Maswali
a) Taja na ueleze sifa za mtambaji bora katika fasihi simulizi. (alama 10)
b) Nyimbo zina wajibu gani katika jamii. (alama 4) c) i) Eleza maana ya vitendawili. (alama 2) ii) Onyesha sifa za kitendawili. (alama 4) Majibu
a) Sifa za mtambaji bora
b) Wajibu wa nyimbo
c)
i) Kitendawili ni fumbo/msemo wa kimafumbo ambao hufumbua jambo fulani na hutolewa kwa hadhira au wasikilizaji ili waufumbue. 1 x 2= 2 ii) Hutangulizwa kwa njia maalumu a) Ujumbe wake ni wa kimafumbo b) Ufananisho wa kijazanda c) Ni fupi kwa maelezo d) Hutegemea mazingira/sehemu Fulani 4 x 1 = 4 Maswali
a) Taja na ueleze aina nne za hadithi (alama 8)
b) Eleza mbinu tatu ambazo mtambaji anaweza kutumia kuishirikisha hadhira yake.(alama 6) c) Fafanua vipera vifuatavyo vya fasihi simulizi. (alama 6) i) Majigambo ii) Mivigha iii) Lakabu Majibu
a)
i) Visasili - Hadithi zinazosimulia asili ya watu, vitu ama tabia Fulani. ii) Ngano za mazimwi - Husimulia kuhusu mazimwi iii) Hurafa - Hadithi ambazo zina wahusika wanyama lakini waliopewa tabia za binadamu. iv) Hekaya - Ngano fupi zinazosimulia matukio ya kushangaza yanayoonyesha hila au ujanja wa mwanadamu v) Mighani - Ngano za ushujaa Mighani huwa na lengo la kueleza visa na mikasa ya watu ama mashujaa wa jamii fulani.( mwalimu akadirie aina nyingine)
b)
c)
i) Majigambo – Mazungumzo yanayotolewa na mtu fulani ili kujitapa ii) Mivigha – sherehe maalum za kitamaduni ambazo hufanywa na jamii katika kipindi maalum. iii) Lakabu – Majina ya utani au kupanga ambayo watu hujipa au kupewa
0 Comments
Soma maagizo yafuatayo kisha ujibu maswali
(Alfajiri kuu. Vijana wanazunguka kinu, vifua wazi. Nyusoni wamepakwa masizi na aina ya tope jeupe. Wako katikati yam situ. Mzee Jando ameketi kwenye namna yam to wa nyasi.)
Mzee Jando: (Akiwahiza) haraka! Ongezeni kasi! Zunguka! Haya imbeni, barobaro!
Vijana: jua lachomoza! Muda umefika wa mbegu kuatika! Ichipuke na kuzalisha matunda! Ni leo, ni sasa!
Mzee Jando: haya ketini sasa
Vijana: (Vijana wanaketi katika mistari huku wameshikana mikono mabegani) Mzee Jando: tulisema mume nini? Vijana: (kwa pamoja na kwa sauti ya dhati) Mume ni kazi Sio ubazazi Ale jasho lake
Mzee Jando: Sawa kabisa, je mume ni nani?
Vijana: Ni mlinzi wa jamii Ni mfano mwema wa jitihada Apambane na adui Atende wajibu na maadili
Mzee Jando: Jambo linalovunja umoja!
Vijana: Likumbatiwe na kufunzwa hata watoto wachanga! Mzee Jando: Haya, semeni wenyewe leo! Vijana: Leo tumkomaa, si watoto tena Tumetimia barobaro kamili Sisi ni stadi Sisi ni wapevu! Tayari kwa majukumu ya kujenga jamii Sisi ni tegemeo la umma Sisi ndio chimbuko la wema Maadili na upendo
Mzee Jando: Nakubali mko tayari. Haya tuendelee na ada zetu zingine. Kijembe kukidhihaki!
Vijana: (Wanasimama kijasiri na kurindimisha sauti) Tuko tayari kuingia utuuzima! maswali
majibu
“La, Mzee…. Mbio za sakafuni zimefika ukingoni” (al 4) (a) Eleza muktadha wa dondoo hili (b) Mbio zipi zimefika ukingoni? (al 4) (c) Fafanua maudhui mawili yanayojitokeza katika dondoo lenyewe. (al 4) (d) Taja mbinu za lugha zinazojitokeza hapa. (al 4) (a) Eleza muktadha wa dondoo hili (al 4) (i) Maneno ya Kenga (ii) Anamwambia Majoka (iii) Nje ya lango la soko la Chapakazi (iv) Baada ya Majoka kulalamika kuwa Kenga alikuwa ameshindwa kazi kwa kuwakubali wapinzani kufika pale sokoni. (b) Mbio zipi zimefika ukingoni? (al 8)
(c) Fafanua maudhui mawili yanayojitokeza katika dondoo lenyewe. (al. 4)
(d) Taja mbinu za lugha zinazojitokeza hapa? (al. 4)
|