Soma shairi lifuatalokishaujibumaswali.1. Mkatanimkatika, harithihatorithiwa Sinaninalolishika, walaninalochukuwa Mlimwengukanipoka, hata tone la muruwa! Mrithininiwanangu? 2. Sinango’ombesinambuzi,sinakondesinabuwa Sinahatamakaazi, mupasayokuyajuwa Sinamazurimakuzi, jinsinilivyoachiwa Mrithininiwanangu? 3. Sinakazisinabazi, ilawingiwashakawa Sinachembeyamajazi, mnonikukamuliwa Nakwa’cheniupagazi, mgumukwenuku’tuwa Mrithininiwanangu? 4. Sinasikuachajina, mkatahatasifiwa Hatanifanye la mana, mnonikulaumiwa Poleniwanangusana, sinakwenu cha kutowa Mrithininiwanangu? 5. Sinaleosinajana, sinakeshokutwaliwa Sinazizisinashina, walatawikuchipuwa Sinawanangu mi sana, la kwacha nakuraduwa Mrithininiwanangu? 6. Sina utu sinahaki, milayangumeuliwa Nyumayanguilidhiki, nambeleimekaliwa N’nawananamikiki, hadin’tapofukiwa Mrithininiwanangu? 7. Sinai la keshokwenu,wenyewekuiongowa Muwanekwanyingi,mbinumwendepasikupuwa Leo siyo, keshoyenu, kamamutajikamuwa Mrithininiwanangu? (Kina cha maishaA.S.Mohammed) MASWALI
MWONGOZO – USHAIRI
MWONGOZO – USHAIRI a) Hali yamzungumzaji. (al 4) - maisha yenye umaskini mkubwa. - maisha yasiyokuwa na matumaini. - maishayaliyokosathamani. - maisha yenye kusikitisha. b) Dhamira kuu ya mshairi (al 2) - kuwahimiza wanawe maishani ili kuhakikisha maisha mema ya baadaye kwa vile haliyasasaniyakimaskini. c) mzungumziwa – watoto (al 1) nafsineni – mzazi (al 1) d) toniyashairi (al 2) - masikitiko - kutamauka/kukosa matumaini - yakuhuzunisha e) mbinu tatu za lugha zilizotumika. (al 3) - sitiari – mkatanimkatika - Balagha – mrithininiwanangu? - takriri – sina f) Bahariyashairiukizingatia. (al 4) mizani – msuko vina - ukara g) Ubeti wa mwisho – lugha ya nathari. (al 3) mshairi ana matumaini kwamba wanawe wataimarisha maisha yao ya baadaye. Anawashauri wafanye bidii, wakabiliane na matatizo bila hofu.
0 Comments
Leave a Reply. |
AuthorAtika School Team Archives
December 2023
Categories
All
|
Can't find what you are looking for? Don't worry, Use the Search Box Below.
Primary Resources
College Resources
|
Secondary Resources
|
Contact Us
Manyam Franchise
P.O Box 1189 - 40200 Kisii Tel: 0728 450 424 Tel: 0738 619 279 E-mail - sales@manyamfranchise.com |