Maswali na Majibu KCSE Kiswahili
Ufahamu | Ufupisho | Isimu Jamii | Insha | Utumizi wa Lugha
Nyumbani mwetu mna papai lilioiva lakini siwezi kulichuma – ndugu wa kiume asimuoe nduguye wa kike24/12/2022 Tumia kifungu kifuatacho kujibu maswali yanayofuataa) Nyumbani mwetu mna papai lilioiva lakini siwezi kulichuma – ndugu wa kiume asimuoe nduguye wa kike.I) Bainisha kipera kinachorejelewa (Al 1).
Kitendawili
II) Andika shughuli moja ya Kijamii na moja ya Kiuchumi ambazo huendelezwa katika jamii ya utingo huu. (Al 2)
III) Eleza dhima nne za kipera kinachorejelewa katika jamii yako. (Al 4)
Umuhimu
IV) Wewe ni mwasilishaji wa kipera hiki jukwani. Eleza mambo matano ambayo utazingatia katika uwasilishaji wako. (Al 5)
0 Comments
Eleza umuhimu wa ukusanyaji na uhifadhi wa data za fasihi simulizi. (alama 5)
Fafanua matatizo yanayomkabili mkusanyaji wa fasihi simulizi nyanjani. (alama 10)
Eleza jinsi jamii ya kisasa inavyojaribu kuendeleza fasihi simulizi. (alama 5)Jinsi jamii ya kisasa inavyojaribu kuendeleza fasihi simulizi
Eleza sifa nne za maapizo. (alama 4)
Tofautisha istilahi zifuatazo za Fasihi Simulizi. (alama 3)Matambiko Sadaka au ada inayotolewa kwa Mungu, mizimu, pepo au miungu ili wasaidie binadamu kutatua mambo magumu, kuomba radhi au kutoa shukrani. Matatizo ni kama vile ukame, magonjwa, kukosa watoto, mafuriko au janga lolote lililomshinda binadamu nguvu na uwezo. Pembezi Tungo za sifa za watu wa aina fulani wanaosifika kwa matendo yao au nafasi walizo nazo katika jamii kv matendo ya kishujaa au kujitolea kwao. Km viongozi, walezi wazuri, waganga, nk Misimu
Semi zinazozuka na kutumiwa na kundi fulani la wanajamii kama misemo ya mawasiliano baina ya wanakikundi hicho./ Ni semi za muda na mahali maalum ambazo huzuka tu kutegemea mazingira maalum./ Ni semi ndogo ndogo za kupita. Huzuka katika mazingira fulani na hufa baada ya kutokuwepo kwa mazingira yale. Jadili hatua tano zinazofuatwa wakati wa utafiti. (alama 5)Jadili hatua tano zinazofuatwa wakati wa utafiti. (alama 5)
Fafanua hasara zozote nne za miviga. (alama 4)Fafanua hasara zozote nne za miviga. (alama 4)
Jadili sifa zozote nne za mtambaji bora. (alama 4)Jadili sifa zozote nne za mtambaji bora. (alama 4)
Eleza tofauti kati ya vitendawili na methali. (Alama 5)Eleza tofauti kati ya vitendawili na methali. (Alama 5)
Jadili mifano mitano ya ngomezi za kisasa (alama 5) Jadili mifano mitano ya ngomeziza kisasa. (alama 5)
Eleza maana ya; (alama 5) |
MWONGOZO
MASWALI NA MAJIBU
|
MASWALI NA MAJIBU
MITIHANI YA MWIGO WA KCSE
|
MASWALI NA MAJIBU
|
UCHAMBUZI/MWONGOZO (GUIDE)
|
Primary Resources
College Resources
|
Secondary Resources
|
Contact Us
Manyam Franchise
P.O Box 1189 - 40200 Kisii Tel: 0728 450 424 Tel: 0738 619 279 E-mail - sales@manyamfranchise.com |