Soma shairi lifuatalo kisha ujibu maswali.Maendeleo ya umma Sio vitu maghalani Kama tele vimesaki Lakini havishikiki Ama havikamatiki Bei juu Maendeleo ya umma Sio vitu gulioni Kuviona madukani Kuvishika mikononi Na huku wavitamani Kama tama ya fisi Kuvipata ng’o Maendeleo ya umma Sio vitu shubakani Dhiki ni kwa mafakiri Nafuu kwa mafakiri Ni wao tu washitiri Huo ni uistimari Lo! Warudia Maendeleo ya umma Ni vitu kumilikiwa Na wanyonge kupatiwa Kwa bei kuzingatiwa Bila ya kudhulumiwa Na hata kuhadaiwa Hiyo ni haki. Maendeleo ya umma Dola kudhibiti vitu Vijapo nchini mwetu Na kuwauzia watu Toka nguo na sapatu Pasibakishiwe na kitu Huo usawa. Maendeleo ya umma Watu kuwa na kauli Katika zao shughuli Vikaoni kujadili Na mwisho kuyakubali Maamuzi halali Udikteta la. Maendeleo ya umma Watu kuwa waungwana Vijakazi na watwana Nchini kuwa hakuna Wote kuheshimiana Wazee hata vijana. Maswali
majibumajibu
0 Comments
|
AuthorAtika School Team Archives
December 2023
Categories
All
|
Can't find what you are looking for? Don't worry, Use the Search Box Below.
Primary Resources
College Resources
|
Secondary Resources
|
Contact Us
Manyam Franchise
P.O Box 1189 - 40200 Kisii Tel: 0728 450 424 Tel: 0738 619 279 E-mail - sales@manyamfranchise.com |