UTANGULIZI
“Kidagaa Kimemwozea” ni kitabu chenye jalada jeusi iliyorembeshwa kwa picha ya mwanamwali mmoja mrembo aliyekuwa akidondoshwa na machozi. Riwaya hii ni aina ya kipekee,inayothibitisha usanii wa kupigiwa mfano jinsi ndoto ya uhuru barani Afrika ilivyogeuka kuwa jinamizi inayowafanya wazalendo kulia, “kidagaa kimetuozea” kwa kutamaushwa na usaliti wa viongozi wa baada ya Uhuru.
0 Comments
1. Viona Nyuma/Mbinu rejeshi
Mwandishi ameyasawiri matukio yaliyotokea katika mandhari mengine, kwa mfano:
DAMU NYEUSI - Dhamira, Maudhui, Maswala ibuka, Sifa za wahusika, Mbinu za lugha na Uchambuzi wa methaliDhamira |