Soma shairi kisha ujibu maswali Nizike Ningali Hai!: Hassam Muchai Kipusa Binti Hamadi, siku n’takuwa kimba Nizikwe Kifudifudi, na yoyo kuyumbayumba Takuwa bure biladi, matozi ungayasomba Nizike ningali hai, n’kifa hutonizika Tena ningaumwa ungo, na mapumu kuugua Lioze ini na nyongo, na pua zisipumua Takuwa sina kinyongo, mradi nimeshatua Nizike ningali hai, n’kifa hutonizika Nizike sasa mwenzangu, nizike ningali hai Singojee kufa kwangu, uanze kurairai Kulilia kifo change, ni bure hakukufai Nizike ningali hai, n’kifa hutonizika Nikifa hutonizika, kimwana sanda nunua Manukato ya kupaka, na nguo za kuanua Nivishe sione shaka, Washindwe kupambanua Nizike ningali hai, n’kifa hutonizika Tena nikande misuli, nikande pande kwa pande Siate kiwiliwili, shingo, miguu ikande Umalizapo kiwiliwili, mwenzangu niende shonde Nizike ningali hai, n’kifa hutonizika MASWALI
MAJIBU
maswali 10 ya chaguzi zaidiHapa kuna seti ya maswali 10 ya chaguzi zaidi.
MAJIBU YA MASWALI 10 YA CHAGUZI
Hapa kuna majibu kwa maswali yaliyotolewa:
0 Comments
|
AuthorAtika School Team Archives
December 2023
Categories
All
|
Can't find what you are looking for? Don't worry, Use the Search Box Below.
Primary Resources
College Resources
|
Secondary Resources
|
Contact Us
Manyam Franchise
P.O Box 1189 - 40200 Kisii Tel: 0728 450 424 Tel: 0738 619 279 E-mail - sales@manyamfranchise.com |