ATIKA SCHOOL
  • Start
    • SITEMAP
    • KNEC Portal
    • ZERAKI HELP AND SUPPORT
    • Academic Environment
    • KNEC KCSE PROJECT INSTRUCTIONS
  • BLOGS
    • About Us? >
      • Learn more about us
    • CUSTOMER CARE >
      • PRICING
      • Help & Support
    • News and Opinions
    • JOBS IN KENYA AND ABROAD FOR KENYANS AND BEYOND
    • How its Done
  • OUR PRODUCTS
    • All Categories >
      • MORE PRODUCTS >
        • SECONDARY CRE NOTES
        • COURSE BOOKS
        • KCSE KISWAHILI SETBOOKS
        • Backed Up Files and Archives
        • FREE DOCUMENTS
        • PRIMARY 8-4-4 BASED RESOURCES
        • STANDARD 8 RESOURCES
        • HIGH SCHOOL RESOURCES >
          • Biology Paper 3 Exams
          • Secondary Examinations
        • PRIMARY CBC BASED RESOURCES
        • COLLEGE & VARSITY RESOURCES
      • PRIMARY RESOURCES CBC
      • PRIMARY RESOURCES 8-4-4
      • SECONDARY RESOURCES
      • NOTES & TUTORIALS
      • COLLEGE RESOURCES
      • NOVELS and OTHER BOOKS
    • EXAMINATIONS >
      • MOCKS AND JOINT EXAMS >
        • FORM 1 QUESTION PAPERS, ANSWERS AND MARKING SCHEMES COLLECTIONS
        • FORM 2 QUESTION PAPERS, ANSWERS AND MARKING SCHEMES COLLECTIONS
        • FORM 3 EXAMINATIONS, QUESTION PAPERS AND ANSWERS
        • FORM 4 MOCKS PAST EXAMS BY REGION
        • TOP SECONDARY EXAMS ALL SUBJECTS
      • KPSEA NATIONAL EXAMS
      • KCPE >
        • KCPE PAST PAPERS AND ANSWERS >
          • KCPE 2020 RESULTS, REPORTS, QUESTIONS AND ANSWERS
          • KCPE PAST PAPERS 2019 REPORTS, RESULTS, QUESTIONS AND ANSWERS
        • KCPE PAST PAPERS PER SUBJECT
      • KCSE >
        • KCSE PAST PAPERS BY SUBJECT
        • KNEC KCSE PAST PAPERS, MARKING SCHEMES, QUESTIONS & ANSWERS
        • Free KCSE Past Papers Mathematics
        • Free KCSE Biology Questions and Answers
      • QUESTIONS & ANSWERS >
        • SECONDARY >
          • LANGUAGES >
            • Secondary English Questions and Answers
          • TECHNICALS >
            • COMPUTER STUDIES >
              • COMPUTER STUDIES Q & A
              • kcse computer studies paper 2 AND 3 Questions & Answers
            • BUSINESS STUDIES QUESTIONS & ANSWERS
            • KCSE AGRICULTURE TOPICAL QUESTIONS AND ANSWERS
            • KCSE HOME SCIENCE DIRECT QUESTIONS AND ANSWERS
          • SCIENCES >
            • KCSE Mathematics Topical Questions
            • KCSE Biology Topical Questions and Answers
            • CHEMISTRY TOPICAL QUESTIONS AND ANSWERS
            • KCSE Physics Topical Questions
            • KCSE physics Practical Sample Quiz
          • HUMANITIES >
            • C.R.E (CRE) QUESTION AND ANSWERS
            • ISLAMIC RELIGIOUS EDUCATION (IRE) QUESTIONS AND ANSWERS
            • KCSE History Topical Questions and Answers
            • GEOGRAPHY TOPICAL QUESTIONS AND ANSWERS
        • PRIMARY >
          • Standard 4-8 Mathematics Topical Questions from Mocks and KCPE
          • Std 6 Mathematics Notes
    • TUTORIALS >
      • SECONDARY >
        • SCIENCES >
          • FOCUS MATHEMATICS TUTORIALS AND EXAMS FREE
          • KCSE BIOLOGY NOTES
          • FREE KCSE CHEMISTRY NOTES
          • KCSE PHYSICS NOTES, AUDIOVISUALS AND MORE
        • LANGUAGES >
          • ENGLISH >
            • A GUIDE TO SILENT SONG AND OTHER STORIES
            • English KCSE Set Books
            • ENGLISH POETRY QUESTIONS WITH ANSWERS FOR K.C.S.E CANDIDATES
            • ENGLISH GRAMMAR #KCSE
          • KISWAHILI >
            • Bembea ya Maisha
            • CHOZI LA HERI - MWONGOZO
            • KIGOGO - MWONGOZO
            • MASWALI NA MAJIBU YA TUMBO LISILOSHIBA
            • USHAIRI MASWALI NA MAJIBU
            • KCSE Kiswahili Fasihi
        • TECHNICALS >
          • HOME SCIENCE NOTES
          • KCSE BUSINESS STUDIES NOTES
          • COMPUTER STUDIES NOTES LATEST
          • kcse Computer Studies Notes
          • KCSE AGRICULTURE NOTES, SYLLABUS, QUESTIONS, ANSWERS, SCHEMES OF WORK AND OTHERS
        • HUMANITIES >
          • KCSE History Notes Form 1 to 4
          • FREE KCSE CRE NOTES
          • KCSE GEOGRAPHY NOTES
          • IRE NOTES, AUDIOVISUAL, QUESTIONS AND ANSWERS
      • PRIMARY >
        • STANDARD 4: SOCIAL STUDIES
        • NOTES >
          • KISWAHILI
          • SOCIAL STUDIES
        • EXAMINATIONS
        • DecaTurbo Online Series Examinations
        • KCPE Mathematics Notes
        • KCPE and Primary Level Compositions
      • Other Supportive Documents >
        • SYLLABUS >
          • Primary 8-4-4 based Syllabus, Objectives and Lessons
          • Primary Mathematics Syllabus
        • MASOMO VIDEOS
    • CURRICULUM >
      • NEW CURRICULUM DESIGNS >
        • PRIMARY >
          • PRE PRIMARY ONE CURRICULUM WITH SYLLABUS
          • PRE PRIMARY TWO CURRICULUM WITH SYLLABUS
        • SECONDARY >
          • KNEC KCSE SYLLABUS AND COURSE OUTLINES
        • COLLEGE >
          • Regulations for the TIVET Craft and Diploma Business Examinations
    • HIGH INSTITUTIONS >
      • EXAMINATIONS >
        • College and Varsity Past Papers online
      • TUTORIALS >
        • COLLEGE AND UNIVERSITY NOTES AND TUTORIALS
  • MEMBERS RESOURCES
    • Primary >
      • CBC AND 8-4-4 LATEST EXAMS
      • CBC PROFFESSIONAL TOOLS
      • CBC NOTES PRIMARY
      • CBC KPSEA EXAMS
      • Standard 8 (std) English Topical Questions
      • KCPE MATHEMATICS TOPICAL QUESTIONS FROM 1989 TO LAST YEAR
      • STANDARD 8 PAST PAPERS 8-4-4 BASED
    • Secondary >
      • FORM 1 EXAMS WITH ANSWERS
      • FORM 2 EXAMS WITH ANSWERS
      • FORM 3 EXAMS WITH ANSWERS
      • FORM 4 EXAMS WITH ANSWERS
      • KCSE 2020 QUESTIONS AND ANSWERS
      • NOTES SECONDARY
      • MOCKS SECONDARY >
        • kcse form 2 mathematics questions
    • Free Schemes of Work
    • FOCUS A365 SERIES K.C.P.E EXAMINATIONS FOR PRIMARY
    • ALL GROUPS PRODUCTS
    • PREMIUM PRODUCTS 2

Huku ukirejelea hadithi zifuatazo, eleza namna unyanyasaji umeshughulikiwa.

15/1/2023

0 Comments

 

​Huku ukirejelea hadithi zifuatazo, eleza namna unyanyasaji umeshughulikiwa.  

​(i) Tumbo lisiloshiba

Tumbo lisiloshiba
  • jitu lenye tumbo linakula chakula chote katika mkahawa wa Mzee Mambo bila kuwajali wateja wengine
  • jitu lenye tumbo linarejelea madongoporomoka na mabuldoza kubomoa vibanda vya wakazi
  • wanamadongoporomoka wananyanyaswa kisheria kwani hawapati haki kwa kuwapata wanasheria adimu kama haki yenyewe
  • wakubwa wa jiji wako tayari kuchukua ardhi ya wakazi wa madongoporomoka kwa upanuzi wa jiji bila kujali watakapohamia 

​ (ii) Shibe inatumaliza

Shibe inatumaliza 
  • DJ anamiliki duka kubwa la dawa ambalo mtaji wake ni bohari ya dawa za serikali 
  • DJ anapata maji, umeme, matibabu na huduma zote za kimsingi za serikali ilhali wanainchi waliojawa na dhiki na ufukara wakizilipia
  • Baadhi ya viongozi kama Mzee Mambo wanapewa mishahara mikubwa na serikali kwa kufika kazini wala sio kwa kufanya kazi huku wananchi wengine wakiishi na ufukara.
  • Viongozi wengine hutumia rasilmali za nchi kwa manufaa yao kibinafsi badala ya kufaidi umma, kama vile Mzee Mambo kutumia vyombo vya habari kupeperusha sherehe aliyoandalia wanawe.

​ (iii) Mame Bakari 

Mama Bakari
  • Sara amabakwa na janadume katili alipokuwa akirudi darasa la ziada “twisheni” na kuhimili
  • Wasichana wa shule wanaambulia ujauzito hufukuzwa shule kulingana na mawazo ya Sara
  • Sara anaona akinyanyaswa na jamaa zake, majirani na wanafunzi wenziwe kwa kutengwa kama mgonjwa wa ukoma.
  • Sara anawaza jinsi babake angemfukuza nyumbani kwa kuwa mjamzito akiwa angali shuleni
  • Majirani wa Sara walimtesa kisaikolojia kwa kumsemasema baada ya kugundua kuwa alikuwa mjamzito.

​ (iv) Kidege

Kidege
  • Mose ambaye anapinga kuchukuliwa kwa samaki wa kidimbwi cha bustani ya Ilala anajipata akibanwa na mbawa za ndege wawili wakubwa.
  • Samaki wa kidimbwi cha Ilala wanaliwa na ndege wakubwa.
  • Videge vilikuwa vikinyanyaswa na midege kiasi cha kushirikiana ili kuiangamiza.
  • Hii inaonyesha jinsi viongozi wanaotawala katika jamii (midege) huwanyanyasa wananchi walio chini yao (videge)
  • Mose anapoipa midege iliombana chakula ili imwachilie aende zake, midege hiyo inakula chakula lakini haimwachilii huru kamwe

​ (v) Tulipokutana tena

Tulipokutana tena
  • Bogoa anatenganishwa na jamaa zake anapopelekwa kwenda kuishi na Bi. Sinai
  • Bogoa anafanyishwa kazi nyingi na ngumu na Bi. Sinai kama vile kumenya vitunguu, kukuna nazi, kupara samaki na kutoa matumbo na kadhalika.
  • Bogoa ananyanyaswa na Bi. Sinai kwa kuamshwa mapema kuliko wengine ili kuchoma mandazi ya kuuza shuleni.
  • Bogoa ananyimwa elimu na Bi. Sinai 
  • Bogoa ananyimwa lishe bora kwa kupewa mabaki 
  • Bogoa ananyanyaswa kwa kuchomwa viganja vya mikono anapouguza mandazi aliyokuwa akichoma

Read More
0 Comments

“Hatuwezi kumaliza kula, kila leo tunakula”

15/1/2023

0 Comments

 

​“Hatuwezi kumaliza kula, kila leo tunakula”

​(a) Eleza muktadha wa dondoo hili. (al 4)

Mnenaji ni Mbura.
Mnenewa ni Sasa
Wakiwa nyumbani kwa mzee Mambo
Walikuwa wamehudhuria sherehe kwa Mambo bila ualishi katika siku ya kusherehekea siku ya kuingia darasa la chekechea kwa mtoto wa Mzee Mambo na mwingine kutoa vijino viwili.  Wanafika shereheni kula, hata hivyo wanakula kilafi mpaka Mbura anaanza kujilaumu pamoja na mwenzake Sasa kwamba wanakula vyovyote wavipatavyo bila kuvichunguza na hata kuvila vya wenzao waliowatuangulia na watakaozaliwa.

​(b) Fafanua tamathali ya usemi iliyotumika (al 2)

Istiari/Jazanda – Wanakula lakini hawawezi kumaliza kula – wanakula kila leo 
na bado wanaendelea kula – kuendelea kunyakua mali ya uma
kutaja = 1
kufafanua = 1

​(C) Eleza umuhimu wa mnenaji. (al 4)

Umuhimu wa Mbura
  • Ni mfano mzuri wa watu walafi katika jamii
  • Kielelezo cha ubadhirifu wa mali ya umma
  • Ni mfano wa watu walio na mapuuza.  Wanafahamu uzembe uliopo miongoni mwa wafanyikazi wa serikali na unyakuzi wa mali ya umma, lakini hawachukui hatua mwafaka
  • Kielelezo cha viongozi wasio ajibika
  • Ni mfano wa watu wanaojitolea kulihudumia taifa lao hata kama wametengwa mbali na hawatambuliwi katika taifa lao.
  • Anaendeleza maudhui ya ufisadi wakiwa na Sasa wanafanya kazi moja.

​(d) “Lakini nakwambia, kula kunatumaliza”. Kwa kudokeza hoja kumi, jadili ukweli wa kauli hii. (al 10)

“lakini nakwambia tena, kula kunatumaliza”.
  • Viongozi wa mataifa yanayoendelea kutowajibika katika kazi zao.  Wanakubli bidhaa duni kurudidikwa katika mataifa yao: mchele ya basmati.
  • Mali ya umma kunyakuliwa. DJ anafungua duka la dawa zilizotolewa katika bohari ya serikali huku wanyonge wakiteseka.
  • Serikali kuwalipa watu ambao hawafanyi kazi mishahara kubwa hinyo kudhoofisha uchumi wa nchi – Mzee Mambo. 
  • Kituo cha Televisheni ya taifa kutumika kupeperusha matangazo ya sherehe ambazo hazina umuhimu wowote katika ujenzi wa taifa.
  • Wananchi wengine badala ya kuchukua hatua mwafaka dhidi ya wanyakuzi, hungojea wakati wao ili nao wanyakue: Sasa na Mbura” …na sisi tuende – tusogee.
  • Viongozi wananyakua mali ya mabilioni kwa hila na hawajali: Mzee Mambo anaandaa sherehe kubwa kwa sababu mtoto wake wa kwanza ameingia shule ya chekechea na yule wa mwisho ameota vijino viwili.
  • Sasa na Mbura kula tena na tena bila kushiba
  • DJ anapata huduma za kimsingi kama vile maji, matibabu na kadhalika kwa vile alijuana na mzee Mambo
  • Magojwa ya sukari, presha, saratani, obesiti kutokana na kula
  • Kunyongana kwa sababu ya kula.

Read More
0 Comments

​Jadili nafasi ya sehemu zifuatazo katika riwaya ya Chozi la Heri:

25/12/2022

0 Comments

 

​​Jadili nafasi ya sehemu zifuatazo katika riwaya ya Chozi la Heri:

​(a) Hotuba (alama 10)

(a) Hotuba (alama 10)
Hotuba ni maelezo maalumu yanayotolewa na mtu mmoja mbele ya watu. Pia huitwa hutuba. Mwandishi wa riwaya hii ametumia hutuba kwa ustadi mkuu kupitisha ujumbe mbalimbali. Hotuba hizi ni:  
​1. Hotuba ya Racheal Apondi kwa maafisa waliohudhuria warsha kuhusu jukumu la vikosivya askari katika kudumisha usalama, amani na maridhiano nchini (uk 112- 113). Katika hotuba hii, Racheal Apondi anasisitiza kuwa: 
Suala la usalama haliwezi tena kupuuzwa. Usalama umekuwa moja wapoyamahitajiyakibinadamu. 
Anasema kuwa bila usalama, binadamu hawezi hata kushiriki katika shughuli za kuzalisha mali, hivyo hata mahitaji yake mengine ya kimsingi kama vile chakula, malazi na makazi haya wezi kukidhiwa. 
Kila binadamu ana jukumu la kudumisha amani na usalama. 
Wafanyakazi wa umma, hasa polisi na wanajeshi wana jukumu kubwa zaidi la kudumisha usalama na amani. 
Kila mmoja wetu anastahili kuhakikisha kuwa ameepuka vitendo vya kihalifu. 
Ni vyema mtu kuwaangaza wahalifu wakati wote. 
Vikosi vya polisi na wanajeshi vimefunzwa maarifa ya kukabiliana na kadhia za Jinai na upelelezi. (4×1= 4)
​2. Hotuba ya Lunga Kiriri- Kangata kwa walimu na wanafunzi gwarideni (uk 68-69). Hotuba hiii lisisitiza umuhimu wa kuhifadhi mazingira. Anasisitiza kuwa:  
Suala la uhifadhi wa mazingira ni jukumu la kila mmoja wetu. 
Misitu ilikuwa imevamiwa na viongozi wenye mate yafisi. 
Baadhi ya vinara wa taasisi mbalimbali za umma wamewaacha Wanyama kama mayatima kwa kuwap okama kazi yao. 
Maelfu ya maekari ya misitu yamefyekwa na kujengwa viwanda. 
Badala ya mibamba kofi na miti mingine inayosafisha hewa, micha iimetwaa nafasi yake. 
Wanaohusika na matendo haya wanapoulizwa hudai kuwa michaisia duiya mazingira! 
Wengine wanasema kuwa misitu haina budi kukatwa ili kupanda mimea inayotoa chakula, kwani jamii lazima ijitosheleze kwa chakula. 
La kuhuzunisha ni kwamba hawa hawa wanaosema hivyo ndio wanaokita majengo ya kifahari katika sehemu ambazo zinastahili kutengewa upanzi wa chakula! 
Wengine wamediriki kunyakua hata madhabahu kwenye Mlima wa Nasibu ili kujenga hoteli kubwa za kitalii. 
Wazee wetu hata hawana mahali pa kuchomea kafara! 
Tuna kata miti bila kupanda smingine. 
Hata mabustani ya maua tunashindwa kuyastawisha.
Tukiendelea kuharibu mazingira sehemu yetu itazidi kuwa jangwa. (2×1= 2)
3. Hotuba ya Umu katika hoteli ya Majaliwa siku ya key akuzaliwa.
Umu ana washuku Mwangeka na Apondi kwa kuwa wazazi wake wema.
Ana washukuru kwa kumsomesha.
Anawashukuru kwa kumsaidia Dick kujiendeleza kimasomo.
Mwangeka na Apondi wanamshukuru Umu kwa kuwapa furaha. 
Apondi anamshukuru kwa kumlea mdogo wao kwa maadili bora. (2×1= 2)
​4. Hotuba ya Dick katika hoteli ya Majaliwa siku ya kuzaliwakwaUmu.
Dick anamshukuru Umu kwa msaada wake na ahadi ya kumlea. 
Anamkumbusha siku walipokutana katika uwanja wa ndege na ilivyokuwa muhimu kwake.
Anamshukuru Umu kwa kumwelekeza kwa wazazi wao wale.
Anawashukuru Apondi, Mwangeka na wanawe kwa ushauri wanaompa. (2×1= 2)
Mtahiniwa ataje hotuba kisha aeleze masuala muhimu yanayoibuliwa na kila moja.

​(b) Uozo katika jamii (alama 10)

​(b) Uozo katika jamii  (alama 10)
Uozo ni hali ya kuzorota na kutozingatiwa tena kwa maadili mema katika jamii. Ni hali ambapo mila zote na desturi njema huvurugwa na wanajamii wanaofanya mambo yaliyo kinyume na hali hali si yamaisha. Mwandishi amejadili suala hili kwa undani kama ifuatavyo;
Jamii inaendeleza ubakaji. Genge la mabarobaro watano lilifululiza hadi walipokuwa maskini Lime naMwanaheri na kuwabaka mbele ya baba yao (uk 25). 
Kuna ulanguzi wa dawa za kulevya. Dick alipotoroshwana Sauna alipelekwa kwa Tajiri mmoja aliyemwingiza katika kusafirisha dawa za kulevya kutoka nchi moja hadi nyingine (uk 119- 120). 
Wanajamii wanaendeleza uporaji na wizi wa mali. Vijana wana wavamia watu, kuwaua na kupora katika maduka ya kihindi, kiarabu naya wa afrika wenzao.
Jamiii naendeleza ufuska/ ukahaba. Sauna aliiba Watoto na kuwapeleka kwa mama mmoja aliyewatumia kwa biashara yanipe ni kupe (uk 84).
Biashara haramu inaendelezwa. Bi. Kangara alifanya biashara ya kuwa uza Watoto na vijana- Safari yake ilipata mkondo mwingine baada ya polisi kupata fununu kuhusu njama ambazo yeye na Bi. Kangara walikuwa wakiendesha. Mabibi hawa walikuwa na mtandao ambao kazi yake ilikuwa kuwauza Watoto na vijana (uk 84).
Kuna tatizo la mimba za mapema. Vijana wana mazoea ya kukumbatia mtafaruku wa kuhisia unaowapatana mara hujipata wameambulia ujauzito kama alivyofanya Zohali (uk 98).
Baadhi ya wanajamii wanaendeleza uavyaji mimba. Sauna alijaribu awezavyo kuavya mimba na mwishowe, baada ya kushindwa, anaamua kujiua.
Kukiuka maadili ya kikazi. Fumba (mwalimu) anakiuka maadili ya kazina kujihusisha kwa mapenzi na mwanafunzi wake, Rehema, na hatimaye kumpachika ujauzito (uk 102). 
Wazazi wana wabaka wana wao. Babake Sauna anafanya mapenzi na mwanawe kila apatapo nafasi, na mwishowe, Sauna anapata mimba. 
Starehe na anasa kwa vijana. Vijana wa vyuo vikuu wameshindwa kutofautisha usiku na mchana. Tindi anasahau kumrejesha Lemi nyumbani kutokana na muziki (uk 121).
Wazazi wanakwepa malezi na kuwatupa wanao wakiwa wachanga. Neema anampeleka mtoto aliyemwokota kwapolisi (uk 162).
Vijana kuwaiga wazee. Mwangemi na Mwangeka walikuwa na tabia mbovu yakumuiga babu yao (uk 186).
​(10×1= 10)
Mtahiniwa afafanue kwa mifano kutoka katika riwaya

Read More
0 Comments

“uuuui! Uuuui! Jamani tusaidieni! Uuuui! Uuuui! Mzee kedi usituue, sisi tu majirani! Maskini wangu!”

25/12/2022

0 Comments

 

​“uuuui! Uuuui! Jamani tusaidieni! Uuuui! Uuuui! Mzee kedi usituue, sisi tu majirani! Maskini wangu!”

​a)Elezea muktadha w dondoo hili.(Al 4) 

​a)Elezea muktadha w dondoo hili.(Al 4)
Ni kumbukumbu ya Ridhaa akikumbuka kilio cha mkewe terry Ridhaa akiwa nje ya jumba lake liliochomeka, na hiki ni kilio cha mkewe wakati walipoangamia kwa mkasa wa moto huo. 

b) Fafanua tamathali ya usemi huu(Al 2)

​b) Fafanua tamathali ya usemi huu(Al 2)
tanakali ya sauti – uuuuwi! Uuuuwi!

c) taja mambo yaliyofanyikia Ridhaa awali ya kuashiria mikasa. (Al 4)

c) taja mambo yaliyofanyikia Ridhaa awali ya kuashiria mikasa.(Al 4)
  • Kupepesa kwa jicho lake la kulia kwa wiki mbili mtawalia 
  • kuanguka sebuleni mwake bila kutu cha kumfanya ajikwae 
  • mwili wake kuwa na mavune/uchovu ilhali hakuwa ameufanyia kazi ya kudhili 
  • jeshi la kunguru lililotua juu ya paa la maktaba yake ya nyumbani 
  • milio ya kereng’ende na bundi usiku kucha  

b) Kwa kurejelea riwaya ya chozi la heri jadili dhiki za wakimbizi.(Al 10)

​Kwa kurejelea riwaya ya chozi la heri jadili dhiki za wakimbizi
  • Wanaoishi mabandani – kama kaizari na familia yake 
  • Uhaba wa chakula – kaizari anang’ang’ania uji na aliyekuwa waziri wa fedha/Ridhaa anakula mizizi mwitu 
  • Wananyeshewa – lime na mwanaheri/hawana hata tambara la kujifunika 
  • Kutoroka bila kujua waendako – kaizari na familia yake akiwa kwenye steji
  • dhiki za kisaikolojia – wakimbizi kama kaizari wanashuhudia uchomaji wa mabasi abiria wakiwa ndani yake walipokuwa wanatorokea maneno yenye amani na Usalama
  • magari wanayosafiria yanaishiwa mafuta – kwa mfano, kaizari na familia yake inawabidi kuingia msituni 
  • kulala msituni tena njaa – kwa mfano, familia ya kaizari katika siku ya kwanza msituni 
  • kukosa maji safi ya kunywa – akina kaizari wanakosa maji safi ya kunywa na wanaothubutu kunywa maji machafu ya mto wa mamba wanaugua homa ya matumbo na kuishi kufariki dunia 
  • ukosefu wa misala – wanatumia vyoo vya kupeperusha, hivyo kusababisha kuzuka kwa kipindupindu 
  • magonjwa – homa ya matumbo kutokana na matumizi ya vyoo vya kupeperusha 
  • vifo vya watoto vinavyotokana na ukosefu wa chakula na magonjwa/watu wengine wanakufa kutokana na kunywa maji machafu ya mto wa mamba n.k 
  • kuchomwa kwa familia – kedi ameiteketeza familia ya Ridhaa kwa sababu Ridhaa hakuwa mwenyeji wa msitu wa heri – uk.5
  • Ridhaa anachomewa mihindi yake kwa sababu hakuwa mwenyeji wa msitu wa heri – uk.4
  • Kuonwa kama wavuruga watulivu – Ridhaa anapohamia msitu wa heri pamoja na nduguze, watoto wa huko wanawaona kama waliokuja kuvuruga utulivu wao kwa sababu ya kutokuwa wenyeji wa msitu wa heri – uk.9
  • Kutengwa mchezoni – Ridhaa anatengwa na wanafunzi wenzake wanapocheza shuleni mchezo wa kavuta kwa sababu ya kuwa mwanafunzi mlowezi katika msitu wa heri uk.10
  • Kubandikwa majina. Wanafunzi shuleni wanamwita Ridhaa ‘mfuata mvua’ kwa sababu ya kuwa mwanafunzi mlowezi – uk. 10. Pia mavyaa wake Subira anamwita Subira ‘muki’ kwa  sababu Subira anatoka anatoka katika jamii ya bamwezi; jamii tofauti na yake – uk. 94
  • Chuki za kikabila zinawasababishia wanafunzi kumchukia Ridhaa anapofaulu katika mitihani yake. Wanamwona kama aliyeenda katika mitihani yote – uk.10
  • Kusingiziwa wizi. Ridhaa anasingiziwa kuiba kalamu za wanafunzi wengine kwa sababu analowea Msitu wa heri – uk.10.subira pia anasingiziwa kuiba mayai ya kuku kwa sababu ya usuli wake. Yeye ni wa jamii ya bamwezi – uk.96
  • Dhiki za kisaikolojia. Unyanyapaa shuleni kutoka kwa wanafunzi wenyeji wa msitu wa heri unamsababishia Ridhaa kutoroka shuleni na kulia kwa kite na shake na kuapa kutorudi shuleni – 10
  • Subira 

Read More
0 Comments

​Nimeondoka. Acha nitambe na ulimwengu, huenda nikaambulia cha kukusaidia kuikimu familia. Nasikitika kwa uchungu nitakaokusababishia wewe na wanao

13/12/2022

0 Comments

 

​Nimeondoka. Acha nitambe na ulimwengu, huenda nikaambulia cha kukusaidia kuikimu familia. Nasikitika kwa uchungu nitakaokusababishia wewe na wanao

a)    Eleza muktadha wa maneno haya.        (alama 4)

  • Maneno ya Naomi katika simu / ujumbe wa simu
  • Alimwandika mumewe Lunga
  • Kujulisha mumewe alikuwa amewaacha yeye na watoto wao
  • Naomi alichoshwa na umaskini                                    (4 x 1 = 4)

b)    Kwa kutolea mifano miwili, taja tamathali ya lugha iliyotumika.      (alama 3)

Nahau
  • Ambulia cha kutusaidia
  • Nitambe na ulimwengu                    (3 x 1 = 3)

c)    Jadili machungu yaliyompata binti yake msemaji.            (alama 7)

  • Kumpoteza babake Lunga kutokana na shinikizo la damu
  • kutenganishwa na wanuna. zake.
  • Dick na Mwaliko walitoroshwa na kijakazi Sauna.
  • Upweke, sebule yao iligeuka na kuwa ni kama ukumbi
  • Kuhangaika kutafuta ndugu zake. Alijaribu kuulizializia kutoka kwa majirani asipate wa kumwauni.
  • Polisi wajeuri ambao hawakuwa na imani kwake walipokosa kumsaidia kuwapata ndugu zake Dick na mwaliko.
  • Kuishi katika makao ya kuwasaidia watoto ombaomba yaliyosimamiwa na mama Julida
  • Kujipata mitaani mjini alipokutana na kundi la vijana wa mitaani wengine walikuwa na macho mekundu ya kutisha.
  • Kukosa umakinifu darasani kutokana sinema za kweli alizoona maishani. Kila mara mwalimu alimkumbusha  kurejesha mawazo darasani.
  • Alipata mateso ya kisaikolojia kwa kushuhudia mawi mengi akiwa mdogo k.m. kufutwa kazi kwa Lunga na kuachwa na mama.
  • Kujipata katika mazingira mageni; kusomeshwa kugeni, walimu wageni, mbinu geni za kufundishia         (8 x 1 = 8)  

d)    Eleza umuhimu wa kituo cha Benefactor.    (alama 6)

  • Kuendeleza maudhui ya haki za watoto. Watoto ambao walikosa walezi walifadhiliwa hapa k.m. Mwaliko
  • Kuendeleza maudhui ya utu k.m. ufadhili wa watoto waliotekwa nyara na kuokotwa.
  • Umuhimu wa taasisi za kidini kufadhili wasio na bahati. Kituo hiki kilisimamiwa na watawa wa kundi la Mtakatifu Teresia.
  • Maudhui ya ukatili, Riziki Immaculata alitupwa kwenye jaa la takataka na mama yake.
  • Maudhui ya upangaji wa watoto. Neema na Mwangemi wanampanga Mwaliko kutoka kituo cha watoto cha Benefactor
  • Malezi. Neema na Mwangemi wangemuumba Mwaliko kihulka kutokana na malezi yao.
  • Umuhimu wa kuwa na mtoto. Mwangemi asema kuwa maisha ya mtu huwa ni ombwe bila mwana, awe wa kuzaa au wa kulea.
  • Umuhimu wa ndoto kwa mtoto maishani. Mwangemi alimtakia mwaliko kuwa muuguzi kama yeye. Hatimaye alisomea shahada ya  Isimu na Lugha
  • Maudhui ya taaluma; Uuguzi na uhandishi, Isimu na lugha.
  • Uavyaji mimba. Neema alichekwa kimakosa kuwa aliavya mimba.
  • Kuendeleza ploti. Neema na Mwangemi wanaelezea kwa kirefu safari na sababu yao kutaka kumpanga mtoto.
  • Mbinu rejeshi inaendelezwa. Vitushi vingi vilifanyika awali na vinasimuliwa tu, k.m. kuokotwa kwa Riziki Immaculata.
  • Kuendeleza ufaafu wa anwani.Mwangemi na Neema kumpanga Mwaliko.                (6x1=6)

Read More
0 Comments

“Baba, umewahi kumwona mtoto wa miaka hamsini ambaye hajasota…………”

13/12/2022

0 Comments

 

​“Baba, umewahi kumwona mtoto wa miaka hamsini ambaye hajasota…………”

​a) Eleza muktadha wa dondo hili.    (alama 4)

​(i) Msemaji – Tila
(ii) Msemewa – Ridhaa (anapowaza baada ya nyumba kuchomeka).
(iii) Mahali – mawazoni Ridhaa
(iv) Ridhaa anapotazamana na majivu ya familia yake ndipo anakumbuka mazungumzo kati yake na mwanawe Tila   (Hoja 4 x 2 = 8)

​b) Taja mbinu iliyotumika  (alama 2)

Jazanda – mtoto wa miaka hamsini ambaye hajasota kumaanisha kukwama kimaendeleo (mafanikio baada ya uhuru) ( 1 x 2 = 2)

c) Fafanua sifa za mzungumzaji.     (alama 4)

Sifa za Tila
i) Ni msomi – anaelewa maswala ya sheria kwa kina
ii) Ni mzalendo – anasema wanahitaji kiongozi ambaye atapeleka jahazi kwenye visiwa vya hazina.
iii) Amepevuka – anajua nguvu za vijana ni kama nanga.
iv) Amezinduka – anajua kwamba bado wahafidhina hawajapata uhuru.
Zozote 4 x 1 = 4

d) Jamii ya msemewa imekumbwa migogoro chungu nzima. Thibitisha.  (alama 10)

  • Mgogoro katika familia ya mzee Mwimo Msubili, kwa sababu familia yake ilikuwa kubwa na hakuitosheleza kwa chakula.
  • Mgogoro wa kijamii unajitokeza baada ya mkoloni kupuuza sera za Mwafrika mf umilki wa ardhi.
  • Mgogoro shuleni Ridhaa aliitwa mfuata mvua.
  • Ridhaa alijipata katika mgogoro na nafsi yake baada ya kutazama miili ya wapenzi wake.
  • Mgogoro wa kisiasa; nani angekuwa kiongozi kati ya mwanamke na mwanamume.
  • Mgogoro kati ya raia na polisi wakiwa katika harakati zao za kuweka Amani mamia waliaga dunia.
  • Nyamvula ana mgogoro na nafsi yake, imani yake inakinzana na kazi ya uaskari.                                                           (Zozote 5 x 2 = 10)

Read More
0 Comments

Dondoa maudhui kutoka kwa wimbo wake Shamsi. (alama 10)

13/12/2022

0 Comments

 

​Dondoa maudhui kutoka kwa wimbo wake Shamsi. (alama 10)


Read More
0 Comments

ANWANI “CHOZI LA HERI” NI KINAYA .THIBITISHA

13/12/2022

0 Comments

 

Anwani “Chozi la Heri” ni kinaya .Thibitisha (alama 10)

a)  Anwani “Chozi la Heri” ni kinaya .Thibitisha (alama 10)
  • wahusika wa kurejelewa
  • ridhaa kupoteza familia yake kupitia mkasa wa moto.
  • Subira kupewatalakanafamilia ya subira kwa kuwaalikuwanatokajamiitofauti.
  • Kaizari kuachwa na bibi yesubira na piabaadayeanampoteza .
  • Selumekutorokanyumbanikwakekwakumuungamkono Bi mwekevu. 
  • Makaakufakutokananakuendakuokoawaliokuwawakiteketeakutokana na mlipuko wa petrol.
  • Lemikuchomwakwakuzingiziwawizi.
  • Mwanaherina lime kubakwa na vijanawatano.
  • Umu, Dick naMwalikokuachwa na mamayao Naomi na hawakuwaikuonananayetena na piakupoteza baba yao.
  • Lungakupotezamaliyakekamashamba na piakufutwakazikatikashirika la kuhifadhinafaka.
  • Kiririkuachwa na bibiyeNdarineanapoendang’ambo.
  • Sauna kubakwanababake wa kupanga bwana Maya akiwaangalimdogo.
  • Vijana wanaofyatuliwa risasi wakiandamana kutokana na matokeo ya uchguzi.
  • Kipangakutekelezwanababakekuwasiomtoto wake asili.
  • Shamsikupotezababakekutokananaumaskini na piavifaavyakumtibu.
b) dondoamaudhuikutoka kwa wimbo wake Shamsi.
  1. ukolonimamboleo
  2. ukolonimkongwe
  3. ukosefu w ajira
  4. Ulevi
  5. Migogoro ya ardhi
  6. Umaskini.
  7. Elimu
  8. Ufisadi
  9. Ukosefuwadawahospitalini.
  10. Magonjwa
  11. Uzalendo.

Read More
0 Comments

“La muhimu ni mtu kujifocus tu. Mimi najua japo …..baada ya kupona magonjwa nitaendelea na masomo yangu.”

13/12/2022

0 Comments

 

​“La muhimu ni mtu kujifocus tu. Mimi najua japo …..baada ya kupona magonjwa nitaendelea na masomo yangu.”

a)    Liweke dondoo hili katika muktadha wake.      (alama 4)
b)    Tambua maudhui mawili yanayojitokeza katika dondoo hili huku ukiyatolea mifano. (alama 4)
c)    Jina la msemaji ni la kimajazi, eleza.          (alama 2)
d)    Umihimu wa msemaji.       (alama 6)
e)    Tambua tamathali za usemi zinazotokana na dondoo hili.        (alama 4)

mwongozo

“La muhimunimtukujifocustu. Mimi najuajapo …..baada ya kuponamagonjwanitaendelea na masomo yangu.” 
a) Liwekedondoohilikatikamuktadha wake. (alama 4)
Maneno yalisemwa na Tuama, akimwambiaSelume na Meko ,kwenyekituo cha mwanzompya, akijaribukuwaambiakuwakupashwatoharasisiomwisho wa masomo.
b) Tambuamaudhuimawiliyanayojitokezakatikadondoohlihukuukiyatoleamifano. (alama 4)
c) Jina la msemaji ni la kimajazi, eleza (alama 2)
Tuama- kusaliamahalipamojabilakusonga.,anashikiliamila na desturizilizopitwa  na wakatikamatohara.
d) Umihimuwamsemaji.   (alama 6)
e) Tambuatamathalizausemizinazotokananadondoohili. (alama 4) 
Kuchanganyandimi-ni mtukujifocustu
Taharuki- hatujuikamaTuamaaliendelea na masomo.

Read More
0 Comments

​Nimeondoka. Acha nitambe na ulimwengu, huenda nikaambulia cha kukusaidia kuikimu familia. Nasikitika kwa uchungu nitakaokusababishia wewe na wanao

23/5/2022

0 Comments

 

​​Nimeondoka. Acha nitambe na ulimwengu, huenda nikaambulia cha kukusaidia kuikimu familia. Nasikitika kwa uchungu nitakaokusababishia wewe na wanao

​a) Eleza muktadha wa maneno haya.    (alama 4)

  • Maneno ya Naomi katika simu / ujumbe wa simu
  • Alimwandika mumewe Lunga
  • Kujulisha mumewe alikuwa amewaacha yeye na watoto wao
  • Naomi alichoshwa na umaskini     
(4 x 1 = 4)


​b) Kwa kutolea mifano miwili, taja tamathali ya lugha iliyotumika.  (alama 3)

Nahau 
  • Ambulia cha kutusaidia
  • Nitambe na ulimwengu                   
(3 x 1 = 3)

​c) Jadili machungu yaliyompata binti yake msemaji.  (alama 7)

  • Kumpoteza babake Lunga kutokana na shinikizo la damu
  • kutenganishwa na wanuna. zake.
  • Dick na Mwaliko walitoroshwa na kijakazi Sauna.
  • Upweke, sebule yao iligeuka na kuwa ni kama ukumbi
  • Kuhangaika kutafuta ndugu zake. Alijaribu kuulizializia kutoka kwa majirani asipate wa kumwauni.
  • Polisi wajeuri ambao hawakuwa na imani kwake walipokosa kumsaidia kuwapata ndugu zake Dick na mwaliko.
  • Kuishi katika makao ya kuwasaidia watoto ombaomba yaliyosimamiwa na mama Julida
  • Kujipata mitaani mjini alipokutana na kundi la vijana wa mitaani wengine walikuwa na macho mekundu ya kutisha.
  • Kukosa umakinifu darasani kutokana sinema za kweli alizoona maishani. Kila mara mwalimu alimkumbusha  kurejesha mawazo darasani.
  • Alipata mateso ya kisaikolojia kwa kushuhudia mawi mengi akiwa mdogo k.m. kufutwa kazi kwa Lunga na kuachwa na mama.
  • Kujipata katika mazingira mageni; kusomeshwa kugeni, walimu wageni, mbinu geni za kufundishia                                                               
(8 x 1 = 8)


​d) Eleza umuhimu wa kituo cha Benefactor.  (alama 6) 

  • Kuendeleza maudhui ya haki za watoto. Watoto ambao walikosa walezi walifadhiliwa hapa k.m. Mwaliko
  • Kuendeleza maudhui ya utu k.m. ufadhili wa watoto waliotekwa nyara na kuokotwa.
  • Umuhimu wa taasisi za kidini kufadhili wasio na bahati. Kituo hiki kilisimamiwa na watawa wa kundi la Mtakatifu Teresia.
  • Maudhui ya ukatili, Riziki Immaculata alitupwa kwenye jaa la takataka na mama yake.
  • Maudhui ya upangaji wa watoto. Neema na Mwangemi wanampanga Mwaliko kutoka kituo cha watoto cha Benefactor
  • Malezi. Neema na Mwangemi wangemuumba Mwaliko kihulka kutokana na malezi yao. 
  • Umuhimu wa kuwa na mtoto. Mwangemi asema kuwa maisha ya mtu huwa ni ombwe bila mwana, awe wa kuzaa au wa kulea.
  • Umuhimu wa ndoto kwa mtoto maishani. Mwangemi alimtakia mwaliko kuwa muuguzi kama yeye. Hatimaye alisomea shahada ya  Isimu na Lugha
  • Maudhui ya taaluma; Uuguzi na uhandishi, Isimu na lugha.
  • Uavyaji mimba. Neema alichekwa kimakosa kuwa aliavya mimba. 
  • Kuendeleza ploti. Neema na Mwangemi wanaelezea kwa kirefu safari na sababu yao kutaka kumpanga mtoto.
  • Mbinu rejeshi inaendelezwa. Vitushi vingi vilifanyika awali na vinasimuliwa tu, k.m. kuokotwa kwa Riziki Immaculata.
  • Kuendeleza ufaafu wa anwani.Mwangemi na Neema kumpanga Mwaliko.
  (6x1=6)



Read More
0 Comments

Ukabila ni tatizo sugu katika nchi nyingi za Kiafrika. Tetea kauli hii ukilejelea Chozi la Heri ( al. 20)

23/6/2021

2 Comments

 

Ukabila ni tatizo sugu katika nchi nyingi za Kiafrika. Tetea kauli hii ukilejelea Chozi la Heri ( al. 20)

  • i. Subira alitengwa na familia ya mume wake kwa kuwa wa kabila tofauti na lao
  • ii. Mwanaheri anatueleza kuwa mama yake alikuwa ametoka kwenye jamii ya mamwezi lakini babake alikuwa wa jamii tofauti. Kila mara subira aliitwa ‘muki’ au huyo wa kuja
  • iii. Kijana mmoja alimwita Ridhaa mfuata mvua jambo lilimuumiza sana Ridhaa.
  • iv) Mzee kendi alimtendea udhalimu Ridhaa na kuiteketeza aila yake licha ya wao kuwa majirani kwa miaka hamsini. Ridhaa alifanyiwa hivi kwa kuwa alikuwa ametoka kwenye kabila tofauti na mzee kendi.
  • vi) Ndoa ya Selume ilisabaratika baada ya vita vya kutawazwa kwa kiongozi mpya. 
  • vii) kuoa msichana wa kikwao.
  • viii) Tulia alimsaidia kaizari kufunganya na kumsidikiza hadi njia panda. Alimkumbatia na kumwambia kuwa mwenyezi Mungu ndiye hupanga na nguvu na mamlaka pia hutoka kwake
  • ix) Uongozi mpya umezua uhasama kati ya koo ambazo zimeishi kwa amani kwa karibu karne moja.
  • x) Subira aliweza kuvumilia kubaguliwa, kufitiniwa na kulaumiwa kwa asiyoyatenda, Mwishowe alihiari kujiondokea na kwenda mjini alikojinywea kinywaji kikali. (zozote 10 x 2)
TUMA KWA PRINTA

Read More
2 Comments

Kwa kweli ni hali ngumu hii”Weka dondoo katika muktadha wake. Ni hali gani yamesemewa inayorejelewa kwenye dondoo

23/6/2021

1 Comment

 

​“ Kwa kweli ni hali ngumu hii”
Weka dondoo katika muktadha wake. (alama4)
Ni hali gani yamesemewa inayorejelewa kwenye dondoo. (alama16)

A.Weka dondoo katika muktadha wake. (al.4)
  • i) Mzungumzaji ni Ridhaa
  • ii) Anayezungumziwa  ni Kaizari
  • iii) Ni katika kambi/mabanda- Kwenye Msitu  wa Mamba
  • iv) Ni baada ya Kaizari kumsimulia Ridhaa magumu aliyoyapitia kutoka  kwake nyumbani hadi kujipata kweye hali nyingine ngumu katika kambi.
b) Ni hali gani inayorejelewa kwenye dondoo. (al.6)
  • i) Mke wa Kaizari, Subira ananyakwa kofi kubwa 
  • ii) Anarejelewa kama kidume kijoga-kudharauliwa
  • iii) Mke wake anakatwa kwa sime na kuzirai kwa uchungu
  • iv) Bintize –Lime na Mwanaheri- wanafanyiwa unyama na mabarobaro
  • v) Jirani yake Tulia anamfukuza anapojaribu kuwapa mke wake  na watoto huduma za kwanza
  • vi) Wanawe wanazirai ubavuni mwake
  • vii) Anaabiri gari bila kujua waendako na jamaa zake
  • viii) Walitazama mabasi yakichomwa kwenye safari iliyokuwa ndefu 
  • ix) Gari linaisha petroli- wanajitoma msituni
  • x) Wanakula mate usiku wa kwanza kutokana na ugeni/ukosefu wa chakula
  • xi) Kuna hali mbaya ya baridi na umande wa asubuhi
  • xii) Wanakosa maji safi ya kunywa kwenye msitu
  • xiii) Kunywa maji ya Mto wa Mamba kunawasababishia homa ya tumbo.
  • xiv) Vijumba vichache havikutosha kuhimili idadi ya wakimbizi
  • xv) Huduma za kijamii zinaadimika –ukosefu wa misala na misala ya kupeperushwa 
  • xvi) Sandarusi za kutumiwa kama misala  zilitafutwa mbali kwenye milima ya taka.
  • xvii) Roho za watoto zilibwakurwa na magarimoshi kwenye reli walipoenda haja kule
  • xviii) Kuna hali ya njaa na vilio vya watoto wenye njaa
TUMA KWA PRINTA

Read More
1 Comment
    Chozi la Heri
    Chozi la Heri

    ​Uchambuzi wa Chozi la Heri na Assumpta K Matei

    chozi la heri uchambuzi


    CATEGORY

    Categories

    All
    Jalada
    MASWALI NA MAJIBU
    MWONGOZO
    SWALI NA JIBU
    Ufaafu Wa Anwani
    WAHUSIKA

    ARCHIVES

    Archives

    January 2023
    December 2022
    May 2022
    October 2021
    June 2021
    June 2020
    May 2020

    AUTHOR

    M.A NYAMOTI

    B.ed Science [MKU]

    RSS FEEDS

    RSS Feed


    CHOZI LA HERI

    chozi_la_heri__qns__ms_.pdf
    File Size: 1257 kb
    File Type: pdf
    Download File

    chozi_la_heri_qns.pdf
    File Size: 391 kb
    File Type: pdf
    Download File

    chozi_la_heri_guide.pdf
    File Size: 2089 kb
    File Type: pdf
    Download File

    chozi_la_heri_guide_0714497530.pdf
    File Size: 2126 kb
    File Type: pdf
    Download File

    chozi_la_heri_guide_latest.pdf
    File Size: 1287 kb
    File Type: pdf
    Download File


    HIGH SCHOOL EXAMINATIONS

    OPEN

    ENGLISH LITERATURE BOOKS & SETBOOKS

    OPEN

    KCSE KISWAHILI SETBOOKS

    OPEN

    Geography Form 1 Notes and Other Resources

    OPEN

    KCSE PAST PAPERS BY SUBJECT 1989 - LAST YEAR

    OPEN

    Geography Form 2 Notes and Other Resources

    OPEN

    KCSE Past Papers, Marking Schemes and Reports

    OPEN

    BIOLOGY FORM 1 NOTES

    OPEN

    ALL SECONDARY RESOURCES (EXAMINATIONS, NOTES, TUTORIALS AND REPORTS)

    OPEN

    PRIMARY SCHOOL RESOURCES 8-4-4

    OPEN

    KCPE Past Papers, Marking Schemes and Reports

    OPEN

    STANDARD 8 CLASSROOM RESOURCES

    OPEN
    1 2


Primary Resources
  • K.C.P.E Past Papers
  • ​Pri - Primary 1 Level
  • Pri  - Primary 2 Level
  • Grade 1
  • Grade 2
  • Grade 3
  • Grade 4
  • Standard 5
  • Standard 6
  • Standard 7
  • Standard 8
  • English
  • Kiswahili
  • Social Studies
  • Science
  • Mathematics
  • Kenya Sign Language
  • I.R.E
  • ​H.R.E
  • Notes
  • Termly Questions
  • Mocks
  • K.C.P.E Past Papers
College Resources
  • E.C.D.E
  • P.T.E
  • D.T.E
  • Technical Diploma
  • Technical Certificate
  • Business Diploma
  • Business Certificate
  • Higher Diploma
  • K.A.S.N.E.B Resources
  • K.M.T.C Resources
  • Varsity Resources
Secondary Resources
  • K.C.S.E Past Papers
  • Form 1
  • Form 2
  • Form 3
  • Form 4
  • Term 1
  • Term 2
  • Term 3
  • English
  • Geography
  • History
  • C.R.E
  • I.R.E
  • ​H.R.E
  • Home Science
  • Computer Studies
  • Business Studies
  • Agriculture
  • Chemistry
  • Biology
  • Physics
  • Mathematics ALT A
  • Mathematics ALT B
  • Kiswahili
  • French
  • Germany
  • Arabic
  • Aviation
  • Art & Design
  • Drawing & Design
  • Building & Construction
  • Metal Works
  • Wood Work
  • Music
  • Kenya Sign Language
  • Electricity
Other Useful Links
  • Academic Environment
  • How its Done
  • News and Opinions
  • Manyam Franchise Support
  • About
  • SITEMAP
  • FOCUS A365 SERIES
  • Membership Details (KCPE/KCSE)
  • Secondary Mocks
  • SYLLABUS
Contact Us
Manyam Franchise
P.O Box 1189 - 40200 Kisii
Tel: 0728 450 424
Tel: 0738 619 279
Tel: 0763 450 425
E-mail - sales@manyamfranchise.com
  • Start
    • SITEMAP
    • KNEC Portal
    • ZERAKI HELP AND SUPPORT
    • Academic Environment
    • KNEC KCSE PROJECT INSTRUCTIONS
  • BLOGS
    • About Us? >
      • Learn more about us
    • CUSTOMER CARE >
      • PRICING
      • Help & Support
    • News and Opinions
    • JOBS IN KENYA AND ABROAD FOR KENYANS AND BEYOND
    • How its Done
  • OUR PRODUCTS
    • All Categories >
      • MORE PRODUCTS >
        • SECONDARY CRE NOTES
        • COURSE BOOKS
        • KCSE KISWAHILI SETBOOKS
        • Backed Up Files and Archives
        • FREE DOCUMENTS
        • PRIMARY 8-4-4 BASED RESOURCES
        • STANDARD 8 RESOURCES
        • HIGH SCHOOL RESOURCES >
          • Biology Paper 3 Exams
          • Secondary Examinations
        • PRIMARY CBC BASED RESOURCES
        • COLLEGE & VARSITY RESOURCES
      • PRIMARY RESOURCES CBC
      • PRIMARY RESOURCES 8-4-4
      • SECONDARY RESOURCES
      • NOTES & TUTORIALS
      • COLLEGE RESOURCES
      • NOVELS and OTHER BOOKS
    • EXAMINATIONS >
      • MOCKS AND JOINT EXAMS >
        • FORM 1 QUESTION PAPERS, ANSWERS AND MARKING SCHEMES COLLECTIONS
        • FORM 2 QUESTION PAPERS, ANSWERS AND MARKING SCHEMES COLLECTIONS
        • FORM 3 EXAMINATIONS, QUESTION PAPERS AND ANSWERS
        • FORM 4 MOCKS PAST EXAMS BY REGION
        • TOP SECONDARY EXAMS ALL SUBJECTS
      • KPSEA NATIONAL EXAMS
      • KCPE >
        • KCPE PAST PAPERS AND ANSWERS >
          • KCPE 2020 RESULTS, REPORTS, QUESTIONS AND ANSWERS
          • KCPE PAST PAPERS 2019 REPORTS, RESULTS, QUESTIONS AND ANSWERS
        • KCPE PAST PAPERS PER SUBJECT
      • KCSE >
        • KCSE PAST PAPERS BY SUBJECT
        • KNEC KCSE PAST PAPERS, MARKING SCHEMES, QUESTIONS & ANSWERS
        • Free KCSE Past Papers Mathematics
        • Free KCSE Biology Questions and Answers
      • QUESTIONS & ANSWERS >
        • SECONDARY >
          • LANGUAGES >
            • Secondary English Questions and Answers
          • TECHNICALS >
            • COMPUTER STUDIES >
              • COMPUTER STUDIES Q & A
              • kcse computer studies paper 2 AND 3 Questions & Answers
            • BUSINESS STUDIES QUESTIONS & ANSWERS
            • KCSE AGRICULTURE TOPICAL QUESTIONS AND ANSWERS
            • KCSE HOME SCIENCE DIRECT QUESTIONS AND ANSWERS
          • SCIENCES >
            • KCSE Mathematics Topical Questions
            • KCSE Biology Topical Questions and Answers
            • CHEMISTRY TOPICAL QUESTIONS AND ANSWERS
            • KCSE Physics Topical Questions
            • KCSE physics Practical Sample Quiz
          • HUMANITIES >
            • C.R.E (CRE) QUESTION AND ANSWERS
            • ISLAMIC RELIGIOUS EDUCATION (IRE) QUESTIONS AND ANSWERS
            • KCSE History Topical Questions and Answers
            • GEOGRAPHY TOPICAL QUESTIONS AND ANSWERS
        • PRIMARY >
          • Standard 4-8 Mathematics Topical Questions from Mocks and KCPE
          • Std 6 Mathematics Notes
    • TUTORIALS >
      • SECONDARY >
        • SCIENCES >
          • FOCUS MATHEMATICS TUTORIALS AND EXAMS FREE
          • KCSE BIOLOGY NOTES
          • FREE KCSE CHEMISTRY NOTES
          • KCSE PHYSICS NOTES, AUDIOVISUALS AND MORE
        • LANGUAGES >
          • ENGLISH >
            • A GUIDE TO SILENT SONG AND OTHER STORIES
            • English KCSE Set Books
            • ENGLISH POETRY QUESTIONS WITH ANSWERS FOR K.C.S.E CANDIDATES
            • ENGLISH GRAMMAR #KCSE
          • KISWAHILI >
            • Bembea ya Maisha
            • CHOZI LA HERI - MWONGOZO
            • KIGOGO - MWONGOZO
            • MASWALI NA MAJIBU YA TUMBO LISILOSHIBA
            • USHAIRI MASWALI NA MAJIBU
            • KCSE Kiswahili Fasihi
        • TECHNICALS >
          • HOME SCIENCE NOTES
          • KCSE BUSINESS STUDIES NOTES
          • COMPUTER STUDIES NOTES LATEST
          • kcse Computer Studies Notes
          • KCSE AGRICULTURE NOTES, SYLLABUS, QUESTIONS, ANSWERS, SCHEMES OF WORK AND OTHERS
        • HUMANITIES >
          • KCSE History Notes Form 1 to 4
          • FREE KCSE CRE NOTES
          • KCSE GEOGRAPHY NOTES
          • IRE NOTES, AUDIOVISUAL, QUESTIONS AND ANSWERS
      • PRIMARY >
        • STANDARD 4: SOCIAL STUDIES
        • NOTES >
          • KISWAHILI
          • SOCIAL STUDIES
        • EXAMINATIONS
        • DecaTurbo Online Series Examinations
        • KCPE Mathematics Notes
        • KCPE and Primary Level Compositions
      • Other Supportive Documents >
        • SYLLABUS >
          • Primary 8-4-4 based Syllabus, Objectives and Lessons
          • Primary Mathematics Syllabus
        • MASOMO VIDEOS
    • CURRICULUM >
      • NEW CURRICULUM DESIGNS >
        • PRIMARY >
          • PRE PRIMARY ONE CURRICULUM WITH SYLLABUS
          • PRE PRIMARY TWO CURRICULUM WITH SYLLABUS
        • SECONDARY >
          • KNEC KCSE SYLLABUS AND COURSE OUTLINES
        • COLLEGE >
          • Regulations for the TIVET Craft and Diploma Business Examinations
    • HIGH INSTITUTIONS >
      • EXAMINATIONS >
        • College and Varsity Past Papers online
      • TUTORIALS >
        • COLLEGE AND UNIVERSITY NOTES AND TUTORIALS
  • MEMBERS RESOURCES
    • Primary >
      • CBC AND 8-4-4 LATEST EXAMS
      • CBC PROFFESSIONAL TOOLS
      • CBC NOTES PRIMARY
      • CBC KPSEA EXAMS
      • Standard 8 (std) English Topical Questions
      • KCPE MATHEMATICS TOPICAL QUESTIONS FROM 1989 TO LAST YEAR
      • STANDARD 8 PAST PAPERS 8-4-4 BASED
    • Secondary >
      • FORM 1 EXAMS WITH ANSWERS
      • FORM 2 EXAMS WITH ANSWERS
      • FORM 3 EXAMS WITH ANSWERS
      • FORM 4 EXAMS WITH ANSWERS
      • KCSE 2020 QUESTIONS AND ANSWERS
      • NOTES SECONDARY
      • MOCKS SECONDARY >
        • kcse form 2 mathematics questions
    • Free Schemes of Work
    • FOCUS A365 SERIES K.C.P.E EXAMINATIONS FOR PRIMARY
    • ALL GROUPS PRODUCTS
    • PREMIUM PRODUCTS 2