! ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… (ii) Kefule! ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… m) Sentensi hizi zinaashiria nyakati gani? (alama 2) (i) Ninapokimbia huchoka sana ………………………………………………………………………………… (ii) Aendapo msikitini hujitia tohara ………………………………………………………………………………… n) (i) Imekuwa vigumu mwananchi kuelewa katiba (andika katika kauli ya kutendea) (alama 1) ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… (ii) Andika sentensi katika kauli ya kutendewa ukitumia kitenzi ‘cha’ (alama 1) ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… o) Tumia vivumishi vya pekee kutunga sentensi zenye maana ifuatayo. (alama 2) (i) bila kubagua ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… (ii) bila kubakisha ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… p) Eleza maana mbili za sentensi hii (alama 2) Alinichezea na Baniani ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… q) Tunga sentensi mbili tofauti kubainisha maana tofauti kati ya: (alama 2) (i) Pamba ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… (ii) Bamba ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… r) Mwalimu huyu atawatahini wanafunzi wote watakaofanya mtihani. (alama1) Anza: Wanafunzi wote ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… s) Unda kitenzi kutokana na nomino hii (alama 1) Nomino kitenzi Ufisadi 1. MATUMIZI YA LUGHA
a) (i)/w/,/y/ (2x1=2) (ii) /k/ /sh/ (2x½=1) b) Yambwa tendwa – josho Yambwa tendewa – wanakijiji (2x1=2) c) Nilimjibu (kuwa / kwamba) singeenda sokoni siku hiyo ila ningeenda siku iliyofuata (6x½=3) d) Wale – kiwakilishi kionyeshi / kiashiria Wale – kivumishi kionyeshi / kiashiria Wale - kitenzi e) Hapo napo ndipo ninapotaka Hapo napo ndipo nitakapo (yoyote 1x1=1) f) S – KN +KT KN – N + S N – Mwanafunzi S – anapohepa shuleni KT – T + E T – huadhibiwa E - kikondoo (6x½=3) g) Kitoto cha kizee kile kiligongwa kwa kijundo kilipofukuzwa na kijibwa. (8x¼=2) h) Alakulihali – kwa vyovyote vile. i) “Mtafanya kazi hii mpaka lini? “Mzee alisema, “Nataka ikamilike leo, kesho mtaanza nyingine.” (kutuza) 1- 0 2-½ 3-1 4-1 ½ 5-2 6- 2½ 7- 3 8- 3½ 9- 4 j) Teo za Abunuasi zimepotea Liwali wa kwanza amewasili shambani (2x1=2) k) Rudini -wingi wa wahusika ni -kitenzi kishirikishi kipungufu. nitamtembeza – kiambishi kiwakilishi cha nafasi (kiambato/tegemezi) mjini - kielezi l) (i) Ebo! Kuonyesha dharau (ii) kefule! Kinyume na matarajio (hasa kuhusu maadili) (2x1=2) m) (i) wakati maalumu (ii) Wakati wowote (2x1=2) n) (i) Imewia wananch vigumu kuelewa katiba (1x1=1) (ii)cha – chiwa (1x1=1) o) (i)-o-ote (ii)-ote (2x1=2) p) Mimi pamoja na Baniani tulichezewa. Yeye pamoja na Baniani walichezewa (2x1=2) q) (i) Pamba (i) sufi ya mmea iliyo nyeupe na laini (ii) chakula au masurufu ya wakati wa safari (iii) visha mavazi mazuri ya kupendeza (iv) tia urembo (v) tayarisha au panga vitu kwa uzuri (vi) kuwa mahali aghalabu watu au wadudu (ii)bamba (i) kamata mtu kwa nguvu”baka” (ii)ziba au zuia (iii)bati (iv) kitu chembamba chenye ubapa (bamba la upanga) r) Wanafunzi wote watakaofanya mtihani watatahiniwa na mwalimu huyu. (1x1=1) s) Ufisadi fisidi (1x1=1) SEHEMU YA C: MATUMIZI YA LUGHA 1. Taja sauti nne za ufizi (alama2) …………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… 2 .Eleza maana ya maneno yafuatayo (alama2) a)Shadda …………………………………………………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………………………………………………… b) Kiimbo …………………………………………………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………………………………………………… 3. Eleza jinsi ambavyo kiimbo ni muhimu katika lugha ya Kiswahili. (alama2) ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… 4. Taja matumizi ya “ku” katika sentensi zifuatazo. (alama2) a) Kuimba kwake kunapendeza. ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… b) Sikujua amekupiga bila sababu ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… 5. Eleza matumizi ya alama za uakifishaji zifuatazo (alama4) a) Koloni (:) ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… b) Kistari kifupi (-) ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… 6. Nini maana ya kitenzi kishirikishi kikamilifu na utunge sentensi ukitumia kitenzi kishirikishi kikamilifu. (alama2) ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… 7. Eleza maana ya vielezi vya namna vikariri na utungie sentensi moja. (alama2) …………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… 8. Eleza maana ya : Viongozi wa kamati kuu walipigishana kura. (alama2) …………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… 9. Changanua sentensi ifuatayo kwa njia ya matawi. (alama5) Yule mwalimu amevuna mahindi mengi. ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………………………………………… ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… 10. Onyesha shimirisho kipozi na shamirisho kitondo katika sentensi ifuatayo. (alama2) Baba alinunulia mwanawe baiskeli alichokitamani. ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… 11. Andika katika usemi halisi. (alama2) Kiongozi wananchi aliwakumbusha raia umuhimu wa kujitolea kazini kwa kusisitiza kuwa taifa la siku zijazo liliwategemea wao. ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… 12. Yakanisha sentensi zifuatazo. (alama2) a) Watoto hawakutekwa nyara. ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… b) Mwizi hajafa amelala tu. ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… 13. Tumia kiwakilishi-O- katika sentensi ifuatayo. (alama1) Kuta ambazo zilijengwa zimebomoka. ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… 14. Andika sentensi hii katika hali ya ukubwa, wingi (alama2) Mtoto mefunga mlango wa nyumba yao ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… 15. Andika maneno yafuatayo katika kauli ya kutendama. (alama2) a) Jenga………………………………………………………………………………………… b) Ganda……………………………………………………………………………………….. 16. Onyesha chagizo katika sentensi zifuatazo:- (alama2) a) Waliamka alfajiri na mapema kuenda shule. ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… b) Aliendesha gari lile la prado kwa kasi …………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… 17. Kamilisha methali hii. (alama2) a) Ada ya mja hunena …………………………………………………………………………… SEHEMU YA C 1 Sauti za ufizi:- t, d, n, s, z, l, r. Zozote nne 2. a) Shadda- Hutumiwa kueleza ile nguvu inayosikika wakati wa kutamka silabi b) Kiimbo- Ni mpando au mshuko wa sauti wakati wa utamkaji wa sentensi 3. Umuhimu wa kiimbo - Hutumiwa kuashiria muundo wa kisarufi yaani kuonyesha sentensi, vishazi na mipaka mingine -Hisia za kibinafsi za msemaji kama kuridhika, dhihaka au dharau, hasira na kadharika. 4. a) Kitenzi jina au nomino za vitenzi vya ngeli ya KU-KU b) Hutumiwa kama kiwakilishi cha nafsi ya pili (wewe) 5. a)- Kutenganisha jina la muhusika na maneno anayosema katika mchezo wa kuigiza kwa mfano. Mbura: unataka nini? - Kutangulia kwa orodha Fulani k.m ligi ya uropa inachezwa na timu maarufu sana: Manchester, Chelsea na Liverpool - Kutangulia maelezo k.m mama alipomaliza kusema kwa simu alianza kurukaruka kwa furaha: haikosi alikuwa ameadhidiwa tunu. (Zozote mbili) b) Kutenganisha silabi za maneno kwa mfano ni-na-shu-ku-ru. -Kuonyesha kuwa neno halingetoshea nafasi katika mstari na hivyo linaendelea katika mstari unaofuata k.m vile- Kujulisha -katika maneno, hasa vivumishi ambavyo huchukua viambishi vya ngeli k.m-o-te,-o-o-te n.k -Kutenganisha maneno ambatanishi k.m Isimu- jamii -Katika tarakimu ili kutenganisha mwanzo na mwisho wake k.m 2002-2006 -Kudumisha sauti hasa wakati neno linapotamkwa (Zozote mbili) 6. Ni kile ambacho hukiweza kuchukua kiambishi cha nafsi au ngeli na kile cha wakati au hali. K.m baba yungali kitandani. (ngali) 7. Hufafanua vitensi kwa kurudiarudia neno moja mara mbili. K.m Yohana amelala kifudifudi n.k 8. Kiongozi mmoja alisimamia kura kwa niaba ya mwenzake, naye baadaye alisimamiwa na yule aliyesimamia alipopumzika. 10. - Mwanawe- shirikisho kitondo
- Baiskeli- shirikisho kipozi 11. “ Ni muhimu mujitolee kazini kwa sababu taifa la kesho linawatengemea ninyi,” Kiongozi aliwakumbusha raia. 12. a) Watoto walitekwa nyara b) Mwizi amekufa amelala tu 13. Kuta zilizojengwa zimepomoka 14.- Toto limefunga lango la jumba lao - Matoto yamefunga malango ya majumbo yao 15. Jenga – jengamana - Ganda – gandama 16. a) Chagizo- Alfajiri na mapema (b) Kazi 17. Ada ya mja hunena muungwana ni kitendo. MATUMIZI YA LUGHA3. MATUMIZI YA LUGHA (a) Akifisha kifungu kifuatacho. (alama 3) nilipowasili tu nilishika tama nikashangaa loo moto huo ulianza vipi na ulikuwa umesababishwa na nini nilishikwa na bumbuwazi magoti yangu yakaanza kuchezacheza. …………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………......... …………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………......... (b) Tunga sentensi moja katika umoja kisha uigeuze ili iwe katika wingi ili kudhihirisha ngeli ya LI – YA. (alama 2) (i) …………………………………………………………………………………………………… (ii)…………………………………………………………………………………………………… (c) Changanua sentensi ifuatayo kwa kutumia jedwali. (alama 2) Baba anafyeka nyasi ilhali mtoto anaambua viazi …………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………......... …………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………......... (d) Andika katika msemo wa taarifa: (alama 4) Zainabu : Aa! Mbona umeketi peke yako kaka? Wenzako wajistarehesha huku na huko, wewe umekaa pweke, kwa nini? Una mkasa gani? Kagame: Sina mkasa wowote, dada, ila nasumbuliwa na ugeni tu. Niliwasili hivi juzi na sijapata sahibu hata mmoja, ndiyo sababu ukaniona katika hali hii ya upweke …………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………......... …………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………......... …………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………......... (e) Sahihisha sentensi zifuatazo bila kugeuza maana. (i) Mtume mwenye wamefika ni mrefu. (alama 1) ……………………………………………………………………………………………………… (ii) Twiga hukimbilia mbio ingawa ni ndefu. (alama 1) ……………………………………………………………………………………………………… (f) Andika kwa wingi: (alama 2) (i) Uta uu huu ndio aliotumia kumfuma swara. ……………………………………………………………………………………………………… (ii) Ugomvi wake ulisababisha kutalikiwa kwake ……………………………………………………………………………………………………… (g) Unda nomino mbilimbili kutoka kwa vitenzi: (alama 2) (i) Fuata ……………………………………………………………………………………………………… (ii) Zika ……………………………………………………………………………………………………… (h) Bainisha maana katika sentensi zifuatazo. (alama 2) (i) Isije ikawa Maria anahusiana naye …………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………......... (ii) Huenda ikawa amepitia njia nyingine. …………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………......... (i) Andika upya ukitumia – o –ote (alama 2) (i) Kitabu kikipendwa na wasomaji wengi huwa maarufu. ……………………………………………………………………………………………………… (ii) Kila askari apitaye hapo humchapa. ……………………………………………………………………………………………………… (j) Tunga sentensi moja itakayodokeza matumizi mawili tofauti yas kiambishi ’ka’ (alama 2) …………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………......... (k) Badilisha hadi katika hali ya udogo. (alama 2) (i) Uta.......................................................................................................................................... (ii) Kijiko....................................................................................................................................... (l) Toa maana mbilimbili kwa kila moja ya maneno haya: (alama 2) (i) Kata …………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………......... (ii) Ua …………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………......... (m) Andika sentensi ifuatayo katika umoja. (alama 2) Nyua zenu zanuka kwa sababu hamzitumii kwa uangalifu. ……………………………………………………………………………………………………… (n) Tunga sentensi moja sahihi ukitumia kivumishi kimilikishi. (alama 2) ……………………………………………………………………………………………………… (o) Bainisha wakati na hali katika sentensi: (alama 2) Utakapofika nitakuwa nimekula. …………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………........ (p) Iandike upya sentensi ifuatayo ukifuata agizo. (alama 2) Hakika Mogeni alimcharaza mno Manoti, lakini sidhani kuwa kichapo pekee kingepelekea aliyetwangwa kulazwa hospitalini: (Anza: Sidhani...........................) …………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………......... (q) Eleza maana za: (alama 1) (i) Kuteka nyara ……………………………………………………………………………………………………… (ii) Kujenga nyumba za karata (alama 1) …………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………......... (r) Taja methali moja inayofungamana na maelezo yafuatayo: (alama 1) Wakati mwingine mtu hujikuta au hupatikana asipotarajiwa, asipokusudia ilhali hana makosa au hitilafu yoyote. ……………………………………………………………………………………………………… (s) (i) Kanusha: Waimbaji walio maarufu wamepata tuzo. (alama 1) ……………………………………………………………………………………………………… (ii) Andika kinyume cha sentensi: Mama alimeza dawa yote. (alama 1) ……………………………………………………………………………………………………… 3. LUGHA (a) Nilipowasili tu nilishika tama. Nikashangaa, “Loo! Moto huo ulianza vipi na ulikuwa umesababishwa na nini?” Nilishikwa na bumbuwazi. Magoti yangu yakaanza kuchezacheza 12 x ¼ = 3 (b) (i) Jitu hilo lilinishtua sana usiku huo. (ii) Majitu hayo yalitushtua sana usiku huo - sentensi zaweza kuwa tofauti 2 x 1 =2 (d) Zainabu alishangaa kumwona Kagame ameketi peke yake amesononeka huku watu wengine wakistarehe. Kagame alimfahamisha kwamba hakuwa na mkasa wowote ila alikuwa anasumbuliwa na ugeni tu; hakuwa amepata rafiki au sahibu Alama 4
(e) (i) Mtume aliyefika ni mrefu Mitume waliofika ni warefu (ii) Twiga hutimka/ hukimbia mbio ingawa ni mrefu 2 x 1 = 2 (f) (i) Nyuta zizi hizi ndizo walizotumia kuwafuma swara (ii) Ugomvi wao ulisababisha kutalikiwa kwao 2 x 1 = 2 (g) (i) Kufuata, mfuasi, mfuatano (ii) Kuzika, maziko, mzikaji, mazishi 4 x ½ = 2 (h) (i) Kuhofia isitokee kuwa hivyo (ii) Kutokuwa na uhakika; kukisia 2 x1 = 2 (i) (i) Kitabu chochote kikipendwa na wasomaji wengi huwa maarufu (ii) Askari yeyote apitaye hapo humchapa 2 x 1 = 2 (j) Alifika nyumbani, akaketi kisha akapiga simu Zozote 2 x 1 = 2 (k) (i) Kijiuta (ii) Kijijiko 2 x 1 = 2 (l) (i) Kata – Eneo la kusimamia watu - Kifaa, hasa cha kuchotea maji - Hali ya kutenganisha k. m. uhusiano (ii) Ua – fisha au toa uhai (kitenzi) - Pambo (wingi maua) (nomino: LI – YA) - Eneo lizungukalo nyumba au boma (wingi nyua – U – ZI) 4 x ½ = 2 (m) Ua wako wanuka kwa sababu huutumii kwa uangalifu 4 x ½ = 2 (n) Changu, letu, mwangu 1 x 2 = 2 (o) Wakati ujao, hali timilifu 2 x 1 = 2 (p) Sidhani kuwa kichapo pekee kingepelekea Manoti kulazwa hospitalini ingawa hakika Mogeni alimcharaza mno Alama 2 (q) (i) Kuvamia au kutia mikononi au kuficha kwa nia fulani (ii) Kuota au kufikiria yasiyowezekana haraka 2 x 1 = 2 (r) Mtego wa panya huingia waliomo na wasiokuwamo 1 x 1 = 1 (s) (i) Waimbaji wasio maarufu hawajapata tuzo (ii) Mama alitema dawa yote MATUMIZI YA LUGHA3. MATUMIZI YA LUGHA
(a) Jaza mapengo Kutenda Kutendesha (i) Chota …………………… …………………………… (al.1) (ii) Lewa …………………… …………………………… (al.1) (b) Taja sauti moja ya; (i) King’ong’o (al.1) …………………………………………………………………………………………………..…… …………………………………………………………………………………………………..…… (ii) Kiyeyusho (al.1) …………………………………………………………………………………………………..…… …………………………………………………………………………………………………..…… (c) Tumia neno “shujaa” katika sentensi kama:- (i) Kivumishi (al.1) …………………………………………………………………………………………………..…… …………………………………………………………………………………………………..…… (ii) Kielezi (al.1) …………………………………………………………………………………………………..…… …………………………………………………………………………………………………..…… (d) Tambua vitenzi katika sentensi hii kuvipigia mistari :- Sisi tulikwisha kutambua alikuwa na nia mbaya. Yeye ndiye mwizi. (al.2) …………………………………………………………………………………………………..…… …………………………………………………………………………………………………..…… (e) Andika wingi wa sentensi hii sentensi hii hali ya ukubwa:- Kichinjio hiki kilikarabatiwa kwa pesa nyingi. (al.2) …………………………………………………………………………………………………..…… …………………………………………………………………………………………………..…… (f) Eleza maana zinazojitokeza katika vifungu vifuatavyo:- (i) Jambazi kutoka dukani liliiba. (al.1) …………………………………………………………………………………………………..…… …………………………………………………………………………………………………..…… (ii) Liliiba jambazi kutoka dukani. (al.1) …………………………………………………………………………………………………..…… …………………………………………………………………………………………………..…… (iii) Kutoka dukani jambazi liliiba. (al.1) …………………………………………………………………………………………………..…… …………………………………………………………………………………………………..…… (iv) Jambazi liliiba dukani. (al.1) …………………………………………………………………………………………………..…… …………………………………………………………………………………………………..…… (g) Jaza neno ambalo ni kinyume cha lile lililopigiwa mstari katika sentensi:- (i) Vile vitu ulivyochanganya itakubidi. (al.1) …………………………………………………………………………………………………..…… …………………………………………………………………………………………………..…… (ii) Bomba hili limeziba mwite fundi aweze. (al.1) …………………………………………………………………………………………………..…… …………………………………………………………………………………………………..…… (h) Unganisha sentensi hii kwa kutumia ‘o’ rejeshi. Wavu umekatika. Wavu ni wao. (al.1) …………………………………………………………………………………………………..…… …………………………………………………………………………………………………..…… (i) Eleza matumizi mawili ya “ka” na utunge sentensi kwa kila mojawapo. (al.2) …………………………………………………………………………………………………..…… …………………………………………………………………………………………………..…… (j) Yakinisha sentensi hii Sijafahamu kwa nini hawamkaribishi mpwa wao. (al.1) …………………………………………………………………………………………………..…… …………………………………………………………………………………………………..…… (k) Andika katika usemi halisi:- Mama aliwahimiza warudi siku hiyo la sivyo wangekosa tuzo. (al.3) …………………………………………………………………………………………………..…… …………………………………………………………………………………………………..…… (l) Akifisha sentensi ifuatayo:- Sijaona kitabu kizuri kama mayai waziri wa maradhi, utaniazima siku ngapi bashiri alimwuliza rita. (al.2) …………………………………………………………………………………………………..…… …………………………………………………………………………………………………..…… (m) Changanua kwa njia ya mishale Mama anapika na baba anasoma gazeti. (al.4) …………………………………………………………………………………………………..…… …………………………………………………………………………………………………..…… (n) Tunga sentensi moja na uonyeshe kwa mstari: (al.3) (i) Shamirisho kipozi …………………………………………………………………………………………………..…… (ii) Shamirisho kitondo …………………………………………………………………………………………………..…… (iii) Shamirisho ala/kitumizi …………………………………………………………………………………………………..…… (o) Tungia vitenzi vifuatavyo sentensi katika hali zilizobanwa; (al.3) (i) Fa (mazoea) …………………………………………………………………………………………………..…… (ii) La (kutendeka) …………………………………………………………………………………………………..…… (iii) Pa (kutendea) …………………………………………………………………………………………………..…… (p) Tambulisha kishazi tegemezi na kishazi huru. (al.2) Wanafunzi waliofanya vyema walituzwa jana. …………………………………………………………………………………………………..…… …………………………………………………………………………………………………..…… (q) Pambana viambishi mbalimbali katika sentensi ifuatayo. (al.3) Waliwapendezea …………………………………………………………………………………………………..…… …………………………………………………………………………………………………..…… MATUMIZI YA LUGHA (Alama 40)a) Eleza matumizi ya kiambishi ‘ka’ katika sentensi hizi ( alama 3) (i) Juma alikuja akachukua kitabu akaondoka ……………………………………………………………… (ii) Mti ulikatika ukaanguka ……………………………………………………………… (iii) “Nyanya anashona nguo”.Hamisi akasema ………………………………………………………………………… b) Changanua sentensi ifuatayo kwa njia ya jedwali (alama 4) Watoto wale wanafanya kazi lakini wazazi wao wanazungumza nyumbani. ……………………………………………………………………………………… c) Unda nomino kutokana na vitenzi hivi ( alama 2) (i) Onea …………………………………………………………………………… (ii) Umia …………………………………………………………………………………… d) Akifisha sentensi ifuatayo (alama 2) Tulifika tukaagana na mjomba hamisi aishiye mombasa …………………………………………………………………………………………… e) Kwa kutoa mifano mwafaka, eleza tofauti baina ya dhana zifuatazo (alama 4) Sauti ghuna na sauti sighuna ……………………………………………………………………………… f) Onyesha kiima, yambwa, na yambiwa, katika sentensi hii (alama 3) Mwanafunzi alimfutia mwalimu ubao ………………………………………………………………………… g) Andika sentensi hii kwa usemi wa taarifa (alama 2) “Lo! Kube wazuri hawajazaliwa,” Omari alisema baada ya kumwona kisura huyo. ……………………………………………………………………… h) Tunga sentensi moja moja kudhihirisha matumizi ya (alama 2) i. Posa ……………………………………………………… ii. Poza ……………………………………………………… i) Andika sentensi zifuatazo katika hali zilizo kwenye mabano (alama 4) i. Kijikombe chake kilivunjika baada ya kuangukia kijiwe (ukubwa) ………………………………………………………………………… ii. Mtu yule haachi kuandamana na mbwa wake aliyedhoofika kisiha (udogo) ………………………………………………………… j) Eleza maana mbili zinazotokana na sentensi ifuatayo (alama 4) Mtoto alitimua mbio, kuona nyoka …………………………………………………………………………… k) Andika sentensi ifuatayo katika kauli ya kutendesha (alama 2) Nguo zote zimekaushwa na jua …………………………………………………………………………… l) Tunga sentensi kudhibitisha mwingiliano wa maneno yafuatayo (alama 2) Nomino kuwa kivumishi …………………………………………………………………………………… m) Andika kwa wingi (alama 2) Kuwepo kwa mshauri wake kulimfurahisha waziri ……………………………………………………………………………… n) Geuza sentensi ifuatayo katika hali ya mazoea huku ukiondoa -amba (alama 2) Mtoto ambaye alikula ndiye ambaye alilia ……………………………………………………… o) Kamilisha methali ifuatayo (alama 1) Asiye na nadhari… ……………………………………………………… p) Eleza maana ya msemo huu (alama 1) Kwenda mbago… …………………………………………………………… MWONGOZO
a) i) Mfululizo wa vitendo wakati uliopita
ii) Hali ya kutendeka / kuwezekana kwa jambo iii) Katika usemi halisi (Alama 3) c) i) Maonevu, kuonea (kitenzi jina) ii) Umio, maumivu (Alama 4) d) Tulifika, tukaagana na mjomba Hamisi aishiye Mombasa. (Alama 2) e) i) Sauti ghuna zinapotamkwa husababisha kutikisika kwa nyuzi za glota km /b/, /g/, /w/. ii) Sauti si ghuna zinapotamkwa, nyuzi za glota hazitisiki kg /ch/, /sh/, /h/, /l/, /n/. (Alama 4) f) Mwanafunzi – Kiima Ubao – Yambwa Mwalimu – Yambiwa (Alama 3) g) Omari alishangaa baada ya kuona kisura yule kuwa wazuri hawakuwa wamezaliwa Baada ya kumwona kisura yule, Omari alishangaa kuwa wazuri hawakuwa wamezaliwa (Alama 2) h) Posa – Maombi ya kuoa Poza – Tuliza / poesha (Alama 2) i) i) Kombe lake lilivunjika baada ya kuangukia jijiwe (Alama 2) ii) Kijitu kile hakiachi kuandamana na kijibwa chake kilichodhoofika kisiha (Alama 2) j) i) Alikimbia kwenda kuona nyoka ii) Alikimbia alipoona nyoka (Alama 4) k) Jua limekausha nguo zote (Alama 2) l) Nomino kuwa kivumishi Kijana mkulima alituzwa (Alama 2) m) Kuwepo kwa washauri wao kuliwafurahisha mawaziri (Alama 2) n) Mtoto alaye ndiye aliaye ( Alama 2) o) Asiye nadhari siandamane naye (Alama 1) p) Kuenda kandokando (Alama 1) MATUMIZI YA LUGHA(a) Pigia mstari iliko shadda mara mbili kwenye neno hili ili kuleta maana zake mbili tofauti. Eleza maana hizo. (i) Ala …………………………..…… (ii) Ala (alama 2) ……………..…… (b) Unda kitenzi an nomino kutokana na nomino an kitenzi ulichopewa kwa kufuata mfano uliopewa. (c) Andika kinyume cha sentensi ifuatayo ukizingatia maneno yaliyopigiwa mstari. Zilizala ilipotokea wanafunzi walitulia na kuanza kucheka. (alama 1) ..……………………………………………………………………………… (d) Kamilisha jedwali kwa kauli ifaayo. (alama 4 1/2) (e) Tambua na uainishe vitenzi katika sentensi ifuatayo. (alama 2) Kuzaa si kazi, kazi ni kuvyeleza. ......................................................... (f) Changanua sentensi ifuatayo kwa kutumia vielelezo vya matawi. (alama 4) Wengi wataitwa lakini wachache watateuliwa .................................................................. (g) Onyesha hali katika sentensi zifuatazo (alama 1) 1. Mwizi akamatwa mtaani Kondele. ............................................................... 2. Nyumba hufagiliwa asubuhi. ................................................................... (h) Kanusha sentensi ifuatayo. (alama 1) Nimemwona Fuchingo na paka wake. ........................................................................ (i) Tunga sentensi yenye kuhusishi cha ‘A’-Unganifu katika ngeli ya I-I, wingi. (alama 1) ............................................................... (j) Andika katika wingi (alama 1) Zigo la kuliwa halilemei .................................................................... (k) Tambua na ueleze aina ya yambwa katika sentensi zifuatazo (i) Mtoto alipigwa vibaya sana na mamake (alama 2) ........................................................................... (ii) Osama alipigwa risasi na wanajeshi (alama 2) ............................................................ (l) Tumia vitate vifuatavyo kutungia sentensi moja moja ili kutofautisha maana zake. 1. Pango (alama 1) .................................................. 2. Bango (alama 1) ............................................................... (m) Onyesha silabi funge kwenye maneno yafuatayo 1. Baiskeli (alama 1) ............................................................................ 2. Muhtasari (alama 1) .............................................. (n) Taja na utofautishe vikwamizo vya meno. (alama 2) .......................................................................................... (o) Geuza katika usemi wa taarifa “Sitatoka hapa leo bila kunilipa. Uliniambiajana nije leo utanilipa. Mbona tena unataka nije kesho?” Mwajiriwa aliteta. (alama 4) ............................................... (p) Onyesha kishazi huru na tegemezi katika sentensi ifuatayo. (alama 2) Mateka wote waliokamatwa leo watafikishwa mahakamani. ................................................................... (q) Tunga sentensi sahihi ukitumia viunganishi vifuatavyo ipasavyo. (alama 2) (i) Lau ............................................ (ii) Waama ................................................. (r) Pambanua viambishi awali, mzizi na viambishi tamati katika kitenzi. (alama 2) Alituwiaje? ............................................ MAJIBU YA MATUMIZI YA LUGHA
3. MAJIBU YA MATUMIZI YA LUGHA
(a) (i) Ala I Ala I Ala - Tamko la mshangao (ii) Ala / Ala / Ala - Mfhko Wa kubeba ala (b) (i) Kuhukumu / hukumu (ii) Riziki (iii) Husudu / Kuhusudu (iv) Rithi / kurithi (c) Zilizala ilipotokea wanafunzi walibabaika na kuanza kulia. (d) (i) Wangapi? wepi / wapi? gani? (ii) Wangapi? wapi / wepi? gani? (iii) Ngapi? zipi? gani? (e) - Kuzaa - kitenzi jina - Si - t/kitenzi kishirikishi kipungufu - Kuvyeleza - kitenzi jina - Ni - kishirikishi kipundufu / t (g) (i) Hali ya - ka / wakati usiodhihirika / wowote. (ii) Hali ya - hu mazoea (h) Sijamwona Fuchingo wala paka wake. (i) Chumvi, sukari, mvua, chai, njia, asali (j) Mjizigo ya kuliwa hayalemei. (k) (i) Mtoto — Yambwa kitondo (ii) Osama — (a) Yambwa kitondo (b) Risasi - Yambwa ala (1) Pango - Tundu, shimo Bango - Maandishi ya kutangaza, tangazo linalobebwa na waandamanaji, tangazo la kampem (m) (i) Baiskeli - bais (ii) Mukhtasati - muh (n) v - ghuna f - sighuna (o) Mwajiriwa aliteta kuwalkwamba asingetoka hapo siku hiyo bila ya kulipwa kwa sababu aliambiwa siku iliyotangulia kuwa aende hapo siku hiyo alipwe I angelipwa. Alitaka kujua sababu ya kumtaka aende siku iliyofuata I keshoye. (p) Tegemezi - Mateka wote waliokamatwa leo Hutu - Watafikishwa mahakamani (q) (i) Kama - Neno lao sharti liwe mwanzoni mwa sentensi (ii) Kwa kweli (r) A — Kiima / mtendo / Nafsi ya 3 — umoja ii — wakati wakati uliopita njeo, tu — Yamwa / watendendewa Nafsi ya — wingi w — mzizi i— kauli kinyambulishi a — kiishio kimalizio je — kiulizi. SARUFI NA MATUMIZI YA LUGHA (Alama40) a) Tofautisha sauti zifuatazo. (alama 2) /a/ /u/ __________________________________________________________________________ b) i) Ngeli ni nini? (alama 1) __________________________________________________________________________ ii) Maneno haya yamo katika ngeli gani? (alama 2) Tayo __________________________________________________________________________ Kipepeo __________________________________________________________________________ c) Akifisha sentensi hii kwa njia tatu tofauti kuleta dhana tatu tofauti. (alama 3) Babu alimchapa nyanya __________________________________________________________________________ d) Ainisha mofimu katika neno lifuatalo (alama 3) Sikumkaribisha __________________________________________________________________________ e) Andika katika usemi wa taarifa (alama 3) “Mtapata mwaliko wenu kesho,” alisema Salim __________________________________________________________________________ f) Andika kwa wastani (alama 2) Magoma hayo yatachezwa mawanjani __________________________________________________________________________ g) Changanua sentensi ifuatayo kwa njia ya mistari Wanafunzi wenye bidii hufuzu mtihani h) Tofautisha sentensi zifuatazo. (alama 2) i) Ningekuwa na pesa ningenunua simu nzuri ii) Ningalikuwa na pesa ningalinunua simu nzuri __________________________________________________________________________ i) Tunga sentensi ukitumia vihusishi vya: (alama 3) a) Kulinganisha __________________________________________________________________________ b) Sababu __________________________________________________________________________ c) Wakati __________________________________________________________________________ j) Kwa kutoa mifano katika sentensi onyesha matumizi mawili ya parandesi (alama 2) __________________________________________________________________________ k) Tambua kiima, shamirisho, chagizo na kiarifa katika sentensi ifuatayo (alama 4) Nyanya alimjengea mjukuu nyumba kwa matofali mwaka jana. __________________________________________________________________________ l) Eleza tofauti ya kimaana katika sentensi hizi (alama 2) i) Nisimamapo huchekwa ii) Ninaposimama huchekwa __________________________________________________________________________ m) Andika sentensi hii upya bila kubadilisha maana ukitumia ‘o’ rejeshi na kiambishi ngeli mwanafunzi alitumwa nyumbani juzi na hajapata karo hadi leo. __________________________________________________________________________ n) i) Eleza dhana ya kishazi tegemezi (alama1) __________________________________________________________________________ ii) Bainisha aina za vishazi (alama 2) Konde iliyopaliliwa ilituletea mazao mengi sana __________________________________________________________________________ o) Tunga sentensi kuonyesha maana mbili za neno chuma (alama 2) __________________________________________________________________________ Mwongozo
a) /a/ ni irabu ya kati (hutamkwa kwa kutumia sehemu ya kati ya ulimi) midomo hutandanzwa inapotamkwa. /u/ ni irabu ya nyuma (ulimi huinuliwa juu na kupindwa nyuma ya inapotamkwa. midomo kuviringwa inapotamkwa. b) i) Ngeli ni kundi la nomino za aina moja ii) Tayo – LI – YA Kipepeo – A – WA c) Babu alimchapa nyanya? (swali) Babu alimchapa nyanya! (mshangao) Babu alimchapa nyanya. (maelezo / taarifa) d) si – kiwakilishi cha ukanushaji ku – kiwakilishi cha wakati uliopita m – kiwakilisha cha mtendwa karib – mzizi ish – kiwakilishi cha kauli a – kiishio e) Salim alisema kwamba wangepata mwaliko wao siku iliyofuata au Salim alisema kuwa tungepata mwaliko wetu siku iliyofuata. f) Ngoma hizo zitachezwa uwanjani g) S – KN + KT KN – N + V + N N - Wanafunzi V – wenye N – bidii KT – T + N T – hufuzu N – mtihani h) i) Nge – huonyesha wakati ujao na kuwa kuna uwezekano ii) Ngali – huonyesha wakati uliopita na hakuna uwezekano / ni majuto i) a) Abunuwasi ni mjanja kama sungura Dhahabu ni ghali kuliko shaba b) Juma ametuzwa kwa uhodari wake c) Jogoo huwika kabla ya saa tisa usiku j) Jona (kijana mpole) anasafiri leo kwenda mjini? maelezo ya ziada Aziza (mhusika mkuu) aliomba talaka Mjomba: (akikohoa) habari? – tamthilia / mazungumzo Kufungia nambari (1) (2) (3) k) Nyanya – kiima Mjukuu – shamirisho kitondo Nyumba – shamirisho kipozi Chagizo – i) mwaka jana ii) kwa matofali Shamirisho ala – matofali Alimjengea – kiarifa l) i) Wakati wowote ii) Wakati maalumu m) Mwanafunzi aliyetumwa nyumbani juzi, hajapata karo hadi leo. n) Kishazi tegemezi – ni kundi la maneno lililo na kiima na kiarifa lakini haliwezi kujisimamia pekee kama sentensi. hutegemea kishazi huru ili kupata maana. o) Watoto hao wanachuma machungwa Nondo za madirisha hutengenezwa kwa chuma Mimi ninafanya kazi ili kuchuma pesa MATUMIZI YA LUGHAa) Eleza matumizi ya kiambishi ‘ka’ katika sentensi hizi ( alama 3)
(i) Juma alikuja akachukua kitabu akaondoka …………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… (ii) Mti ulikatika ukaanguka …………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… (iii) “Nyanya anashona nguo”.Hamisi akasema …………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… b) Changanua sentensi ifuatayo kwa njia ya jedwali (alama 4) Watoto wale wanafanya kazi lakini wazazi wao wanazungumza nyumbani. …………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… c) Unda nomino kutokana na vitenzi hivi ( alama 2) (i) Onea ………………………………………………………………………………………………… (ii) Umia ………………………………………………………………………………………………… d) Akifisha sentensi ifuatayo (alama 2) Tulifika tukaagana na mjomba hamisi aishiye mombasa …………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… e) Kwa kutoa mifano mwafaka, eleza tofauti baina ya dhana zifuatazo (alama 4) Sauti ghuna na sauti sighuna …………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… f) Onyesha kiima, yambwa, na yambiwa, katika sentensi hii (alama 3) Mwanafunzi alimfutia mwalimu ubao …………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… g) Andika sentensi hii kwa usemi wa taarifa (alama 2) “Lo! Kube wazuri hawajazaliwa,” Omari alisema baada ya kumwona kisura huyo. …………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… h) Tunga sentensi moja moja kudhihirisha matumizi ya (alama 2) i. Posa ………………………………………………………………………………………………… ii. Poza ………………………………………………………………………………………………. i) Andika sentensi zifuatazo katika hali zilizo kwenye mabano (alama 4) i. Kijikombe chake kilivunjika baada ya kuangukia kijiwe (ukubwa) ………………………………………………………………………………………………… ii. Mtu yule haachi kuandamana na mbwa wake aliyedhoofika kisiha (udogo) ………………………………………………………………………………………………… j) Eleza maana mbili zinazotokana na sentensi ifuatayo (alama 4) Mtoto alitimua mbio, kuona nyoka …………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… k) Andika sentensi ifuatayo katika kauli ya kutendesha (alama 2) Nguo zote zimekaushwa na jua ………………………………………………………………………………………………… l) Tunga sentensi kudhibitisha mwingiliano wa maneno yafuatayo (alama 2) Nomino kuwa kivumishi ………………………………………………………………………………………………… m) Andika kwa wingi (alama 2) Kuwepo kwa mshauri wake kulimfurahisha waziri ………………………………………………………………………………………………… n) Geuza sentensi ifuatayo katika hali ya mazoea huku ukiondoa -amba (alama 2) Mtoto ambaye alikula ndiye ambaye alilia ………………………………………………………………………………………………… o) Kamilisha methali ifuatayo (alama 1) Asiye na nadhari… ………………………………………………………………………………………………… p) Eleza maana ya msemo huu (alama 1) Kwenda mbago… ………………………………………………………………………………………………… |
Categories
All
Archives
July 2024
|
We Would Love to Have You Visit Soon! |
Hours24 HR Service
|
Telephone0728 450425
|
|
8-4-4 materialsLevels
Subjects
|
cbc materialsE.C.D.E
Lower Primary
Upper Primary
Lower Secondary
Upper Secondary
|
teacher support
Other Blogs
|