Soma utungo ufuatao kisha ujibu maswaliHeri ujue mapema Nasaba yetu haina woga Woga haumei kwetu, humea kwa kina mamako. Tulichinja jogoo na fahali ili uwe mwanaume. Ah! Kisu cha ngariba ni kikali ajabu. Iwapo utatikisa kichwacho. Uhamie kwa wasiotahiri, Ama tukwite njeku. Mpwangu kumbuka hili, Wanaume wa mlango wetu Si waoga wa kisu Wao hukatwa mchana hadi usiku Wala hawalalamiki. Siku nilipokatwa Nilisimama tisti Nikacheka ngariba kwa tashtiti Halikunitoka chozi. Iwapo utapepesa kope Wasichana wa kwetu na wa mbali Wote watakucheka Ubaki ukinuna. Sembe umepokea Na supu ya makongoro ukabugia Sema unachotaka Usije kunitia aibu Maswali;
0 Comments
|
AuthorAtika School Team Archives
December 2023
Categories
All
|
Can't find what you are looking for? Don't worry, Use the Search Box Below.
Primary Resources
College Resources
|
Secondary Resources
|
Contact Us
Manyam Franchise
P.O Box 1189 - 40200 Kisii Tel: 0728 450 424 Tel: 0738 619 279 E-mail - sales@manyamfranchise.com |