Soma shairi lifuatalo kisha ujibu maswali.HINI GILASI YA MWISHO! Kazini wanza, kusema na Mama Pima Leo inafika tama, mbele sitoi sukuma Nimezama nimezama, na kwa wengi sikusema Hini gilasi ya mwisho! Hini gilasi ya mwisho, nyingine sitozama Sitaki mchanganyisho, ya vito vya mama pima Si leo katu si kesho, mitaro kulala jama Hini gilasi ya mwisho! Samba nina uhasama, nanyi mlobaki nyuma La heri nitalisema, hadi nitakapokoma Kuishi kwa mama pima, mno ni kubwa gharama Hini gilasi ya mwisho! Tupo tusolipa karo, wana shule kutotuma Kwa sababu ya umero, wetu huja baki nyuma Na kushonwa matakuro, na wenzao wanosoma Hini gilasi ya mwisho! Hini ya mwisho gilasi, nimesema nimesema Afadhali kula nyasi, nisiwe nabaki nyuma Wenzetu waloziasi, uchumi wameuchuma Hini gilasi ya mwisho!. MASWALI
MASWALI 10 YA CHAGUZI ZAIDI
Majibu
0 Comments
Leave a Reply. |
AuthorAtika School Team Archives
December 2023
Categories
All
|
Can't find what you are looking for? Don't worry, Use the Search Box Below.
Primary Resources
College Resources
|
Secondary Resources
|
Contact Us
Manyam Franchise
P.O Box 1189 - 40200 Kisii Tel: 0728 450 424 Tel: 0738 619 279 E-mail - sales@manyamfranchise.com |