USHAIRIEti Mimi niondoke hapa Niondoke hapa kwangu Nimesaki, licha ya risasi Vitisho na mauaji, siondoki Mimi Siondoki Siondoki siondoki Niondoke hapa kwangu! Kwa mateke hata na mikuki Marungu na bunduki, siondoki Hapa Siondoki Mimi ni Pahame! Niondoke hapa kwangu! Fujo na ghasia zikizuka Na kani ya waporaji, siondoki Haki Siondoki Kwangu siondoki Niondoke hapa kwangu! Nawaje; waje wanaokuja Mabepari wadhalimu, siondoki Kamwe Siondoki Ng’oo hapa kwangu! Katizame chini mti ule! Walizikwa babu zangu, siondoki Sendi Nende wapi? Si hapa kitovu changu Niondoke hapa kwangu Wangawa na vijikaratasi Si kwamba hapa si kwangu, siondoki Katu Siondoki Sihitaji karatasi Niondoke hapa kwangu Yangu mimi ni ardhi hii Wala si makaratasi, siondoki Maswali
MWONGOZO WA KUSAHIHISHA - USHAIRI
Follow AtikaSchool.Org on our Social ChannelsThis gives you an opportunity to get our latest uodates, changes and firsthand information ushairi questions and answers pdfushairi pdf downloadushairi wa kiswahili pdfushairi noteskiswahili questions and answers pdffasihi simulizi questions and answers
0 Comments
Leave a Reply.Don't give up, Keep Searching for more |
AuthorAtika School Team Archives
January 2023
Categories
All
|